MIGUU ILIYOHAMISHWA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Luka 10:19
[19]Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
Huwezi kukanyaga kitu kilichopo juu yako,Yesu anaposema kuwa amekupa amri ya kukanyaga nyoka na nge kwa maana nyingine ni kuwa kuna nafasi katika ulimwengu wa roho ambayo hizi nguvu za giza zimewekwa,yaani chini ya miguu yako.Na kama adui anajua kwa miguu yako utamkanyaga yeye na kazi zake zote ndio maana katika vitu anaviwinda kuvikamata kwa binadamu ni miguu.Ulishawahi kujiuliza kwanini wachawi au washirikina huchukua mchanga wa unyayo wa mtu alipokanyaga?au kwanini umekuwa ukiota umefungwa na minyororo miguuni?
Ukisoma Ayubu 13:27-28
📝Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyaaua mapito yangu yote; Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu; Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.📝
Imeelezea vizuri sana.Mkatale maana yake ni "mnyororo".Ukifungwa na mnyororo kuna hatua zako na njia zako zinakuwa zimezuiwa na huwezi kusogea zaidi ya urefu wa mnyororo huo.Ndio maana kuna vitu vikubwa unajua kabisa una uwezo wa kuvifanya lakini hata ukijaribu vipi unaishia kushindwa lakini vya chini yake unavifanya vizuri na kwa ustadi..kuna mnyororo uliofungwa na unaweza kuvifanya vilivyo ndani ya urefu wa huo mnyororo.Ndio maana kuna familia ambazo kwenye kuishi hawazidi umri fulani, kwenye kupata kipato hakizidi kiwango fulani,kwenye uzao hawazidi idadi fulani ya watoto n.k na hata wakijitahidi vipi kusogea wanashindwa.
Huyu mtu hawakuishia tu kumfunga kwa mnyororo bali wameua na mapito yake yote.Kuna maono makubwa ambayo alikuwa nayo lakini tangu amefungwa hata hayo maono hana tena maana amehamishwa na kwenye njia ya kusudi lake.Anasema amekuwa kama kitu kilichooza na kusinyaa.Hakuna mtu anayeweza kukaa karibu na kitu kilichooza,yaani kwa huyu mtu kibali chake pia kimeondolewa,watu wanamkwepa..kwa ufupi amekuwa na roho ya kukataliwa.Lakini ukiangalia haya yote yanayomtokea yameanzia kwenye miguu yake kufungwa.
Mtumishi mumgu akubariki,kila ninapokukuskiza kila wakati ni kama unaubiria familia yetu,sababu imefungwa pande zote,magonjwa,chuki,ulevi na umaskini umekita mizizi kwetu but nimesimama kwa ajili ya familia yetu and i believe and i trust God minyororo yote, mungu atafungua.I trust God for healing.Ann KENYA.
BWANA YESU ASIFIWE ,Napenda kumushukuru mungu kwa mafundisho ya mungu hasa somo la roho ya umasikini jinsi shetani anavyo haribu mahusiano ya mtu na mungu nimefunguliwa sasa amen 🙏
Ni somo nililokuwa nalisubiri muda wote. Nmewai kuota zaidi ya mara mbili ndoto inayousiana na miguu na nyoka. Mtumishi sunbella naomba namba kwa ajili ya maombi. Naomba tafadhali
Bishop sunbella nakutazama kutoka Kenya na mahubiri yako yamenijenga sana, hasa mateso ya kifamilia,niombee Bishop nataka kufungua biashara mashinani na Kuna changa moto za kupata nyumba ya biashara.
Mungu awabariki watumishi waMungu.Mimi ni muumini wenu kupitia RUclips.Nawaombea Mungu wa.Mbinguni asiwapungukie Mema yake.AMINA
Amen kwamafuzo mungu atukuzwe na hainuliwe amen
sijachelewa kwakweli, nabarikiwaa
Ameni kwaimani mungu niponye magojwa yote mwilini mwangu 🙏 kwaimani mungu waponye familia yangu esta jackrini bitrice waponye wazazi wangu Ameni kwaimani Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni 🙏
Amen Asante Sana Bishop Sanbella 🙏🙏 nakuelewa BABA 🙌🙌.natendea kazi pia mafundisho haya mazur ya kunifungua ufaham wangu.barikiwa Sana Bishop Sanbella
Kwaimani mungu nafunguliwa kiuchumi mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye biashala yangu mungu naomba simama pamoja nami Amen 🙏
🙏🙏huyu mtumishi wa Mungu namuelewa kabisa mimi ameniokoa sana na maisha ya ulimwengu wa kiroho .
Amen nikumbe Kwa maombi pamoja na familia yangu 🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana amen
Nashukuru kuwa waminifu na kuonyesha upendo kwa gusaidia wa Kristo usingefunga pamoja nae ungegunduwa sili ya gifungo ca huyu mutu .asanté Yesu Kristo kwa upendo wako . kwako upendo ni musingi wa gutumika nawe
Kitu Cha kiroho hakiondoki kwa bidii ya kimwili...Duuu YUKO NDANI YA SHABIBY...Mungu tuokoe.
Hallelujah hallelujah Glory to God Ahsante YESU WANGU
Jesus am here touch me with this annointing🙏
Amina baba.Najiungamanisha na mafundisho haya na yajayo.Nahisi nimeshatiwa katka mkatale na niko ktk hatua ya kusinyaa.Eee Mungu nisaidie kupitia madhabahu hii.Amina
Kwetu kenya..
Hallelujah, hallelujah, hallelujah..
AMEN
AMEN
AMEN..🙏🙏🙏
Pasta unaeleweka Sana mungu akupe maisha malefu
My mentor
Kupitia ushuhuda huo nami najiunganisha na madhabahu hayo ya ROC napokea mrejesho🙏🙏Tiba ya wazazi Mungu akawaondolee maradhi yanayowasumbua na mdogo wangu apate kazi🙏
Ameen
Eee mungu kwaimani nami nafunguliwa leo 🙏
Amen mtumishi barikiwa sana
Amen
Eee Mungu naomba wote walomloga mama yangu na kizazi chake,Moto wa Mungu uwateketeze.
Barikiwa kwa Somo zuri mtumishi wa Mungu
Barikiwa Mtumishi Neema ya Mungu ni kubwa napata kitu
Mungu akutunze baba
Amen....
Namshukuru sana mungu kwaajili yako mtumishi
Kupitia ushuhuda huu naimani kaka yangu atapona palalize
Mtumishi wa Mungu lini unakuja morogoro
Kwetu.congo.lumbu.mbashi.asate.mutusahidiyeko.mahombi.
Asante mchungaji na Mungu akubariki
Hakika wewe ni mwalim nabarikiwa mnoooh
Familia yangu inamatatizo San natamani siku nikutane nawe mtumishi mungu akubariki
Amen nakuelewa mtumishi wa mungu
Sauti ipo chini sana
Naomba uniombee nipo Kagera Mleba
Nisaidie mtumishi kama vile ni mimi
Barikiwa sana baba
Amen🙏🙏🙏
Ameeen 🙏
Tuko pamoja mtumishi wa mugu
Very powerful
Ninawashukuru kwa walimu na wachungaji kwa kutupa chakula kizuri
Lini mnakuja Dodoma pastor
Tuko kila jumatano pale dear mama hoteli kuanzia kumi na koja jioni
@@pastorsunbellakyando
Arusha sehemu gani na siku gan pastor!
Amina
Aminaa mtumishi Mungu akubariki
Nimebarikiwa na kujifuza mengi
🙏
Ameeen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen