MATESO YATOKANAYO NA VIFUNGO VYA FAMILIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Zekaria 1:18 -21
    Nami nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, pembe nne. Nami nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Nini hizi? Naye akanijibu, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, na Israeli, na Yerusalemu. Kisha BWANA akanionyesha wafua chuma wanne. Ndipo nikauliza Hawa wanakuja kufanya nini? Akasema kwamba, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, hata ikawa hakuna mtu aliyeinua kichwa chake; lakini hawa wamekuja kuzifukuza, kuziangusha pembe za mataifa, walioinua pembe yao juu ya nchi ya Yuda, ili kuwatawanya watu wake.
    Katika Yuda hakuna mtu aliyekuwa anaweza kuinua kichwa chake( kukua &kuongezeka) kwa sababu ya zile pembe.
    Hili jambo unaweza kuliona hata kwenye maisha ya kawaida. Kuna familia zinaweza kufika sehemu fulani (kimafanikio) lakini haziwezi kuvuka sehemu fulani.
    Mtu atachukua mkopo, atapata ushauri mzuri lakini utakuta mwenzake aliyepewa ushauri kama wa kwake anafanikiwa lakini yeye hata ajitahidi vipi hawezi kufanikiwa.
    Kwanini? - Kwasababu vita ya mwenzake sio kama vita yake. Mwenzake hakuna pembe iliyosimama kuhakikisha maisha yake hayaendi lakini yeye kuna pembe ambayo inahakikisha familia, ukoo wake HAUSOGEI.
    Kabla hujaumia kuwa kwanini HAUSOGEI mbali na jitihada unazoweka tafuta kujua ni kwanini/nini kinakuzuia kusogea.
    #PastorSunbella Kyando#Vifungo#Familia

Комментарии • 51

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 3 года назад +5

    Asante Pastor Sanbella, Mungu akupe maisha marefu utufungue. Nafuata mahubiri yako nikiwa Netherlands 🇳🇱, Nabarikiwa, najitambua ninastahili maombi ya namna gani,ili kufikia makusudi ya Mungu

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Месяц назад

    Amen naomba Mungu unifungue kutoka kwenye vifungo vya kichawi vya familia vifungo vya ukoo marafiki vya kutooa kutojenga

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Месяц назад

    Amen napokea kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya ukoo familia vilivyonifunga nisifanikiwe nisioe nisijenge nisipate familia nazivunja kila madhabahu ya giza zilizofunga maisha yangu kwa damu ya yesu

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 2 месяца назад

    Amen Mungu naomba anifungue kutoka kwenye vifungo vya familia wachawi waliyonifunga nisioe nisijenge nisistawi kiuchumi

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu, Kyando kwa mafundisho yenye ufunuo!

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 2 месяца назад

    Asante mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana somo lako linanihusu mimi hayo ndiyo maisha ninayopitia kila ninapotaka kuoa kustawi kiuchumi shetani anaingilia kati naomba maombi yako

  • @joshuamutua3727
    @joshuamutua3727 3 года назад +3

    I like the instrumental background ...
    God bless you media pple....
    We are much blessed by this revalation

  • @revinachingole6708
    @revinachingole6708 2 года назад

    Ni mimi akii Neema ya Mungu tu Pastor Sunbella ni mim nimechoka 24 years niko na madeni sijawahi kuonaa na saiv navo kwambia siko nyumbani watu zaid ya 20 hata sielew pesa zimeenda wap nimegomban na family nzima jamii inajua inavonichukulia sielew

  • @anethpalangyo6319
    @anethpalangyo6319 Год назад

    Mungu azidi kuachilia mafuta zaidi juu Yako,viwango vya kukutumia viongezeke zaidi,umekuwa baraka sana kwangu

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 2 года назад

    Mungu nataka umponye Claudius na maswaibu YALIYO mkuta, Mungu AMTENDEE na Damu ya Yesu ikanene mema

  • @sambalizainabu
    @sambalizainabu Месяц назад

    Damu ya yesu inene mema kwangu na familia yangu

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 2 года назад

    Asante Yesu Kwa Ufunuo unaouleta kipitia mtumishi wako nimebarikiwa🙏

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад +3

    Kwetu kenya..
    Nashukuru kujielewa baada ya kukusikiliza kwa huu ujumbe zacharia 1..pembe ambayo imetesa maisha yangu nimeigudua..hatua nitachukua..
    Asanti.
    AMEN

  • @superb1344
    @superb1344 2 года назад +3

    Mtumishi ni kama umetumwa kwa ajili yangu

  • @mahalawanamahalawana4019
    @mahalawanamahalawana4019 Год назад

    Barikiwa sana mtumishi ❤

  • @chengeson
    @chengeson Год назад

    Mungu atusaidie tuna pitia mengi bila kujua chazno kilianzia wa

  • @amostinga770
    @amostinga770 2 года назад

    Namshukuru mungu katika magumu yangu najiona ndani ya mafundisho haya sawa naiman yatakwisha

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Ahsante daddy najifunza 🙌😢soma zuri sana tena kwa vitendo 🙌

  • @charleskwiyukwa9186
    @charleskwiyukwa9186 3 года назад +1

    Mungu azidi kukulinda mtumishi Sunbella

  • @holydanlow3291
    @holydanlow3291 2 года назад

    Amen karibu mombasa mtumishi wa mungu

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Год назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un Год назад

    Amina ubarikiwe

  • @janecharo1196
    @janecharo1196 5 месяцев назад

    Amen Amen Amen ubarikiwe sàna

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 2 года назад

    Mtumishi unayagusa maisha yangu

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 2 года назад +1

    Danu yako Y ESU INENE MEMA🙏🙏🙏

  • @gaudensiagodwin3152
    @gaudensiagodwin3152 2 года назад

    Amen mtumishi…tunaomba uje na mwanza

  • @christinamuherbwa4813
    @christinamuherbwa4813 3 года назад

    Nayasubiri kwa moyo wangu mafundisho haya yamesaidiya sana spiritual life yangu nakuitambua vita ya familia yangu

  • @nehemiahsima1389
    @nehemiahsima1389 2 года назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @mapenziluwa8061
    @mapenziluwa8061 2 года назад

    Mungu ni mkuu

  • @victorvicent6036
    @victorvicent6036 2 года назад

    God bless you

  • @bennamuchau6487
    @bennamuchau6487 3 года назад

    Waiting

  • @FurahaSaidi
    @FurahaSaidi Год назад

    Furaha

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Amen amen amen

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 2 года назад

    Duh umezungumza kitu kimoja kikubwaa sana..

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 Год назад +1

    Dah yani huyu ni mm kabisa yani 😢😢😢😢Mungu nisaidie

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti7987 3 года назад

    Amina

  • @vicentkilonzo924
    @vicentkilonzo924 3 месяца назад

    🙏🙏🙏✅✍️

  • @zakayomungai
    @zakayomungai 3 года назад +2

    Neno la busara kwangu kujua mambo ya kiroho na vifungo

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    Nina ushuhuda yaani napenda kukopa Sana hata bila sababu ya msingi na napenda kuuza rasilimali zangu na kuanza upya baadae najuta Sana , kwani nalipa madeni lakini kwa shida Sana na nikikopa nakosa Amani hata kama yule MTU hanidai cha kushangaza nikimkopesha mtu hanilipi na tunaishia kugombana

  • @kknlghfblblanakere5946
    @kknlghfblblanakere5946 2 года назад

    Kwetu ziko zote nne pastor nsaidie kuomba umasikini, ndoa Elim etc plz mtumishi nsaidie ukweli nmefungwa nfungue pastor

  • @fionaalice9509
    @fionaalice9509 2 года назад +2

    Huyu ni mimi kabisa,ilifunzu ni langu kabisa

  • @enockmwasuluka8998
    @enockmwasuluka8998 2 года назад

    Naomba namba ya mtumishi Sunbela pls

  • @bestinamaro7645
    @bestinamaro7645 2 года назад

    Icho kimlio kingepungua kidogo wakati unaubiri

  • @mankarichard5851
    @mankarichard5851 2 года назад

    Please naomba mnilocate kanisan kwake

  • @pastorsamwelilusambo3517
    @pastorsamwelilusambo3517 2 года назад +1

    Amina

  • @AmidaNiselo
    @AmidaNiselo 2 месяца назад

    Amena.

  • @MarwaDaniel-d2x
    @MarwaDaniel-d2x Год назад

    Amen

  • @marifundi1074
    @marifundi1074 5 месяцев назад

    Amen