MATESO YATOKANAYO NA VIFUNGO VYA FAMILIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Zekaria 1:18 -21
Nami nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, pembe nne. Nami nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Nini hizi? Naye akanijibu, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, na Israeli, na Yerusalemu. Kisha BWANA akanionyesha wafua chuma wanne. Ndipo nikauliza Hawa wanakuja kufanya nini? Akasema kwamba, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, hata ikawa hakuna mtu aliyeinua kichwa chake; lakini hawa wamekuja kuzifukuza, kuziangusha pembe za mataifa, walioinua pembe yao juu ya nchi ya Yuda, ili kuwatawanya watu wake.
Katika Yuda hakuna mtu aliyekuwa anaweza kuinua kichwa chake( kukua &kuongezeka) kwa sababu ya zile pembe.
Hili jambo unaweza kuliona hata kwenye maisha ya kawaida. Kuna familia zinaweza kufika sehemu fulani (kimafanikio) lakini haziwezi kuvuka sehemu fulani.
Mtu atachukua mkopo, atapata ushauri mzuri lakini utakuta mwenzake aliyepewa ushauri kama wa kwake anafanikiwa lakini yeye hata ajitahidi vipi hawezi kufanikiwa.
Kwanini? - Kwasababu vita ya mwenzake sio kama vita yake. Mwenzake hakuna pembe iliyosimama kuhakikisha maisha yake hayaendi lakini yeye kuna pembe ambayo inahakikisha familia, ukoo wake HAUSOGEI.
Kabla hujaumia kuwa kwanini HAUSOGEI mbali na jitihada unazoweka tafuta kujua ni kwanini/nini kinakuzuia kusogea.
#PastorSunbella Kyando#Vifungo#Familia
Asante Pastor Sanbella, Mungu akupe maisha marefu utufungue. Nafuata mahubiri yako nikiwa Netherlands 🇳🇱, Nabarikiwa, najitambua ninastahili maombi ya namna gani,ili kufikia makusudi ya Mungu
Amen naomba Mungu unifungue kutoka kwenye vifungo vya kichawi vya familia vifungo vya ukoo marafiki vya kutooa kutojenga
Amen napokea kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya ukoo familia vilivyonifunga nisifanikiwe nisioe nisijenge nisipate familia nazivunja kila madhabahu ya giza zilizofunga maisha yangu kwa damu ya yesu
Amen Mungu naomba anifungue kutoka kwenye vifungo vya familia wachawi waliyonifunga nisioe nisijenge nisistawi kiuchumi
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu, Kyando kwa mafundisho yenye ufunuo!
Asante mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana somo lako linanihusu mimi hayo ndiyo maisha ninayopitia kila ninapotaka kuoa kustawi kiuchumi shetani anaingilia kati naomba maombi yako
I like the instrumental background ...
God bless you media pple....
We are much blessed by this revalation
Ni mimi akii Neema ya Mungu tu Pastor Sunbella ni mim nimechoka 24 years niko na madeni sijawahi kuonaa na saiv navo kwambia siko nyumbani watu zaid ya 20 hata sielew pesa zimeenda wap nimegomban na family nzima jamii inajua inavonichukulia sielew
Mungu azidi kuachilia mafuta zaidi juu Yako,viwango vya kukutumia viongezeke zaidi,umekuwa baraka sana kwangu
Mungu nataka umponye Claudius na maswaibu YALIYO mkuta, Mungu AMTENDEE na Damu ya Yesu ikanene mema
Damu ya yesu inene mema kwangu na familia yangu
Asante Yesu Kwa Ufunuo unaouleta kipitia mtumishi wako nimebarikiwa🙏
Kwetu kenya..
Nashukuru kujielewa baada ya kukusikiliza kwa huu ujumbe zacharia 1..pembe ambayo imetesa maisha yangu nimeigudua..hatua nitachukua..
Asanti.
AMEN
Amina pastor be blessed always
Mtumishi ni kama umetumwa kwa ajili yangu
Barikiwa sana mtumishi ❤
Mungu atusaidie tuna pitia mengi bila kujua chazno kilianzia wa
Namshukuru mungu katika magumu yangu najiona ndani ya mafundisho haya sawa naiman yatakwisha
Ahsante daddy najifunza 🙌😢soma zuri sana tena kwa vitendo 🙌
Mungu azidi kukulinda mtumishi Sunbella
Asante sana mtumishi wa Mungu!!!!
Amen karibu mombasa mtumishi wa mungu
Amen mtumishi barikiwa sana
Amina ubarikiwe
Amen Amen Amen ubarikiwe sàna
Mtumishi unayagusa maisha yangu
Danu yako Y ESU INENE MEMA🙏🙏🙏
Amen mtumishi…tunaomba uje na mwanza
Nayasubiri kwa moyo wangu mafundisho haya yamesaidiya sana spiritual life yangu nakuitambua vita ya familia yangu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu ni mkuu
God bless you
Waiting
Furaha
Amen amen amen
Duh umezungumza kitu kimoja kikubwaa sana..
Dah yani huyu ni mm kabisa yani 😢😢😢😢Mungu nisaidie
Amina
🙏🙏🙏✅✍️
Neno la busara kwangu kujua mambo ya kiroho na vifungo
Nina ushuhuda yaani napenda kukopa Sana hata bila sababu ya msingi na napenda kuuza rasilimali zangu na kuanza upya baadae najuta Sana , kwani nalipa madeni lakini kwa shida Sana na nikikopa nakosa Amani hata kama yule MTU hanidai cha kushangaza nikimkopesha mtu hanilipi na tunaishia kugombana
Kwetu ziko zote nne pastor nsaidie kuomba umasikini, ndoa Elim etc plz mtumishi nsaidie ukweli nmefungwa nfungue pastor
Huyu ni mimi kabisa,ilifunzu ni langu kabisa
Naomba namba ya mtumishi Sunbela pls
Icho kimlio kingepungua kidogo wakati unaubiri
Please naomba mnilocate kanisan kwake
Sinza mori
Amina
Amena.
Amen
Amen