ONYO LA MUNGU KWA KANISA HILI KUBWA TANZANIA || EV DANIELY JOSHUAN || RGCM GOBA CENTER
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Kwa Maombi, Maombezi, Ushauri wasiliana nasi kwa
Mobile: +255 764 711 544
E-mail: Info@rgcm.org
Karibu usikilize Neno la Mungu kupitia:
RUclips:
/ rgcmtv
Facebook: / rgcministry
Instagram: / rgcministry
Twitter: / rgcm_ministry
TikTok: / rgcministry
Online Radio:rgcministry.ezy...
SADAKA
M-PESA +255 (0) 764 711 544 (JINA : RESTORATION GOSPEL COMMISSION MINISTRY)
Bank Name :EQUITY BANK
Account Name :RESTORATION GOSPEL COMMINSSION MINISTRY
Account Number :300 7211905 388
Currency: TZS
Account Number :300 7211905 390
Currency: USD
Account Number :300 7211905 391
Currency: KES
mi magembe nimeshangaa sana mzee yupe mwenye nguvu ya Mungu kaondoka
Kuna Kulola pia aliondoka hukushangaa,kanisa la Mungu likikosa kujaribiwa,haliwezi kukua. Mungu hutuonya na hutusimamia kuendelea mbele
@@babytoolsshopEAGT ni i kimetokea baada ya Kulola kuondoka?
Ni huruma za Bwana hizo mwenye masikio na asikie Mungu roho ayaambia makanisa
Maagent wengi sana wapo makanisani, tena viongozi wa kubwa
Umeongea Kweli halisi Mtu wa Mungu, Ubarikiwe Sana 🙏🔥
Huu ni ujumbe wa kweli kabisa.. Tunawajua wajumbe wengi ambao wameshalionya Kanisa hilo lakini Viongozi wa juu hawataki kusikia. Mungu analipenda Kanisa lake ndiyo maana anawainua Watumishi wake kuonya ili mwili wa Kristo upone.
Thank you man of God,, kwa maonyo hayo na ni kwer maana janaa tu mzee moses maghembe ametangazaa kutoka rasmi T.A.G
Asante mungu kwa kuzungumuza tunaomba ulehemu
Hii ni kweli mtu wa Mungu,binafsi mwaka jana nilipewa ujumbe wa kanisa hili na nilipewa ujumbe huu, lakin bahat mbaya niliishiwa kutukanwa na kupingwa. Asante Yesu pengine zamu hii watasikia
@@mwombekimedison3156 kama hujumbe wako hauna mashiko ulitaka tupoteze muda wanini?kuhama kwa Magembe siyo mshangao,alihama Kulola Tena alimega nusu ya makanisa na wachungaji akaenda nao,iangalie EAGT Leo Kila kukicha wanameguka vipande,katoka Katunzi,Mwakiborwa na masanja wake nao wanameguka,Dani Kulola,sikia kule Mbeya Mzee Mwaisabila na kundi lake,Akitoka Rwakale,miti Mingi,Gwajima,na wengine wengi,lakini TAG IKO IMARA.Tunaendelea na Tutaendelea kumtukuza Yesu na hatuanguki kama maombi ya wanafiki wengi wanavyoiombea TAG.Maanguko ya mshirika mmojammoja nikama yalivyo makanisa mengine hata kwenu wapo wanaookoka na kuanguka lakini kwenye misingi ya Imani Taasisi iko Imara.
Ulipigwa na nanii jamani acheni uongo
@@pastorm.e.mwakalonge7020Kuna watu wanatumika kiupinzani bila kujua au kwa kujua kupambana na TAG
Nashukuru mnatuombea mungu awabariki
NAOMBA MUNGU AWATETEE SAANA KANISA HILI AMBALO BWANA YESU AMETEGEMEWA NANAFUSI NYINGI ILI WAENDELEE MBELE WAJIOJI WENYEWE🎉🎉🎉 ❤❤❤❤
Mungu aturehemu kwakweli!!!
Unasema ukweli kabisa ubarikiwe kwa kazi njema
Nyakati hizi ni kama shetani ameshikilia dunia kwenye mikono yake tuishi maisha ya maombi sana na kuwaombea watumishi sana
Ohooooo my God my God my God my God my God Jesussssss ohoooooo😢🙌🙌 hooooooooooo mercy mercy
Mungu atusaidie.
Napenda sana mahubili yako huwa yananibaliki sana mungu akubaliki mtumishi wa mungu
❤ amina nimekulewa YESU anakuja jamani tuishi kwa kumpendezesha MUNGU
Mungu iponye TAG
❤❤❤🎉🎉 ubalikwe sana mtumishi uzidi kupata kibali kila mara
Mungu baba tunaomba ukajifunue katika kanisa letu la tag tunaomba Toba na rehema
Bwana asifiwe! Rhema ya mungu inatosha kumaliza mzozo wote wa kanisa kuu lenu TAG. HAPA NAONA NI UCHU WA MADARAKA AMBAO SASA WENGI WANATAFUTA NAFSI YA KIONGOZI KTK SECTIONS NK.
Mungu turehem wanao,watumishi wa mungu tutubu tutengeneze mahali palipo na ufa hiyo ni amini na kweli roho wa bwana asema na kanisa kupitia mtumish wake
Asante kwa taarifa muhimu hii Yesu anatupenda sana. Nitaendelea kunyenyekea kwa Bwana ili vikwazo vya Electrical shot visinizuie bali vimpate Shetani.
MUNGU anatisha 🙌
yani mtumish wa Mungu umeongea kweli kabisaa yani niukweli
Kweli ni nini
@@kileopaul3316D mbili muhimu. Wanaotoboa hapa ni wafuatiliaji tu otherwise hutoboi
Ee Mungu ponya kanisa lako (viongozi wetu)
Kanisa liko juu ya mwamba ambao ni Bwana Yesu mwenyewe
Uko sawa ni kweli ila Bwana alisema Isaya29:14
Mungu ukaliponye Kanisa lako la TAG
Unachoongea mtumishi ni kweli but nilikuwa kwenye maombi ya Mfungo wa Kavu, Roho Wa Mungu alinionyesha kanisa lipo gizani na nilipowaenda kwa wazee wa kanisa kuwaeleza kuwa Roho Mtakatifu anataka tutubu na kuacha dhambi na kuishi maisha matakatifu, Hawakutilia mkazo Ujumbe hivyo niliingia kwenye maombi ya Toba na Maombolezo kwa ajili ya kanisa ili Mungu awape macho wayaone."EZEKIELI 8:1-17
Leo hii watu wengi wanapotea kwa kudhalau. Watu wengine na kukataa maonyo na kubadilika wanaenda kwa mazoea ila MUNGU. ANA WATU WAKE NDANI EZEKIEL 22:-30
Maajent wa shetani wanalisumbua sana kanisa, watu wa Mungu waangalie sana na wasome neno na kuwasikiliza watu wa Mungu
Mungu atusaidie 😢😢😢😢😢😢😢
@@lucianlucian3094tena ndio uwe huna kipato unaonekana kama vile unaongea ukiwa umechanganyikiwa na maisha😢😢
Kweli Mimi Kuna Jumapili Moja nilikuwa kanisani muchungaji Ali simama na kusoma neno linalosomeka kuweni na kiasi lakini hiyo neno akapelekea kwenye roho kwamba uwe na kiasi pia usiwe mtu wa roho sana
Hadi nimetetemeka, eeh Mungu turehemu
Kweli pst
Sema hvyo vitu mpendwa
Mungu tuhurumie na utuponye maana unataka tubalike sema na viongozi wa kanisa lako maana kanisa ni mali yako mwenyewe ponya kanisa lako baba
Mimi sioni vibaya mtoto anayependwa na babake umwonya asipotee hivyo TAG bado Mungu analipenda tutubu tusonge mbele kumtumikia Bwana.Yesu
Amen,Mungu uturehemu maana kweli tumepotea njia
Mti wenye matumda ,bado tuko imara na Yesu yupo pamoja nasi.
Am from Kenya 🇰🇪 hata hapa nimefanywa hivyo
Hatale
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Ee Mungu Kumbuka Rehema zako
T.A.G ipo imara haswa....Tupo nyakati za mwisho na ishara ndizo hizi...
Uimara unaousema wakimwili mpo imara sana ila rohoni hakuna kitu...
Kwa macho ya mwili Hali si shwari acha macho ya rohoni utaona zaidi ya unavyofikiri
tupo imara na tutaendelea kusitawi
Tatizo la TAG ni arrogancy kuwa wanajua sana na wameokoka zaidi ya wengine. Mungu tusamehe😢
Rarueni mioyo yenu wala si mavazi yenu mkamrudie bwana ,mungu wenu,maana yeye ndie mwenye neema amejawa huruma ,si mwepesi wa hasira yeye hupatrisha ubaya mwingi wa rehema yoel 2:3
AISEEE HUU UNABIIII UKIWA UMETOKA KWA MUNGU TAG MTAUKUMBUKA
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😮😮😮😮😮😮😢😢
JAMANI TUKUMBUKENI
MOSES KULOLA
NDANI YA TAG
ANGALIA SASAA
EAGT INAVO SONGA MBELE❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
BALIKIWA SANAA EV JOSHUAN
EAGT mnagawanyika Kila siku hamuishi mahakamani
@@Zabronmwakaniemba Tunajenga mwili wa Kristo tuaitupiane maneno tunakuwa kama watu wasio na Hekima na Akili ya Kimungu. Tuombeane tumalize mwendo salama wa maisha yetu hapa duniani.
Tatizo umeandika comment yako kwa hisia Za mwilini sana. Pole
Amen 🙏
Ameni
Ingekuwa vizuri kama ungekuwa unahubiri bila mkalimani kwani anakupunguzia mtiririko mzuri kwa watu kukusikiliza na kibaya zaidi anakosea kwa baadhi ya maneno yako.
Magembe Umeona Vema sana Kuondoka👋👋
Wewe unachuki na TAG
Mungu aturehemu jmn
MUNGU atusaidie
Hakika Mungu anaongea...
Hili kanisa watu wengi na watumishi wengi sana wameonyeshwa na Mungu nini kinaendelea,nakumbuka nilienda TAG mtu mmoja Mungu akaniambia acha hili kanisa limeshajichanganya sana ,yeye ni mzee wa kanisa wa kanisa hilo na anaomba Mungu amtoe hapo kwa namna nzuri maana akiondoka ghafla kanisa linaweza pasuka ....kiongozi wao mkuu wa TAG ameshajiingiza pabaya mnoo yani kasaini mikataba ....watu hawawi tu wawazi ila ukweli ndo huo
Kanisa halina macho
Duuuu
Mimi ni kama darasa la kwanza kiimani,nimewahi kuongea juu ya kanisa hili
Mungu tutengeneze kama ulivyomtengeneza Saul
THAT'S TRUE NA IMESHA TOKEA TAYARI MTUMISHI WA MUNGU
Biblia inatufindisha kuonyana huhitaji kuficha ukiona ndugu yako anakosea mwonye na ueleze wapi anakosea ili aache . Yesu yupo mkubali na unyenyekee ataonekana kwako
Wakati wa kanisa kujiandaa kwa ajili ya unyakuo turehemu ee BWANA ponya kanisa lako
Uhuni tu, watu wanazidi tu kudanganywa zaidi kwa maslahi ya dini, hizi ni sanaa na kiki tu. Watu wanazidi kujazwa hofu na woga usio na maana, ni utumwa wa kifikra tu
Hata mimi nilitumwa kwenda kuwaonya wakanikataa Bwana akasema ungeenda ningefichua uozo wote madhabahu zimejaa roho ya mpinga K
mpinga K ni nani?
Liheshimu jina la Mungu ndugu
Mungu wape macho ya rohoni
@@ellynkya7216 barikiwa sana mteule.
Ila tutasikia mengi kwa ajili ya mzee wetu magembe mzee magembe alishajieleza kilichomfamya aondokeTAG ila sssa yanayosemwa mh!
Hizi ni Siku za mwisho kila mtu anakuja na staili za kututisha oh mara bwana kanionyesha kumbe hakuna kitu ni jumbe za vitisho tu.Wahubirini watu watubu waishi maisha ya kumfanania Kristo inatosha
Your right
Acheni dhambi nani anekutisha mbona hajamtisha mtu apo geukeni tag
Sii ndugu,wewe kwanza tubu, soma Esekieli 3:18
Hubiri neno la Mungu ujumbe ukionyeshwa basi nenda kwa askofu mwambie nimeonyeswa ivi kama manabii walivyoo kuwa wanatoa jumbe wakitumwa na Mungu kuna watu hawaja imarika kirohoo wata comment wanacho kijua ila ukijua misingi ya biblia na unabiiulivyo peleka kwa muhusika asipo badilika Mungu atajidhihiridha apo uwo sio unabii kwasababu sio muhusika unaye mwambia ila kanakitu kingine unatafuta
Kwan huelew kama kaambiwa asemehadharani? Hujui kama unabii unakujaga na maelekezo
Asante kwa ujumbe siku zote kanisa ambalo ukiwa chini ya watu au chini ya mtu lazima ifikie mahali akufukuze tu maana yupo mwilini ...ona TAG kwa Kumfukuza MOSES MAGEMBE.. ila MUNGU YU PAMOJA Nae..
TAG tayari mchungaji magembe kajiondoa
Halafu Ministry nyingi.watu wanaanzisha ili wawe huru, hawataki kuwa chini ya Viongozi wa kiroho. Wengine wanatafsiri maneno ya Mungu kinyume na kuwapotosha wengi.
Ameangalia opportunity, anatamani TAG ivurugwe watu wahamie kwake, hawa vijana wanaofanya biashara ya injili wa kuwaonea huruma tu. hakuna mtu wa Mungu hapo wala msipoteze muda. time will tell.
Jambo la msingi ni kutubu na kuomba Rehema ili mungu aliponye kanisa letu
Mmm Tunaomba Mungu atusaidie nyakati hizi tuwe makini tutasikia mengi
Nilijua tu manabii wa kizazi hiki hamtapitwa na yaliyotokea TAG.
Hahahaaaa😅 hata mm nilisema manabii na Mitume watatumia hii jambo kutafuta kiki
Acha dharau! Na wewe SEMA tukusikie.
Siko pande yeyote, Ila ujumbe kama huu unaokujaga baada ya MATUKIO KUTOKEA tayari huwa unaleta mashaka sana na janja janja huwa ni nyingi sana. Anyways kwasababu kutubu inabidi uwe mfumo wa maisha, tujitahidi kuishi hivyo.
TAG jmn uwiiiiii
Iv kwa nn tunapenda kudanganyana sana ety kanisa ndo sehemu Mungu anatumia kuokoa watu??? Sio kweli hakina uhusiano wa mtu Kumjua Mungu na kanisa hakuna
MUNGU iponye TAG
Thank you for healing the Church from Religion Evangelist. Religion is not from God and God has all freedom to condemn religion in public because He did it to the pharisees while He was in the flesh in “JESUS”.
Religion has been a great yoke to Godly moves in our country for a very long time.
Now the time has come and now it is here where true worshippers are called from worshipping in the flesh (Religion) to worshipping in the Spirit.
Karibuni kanisa katoliki. Rudini nyumbani wa TAG wote
Apo anaongea na watu wanaojua mambo ya rohon , WATU wa dini ,msubili hekima ya MUNGU kwanza , haya mambo wewe usiingize udin ndugu
Unapoteza watu utadaiwa.afadhali wabaki Tag.
We kwaiyo uko Romani ndio kunausalama sasa nikwambie kwanza nyie walomani wote mngejua hapo ndipo lilipo sinagogi la shetani ungetoka huko alaka iyo dini ni yakishetani na ni yampinga kristo ole wenu msipo tubu
Acha nyaya zininase...katoliki sirudi, sipo tayari kuabudu sanamu na sara za kukariri...
Ahsante kwa maombi mtumishi wa MUNGU...Kwenye makusanyiko yoyote hawakosi wapinga neno la MUNGU lk kila mmoja aifikirie toba binafsi...
MUNGU tuokoe sisi wakosefu. 13:35
Ni kweli mtumishi kwani kuna hasara Gani unapoambiwa kutubu Wana wa Mungu.dah nilitetemeka moyoni sana kuona MCH magembe alikabidhi Damu yake Kwa miaka 50 kwa kweli tunahitaji toba
TAG
Aisee, Kama Umepatia hiv😅😅😅
EAGT LA MOSES KOLOLA
EAGT walisha malizana@@EricTrillz
@@EricTrillzhilo pia ni jingine
Palipo na vurugu hapo hakuna roho mtakatifu.Roho Mtakatifu ni wa Utulivu siyo vurumai,makelele,magomvi,fujo na vurugu.Viongozi wa Hilo kanisa tubuni Yeremia 18:7-14
Mchg maghembe alisema kanisa limeoza wakakasirika
Wa TAGbadala ya kushupaza shingo bora muombe na kutubu.
Kwani huyu amesema mmeanguka au mnaenda kuanguka!!?
Ni Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani,
Babeli imeanguka Sasa ni SAA YA UFALME WA MUNGU na Mjumbe wa agano duniani.
Pepo kubwa mjumbe wa agano ndo nini
@OdiloMwemezi MUNGU Akusamehe kwa kuwa hujui usemalo utajua baadaye.
@@MjumbeAgano kama unamwingine tofauti na Yesu wa Nazareti huyo ni mjumbe wa agano la kishetani,Wala hapo siitaji msamaha wa Mungu,
@OdiloMwemezi Malaki 3 1-3. Mathayo 17:11. Isaya 40:4-5. YESU ni Neno Sasa yupo ndani ya hekalu lake Mjumbe wa agano duniani. Isaya 41:1-4. Habakuki 2:20. Ni NENO ndani ya Mjumbe wake. Ufunuo wa Yohana 19 11-16.
Utakuja kujua baadaye kuwa mimi ndiye Eliya atakayetengeneza yote aliyosema na mitume na manabii. Ufunuo wa Yohana 10:1-7. Endelea kukaidi ipo siku utalia na kusaga meno.
@OdiloMwemezi Hakuna roho ya mashetani inayompenda Mjumbe wa agano duniani, ni wateule wa Mungu tu wanaoisikia sauti ya mchungaji wao.
Hio ndio kweli maana ukikutana na Shirika wa TAG haswa wa zamani ukamwambia ww ni kanisa flan la kiroho Wana semaga hao hawaja okoka.
cameraman kindly pole ....
Hakuna neno hapa
Sawa umeesha Leo udhehebu wewe wakati unakuja Utasimama mbele za Mungu na utakumbuka maneno haya unayoyaapuza maana aliekufa kiroho lazima maneno haya yawe kwazo
Basi tuletee wewe neno😂
hata Mimi sioni Neno zaidi ya mawazo yake tuTAG ni salama
Upo Arusha sehemu gani
TAG ni salama
@@markomgogosi6093 hata Israel walipokuwa wakitolewa unabiii kuwa wataenda utumwa babeli walikataaa wakasema Mungu hawezu kulipeleka taifa lake alilituoa misri taifa la Baba yetu ibrahimu wakawatukana ila walipofika babeli. Ndio walijua kuwa isay yeremia na Ezekiel walitumwa na Mungu endeleeeni kujiona mko salama
Halafu tueleze ni mitego gani ili tusaidiane kuitegua.Mimi naomba Tujikite kuhubiri watu watubu wamfanie kristo waache dhambi hii yakusemana bila kuleta uthibitisho tuache
@@michaelkibiki3309 umeongea vzr ndugu kwamba tuwambiye watu wamjuwe Mungu, kwa haya watu wamepata pakusemea kinachonisikitisha hawa manabii pia namshanga sana pasiko anavyofurika hii ni aibu.
Ukweli TAG na wao TAG ni bora sana ila kwakuwa ni kanisa lililojengwa juu Mwamba haya ni mafuriko, ni upepo ambao ungewakumba wao wangekuwa wamepotea
Nahitaji namba yako mtumishi kwa ajili ya sadaka
MUNGU MKUU ponya kanisa lako.
Tusinyosheane vidole au kusemana semana ovyo Tusaidiane kwa upole.Toa boriti ndani ya jicho lako kisha katoe kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzako
Tatizo lako unang'anania dhambi tag imekuwa dini tu kama katoliki sema tu inamtaja YESU mnapenda Injili za kubarikiwa mkiambia muache dhambi mgeuke hampendi
@@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Kanisa la wapi ambalo limeng'ang'ania dhambi na dhambi hiyo ni dhambi gani.mimi nimekuwa mshirika wa hilo kanisa zaidi ya miaka 28 dhambi mtu akifanya anatengwa.Fanya utafiti kabla kuwasema watumishi vibaya
Kuonyana siyo kunyoosheana vidole.Mungu anavyombo vyake na anavitumia.
Lakini usisemee kwa watu mambo ya kanisa lingine. Hekima ni ungeyasema haya kanisani kwako au uwafuate wahusika
Mahali wanapoanzisha ujumbe wao wanaanzia hapa mara nililala bwana kanitokea kanionyesha hivi na vile.Kumbe umeshiba Makande ya ukavimbirwa utudanganya bwana kakuonyesha.mbona hakuonyeshi watu walioanguka kanisani kwako uwaite kwaajili ya Toba.mnabaki kuwatabiria tuu utajiri huku wakiendelea na dhambi zao
u TAG utakupoteza shauri yako ohooo
Ogopa sana na unatakiwa kuwa makini na neno lolote linaloyoka kwa Mungu.Ingia maombini na Mungu atakupa Cha kufanya,acha Mungu aonye kanisa lake kwa ukombozi.Ameni
@@AtuganileGodson Ujumbe wa Mungu huwa haipingwi kwa hiyo sio kila anayetabiri katumwa na Mungu.Mbona hajaonyeshwa kabla Tukio halijatokea ili aonyeshe Mungu alionyesha ili mabaya yasiwapate wahusika.Unasibiri litokee tukio ndio useme Mungu kakuonyesha hapo hamna utabiri hizo ni ndoto zake tu alikuwa kavimbiwa Makande
Huu ujumbe mbona haukutoka mapema kabla ya tetesi za magembe kuondoka? Hiyo mitego ni ipi hivyo vifungo ni Vipi hizo kasi waliyo zuiliwa ni ipi hiyo mifumo ya wazungu niipi na kwani wazungu nimashetani au mifumo yakizungu niyakipepo na mifumo ya kiafrica ndio Mungu anatenda kazi kwayo??hizi nistory zenu wachungaji huko ndio mnakuja kuzitoa madhabahuni
TAG wazee wa kanisa ni mamafia ukikaaa vibaya wanakupeleka kusikojulikana
😂😂😅. Jamani jamani 😢
Duh, Mungu wangu
@@geraldadolf4928 khaaaaaa😀😀😀
Nieleweshe maana sijaekewa shida iko wapi
T.A.G ipo imara haswa....Tupo nyakati za mwisho na ishara ndizo hizi...
Kwahiyo unambishia Mungu binadam bwana ujuaĵi tu
Msihukumu watumishi Wa Mungu aliye waandika ktk kazi yake atawaka watoe hesabu. Maana peke yake ni muhukum Wa haki. Pia Nabii, unaonyeshwa ujumbe Wa Askofu then unautoa hadharani, sijui Mungu Wa machafuko, utapata faida gani ww kanisa likifa au kutetereka iwapo ww ni mtumishi Wa Mungu. Naona ktk yooote upendo wenu watumishi hayupo. Masilai kama ni ya Yesu mfuate mhusika kwa unyenyekevu umpe ujumbe yeye na sio halaiki. Yesu akirudi ataikuta imani? Waonaje ukihubiri Injili badala yakuhukum naku chambua makosa ya watumishi mwenzako?
Sikiliza kwa makini.. kapewa ujumbe na kaambiwa auseme kama alivyoambiwa... sasa ni heri kumtii Mungu kuliko kutafta kukubaliwa na wanadamu.... kama mwenye kanisa kasema aseme hadharani sisi ni kina nani tuanze kusema itumike hekima...hekima ha Mungu Ina nguvu kuliko
Hayo yooote siyo halali. Neno la Mungu inasema vitu vyote ni halali ila siyo vyote vifaavyo. Kama kweli watakatifu walioko duniani ndio walio bora, hukumu I ninyi mwenyewe. Mwili Wa Kristo ulimwenguni huwezi kufanya haya anayo endelea mitandaoni. Sijaona kipimo kinachotumika kuwa hukumu Wa TAG. Izingatiwe Yesu hatanyakuwa dini bali watakatifu. U busy uliopo sasa sio wakujoweka tayari na kuandaa kanisa takatifu lisilo na mawaa, bali watu wanajichafua kwakuhukumiana na kunyosheana vidole, enyi watumishi Wa madhabahini, hukumu ni juuu ya mwana Wa Mungu na sivonginevo. Acheni kuzuia Injili kusonga mbele kwa manabii ya kujitungia. Ukipewa ujumbe upeleka kwa mhusika. Ila upeleka Injili iletayo Wokovu. Mtakatifu na azidi kuwa Mtakatifu, Heri akeshaye, zama hizi ni za uovu, tuukombewe wakati. Majungu yawafaa sana wasioamini.
Watumishi wa Mungu tutubu na tuombe Mungu aturehemu maana ni siku za mwisho,yaani mnataka kusema Mungu hawezi onya kanisa wakipotea njia?nina wakika mtumishi wa Mungu amefikicha ujumbe amenowa mikono
Jitahidi kuelewa ujumbe madam
Sikiliza tu vzr na Mungu atusaidie
KWA HILO KANISA LA KIROHO, NI KANISA LA TAG!. MAKANISA MENGINE NI MAKANISA YA KIMWILI KUMBEEE?