MAARIFA YA KIMUNGU PART 1
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Anointed Room is the ministry under the servants of GOD Beatrice and Colle
Our Vision
To help people improve their personal relationships with GOD in Jesus Christ.
Our Mission
To help people find their own direct channel with GOD.
Ministers contacts:
+255 754 440139
+255 768 221738
Prayer Marathons:
+255 754 440139
To partner with us
+255 745 597 965
+255 653 828 174
Instagram page:
anointed_room/instagram
Facebook Page:
Anointed Room/facebook
nimekufahamu kwa muda mfupi ila mafundisho yako yamenibadilisha kiasi hiki,Mungu azidi kukuhifadhi
Namushuru baba Mungu saaaana kwakunifanya nikarewa neno
Mungu azidi kuikuza huduma hi ya anointed room
Amen
Ameeen,mafundisho yako yananibariki,Glory to God
Mutumishi Mungu Akubariki sana kwa neno hili kweri mimi sijaka kwa mapenzi ya MUNGU nim jikuta naongozwa nahisia zangu tu natama za dunia tuu nakufatiriya wengin nakutaka kuwa kama wengin arafu napitia shida tu shida tu kuto kujuwa kama siniko kwanjaya ya MUNGU Nakuomba unisayidie tafadari Nisaidie tafadari nakuomba uniongoz kwa maombi ya toba nahitaji kutengeneza Mungu wangu nitashukuru sana barikiwa sana Asante sana
Ubarikiwe sana na Mungu akutumie siku zote
Ameen
amen
Amen
Ubalikiwe sana
Asante mtumishi kwa mafundisho mazur, watu wa leo hawapendi mafundisho ndio maana hawana maarifa
MUNGU Awazidish mawono zaidi toka nim zariwa nikuwa sija funzwa cocote Ira toka nim anza kuyifatiriya Anointed Room yani nikama ndo nazariwa umvya mimi Anointed Room nayifatiya kwa RUclips Nashukuru saaaaaana saaaaaana kabisa MUNGU Kukutanana nahuduma hii mana nikama bahati Mungu kanipa jameni ukweri
Yani paka nariya nikisema Hiri NeNo rimekuwa wapi MUNGU AWABARIKI SAaaana wa tumishi wak
Glory to God.. Mungu azidi kuibariki huduma hii na watumishi wake ili roho nyingi zipate kuokolewa.
Hakika hakuna asiloweza,yeye ni Mungu ametukuka..Hakuna kabisa asiloliweza.
Mungu azidi kukutumia kwa ajili ya wengine.
God bless u. Name pastor James from
Mungu awabariki.
Nice to know you servant of God
Hallelujah!
Barikiwa sana Mtumish
Amen
Mungu akubark mtumish,somo zur
GLORY TO ALMIGHTY LIVING GOD
AMEN
Mungu akubariki mtumishi Wa Mungu
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu akubariki sana,mafundisho yako yananibariki na kunifungua