JIFUNZE KUKAA KIMYA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Pamoja na nguvu ya Mungu iliyokua juu ya Mariamu mpaka kuumba kitu ndani, Mariamu alijifunza kufunga mdomo.Kitu cha muhimu na cha kuzingatia, jifunze kufunga mdomo. Sio kila anayekupongeza kwa mazuri yako, anakufurahia kutoka moyoni.Mariamu hakumueleza kila mtu kuhusu kitu alichokibeba, kulikua na mtu sahihi aliyeandaliwa ku-share naye jambo lake. Elizabeth aliandaliwa kwa ajili ya Mariamu.
    Ukiona unatumia nguvu kubwa kumshawishi mtu aamini kuhusu maono yako, ujue hajaandaliwa kwa ajili yako. #PastorSunbella#Jifunze#KukaaKimya

Комментарии •

  • @irenenyauhele2122
    @irenenyauhele2122 3 года назад +40

    Mungu nisaidie kuanzia leo ninyamaze kwa jina lá yesu

  • @carolinamponji4294
    @carolinamponji4294 2 года назад +10

    Mungu nipe neema ya kunyamaza ni tatizo langu kubwa nawashwa San mungu wa madhabau hii nifundishe kunyamaza

  • @janebeky
    @janebeky 3 года назад +69

    Kuanzia Leo nitajifunza kukaa kimya ktka maisha yangu god bless you

    • @otrishxavi8350
      @otrishxavi8350 3 года назад +2

      Ni vizuri sana na mm nakuombea kheri kutoka kwa mwenyezi mungu

    • @innocentmichael7725
      @innocentmichael7725 3 года назад

      Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

    • @marryjohn8716
      @marryjohn8716 3 года назад +2

      Amen 🙏 mtumishi wamungu,kuanzia leo nitakaa kimyaa 😷

    • @evecristiano
      @evecristiano 3 года назад

      Hakika nimejifunza pia

    • @jimmybongotz1751
      @jimmybongotz1751 3 года назад

      Napenda unavyofundisha neno Mungu

  • @teresiaakinyi3282
    @teresiaakinyi3282 3 года назад +19

    From experience nimejifunza kunyamaza kwa yote, nimepitia usaliti mwingi maishani but nashukuru Mungu cz it made me Wiser, my life and secrets are safe with God! Asante kwa kunikumbusha haya

  • @anittasamwely8297
    @anittasamwely8297 3 года назад +28

    Eee mungu🤲 nisaidie kutambua jinsi ya kutunza Siri, nawoto nilio waambia yasiyo stahili, Mungu naomba uni epushie Hatar zote mbaya wanazo niwazia ktk maisha yangu Emen🙏

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 7 дней назад

    Amen nimejifunza kitu kikubwa Maana Mimi kila kitu ninachokuwa nacho mipango yangu naiweka hadharani watu wanafanikiwa kupitia maono yangu

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 года назад +21

    Mungu wangu nisaidie nisiongeeeeee kila kitu.

  • @NuruKamote-j3t
    @NuruKamote-j3t 24 дня назад

    Mingu ulienikutanisha na madhabahu hii nifundishekunyamaza nimekua muwazi kwamudamrefu na sifanikiwi gooo bless me

  • @PeterMaiba-k1g
    @PeterMaiba-k1g 26 дней назад

    Huu Ujumbe ni Unaweza kuwasaidia Watumishi wa Mungu. Mungu anisaidie Kunyamaza kipindi cha Kushabuliwa kwa Kusemwa vibaya. Mungu nifundishe kunyamaza.

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 3 года назад +26

    Mungu nisaidie nijifunze kutunza siri

  • @johnvitalis7580
    @johnvitalis7580 3 года назад +7

    Amina Mtumishi umenisaidia sana naomba uniombee ili nifikie malego yangu

  • @lindavfwazipachieng6443
    @lindavfwazipachieng6443 3 года назад +29

    Asking God for wisdom, to know when to talk what to say and to who. This preaching has touched on me

  • @shemsakilamba3553
    @shemsakilamba3553 3 года назад +2

    Nimekoma kufungua mdomo na nafuta kujua kwao walio jua nafuta kusikia kwao waliosikia nafuta kuona kwao kwa walio ona kwa jina LA yesu

  • @florencemzungu9979
    @florencemzungu9979 3 года назад +1

    Nifundishe kunyamaza na unipe wepesi palipo na ugumu amen 🙏🙌💖❤👏😊🙏🙌💖

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 года назад +10

    Nimekuelewa mtumishi wa Bwana, Mungu akubariki sana

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 3 года назад +12

    Amen barikiwa Sana pastor Sanbella 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. nmejifunza kufunga mdomo wangu..ujumbe n mzur sana

  • @mearymeary-s9y
    @mearymeary-s9y 6 дней назад

    Amen nimejitunza kitu hapa

  • @NivessKomba
    @NivessKomba 7 месяцев назад

    Bwana YESU nisaidie kukaa Kimya ktk maisha yangu.

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 2 года назад

    Amen amen mtumishi wa Mungu , asante kwa mafundisho mazuri

  • @fatiaali1959
    @fatiaali1959 3 года назад +4

    Mm ni Muslim lkn nimejifunza kitu pastor ubarikiwe sn kwa maneno mazuri na mungu anisaidie kutunza siri inshaallah

    • @shamisahmed4806
      @shamisahmed4806 Год назад

      Hekima ni kitu kilichompotea Muislam,popote akikutapo anatakiwa akichukue!!

  • @AnnMwende-d1i
    @AnnMwende-d1i 19 дней назад

    Amen nitajifunza kukaaa kimya

  • @zaitunisingano8295
    @zaitunisingano8295 4 месяца назад

    🤝🤝hii kitu ni muhimu sana kwenye maisha. Nakuelewa sn sana❤️❤️

  • @EverineJaques10
    @EverineJaques10 3 года назад

    Mungu akulinde Babaangu 🙏 una fanya kazi nzuri sana katika Kristin🙌🏾🙌🏾🤲🏽 mema nakuombeya Baba 🙌🏾🙌🏾🤲🏽🤲🏽

  • @binmicjackie3148
    @binmicjackie3148 3 года назад +14

    I agree with you Pastor, silence is the language of the wise too. N poa kunyamaza tu 😊

  • @jackrenesanga8728
    @jackrenesanga8728 3 года назад +1

    Nimepokea 🙏🙏🙏nimejifunza pia nimuhanga pia 😭😭😭😭hasa kwa watu ninao waamini

  • @faridapatel7584
    @faridapatel7584 3 года назад +12

    Kaka mchungaji nakuonmbea mungu akupe nguvu ya kupunguza mwili.kwa afya tunakuhitaji sana mchungaji.

    • @viddamgeneka8881
      @viddamgeneka8881 3 года назад +1

      Hahaa! Dunia nzima wote waweza kuwa wembamba? Mungu aliamua watu wawe tofautitofauti.

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 2 года назад +3

      Yamkini ni unene wa kuzaliwa maana kazi ya Mungu sio rahisi, ina hekaheka sana. Wee unadhani anavyotembea hapo hadi akimaliza kuongea si atakuwa amesafiri Moshi to Arusha!!!

    • @marrykavete-6916
      @marrykavete-6916 Год назад +1

      Huyu mtumishi wa Mungu ana neema ya ajabu ata akiwa jinsi alivyo.

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 года назад +10

    Amen. Ni kweli mtumishiii Mungu naomba unisaidie kutunza Siri.

  • @jamilayusuph2375
    @jamilayusuph2375 2 года назад

    Ee Mungu nipe ukimy hata kwa mengine kuanzia Leo amina

  • @veronicamangwela9665
    @veronicamangwela9665 3 года назад +7

    Ameen 🙏 Baba ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @IsrafilAmin-j4p
    @IsrafilAmin-j4p 2 месяца назад

    Mungu nipe huwezo nijifunze kuwa kimya

  • @evamanirubamburachristian9970
    @evamanirubamburachristian9970 Год назад

    Amen baba. Wewe ni baraka sana kwa kanisa.

  • @dalaedaklienyi7733
    @dalaedaklienyi7733 11 месяцев назад

    Ee Mungu nipe nguvu ya kukaaaa kimy Kwa Kila jambooo🙏🙏🙏

  • @loisekigio7438
    @loisekigio7438 3 года назад +1

    Mwenyezi Mungu nifunze kukaa kimya

  • @BenimanaJeannette-b3r
    @BenimanaJeannette-b3r 2 месяца назад

    Amen be blessed mutumishi wa Mungu

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 3 года назад

    Ahsanteee Yesu Nimejifunza Leo Trh 1/12/2021 Nifundishe Kunyamaza Maana Kwakweli Sikujua Kunyamaza Kunafaida Ila Kwanzia Leo Mungu Nisaidie Nijue Kunyamaza.

  • @MusukwaAmos
    @MusukwaAmos Год назад

    Amen baba am Amos musukwa from Zambia

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 года назад +6

    Mariamu alikuwa na akili nzuri ndiyo maana Mungu aka mchagua kuwa mama yake Yesu.Abarikiwe mama mtakatifu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Awesome daddy 🙏🙏😪Ubarikiwe daddy 😪🌹

  • @LucieKe
    @LucieKe 3 года назад +1

    Praise God through Our LORD and Savior Jesus Christ.Personally have gone through such,nikawa na maono ya mtu niliyekuwa karibu naye.Nilimwahadithia akasema mawazo tu hayo...Tena mara ya pili nikamwendea akasema ndoto za kitoto hizo,Mwishoye nikamwarifu ikatendeka waziwazi.Nimejifunza siku sote sio wote walio na macho ya kiroho,Mungu nipe hekima na maarifa niwe kimya kama Mariam,wakati natarajia kuzaa maono yaliyo ndani yangu. Pastor and brethren kwa ujumla Barikiwa...Following from Kenya.We love you so much.Shalom

  • @christaeletlawe1804
    @christaeletlawe1804 3 года назад +1

    We Mungu wangu nisaidie kufunza kwako
    Nifundishe kunyamaza

  • @emerencianalazaro3339
    @emerencianalazaro3339 Год назад

    Halleluya!! Nilikuwa namsikilizisha mtu mafundisho haya hakupata kitu nilichokipata sababu ya mixer ya language naona haupati uhondo wenyew sababu hajui English, nashauri ikiwezekana Mtumishi wa Mungu muhibiri English na swahili translation totally

  • @yusuphpaul7406
    @yusuphpaul7406 2 года назад

    Sijui nampataje huyu Kamanda nakuelewa sana mtu wa Mungu

  • @ndore-mushikaazarias2640
    @ndore-mushikaazarias2640 3 года назад

    sina la kusema Mchungaji, be blessed, I meet God again today

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 2 года назад

    Nataka unisaidie kupambanua Mambo ninayoyaona🙏🙏

  • @samsonmkumbo4793
    @samsonmkumbo4793 3 года назад +3

    Nami somo hili ni langu naomba mungu awafunge mdomo wale marafiki zangu wabaya yesu nisaidie🙏

  • @evangelisteJordanmirimo-bp3ob
    @evangelisteJordanmirimo-bp3ob Год назад

    asante baba yangu mungu akupe nguvu zaidi

  • @TusekileNgosi-hh3ed
    @TusekileNgosi-hh3ed 2 дня назад

    Asante kwa ujumbe mzuri

  • @maryomega1703
    @maryomega1703 2 года назад

    Wow Ooh Yesu Wangu nifundishe kunyamaza AMINA

  • @collinsodhiambo447
    @collinsodhiambo447 4 месяца назад

    Asante sana mtumishi wa mungu

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian3808 3 года назад +1

    Amina, kuanzia Leo nitakaa kimnya nimejifunza

  • @mamaleyoko8673
    @mamaleyoko8673 3 года назад

    Barikiwa mnooo nimepona kwa Jina la Yesu Krito

  • @nchimbirobert5926
    @nchimbirobert5926 2 года назад

    Nitakaa kimya kuanzia leo. Asante mtumishi.

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 3 года назад

    Mungu nifunze kukaa Kimya nihifadhi Mambo yangu moyon nijaze ujasili na unipe subilaa

  • @esterlauden7538
    @esterlauden7538 3 года назад +4

    Ameen!! Nimejifunza sana sana, Mungu akubariki.

  • @dorithmagige7557
    @dorithmagige7557 2 года назад

    Asante MUNGU nimejifunza naomba nisimamie uniongoze unikumbushe kila wakati

  • @MAUREENKNIGHT-qs8cx
    @MAUREENKNIGHT-qs8cx 8 месяцев назад

    Ameen hallelujah ❤naona kitabu kina hubiriwa🙏

  • @doricasoribo4820
    @doricasoribo4820 3 года назад +20

    Pastor you are right.....work hard in silence ...,.let success make noise.

  • @joshuasteven321
    @joshuasteven321 3 года назад

    Mungu wa mbingun akubaliki sana paster azidishe kalama hiyo zaidi na zaidi ili uzid kuwasaidia mamilion ya watu wenye uhitaji wa kumjua mungu ubalikiwe sana,,

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 3 года назад +1

    Kuanzia Leo nitafumba mdomo wangu hata kama nna Mambo yangu yananikereketa nitamuomba mola wangu anisaidie

  • @AnnaYotham.
    @AnnaYotham. 3 года назад +5

    Nifundishe kunyamaza YESU 🙏🏾🙏🏾

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 3 года назад +3

    Asante mtumishi wa mungu

  • @nelithamimwani4516
    @nelithamimwani4516 3 года назад +1

    Amen MUNGU nisaidie kutunza siri za mambo yangu

  • @georgegama8379
    @georgegama8379 3 года назад

    Asante Pastor kwa neno lenye pumzi ya uwepo.
    Kukaa kimya ni tiba na suluhisho jema

  • @PriskaKapinga
    @PriskaKapinga 16 дней назад

    He mungu nifundishe kunyamaza

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 Год назад

    Nitajifunza kwanzia Leo kukaa kimya mchungaji wangu elimu kubwa sana

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 3 года назад +1

    Shukrani kwa somo baba.Mdomo sio mzuri!.

  • @phibijuilus7748
    @phibijuilus7748 3 года назад

    amen ninajifunza kukaa kimya ktk mambo yangu

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 2 года назад

    AMINA BABA,
    MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @eleanemusic4139
    @eleanemusic4139 3 года назад +2

    Nimejifunza sana, be blessed pastor.

  • @ernestkunja3472
    @ernestkunja3472 3 года назад +1

    Amen mtumishi nimepokea

  • @mariethaluvunzu1693
    @mariethaluvunzu1693 3 года назад +1

    Absolutely true ndg mchungaji,, hakika umenifundisha zaidi pale nisipopajua

  • @joycekemani1706
    @joycekemani1706 3 года назад +3

    Come on pastor I feel blessed HALLELUYA

  • @joelchristopher312
    @joelchristopher312 3 года назад

    Asante mtumishi kwa ujumbe mzur

  • @excevianyenge7878
    @excevianyenge7878 3 года назад

    MUNGU akabariki Sana mtumishi wa BWANA

  • @constancekhayeli2433
    @constancekhayeli2433 2 года назад

    Najifunza kunyamaza Amen mchungaji

  • @jakithakalinga895
    @jakithakalinga895 2 года назад

    Good and wise teachings, Mungu akweke pastor

  • @JuliahNdungu-t6k
    @JuliahNdungu-t6k 3 месяца назад

    Eee mungu nifundishe kunyamza
    Nifunze kuweka Ndoto zangu

  • @aminaally270
    @aminaally270 3 года назад

    Ameen Pastor nimejifunza kitu .

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 3 года назад

    Bonge La Ujumbe,, Barikiwa Mtumishi

  • @WinnieOdinga-q6s
    @WinnieOdinga-q6s 11 месяцев назад

    Mungu ni fundishe kunyamanza,

  • @didasstanley3769
    @didasstanley3769 3 года назад +4

    Baba nimepokea ujumbe kwa mikono miwili 🙏🙏ubarikiwe sana

  • @annthuo8611
    @annthuo8611 3 года назад +3

    If Samson had kept quiet Deliah wouldn't have known where the source of his strength was.being silent has never been misquoted.thanks pastor for emphazing the advantage of staying silent.much love from Kenya pasi

    • @talitakongola8639
      @talitakongola8639 3 года назад

      Namtukuza mungu kwa ajili yako pastor nabarikiwa sanaaa na mafundisho yako mungu akutunze

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 3 года назад

    Mungu nisaidie kujifunza kunyamaza katika maisha yangu yote

  • @graceemma5019
    @graceemma5019 3 года назад

    Ameen umenifunza mengi mungu akupariki pastor✋

  • @edsonsilumbe758
    @edsonsilumbe758 2 года назад +4

    "An untested friend is just a neighbor",Pastor I am exceedingly blessed by your sermon! May God Bless You!

  • @helenatrevor6581
    @helenatrevor6581 2 года назад

    Ni fundishe kunyamaza Mungu wangu🙏

  • @YuzoSchola
    @YuzoSchola 4 месяца назад

    Mungu nisaidie kuwa kimya

  • @joycelaizer5627
    @joycelaizer5627 3 года назад +3

    Am blessed with the sermon 🙏,Thank you LORD

  • @bettykachira5710
    @bettykachira5710 Год назад

    Amen 🙏 God bless 🙌 pastor

  • @WilbertMmary
    @WilbertMmary 2 года назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @aichimvungi6846
    @aichimvungi6846 3 года назад +2

    Anger makes me not be able to keep silent uncontrolled hunger plz lord you heal me from my that desease so I can maintain silence

  • @marylongway9282
    @marylongway9282 3 года назад +3

    Silence is a golden rule to abide by! But yes often in our excitements we forget ourselves. Lord give us strength to remember

  • @raveenagasper8491
    @raveenagasper8491 3 года назад +3

    I love him😍...baba Kama ananiambiaa Mimi🙏🙏🙏umejua kuniponyaaa

  • @Empressever254
    @Empressever254 2 года назад

    Amen🙏🙏from today I'll learn to keep silence 🤐🤐🤐Not all that you share out your issues and happy with it🤔🙏🙏Let God's presence be upon me🙏

  • @angelitamally7018
    @angelitamally7018 5 месяцев назад

    Mungu anisaidie niwe na nyamaza

  • @officialBrunoSavage-theYoungOG
    @officialBrunoSavage-theYoungOG 3 года назад +3

    Cool.... think it's dope.....💥💥💥

  • @fettyfrans5458
    @fettyfrans5458 3 года назад

    Amen pastor ubarikiwe sana kweli tunakosea sana ila nimejifunza be blessed pastor

  • @lindalubowa-wj8im
    @lindalubowa-wj8im Год назад

    U changed my life from today

  • @timothyumeme1521
    @timothyumeme1521 3 года назад +1

    Thanks alot Pastor ,I have learnt to be quite in my life after the experience i had 4 yrs ago..To date am always at peace and pray to God alot .Am from Kenya and saved ..

  • @Neemakotei
    @Neemakotei 11 месяцев назад

    Mungu nipe ukimya😊