Mm ni kijana mdogo sana nipo diploma nilikuwa naomba utusaidie njia nzur ya sisi kusoma tukiwa chuoni kwa sababu watu wengi wana hangaika na hilo ili wote tuweze kufika mbali kama ww naamini hili litasaidia watu wengi
MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you" Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
Asante sana Joel I m going to be a winer to my life aijalishi nimefanya makubwa mangapi na wangapi wametumia uwezo wangu nguvu zangu, ila sasa kupitia wewe umefanya moyo wangu kuwa imala zaid Ishi maisha meng mwalimu
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
Asnte San japo Mimi nimchoma mahind namkulima mdogo sana inanipaujasiri San Mungu akupe maisha marefu,
Bro wewe nitaa yangu nitaendelea kufata nyayo zako mpaka mwisho wangu maana najiona miaka 10 ijayo Mimi nitakuwa JOEL NANAUKA wa Pili,🙏🙏✍️✍️💪💪💪
HAPANA UWEZI KUWA JOEL NANAUKA WA PILI,YEYE NI YEYE NA WEWE NI WEWE,ME NITAKUWA MSEMAJI MZURI SABABU NIMEJIFUNZA MENGI KUPITIA YEYE
Mm ni kijana mdogo sana nipo diploma nilikuwa naomba utusaidie njia nzur ya sisi kusoma tukiwa chuoni kwa sababu watu wengi wana hangaika na hilo ili wote tuweze kufika mbali kama ww naamini hili litasaidia watu wengi
Wewe pia ni kama Mimi, ila jawabu lako la Njia nzuri za kukusaidia kusoma ni Wewe kuamua na kuanza kusoma Leo😊
@@thomasgrafx yea ni kweli kabisa
Njia nzuri ya kufaulu chuoni huzuria vipindi vyote vya lecture, hakikisha unaelewa ukiwa ndani y lecture room, ukishidw kuelew fanya discussion.
level yoyt ya elim inahitaj nidham ndg,hasa unapokuw chuon jitahd kuish katk micng ya course yako bas utapta majibu namn ya kupg msul kijan.
Focus kwenye masomo hakuna shortcut , jitambue jiamini
Wewe ni zaidi ya mwalimu ubarikiwe sana, ninachokifanya ni kuhakikisha sipitwi
Joel nanauka ameniokoa sana mungu akusaidie sana
MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
Naendelea kujifunza mengi kutoka kwako ubarikiwe sana
Kaka unatuelimisha sana 🎉barikiwa
Nilishakufuatilia sana ila nitakufuatilia vzr 2024 after 6 year nitaona mafanikio MUNGU AKUPE MAISHA MAREF @JOEL NANAUKA
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope
Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you"
Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
Hii ni video bora kwangu kwa mwaka huu 2024🙏💥💥
Joel mungu akulinde na kukutunza siku zote.umekuwa msaada mkubwa sana kwangu ubalikiwe sana mdogo wangu.
Mungu akubariki navuna vingi kutoka kwako.
Yes hii ni mbinu sahihi kwani ukipotea macjoni kwa watu wanakusahau
Asante kaka hekima ya juu sana
Kung'ang'ania kuendelea kuwepo wakati nguvu zinakuishia, ni kuendelea kujimaliza. Nakuelewa sana Joeli
Be blessed kaka Joel 🙏🏽.
Shukrani sana kila siku najifunzifunza mapya.. asante kaka "njia bola ya kujilinda Ni kushambulia🙏🏽🙏🏽
Ahsante sana Kaka joel kwa darasa YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako
Asante sana Joel I m going to be a winer to my life aijalishi nimefanya makubwa mangapi na wangapi wametumia uwezo wangu nguvu zangu, ila sasa kupitia wewe umefanya moyo wangu kuwa imala zaid
Ishi maisha meng mwalimu
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
Duuuh leo nlitakiwa niipate hii asante mtumishi wa Mungu
Your speaking with my soul,thank you brother JOEL NANAUKA. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa Sana na masomo yako ❤
MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki
Nashukuru sana Joel nimejifunza kitu naendelea kukusikiliza kila siku. U inspire me a lot🎉🎉
Asante kaka umenigusa na hali niliyonayo saiv inabid nikae kimya2
Asante sana joel nitaumbia ivyo mlima ulioko mbele yangu)
asante mtumishi maneno ya busara na ya kutia moyo
Hakika nimejifunza Jambo jipya kwangu ambalo limenipa hatua nyingine,MUNGU akuinue zaidi.
Kaka Joel sinà mengi ya kusema zaidi ya kusema Mungu akutunze🙏
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
Thank you my brother,
Hii nimependa Zaidi❤
More blessings to you bro 🙏
Nice message my brother
Unajua Sana brother Mungu akijalie
Nice presentation ✨
Be blessed my brother 🙏
Asante kaka kwa kunitia moyo me ni mkulim umenifundisha vitu vikubwa San mwalim Joel nanauka big up San by juliaus
Be blessed Joel waniinua sana
Asante mtumishi kachawamaisha
Mungu akubariki Kaka yangu, wewe ni malaika anaye vaa mwili kwa hiki kizazi changu
Asante sana broo kwa Maarifa
Asante sana kwa somo mwalimu, wewe ni taa inayotutoa kwenye giza ❤❤🙏🙏🙏
Brother. Madini yako ni chakula changu kwenye Maisha ya utafutaji siku zote. Mungu akupe afya njema.
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
Thank you so much @joelnanauka. Still I'm strong with, BLESSED A LOT BROTHER
Best❤
Mungu akujalie maisha marefu brother Joel,nakukubali sanaaaa👍👍👍💪
Ahsante kwa elimu bora
Great appreciation to you bro umenisaidia kuifungua akili yangu❤❤❤
Asante somo zuri Sana nimejifunza
Njia Bora ya Kujirinda ni Kushambulia- Asante Baba Nanauka👍💪👊
Bloo unazungumza ukweli mtupu 🙏
Asante kaka Joel nimejifunza kitu, barikiwa sana
Thanks broh
Asante Kwa ujumbe mzuri nimejifuza kitamu umeongea vitu ambavyo vimeshanitokea na kbs mungu akubarik sana kwa mafundisho yako
Joeli nanauka wewe ni mwalimu wangu
hii ndo master piece.kak anatufungua san kiakili kam unatekeleza hiv anavyovfundsha.
I like this brother.. Your doing a very good job..🎉🎉🎉 watanzania tulipo mbali tunakufuatilia sana
Ubarikiwe mkuu
Asante sana
Ahsante sana Joel Mungu akubariki
Ninapenda sana kukufatilia kak vp na vipataje vitabu vyako
Nimefuatilia vingi ila hii imenipa somo kubwa sana
thanks so much my life coach ...see you too at the top
Barikiwa sana mtumishi Kwa yote
Pamoja mkuu 🤴🤴
Pia nataman kukutana na ww siku moja coz unatusaidia sana rolemodel
Thanks so much the video find me in the right time
Asante Sana uko kama umeniona
Asante nimejifunza kitu hapa
Wao waoo, I just stumbled across this 💯🔐
Safi Kwa kutuhimalisha watanzania wenye ndoto kubwa endelea kutujengea misuli ya mafanikio
Asante sana kaka,kwa madini ya maana,nimeelimika.
ishii daima kaka
Thank you Kaka Joel one day I Wish to meet with you coz I like to do as you do
yanii hii inaniumiza sana mm umenigusa mimi najiona
Kaka Joel nakushukuru kwa elimu yako.
Kweli kabisa
Asante sana nimebarikiwa sana.
Thanks broo Joel Nanauka 🙏
Shukrani 👏🙌🙌
Umenigusa sana..
Thank you brother Joe ❤
Nakushukur sana kaka nimepitia Wakt mgumu sana nilivyoachishwa kazi. Watu waliongea sana lkn sijajibu chochte mbk sasa .
100% ulicho kisema ni sahihi
Mungu akubariki sana
Madini🎉
🔥🔥🔥🔥🔥
Thank so much my brother
Habari naitaji kitabu cha elimu ya pesakama skkosei kinaitwa ivo na mifumo inayotawala dunia navipataje
Nikweli kabisa hata mimi nilisha wai kupitia kipindi kigoumu ila nilipotea kidogo nilipo rudi watu wote walishangaa kwa nguvu mupya nilio rudi nayo
Iyo kweli sana kabisa
U always feed my mid
Amina
😂😂😂😂 dah umenigusa Mimi kabisaaa 2023 nimepitia changamoto za aibu za kusemwa dawa ilikuwa ni hiyo kudisapper tu
pole
Barikiwa sana
Hakika upo sahihi kbs
Kweli mwalimu mimi nikombali na kwenye nilikuwa na nimejipangha na kwenye nilikosea nimejirekebisha pia
❤❤❤
❤❤❤ubarikiwe sana