KWENYE MAFANIKIO HUWEZI KUKWEPA VITA - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 104

  • @MbavuHassan
    @MbavuHassan 7 месяцев назад +16

    Asante kaka hii topic nimeilinganisha na ule msemo wa jamaa angu siku za nyuma ni "Ukiona eneo unalijitafutia liziki huna maadui basi jua kabisa itakuchelewesha sana kupata mafanikio', ama nenda sehemu ingine.

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo 7 месяцев назад +5

    Yaani kama umeona yanayo nikuta kaka yangu,yote unayoyasema nayapitia ila namshirikisha Mungu na ninamshukuru sana ananisaidia na anazidi kuniinua kila siku

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Месяц назад +2

    Huwez Amini leo mchana Nimetoka kupigwa majungu na comrades wangu eti saivi na kutana na makala hii wala Hata sijaitafuta imejileta yenyewe Sijui imejuaje kama niko kwenye vita, Asante sana mentor Joel A Nanauka.

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 7 месяцев назад +5

    Mimi kuna mahali nilifanya kazi bosswangu alikuwa ananipenda sana na ananituma kazi zote yan nilichukiwa na watu na nikawa napigwa vita adi yule boss akanihamisha.Pia mimi napigwa vita sana na ndugu zangu yan inafika hatua unakuta wote wananisemea mabaya na kunichukia wanadai kuwa mama ananipenda mimi tu na kuniskiliza mimi tu kwaiyo wanamwambia mambo mabaya ili kunihusu yamuumize na anichukie.Yan walishafanya maranyingi ila nimekuwa nikiendelea kumuomba Mungu anipiganie katika vita iyo.
    Asante Kaka joel nimeanza kukufatilia mwezi huu ulianza ila nishaona umenifungua mambo mengi.Mungu aendelee kukutunza

    • @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
      @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 7 месяцев назад

      Ah, HIYO YA KAZINI, ILINIUMIZA SAAANA. PILI HIYO YA KWENYE FAMILIA, NDIO VITA HAAASA! HASA WAKITAKA KUKUDHULUMU, WAKASHINDWA, VITA SIO YA KITOTO! JINA LAKO LITAMWAGIWA SUMU, ILI UTENGWE, UTATAFUTIWA KESI, HATA MTU ANAFIKIA KUMWAMBIA MTU AKUSHTAKI, ILI ETI AMSAIDIE KUMWEKEA WAKILI! MWENYEZI MUNGU TUU, UNAPOSIMAMIA MAOMBI NA UKWELI, BASI MISHALE INAWARUDIA. NI KAZI SANA KWENYE MAISHA.

  • @RastaRuvako
    @RastaRuvako 5 месяцев назад

    Yeah 👍,,,,,,🪂🤔 exactly........... secretly from out of the box.🙏🙏✍️Be multiplied.............umegusa ikulu ya moyo wangu.

  • @DonathaMlwilo
    @DonathaMlwilo 4 месяца назад +1

    Nilikuwa na rafiki angu nilipoanza kufanikiwa alinitangazia vitu vichafu kweli kaka uko sahihi san

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 4 месяца назад +1

    Nimeshawahi kukutana na vita yakifamilia Mungu akanisaidia nikashinda.

  • @SalehKhamic
    @SalehKhamic 6 месяцев назад +1

    Mm napenda sana mafunzo unayo tupatia mungu akubariki sana

  • @sundaymjusi2272
    @sundaymjusi2272 7 месяцев назад +2

    Asante sana kwa hii pia kaka Mungu akuweke miaka elfu na elfu ❤❤

  • @JonasMero-h2f
    @JonasMero-h2f 7 месяцев назад +1

    Ubarikiwe mwalim utafanyaje kuepuka vitaa kweny masomoo

  • @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
    @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 7 месяцев назад

    KAKA UMESEMA UKWELI USIOPINGIKA. HUKO KWA NDUGU NDIO SILENT KILLERS WENGI. WATAANZA KUUWA JINA LAKO, HALAFU CHUKI NI KUBWA, HASA KAMA WANAONA HAWAWEZI KUKUDHULUMU, AU KUKUNYANG'ANYA ULICHOKUWA NACHO. NI HATARIIII.

  • @joyceLukumay-lw1gi
    @joyceLukumay-lw1gi 5 месяцев назад

    Nguvu kubwa ndani yangu ni kuishi kwa misimamoo yangu mwenyewe but Kuna mtu nashidwaga kuwa endelevu

  • @kisesagroup4730
    @kisesagroup4730 7 месяцев назад +1

    Duh kweli brother vita ni kubwa but never never give up

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 7 месяцев назад +1

    Kuna wakati na wanaokupenda wanataman upate ushindani ili waone nguvu Yako imeishia wap. Ukishinda tu basi wataendelea kukubali na kukuongezea thamani ..

  • @BarikiEmmanuel
    @BarikiEmmanuel 7 месяцев назад +1

    Thanks brother.

  • @ZainabuEmmanuel-vs2mo
    @ZainabuEmmanuel-vs2mo 5 месяцев назад

    Kweli kabisa unachokisema vita ni ngumu sana kuiepuka

  • @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
    @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 7 месяцев назад +1

    MAKAZINI, UKIKOSA KIFO NA UKATOKA SALAMA, UJUE NI MUNGU TUU ALIYEKUPIGANIA. BIG UP BROTHER 💪

  • @Asma-m1j
    @Asma-m1j 7 месяцев назад +2

    Saluti kwako, ushauri mzuri tunajionea kweli humu makazini , Allah Awalaani wanao fanyia wenzao ufitini

  • @nuuali8724
    @nuuali8724 7 месяцев назад +1

    Asante kwa elimu napenda san kukusikiliza mna wanipa moy n kujiona nawez everthing is possible❤❤💪

  • @kisesagroup4730
    @kisesagroup4730 7 месяцев назад +1

    Absolutely true

  • @prisilatarimo7454
    @prisilatarimo7454 7 месяцев назад +1

    Ahsante sana kka joely ,mmi nlifunguwa biashara mwakajana nilikutana na vita ya aina hiii yote ulosema yalinikuta had mwisho alitamka amejipanga kuniuwa mmi na watoto wang ., baadaye nlimchukulia sheria baada ya matishio makubwa mno. Baada ya hapo nilimwamin Mungu na sasa naendelea vizur na biashara yang japo vita bado ipo

  • @MiriamEzekiel-d1p
    @MiriamEzekiel-d1p 7 месяцев назад +1

    Àsante sana kwa SoMo lenye kiwango❤

  • @SalehKhamic
    @SalehKhamic 6 месяцев назад

    Mm nimekutananavyo sana nishida kaka

  • @nestoryvenance4258
    @nestoryvenance4258 4 месяца назад

    Asante nime eliwa kwenye swala la ushawishi

  • @StambulMohmmedi
    @StambulMohmmedi 2 месяца назад

    Nimewah kukutan na vita y ushawish

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 7 месяцев назад +1

    Af Kuna ile Vita ya nani ale maini na firigisi pale kuku akichinjwa home.. . 😢

  • @paulissayapaul4819
    @paulissayapaul4819 7 месяцев назад +2

    Akika akuna ushindi bila kushindana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад +1

      Kabisa Kabisa 💪🏼

    • @paulissayapaul4819
      @paulissayapaul4819 7 месяцев назад +1

      Asante Kwa kunipa mwanga ingawa sikujuwa thamani yangu ya maisha Iko wap thanks Joel Kwa kunipa taa inayo ona Bali kuliko kalibu

  • @sircomplextz
    @sircomplextz 7 месяцев назад +1

    ishi na kanuni hii " Usiache kufanya hicho unachokifanya hata kama unapitia vita ngumu kiasi gani" kwasababu ukiacha, huenda ukawa mtu wa hovyo sana kuliko ulivyokuwa

    • @happyvalence5352
      @happyvalence5352 7 месяцев назад

      Asante @ sircomplextz. Hakika nitaendelea mbele kufanya nifanyayo japokuwa vita ni Kali sana. Ila naona naenda level nyingine. Maadui ni wengi sana ila ntashinda.

    • @ElibarickiLession
      @ElibarickiLession 7 месяцев назад

      ​@@happyvalence5352never give up 💪 pambana

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 6 месяцев назад

    Barikiwa kaka Joel. Vupemgele vyote vya vita vinanihusu. Mungu anitetee. Asante kwa mafundisho

  • @keviolotu
    @keviolotu 5 месяцев назад

    hii naipitia Mimi sahivi

  • @EvaChavaligino
    @EvaChavaligino 4 месяца назад

    Nimekutana kaka.

  • @lilianphilipe
    @lilianphilipe 5 месяцев назад

    So nice kaka

  • @MariahMnjeja
    @MariahMnjeja 7 месяцев назад

    Asante sana

  • @jumbewatson8639
    @jumbewatson8639 7 месяцев назад

    Asanteh kwa kutuweka sawa.....mimi hili swala limewah nkuta upande wa rafiki zangu kaddha wote kwa pamoja kufarakana. Na kila tulie kosana nae ulikuwa upande wa fedha.....daaah

  • @daprince7545
    @daprince7545 7 месяцев назад

    Siku moja sikwenda kazi, kumbe siku hio kulikua kuna chaguliwa supervisor. Jina langu lilitwajwa kua kuanzia leo supervisor weni ni flani. Siku iliyo fuatwa nilienda kazi, baada ya miezi miwili wahindi walinipiga vita mpaka wakashindwa

  • @nicolauslazaro4069
    @nicolauslazaro4069 7 месяцев назад

    Kwakweli kuwa karibu na boss kuna changamoto sana iliibuka vita ambayo sokuitegemea kabisa. Kwanza nikawa natengwa naonekana napeleka umbea kwa boss kumbe hamna ni ukaribu tu. Aysee umeongea fact sana. Sasa what is way forward with this challenge author?

  • @bertinIgnas
    @bertinIgnas 7 месяцев назад

    Umesema kweli kabisa mm nakumbuka Kuna eneo flana nimehamisha maji nikayaelekezea njia nyingine, mwanzo walinicheka sana wakisema maji hayahami wakasema navuta bangi huwezi kuamini Leo hio sehem ilivyofaa kumeibuka vita vikali mno namtu anayepataka saivi aloo nitajir ila huwezi kuamini nivita mpaka haya SS.

  • @mahwabashiri5467
    @mahwabashiri5467 7 месяцев назад

    Fita ni fitaa Muraaa

  • @ahz6907
    @ahz6907 7 месяцев назад

    Msemo maarufu : "PENYE RIZIKI HAPAKOSI FITINA"

  • @alfredshafii2413
    @alfredshafii2413 7 месяцев назад

    Somo zuri na limeeleweka barikiwa Sana. Je kuna namna yakufanya inapotokea vita kama hii?

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 7 месяцев назад +1

    🙌

  • @Jrmontaiza
    @Jrmontaiza 3 месяца назад

    💥☑️

  • @clemencehaule3857
    @clemencehaule3857 7 месяцев назад

    Saizi, napitia kipindi hicho Cha vita, hakika uliyoyasema ni kweli tupu

  • @GreatCalmtz
    @GreatCalmtz 7 месяцев назад

    Mimi nimepigwa Vita kazn kwa sababu ya nafasi niliyonayo Ila nimeshinda

  • @ASHASALUMU-p4v
    @ASHASALUMU-p4v 6 месяцев назад

    Thanks 🙏

  • @SulleymanOmary
    @SulleymanOmary 6 месяцев назад

    Well broh

  • @MarthaFaustin-c3t
    @MarthaFaustin-c3t 7 месяцев назад

    Asante kwa ujumbe kiranapo kuskiliza napata hamasa Sana ndugu

  • @SharonLodenyi-l5n
    @SharonLodenyi-l5n 7 месяцев назад

    Nimepitia hayo yote matatu,moyo bado wavuja hata sasa,ila nimemuachia mola.anipe mwanzo mpia.

  • @ZainabuRamadhan-p1z
    @ZainabuRamadhan-p1z 6 месяцев назад

    Daaa ndungu yote ayo ninayo asante kwa kunifungua kichwa asante sana

  • @fredyelisha2686
    @fredyelisha2686 7 месяцев назад

    Duh nashukuru sana kaka Joel hakika niko chuoni najifunza mambo mengi kutoka kwako God bless you 😊😊❤

  • @eveabasi2469
    @eveabasi2469 7 месяцев назад

    Mi kwenye familia yangu wananipiga vita sana na kwa wakwe zangu kwa sababu nikiongea wananisikiliza. Kwa hiyo baadhi ya ndugu zangu na kwa mwanaume hawanipendi wanadai mi napendelewa

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 7 месяцев назад

    Kaka sisi tunakuombea Mara kwa Mara ili tutimize malengo yetu.mungu akulinde.

  • @Sumay228
    @Sumay228 7 месяцев назад

    Yamenikuta sehemu zote mpaka nilipogundua hili

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 7 месяцев назад

    Broo uko sahihi sana be blessed kwa kutebgeneza video za maisha yetu ya kawaida

  • @KilimaLokadi
    @KilimaLokadi 7 месяцев назад

    Asante sana mkubwa ndio mimi imeshawai nitoneya nilipedwaka sana na boss mkuu wetu kazi akachukiya sana

  • @franksamson1718
    @franksamson1718 7 месяцев назад

    Mambo ni mengi tumepitia kaka ila mungu anatupigania sana.

  • @EsterJames-sk4te
    @EsterJames-sk4te 7 месяцев назад

    Ukweli kabisa...Mimi nmekutana na hiyo ya influence

  • @194summer
    @194summer 7 месяцев назад

    Ubarikiwe mt,mimi ni ushawashi unaniletea vita sana

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 7 месяцев назад

    Yaanii kaka kiukweli ninethibitisha hata sikuamini jamani Mungu akubariki

  • @AugustinNsabimana-u7m
    @AugustinNsabimana-u7m 7 месяцев назад

    Asante Kaka ilenikweli'miminikwenye ushawishi

  • @minaaminaa1781
    @minaaminaa1781 7 месяцев назад

    Hata ukipendwa na mume wako pia ...asantee nilikua nashangaa

  • @magrethkassian5235
    @magrethkassian5235 7 месяцев назад

    Ni kweli maisha ni vita mie pia ilishanitoke kazini

  • @erastohongerasanasamamagor7939
    @erastohongerasanasamamagor7939 7 месяцев назад

    Nakufutilia nikiwa mwanza nakuelewa sana mkuu .

  • @Abwe_1
    @Abwe_1 7 месяцев назад

    Hayo ni ukweli halisi wa mambo.

  • @davismballa
    @davismballa 7 месяцев назад

    Kila nikihisi kukata tamaa kipindi napitia nyakati ngumu basi video zako zinanipa nguvu sana ya kuendelea au kurekebisha nilipokosea. Brother Joel umekuwa Mentor wangu mzuri sana natumaini i will meet you at the top🦾

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад

      Ameen nashukuru sana sana, songa mbele

  • @KilimaLokadi
    @KilimaLokadi 7 месяцев назад

    Nashukuru kwaku nitambulisha aina vitu hivi mungu akubariki

  • @aggreysports-tc3sd
    @aggreysports-tc3sd 7 месяцев назад

    Thanks nimebarikiwa kiukweli

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 7 месяцев назад

    Pesa huwakosanisha watu sana mwalimi

  • @MethodNdekele
    @MethodNdekele 7 месяцев назад

    nimepitia hayo kaka Asante sana kwa somo lako

  • @AlphonceJohn-w4u
    @AlphonceJohn-w4u 7 месяцев назад

    be blessed mtumish for inspiration

  • @emanuelalfred5194
    @emanuelalfred5194 7 месяцев назад

    Kwa kwely kaka unatoka madini

  • @EvalistoKagoma
    @EvalistoKagoma 7 месяцев назад

    Yamenikuta mwaka jana, ahsante kwa elimu nzuri

  • @NassorAbdi-i4x
    @NassorAbdi-i4x 7 месяцев назад

    Asante kw nasaha takatif- Mr Joel

  • @HassanAbdalla-is3xl
    @HassanAbdalla-is3xl 7 месяцев назад

    Asante sana broo na mshukuru Mungu kukufahamu najifunza sana kutoka kwako

    • @bushimani1544
      @bushimani1544 7 месяцев назад

      Type mbinu mkuu ujumbe umefika mbinu ndio atujajua tasingie kwenye mitego from bush man

  • @Furaha-Dokela
    @Furaha-Dokela 7 месяцев назад

    Tangu nikufahamu nakufatilia sana... Blessed man of God.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад

      Ameen Furaha ahsante sanaa🙏

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 месяцев назад

    Mimi nilikuwa na ushawishi.mahali.sasa yule mwenye nafasi yake akaniundia tume Ili Ili kunichafua akanitegea mtego hatimae ikatiki uwo mtego Ili anizalilishe lakin amechemka kwamana mim Bado najiamin Sana tu vile vile kama mwanzo,,ila baada ya ule ugomvi nimetengana nae na sitaki tena ukalibu wake Wala simsaidii tena kwamana ni mnafki ,,na mungu amlaani Sana Kila sekunde Kwa unafki wake na roho mbaya yake wakati nilikuwaga namsapotig Sana kumbe ni mnafki tu,,

    • @ahz6907
      @ahz6907 7 месяцев назад

      Pole.bora simba kuliko binadamu mnafiki😂

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 7 месяцев назад

      @@ahz6907 Asante kipenzi

  • @HeavenSumari
    @HeavenSumari 7 месяцев назад

    Shukrani sana tupo pamoja

  • @SalmaHassani-i7h
    @SalmaHassani-i7h 7 месяцев назад

    Umeniongezea maarifa

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 7 месяцев назад

    Barikiwa sana

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 7 месяцев назад

    Ahsante sana

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 7 месяцев назад

    Shukrani kaka❤❤

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 7 месяцев назад

    No 2 vita ya Pesa

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 7 месяцев назад

    Hongera sana

  • @ladslauspius4845
    @ladslauspius4845 7 месяцев назад

    🤝

  • @sharfatyally7224
    @sharfatyally7224 7 месяцев назад

    Your so Amazing 👏

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 7 месяцев назад

    Always high

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 7 месяцев назад

    Amen

  • @priscalongo6090
    @priscalongo6090 7 месяцев назад

    Fact

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 7 месяцев назад

    🙌🏿

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 7 месяцев назад +2

    Ni hakika kabisa kwamba maisha ni vita. Hata neno la Mungu linasema ufalme wa Mungu ni nguvu na wenye nguvu ndio watakaouteka. Ila hizi levels na sababu za vita nazo ni dhahiri zipo. Hawa watu wa aina hizo pia wapo.
    1. Anakuwazia mabaya
    2. Anakunenea yasiyofaa
    3. Anakutendea yasiyofaa
    Mwisho kabisa anakaa kimya anasikilizia matokeo ya huo uovu wake. Ukimuona kama hajafanya kitu vile. Ni wabaya Sana watu wa aina hii. ( silent killers)

    • @AhmedAhmed-z6m7t
      @AhmedAhmed-z6m7t 7 месяцев назад

      Shangazi yangu baba mmoja mama mmoja alianza kutufanyia hivi baada ya baba yetu kufa na kutuacha tukiwa na miaka 6

    • @aboubakarnzisabira3870
      @aboubakarnzisabira3870 7 месяцев назад

      😅😅😂 3:26