LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Комментарии • 105

  • @Srene0225
    @Srene0225 3 месяца назад +10

    Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;-
    1. Tambua thamani yako
    2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana
    3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka
    4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako
    NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'

  • @lestutamdota715
    @lestutamdota715 3 месяца назад +16

    Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад +4

      Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 3 месяца назад +1

      Hicho kitabu kinapatikana wapi

    • @eliastanda9825
      @eliastanda9825 3 месяца назад

      Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤

    • @elishamwalongo3010
      @elishamwalongo3010 3 месяца назад

      @@joelnanauka ''????'

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 3 месяца назад +1

    Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 3 месяца назад +3

    Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 3 месяца назад

      Kabisa unaweza kufa imenikuta😢

  • @user-fu5wi1ez7e
    @user-fu5wi1ez7e 3 месяца назад +1

    Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭

  • @user-fo8pd3cx9h
    @user-fo8pd3cx9h 3 месяца назад +1

    Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01

  • @fedrickmwinuka1656
    @fedrickmwinuka1656 3 месяца назад +2

    Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san

  • @VickyKijazi
    @VickyKijazi 3 месяца назад

    Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!

  • @user-ts4jr7ok1e
    @user-ts4jr7ok1e 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 месяца назад +1

    ❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤

  • @carolinekalume934
    @carolinekalume934 3 месяца назад +6

    Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Hongera naaamini umejifunza

  • @DevothaJohnMagessa
    @DevothaJohnMagessa 3 месяца назад

    Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana

  • @gloriatoya72
    @gloriatoya72 3 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili

  • @LakinaneMuna
    @LakinaneMuna 3 месяца назад

    Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 2 месяца назад

    Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana

  • @user-lj4pz4pv8o
    @user-lj4pz4pv8o 3 месяца назад

    Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi

  • @tarsisiamwalongo6819
    @tarsisiamwalongo6819 3 месяца назад

    Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha

  • @Elishanabagingisemvayle-ob4cm
    @Elishanabagingisemvayle-ob4cm 27 дней назад

    Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.

  • @user-bi7hz1mu7p
    @user-bi7hz1mu7p 3 месяца назад +1

    Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤

  • @rosadamassawe8019
    @rosadamassawe8019 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 3 месяца назад

    Daaah episode hii nzuri sana

  • @KelendoLaizer-yf8jy
    @KelendoLaizer-yf8jy 3 месяца назад

    Asante kwa somo ubarikiwe

  • @KasimBadi
    @KasimBadi 3 месяца назад +1

    Thank you brother JOEL

  • @Tonga994
    @Tonga994 2 месяца назад

    Ahsante kwa Elimu hii kaka

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald125 3 месяца назад

    Be blessed brother J.nanauka

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 3 месяца назад +1

    Somo🙌🔥👏🏆

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 3 месяца назад +1

    Hayaa ni zaidi ya maarifa

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x 3 месяца назад +1

    Mungu akubariki my Brother❤

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Ameen Ameeen

    • @user-ms3gw9if4h
      @user-ms3gw9if4h 3 месяца назад

      Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina

  • @user-zf1sp9ez4v
    @user-zf1sp9ez4v 3 месяца назад

    Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢

  • @user-qv3eo5pb3g
    @user-qv3eo5pb3g 3 месяца назад

    Shukran joel ❤❤❤

  • @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
    @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 3 месяца назад

    Ubarikiwe san

  • @user-er2if3dl9d
    @user-er2if3dl9d 2 месяца назад

    Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,

  • @peacennko2003
    @peacennko2003 3 месяца назад +1

    Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 3 месяца назад

    Asante sana Kaka JOEL

  • @user-sp1ig8ul2s
    @user-sp1ig8ul2s 3 месяца назад +1

    Nanauka kwenye line

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 3 месяца назад

    Shukrani kaka ❤❤

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j 3 месяца назад +1

    Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi

  • @isacksolomon5309
    @isacksolomon5309 3 месяца назад

    Asante sana mwlm.

  • @user-td8zl2jd7r
    @user-td8zl2jd7r 3 месяца назад

    Ahsante kwa somo

  • @user-dy6mx4yc6y
    @user-dy6mx4yc6y 3 месяца назад

    Sijatoka bure
    Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Nashukuru sana sana

    • @ZubedaVicent
      @ZubedaVicent 3 месяца назад

      ​@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor

  • @saidalhabsi9257
    @saidalhabsi9257 3 месяца назад

    😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Nashukuru kwa Mrejesho 🙏

  • @everose276
    @everose276 3 месяца назад

    Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 3 месяца назад

    Mungu awabariki Sana tena Sana

  • @nasha_59
    @nasha_59 3 месяца назад

    Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos

  • @edommdende4309
    @edommdende4309 3 месяца назад +3

    ❤️🙏

  • @LeahLuhwavi-pd6cz
    @LeahLuhwavi-pd6cz 3 месяца назад

    Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Nashukuru sana tuendelee kujifunza

    • @ZubedaVicent
      @ZubedaVicent 3 месяца назад

      ​@jpoelnanauka please help me

  • @user-bq7ym3tv1h
    @user-bq7ym3tv1h 3 месяца назад +1

    Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад +1

      Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia

    • @user-bq7ym3tv1h
      @user-bq7ym3tv1h 3 месяца назад +1

      @@joelnanauka ahsante kaka

  • @johnwangubo3342
    @johnwangubo3342 3 месяца назад

    Asante sana kaka joel nimejifunza kitu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Karibu tuendelee kujifunza🙏

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x 3 месяца назад +3

    Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 3 месяца назад

    Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 месяца назад

      Hongera....Kila siku tunajifunza.😊

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏

  • @user-ds2em7or1w
    @user-ds2em7or1w 3 месяца назад

    Asante kaka

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 3 месяца назад +1

    All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita4380 3 месяца назад +1

    Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 3 месяца назад

      Pole sana betric

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 3 месяца назад

      Nan wa kukupenda wew na mwanao?

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 3 месяца назад

      @@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 3 месяца назад

      @@samwelimwanja4105 ahsante ndugu

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 3 месяца назад

      ​@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema6087 3 месяца назад

    Noted.

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 3 месяца назад

    Asante sana

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 3 месяца назад

    AHSANTE

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 3 месяца назад +1

    Absolutely 💯 💯 💯

  • @abdulfatahjuma3105
    @abdulfatahjuma3105 3 месяца назад

    More blessing

  • @rebeccakisale
    @rebeccakisale 3 месяца назад

    🙏🏾🙏🏾

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 месяца назад

    Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 3 месяца назад

    Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад +2

    Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад +1

      Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 3 месяца назад +1

    Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 3 месяца назад

    Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 месяца назад

      Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70

  • @paulmayombe4336
    @paulmayombe4336 3 месяца назад

    Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka