LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 76

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 11 месяцев назад +23

    Wewe ni hazina kubwa.Nimeshaijua ile dhahabu iliyotupwa kwenye kinyesi cha ng'ombe.Aiseeeee!!!!,well done man of God.Wabarikiwe sana wazazi waliokuzaa na kukulea vema kwani wao waliokufanya uwe Joel wa sisi sote tunaofuatilia masomo yako.Mimi ni mmoja wa watu waliopata uraibu wa mafundisho yako,sikosi kukufuatilia kila siku.

  • @mpeliakhim3770
    @mpeliakhim3770 11 месяцев назад +2

    Asnt sana bro❤❤

  • @AmaniRashidi-i9b
    @AmaniRashidi-i9b 11 месяцев назад +5

    From south Africa Durban sijachelewa mwalimu ❤❤❤❤

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  11 месяцев назад

      Tuendelee kujifunza🙏

  • @glorysilayo6894
    @glorysilayo6894 11 месяцев назад +2

    I need to improve in financial wealth and Spiritual wealth

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 2 месяца назад

    Asante sana..kaka Joel barikiwa.... mafundisho yko yanazidi kunipa mwanga

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 11 месяцев назад +3

    🇨🇩 Asante sana kaka

  • @bakarifuko6186
    @bakarifuko6186 10 месяцев назад +1

    Mimi sikujua kama kwenyefedha Kuna mchakato mkubwa hivo, umenifumbua ubongo kaka. Asante.

    • @bakarifuko6186
      @bakarifuko6186 10 месяцев назад

      Mimi sikujua kama kwenyefedha Kuna mchakato mkubwa hivo umenifumbua ubongo kaka Asante.

  • @AbdulazizDulieta
    @AbdulazizDulieta 11 месяцев назад +5

    Kwnza kiongozi mungu akubrki sna na kukupa afya njema uendleee kutufunza siee vijana hadi tukmlshe ndto ze2 . Ww ni zawad kubwa kutoka kwa mungu ambae umeltwa kwa ajli ya kuwaandaa vijana wengi waweze kufnikiwa katka nyanja mbli mbli ubrkiwee sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  11 месяцев назад

      Ameen Ahsante sana sana

    • @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci
      @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci 10 месяцев назад +1

      Abulazizi Dulieta umechangia vizuri sana ila siku nyingine nakuomba andika kiswahili fasaha unafanya mwalimu wetu anasoma maoni yako kwa shida unamtesa mwalimu wetu

    • @Edwinchickens
      @Edwinchickens 6 месяцев назад

      ​@@joelnanaukaUbarikiwe sana asee wewe ni mtu wa mhimu sana kwetu vijana mungu akubaliki sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 11 месяцев назад +2

    Somo 🔥🏆

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Asante sana kiongozi wangu

  • @gilbertbaya1546
    @gilbertbaya1546 11 месяцев назад +1

    Asante kaka...Kenya watching

  • @GloryMwabulili
    @GloryMwabulili 10 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana kaka

  • @Niksonabel-jt8qg
    @Niksonabel-jt8qg 11 месяцев назад +2

    🙏 amen

  • @angelnjiku1979
    @angelnjiku1979 11 месяцев назад +1

    Zidi kubarikiwa bro👂🏼✍🏼

  • @irakazaeriekim4753
    @irakazaeriekim4753 11 месяцев назад +1

    Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤

  • @TalentedmediaTz
    @TalentedmediaTz 11 месяцев назад +1

    Big Brilliant

  • @josephisrael508
    @josephisrael508 11 месяцев назад +1

    Mentor SoMo ni zurii Asante sana

  • @RitherLivigha-blessed
    @RitherLivigha-blessed 11 месяцев назад +1

    Asante,,nimejifunza kitu,,

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 9 месяцев назад

    Ninabarikiwa sana na kupiga hatua nyingi katika maisha yangu, Mungu akubariki

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 11 месяцев назад +4

    🏆🏆🏆

  • @Jackiline-s4s
    @Jackiline-s4s 11 месяцев назад +1

    Sina cha kusema ila mungu akubariki sana kaka

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 11 месяцев назад +1

    Asante sana

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 11 месяцев назад +1

    Shukrani sana kaka joel❤❤

  • @FaricevitusiNkane
    @FaricevitusiNkane 5 месяцев назад +1

    kk sna cha kusema Mana uko vizuli

  • @everose276
    @everose276 11 месяцев назад +1

    Joel asante sana, mimi naona unanifaa sana aisee, yaani umekua mtu wangu wa karibu kuliko wengi walionizunguka na naona nikikaa na wewe akili yangu ndio inaelewa zaidi. Ni maombi yangu tu uendelee kuwepo. Asante sana.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  11 месяцев назад

      Ameen nashukuru sana, endelee kuniombea🙏

    • @everose276
      @everose276 11 месяцев назад

      Mungu atusaidie ❤️

  • @AbubakariLigi
    @AbubakariLigi 11 месяцев назад

    Thanks my brother nilikua nime slump katika maisha yangu but umenifanya niwe still pia strong thanks mungu akubariki

  • @JanethDotto-y1p
    @JanethDotto-y1p 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mkuu hakika wewe nimental wang

  • @wailesmsongole1914
    @wailesmsongole1914 11 месяцев назад +1

    Brazaa joeli your the great and the best

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  11 месяцев назад +1

      Ahsante sana sana🙏

  • @AllyPeter-f8z
    @AllyPeter-f8z 6 месяцев назад

    Nakukubali sana joeli

  • @ShekhaJamal-t7f
    @ShekhaJamal-t7f 11 месяцев назад +2

    Aise uzidi kubarikiwa

  • @elianzammari1421
    @elianzammari1421 11 месяцев назад +1

    Mungu akutie Nguvu kaka unatusaidia wengi sana

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 11 месяцев назад

    professor nanauka you are a genius and a giant..... lusaka zambia

  • @johnwangubo3342
    @johnwangubo3342 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana kaka joel naendelea kupata maarifa kupitia ww mungu akubariki sana

  • @AlkhajidioufYambo
    @AlkhajidioufYambo 5 месяцев назад

    Mwanangu wa Kwanza naenda kuita Joel kwakweli.

  • @tsongokauta5911
    @tsongokauta5911 11 месяцев назад

    Nina shukuru sana. Mimi Niko Congo RDC nahitaji kitabu Ila kufikia kutuma pesa shida inakuwa kwenye shop

  • @ivandasikali7703
    @ivandasikali7703 11 месяцев назад

    Yani championi madini makubwa

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 6 месяцев назад

    Shukurani sana kaka Joel nimejifunza kitu

  • @hhpolenisanasanakishungi8200
    @hhpolenisanasanakishungi8200 11 месяцев назад +1

    Thx bro

  • @EmilyMwalongo-sg4ru
    @EmilyMwalongo-sg4ru 7 месяцев назад

    Hao wanaosema pesa zio mhimu wanafiki kwasababu (ukitoa hewa ya oxygen kinacho futia kwa kuhitajika nipesa Ili izae (chakula na vinginevyo vinavyo patikana duniani vikiwa vimetayalishwa 😊- so bro Joel tupeElimu mpaka tuelewe au mpaka ikitajwa pesa lije jina la Joel kwenye Ubongo
    Thank you for the lesson

  • @ViviKitchen23
    @ViviKitchen23 11 месяцев назад

    Naomba somo la kustaafu kaka joel❤❤❤

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 11 месяцев назад

    👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏 Mungu aendelee kukubari

  • @MwanahamisiIsmail-w5y
    @MwanahamisiIsmail-w5y 10 месяцев назад

    God bless you 🙏

  • @maigeshija9112
    @maigeshija9112 11 месяцев назад +3

    Najivunia kukufatilia wewe

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 11 месяцев назад

    Mungu akubariki kaka kiukweli unajitoa mno,muda wako kwetu hakika Mungu akutunze

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  11 месяцев назад

      Ameen nashukuru sana snaa

  • @IreneKihaule
    @IreneKihaule 5 месяцев назад

    Somo zuri linajenga

  • @AgnessSosthenes
    @AgnessSosthenes 3 месяца назад

    Naomba uweunaongeza sauti kaka sauti ipo chin sana kwenye izi voice

  • @monicakatega4488
    @monicakatega4488 11 месяцев назад

    Stay blessed ever.

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 11 месяцев назад

    Asante sana mana nimepata maarifa

  • @AndrewBaijuki
    @AndrewBaijuki 10 месяцев назад

    Asante sana ninaendelea kujifunza

  • @AdelaKauki
    @AdelaKauki 11 месяцев назад

    Ubarikiwe.

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 11 месяцев назад

    Barikiwa sana kaka

  • @phido047
    @phido047 11 месяцев назад +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @AdelaKauki
    @AdelaKauki 11 месяцев назад

    Naombakitabuchamkomozi wa familia.

  • @ShukranJulius-n6y
    @ShukranJulius-n6y 21 день назад

    Namtukuza MUNGU kwaajili yako kaka

  • @FeyFey-q4s
    @FeyFey-q4s 11 месяцев назад

    Funguo ya mabadiriko

  • @OmanOman-c9d
    @OmanOman-c9d 11 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 11 месяцев назад

    AHSANTE

  • @rebeccakisale
    @rebeccakisale 11 месяцев назад +2

    🙏🏾🙏🏾

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 10 месяцев назад

    ASANTE

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 11 месяцев назад +2

    Naomba namba za watu wa kupata hivyo vitabu ambavyo umesema

  • @Mama-A
    @Mama-A 11 месяцев назад +2

    🇰🇪

  • @tumainimwakisile4855
    @tumainimwakisile4855 11 месяцев назад

    Nahitaji hivyo vitabu sijui nitavipataje?

  • @janenjeri9564
    @janenjeri9564 11 месяцев назад +3

    🇰🇪