Wewe ni hazina kubwa.Nimeshaijua ile dhahabu iliyotupwa kwenye kinyesi cha ng'ombe.Aiseeeee!!!!,well done man of God.Wabarikiwe sana wazazi waliokuzaa na kukulea vema kwani wao waliokufanya uwe Joel wa sisi sote tunaofuatilia masomo yako.Mimi ni mmoja wa watu waliopata uraibu wa mafundisho yako,sikosi kukufuatilia kila siku.
Kwnza kiongozi mungu akubrki sna na kukupa afya njema uendleee kutufunza siee vijana hadi tukmlshe ndto ze2 . Ww ni zawad kubwa kutoka kwa mungu ambae umeltwa kwa ajli ya kuwaandaa vijana wengi waweze kufnikiwa katka nyanja mbli mbli ubrkiwee sana
Abulazizi Dulieta umechangia vizuri sana ila siku nyingine nakuomba andika kiswahili fasaha unafanya mwalimu wetu anasoma maoni yako kwa shida unamtesa mwalimu wetu
Joel asante sana, mimi naona unanifaa sana aisee, yaani umekua mtu wangu wa karibu kuliko wengi walionizunguka na naona nikikaa na wewe akili yangu ndio inaelewa zaidi. Ni maombi yangu tu uendelee kuwepo. Asante sana.
Hao wanaosema pesa zio mhimu wanafiki kwasababu (ukitoa hewa ya oxygen kinacho futia kwa kuhitajika nipesa Ili izae (chakula na vinginevyo vinavyo patikana duniani vikiwa vimetayalishwa 😊- so bro Joel tupeElimu mpaka tuelewe au mpaka ikitajwa pesa lije jina la Joel kwenye Ubongo Thank you for the lesson
Wewe ni hazina kubwa.Nimeshaijua ile dhahabu iliyotupwa kwenye kinyesi cha ng'ombe.Aiseeeee!!!!,well done man of God.Wabarikiwe sana wazazi waliokuzaa na kukulea vema kwani wao waliokufanya uwe Joel wa sisi sote tunaofuatilia masomo yako.Mimi ni mmoja wa watu waliopata uraibu wa mafundisho yako,sikosi kukufuatilia kila siku.
Asnt sana bro❤❤
From south Africa Durban sijachelewa mwalimu ❤❤❤❤
Tuendelee kujifunza🙏
I need to improve in financial wealth and Spiritual wealth
Asante sana..kaka Joel barikiwa.... mafundisho yko yanazidi kunipa mwanga
🇨🇩 Asante sana kaka
Mimi sikujua kama kwenyefedha Kuna mchakato mkubwa hivo, umenifumbua ubongo kaka. Asante.
Mimi sikujua kama kwenyefedha Kuna mchakato mkubwa hivo umenifumbua ubongo kaka Asante.
Kwnza kiongozi mungu akubrki sna na kukupa afya njema uendleee kutufunza siee vijana hadi tukmlshe ndto ze2 . Ww ni zawad kubwa kutoka kwa mungu ambae umeltwa kwa ajli ya kuwaandaa vijana wengi waweze kufnikiwa katka nyanja mbli mbli ubrkiwee sana
Ameen Ahsante sana sana
Abulazizi Dulieta umechangia vizuri sana ila siku nyingine nakuomba andika kiswahili fasaha unafanya mwalimu wetu anasoma maoni yako kwa shida unamtesa mwalimu wetu
@@joelnanaukaUbarikiwe sana asee wewe ni mtu wa mhimu sana kwetu vijana mungu akubaliki sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Somo 🔥🏆
❤❤❤❤❤❤❤❤ Asante sana kiongozi wangu
Asante kaka...Kenya watching
Mungu akubariki sana kaka
🙏 amen
Zidi kubarikiwa bro👂🏼✍🏼
Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤
Big Brilliant
Mentor SoMo ni zurii Asante sana
Asante,,nimejifunza kitu,,
Ninabarikiwa sana na kupiga hatua nyingi katika maisha yangu, Mungu akubariki
🏆🏆🏆
Sina cha kusema ila mungu akubariki sana kaka
Asante sana
Shukrani sana kaka joel❤❤
kk sna cha kusema Mana uko vizuli
Joel asante sana, mimi naona unanifaa sana aisee, yaani umekua mtu wangu wa karibu kuliko wengi walionizunguka na naona nikikaa na wewe akili yangu ndio inaelewa zaidi. Ni maombi yangu tu uendelee kuwepo. Asante sana.
Ameen nashukuru sana, endelee kuniombea🙏
Mungu atusaidie ❤️
Thanks my brother nilikua nime slump katika maisha yangu but umenifanya niwe still pia strong thanks mungu akubariki
Ubarikiwe sana mkuu hakika wewe nimental wang
Brazaa joeli your the great and the best
Ahsante sana sana🙏
Nakukubali sana joeli
Aise uzidi kubarikiwa
Mungu akutie Nguvu kaka unatusaidia wengi sana
Nashukuru sana🙏
professor nanauka you are a genius and a giant..... lusaka zambia
Ubarikiwe sana kaka joel naendelea kupata maarifa kupitia ww mungu akubariki sana
Mwanangu wa Kwanza naenda kuita Joel kwakweli.
Nina shukuru sana. Mimi Niko Congo RDC nahitaji kitabu Ila kufikia kutuma pesa shida inakuwa kwenye shop
Yani championi madini makubwa
Shukurani sana kaka Joel nimejifunza kitu
Thx bro
Hao wanaosema pesa zio mhimu wanafiki kwasababu (ukitoa hewa ya oxygen kinacho futia kwa kuhitajika nipesa Ili izae (chakula na vinginevyo vinavyo patikana duniani vikiwa vimetayalishwa 😊- so bro Joel tupeElimu mpaka tuelewe au mpaka ikitajwa pesa lije jina la Joel kwenye Ubongo
Thank you for the lesson
Naomba somo la kustaafu kaka joel❤❤❤
👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏 Mungu aendelee kukubari
God bless you 🙏
Najivunia kukufatilia wewe
Mungu akubariki kaka kiukweli unajitoa mno,muda wako kwetu hakika Mungu akutunze
Ameen nashukuru sana snaa
Somo zuri linajenga
Naomba uweunaongeza sauti kaka sauti ipo chin sana kwenye izi voice
Stay blessed ever.
Asante sana mana nimepata maarifa
Asante sana ninaendelea kujifunza
Ubarikiwe.
Barikiwa sana kaka
🙏🙏🙏🙏
Naombakitabuchamkomozi wa familia.
Namtukuza MUNGU kwaajili yako kaka
Funguo ya mabadiriko
❤❤❤
AHSANTE
🙏🏾🙏🏾
ASANTE
Naomba namba za watu wa kupata hivyo vitabu ambavyo umesema
🇰🇪
Barikiwa mama
Nahitaji hivyo vitabu sijui nitavipataje?
🇰🇪