TABIA 6 ZA MAFANIKIO YA PESA
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2020
- Mafanikio ya kifedha au pesa zina namna yake maalum ambayo kama ukiielewa vizuri basi huenda kwako wewe zoezi la kuzitafuta na kuzipata likwa rahisi sana na wakati wote waweza kuwa nazo na hayo ndio mafanikio au uhuru wa kifedha, endapo kila tatizo likitokea na wewe utakuwa na wa uwezo wa kutatua bila wasiwasi.
Sasa kuna tabia kadhaa ambazo ukifuatilia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kifedha na kama utapuuzia mambo haya sita basi huenda ukawa na matokeo ya wastani katika kumiliki fedha au kupata uhuru kamili kabisa wa kifedha.
Karibu darasani, baada ya kutazama somo hili tafadhali nitapenda sana uniongezee tabia nyingine au mambo mengine ambayo nami nitajifunza kwako katika comments.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Tabia6 #Mafanikio #pesa
1 kipato kisizidi matumizi
2 matumizi yasiyo sahihi
3 epuka mikopo isiyo ya lazima
4 tumia pesa uliyonayo tu si uliyoahidiwa
5 kuhakikisha kuwa na bajeti💪
6 kuepuka matumizi ya kutumia credit card
Kama umemuelewa Ezden bin J4 gonga like
Kwenye kutumia fedha kwa kutumia cm huko ndiko dunia inakoelekea hatuwezi kwenye kuepuka
Ebana bro mm naitwa Abdul shida yangu mm ni mtafutaji yani wakipato cha kila kila siku sasa mimi nacheza mchezo wa upatu ule wakila siku anatoka mtu nalipia shilingi elfu kumi kwa siku lakini naona kama natoa pesa nyingi kisha sioni faida na nikisema niache mchezo ndio siwezi kabisa kuhifadhi iyo pesa sasa sijui nifanye nn kaka EZDEN naomba ushauri wako
Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa
Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa
Safi
Shukrun kwa funzo. Nzuri
Najifunza sana
Mungu akujaliy Kakayangu kwamafunzoyako anatumika kbx
Respect
Asate😢😮😅😊 nimejifunza meng kwako
Ushauri wako uko vizuri unatija kwangu mm ushauri wako tunaendana nakuombea mungu akubariki katika kkazi yako nakutakia maisha mema nakaz njema yenye tija
NC advance Bro
Amen kak nahid kubadilika somo nzur san
Somo nzuri sana
Masha Allah, may Almighty Allah give which deserve to be upon you
Mungu akubariki sana unanisaidiya sana kwama fundisho yako kaka ubarikiwe sana
Like it broo
Mafunzo yako yapo vizur na mungu akabaliki
Ahsantee Sana mpendwa
HONGERA sana wew unatujenga kimaisha
Nimependa sana somo lako.
Uko vizuri
Nimekuelewa bro nizamu ya fetha ni muhimu sana eti mnafungua dirisha langine la mr kuku limited mwezi wa ngapi maana niliweka matumaini yangu kwa mr kuku lakini napiga simu ofisini naambiwa wameshafunga hawapokei tena wawekezaji tokea nimeambiwa ivo sina raha tena nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana nitafanyaje nilitegemea lakini mwisho wa siku ndio ivo uliwahi kusema mtu usiweke furaha katika vitu lakini furaha yangu kuu ninayo ila hii ya mr kuku pia ili kuwa furaha kwangu maana ilikuwa ni fursa nzuri basi hakuna namna bay Deus john Mimi napenda sana kusubutu jambo sinaga uwongo wa kufeli wala hasara pindi dirisha langine mtakapofungua nitakuwa wa kwanza kushea
Safi sana
Asante
Vizuri kaka
Asante sana ubarikiwe
Asant brother atakama ni mechelew nimejifuza asant
Nime kuelewa br bgp sana
,Nice. Bro
Nimeilimika kwa hilo shukran allah akujaze kheri
Shukran kwa ilimu Allah barik
Thanks bro
Allah akubarik sana
Nimekuelewa vizuri tu kbs shukran
Mashaallah tabarkaallah elimu nzuri
umenifungua kaka asante sana ndio maana nashindwa kusonga mbele kumbe niko rafu sana na pesa
Asante kwa kufundisha somo zuri mimi nnatatizo hilo la bajeti tena linanisumbua sana ndugu yangu naomba msaada wako
Nashukur sana
Ahsante sana kwa somo nzuri nimejifunza kitu
Mungu akubaliki
Nimekuelewa brother
Soma zuri sana. Nimeelewa
Alhamdulillah umetufungua macho maana nafanya kazi kwa bidii Ila pesa aiwekeki I don't know why but now nimepata jibu nifanye Nini
Thanks nimejifunza kupitia ilisomo laleo na nitajifunza zaid🙏
Am.happy for.sorty you.
Hahahaaaa asante kwa hili maana mi naliweza sana mpk marafiki zangu wakiwa sehem zao za starehe huwa wananikimbia but mm nasema its fine coz this is my life broo,hasa mm kinachonifanya nisitumie pesa ovyo nakumbuka nilipotoka na pia nina kiu na kuwa na pesa nyingi (utajiri) Niishi life flan ivi la kinyamwezi na family yangu
Kaka nimekuelewa kweli God bless you and me
Somo zuri sana brother.
May Allah bless you.
Kalibu
May ALLAH bless you my brother,umeniokoa ktk Giza Alhamdulillah.
Nikwell mafundishoyakonimazu asantsan
Asante sana kwa mawaidha yako
Habari Ezden Jumanne,asante Kwa kutuelimisha naomba unielimishe kuhusu bajeti Kwa upana zaidi,asnt
Shukran sana nimejifunza
Nice
Asante sana kk
Worthy practices that can indeed change the status of life. Quality staff brother,
Mungu akubariki sana,kwa somo. La maana
Ramadhan qarim brother Asante
Nashukuru Sana broo unanirudisha kwenye njia🙏🙏
Thanks mimejifunza sana kupitia ilisomo lako la Leo na nitajitaidi kujifunza zaidi.🙏
Mm nimekupenda sana hii
It's a very important Lesson in our society nowadays shukran My Brother Ezden nakielewa miaka yote 🙏🙏🙏
Ya 7 ni kujiepusha na marafiki wenye kupelekea matumizi mabaya ya fedha
Asantee Kaka nimekupenda buree
Safi sana nimeipenda hii
Shukran
Shukrani sana sana
Ushauri wako mzuri sana tutaendelea kukusapoti na kutoa mawazo hendelevu
Mashallah Allah akubariki shukran sana
tupo pamoja
Asate sana kaka hap nimejifuza kitu mana sijuwi kutuza hela
Shukran broo
Hapa kwenye matumizi hapa sasa
Itabidi nijitahidi kila ninachonunua niandike ili nione natumia kiasi gani ili niweze kujibajeti
Nijue naingiza sh ngapi na kutumia sh ngapi kwa mwezi
Shukran broo much love to you😍
Nakuelewa vizuri Sana unanifunza vitu bingi mungu akulipe
Jamani mimi nabalikiwa sana namafundisho yako. Asante sana kaka.
Nimekuelewa vizuri kaka ilaongeongelea pia swala la kuridhisha marafiki katika matumizi ya fedha
Ezden jumanne brother mm kila nikiangalia video zako uwa napata amasa kubwa niangalie na nyingine asante sanaa
Nafurahia sana somo nzur
somo zuri sana nikupata vyema.
Shukran ticha
Asante Sana Kaka ezden jumanne
realy perfect successfuly
Shukran kaka
Asante kk
Asante kwa somo
Asante nimekuelewa vzr Allah akujaze kheri ishaallah
Shukran sana nakufwatilia sana masomo yako yananipa mafunzo na akili ya kutulia nakusoma ni kiwa Dubai asante kaka ALLAH akuzidishie ilmu
Nimeipenda sana broo kwani najifunza mengi kupitia kipindi chako
Kipindi kizuri sana kwani chanisongesha sana mbele kimaisha nakifikra pia mtazamo chanya
Nimekusoma brother thanks
Nimekuelewa sana bro
ASANTE SANA
Nimeipenda shukran san broo
Nimeipnd cn asnt cn Ezden
Kaka, shukrani sana kwa elimu hii, ingawa nimechelewa kupata darasa, lkn nimejifunza kitu, asante sana
Saf sana kak
Mkn brother nimeelewq
Free class big up bro kwa mawazo yanayoishi na yenye faida!!!!!
Fantastic lesson bother
Nimekusoma vyema brother 🤜
nimekukubali sana yani ntakufatilia broo umenifunza kitu
Thanks bro
Asante ndugu,
Nilichelewa sana kukufuatilia kaka wew ni zaid ya mwalim mungu akubariki uzidi kutoa elimu muhim kama hizi.
Elimu nzuri kuliko ya darasan
thanks for yr hosp
thanks you for your geet thinking bro ww upo sawa sana pne nikifaniwa ww ni mchango kwangu usihofu sicomment muda mwingi but naku appreciate sana ww in term pf your topical in examinining knowledge
Asant