TABIA 6 ZA MAFANIKIO YA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2020
  • Mafanikio ya kifedha au pesa zina namna yake maalum ambayo kama ukiielewa vizuri basi huenda kwako wewe zoezi la kuzitafuta na kuzipata likwa rahisi sana na wakati wote waweza kuwa nazo na hayo ndio mafanikio au uhuru wa kifedha, endapo kila tatizo likitokea na wewe utakuwa na wa uwezo wa kutatua bila wasiwasi.
    Sasa kuna tabia kadhaa ambazo ukifuatilia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kifedha na kama utapuuzia mambo haya sita basi huenda ukawa na matokeo ya wastani katika kumiliki fedha au kupata uhuru kamili kabisa wa kifedha.
    Karibu darasani, baada ya kutazama somo hili tafadhali nitapenda sana uniongezee tabia nyingine au mambo mengine ambayo nami nitajifunza kwako katika comments.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Tabia6 #Mafanikio #pesa

Комментарии • 268

  • @mohamedmiraj3117
    @mohamedmiraj3117 4 года назад +66

    1 kipato kisizidi matumizi
    2 matumizi yasiyo sahihi
    3 epuka mikopo isiyo ya lazima
    4 tumia pesa uliyonayo tu si uliyoahidiwa
    5 kuhakikisha kuwa na bajeti💪
    6 kuepuka matumizi ya kutumia credit card
    Kama umemuelewa Ezden bin J4 gonga like

    • @petertemu6103
      @petertemu6103 4 года назад

      Kwenye kutumia fedha kwa kutumia cm huko ndiko dunia inakoelekea hatuwezi kwenye kuepuka

    • @abdulkisoma6305
      @abdulkisoma6305 4 года назад +1

      Ebana bro mm naitwa Abdul shida yangu mm ni mtafutaji yani wakipato cha kila kila siku sasa mimi nacheza mchezo wa upatu ule wakila siku anatoka mtu nalipia shilingi elfu kumi kwa siku lakini naona kama natoa pesa nyingi kisha sioni faida na nikisema niache mchezo ndio siwezi kabisa kuhifadhi iyo pesa sasa sijui nifanye nn kaka EZDEN naomba ushauri wako

    • @brightonngowo5629
      @brightonngowo5629 3 года назад

      Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa

    • @brightonngowo5629
      @brightonngowo5629 3 года назад

      Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa

    • @kelvinsaimon2513
      @kelvinsaimon2513 3 года назад

      Safi

  • @user-im4lf4qc5l
    @user-im4lf4qc5l 4 месяца назад +1

    Shukrun kwa funzo. Nzuri

  • @jasminepeter7598
    @jasminepeter7598 2 года назад +1

    Najifunza sana

  • @FistonNdayisenga-yi9wz
    @FistonNdayisenga-yi9wz 7 месяцев назад +1

    Mungu akujaliy Kakayangu kwamafunzoyako anatumika kbx

  • @atanasimbalinga1088
    @atanasimbalinga1088 4 года назад +3

    Respect

  • @user-dv9ql8yl7q
    @user-dv9ql8yl7q 3 месяца назад +1

    Asate😢😮😅😊 nimejifunza meng kwako

  • @sebastiansikujua298
    @sebastiansikujua298 Год назад +1

    Ushauri wako uko vizuri unatija kwangu mm ushauri wako tunaendana nakuombea mungu akubariki katika kkazi yako nakutakia maisha mema nakaz njema yenye tija

  • @mugaberobertmugaberobert1343
    @mugaberobertmugaberobert1343 2 года назад +1

    NC advance Bro

  • @philimonijems5724
    @philimonijems5724 3 года назад

    Amen kak nahid kubadilika somo nzur san

  • @seurimollel607
    @seurimollel607 2 года назад

    Somo nzuri sana

  • @jafarighuli696
    @jafarighuli696 4 года назад +6

    Masha Allah, may Almighty Allah give which deserve to be upon you

  • @ndaganimutera5114
    @ndaganimutera5114 3 года назад

    Mungu akubariki sana unanisaidiya sana kwama fundisho yako kaka ubarikiwe sana

  • @othmanhamad2078
    @othmanhamad2078 3 года назад

    Like it broo

  • @alfreddominick7463
    @alfreddominick7463 3 года назад

    Mafunzo yako yapo vizur na mungu akabaliki

  • @kijanamstarabu3607
    @kijanamstarabu3607 3 года назад

    Ahsantee Sana mpendwa

  • @albanusmbithi3486
    @albanusmbithi3486 3 года назад

    HONGERA sana wew unatujenga kimaisha

  • @marizonogola3725
    @marizonogola3725 4 года назад +2

    Nimependa sana somo lako.

  • @elihurumamaiko1669
    @elihurumamaiko1669 3 года назад

    Uko vizuri

  • @deusjohn1107
    @deusjohn1107 4 года назад +6

    Nimekuelewa bro nizamu ya fetha ni muhimu sana eti mnafungua dirisha langine la mr kuku limited mwezi wa ngapi maana niliweka matumaini yangu kwa mr kuku lakini napiga simu ofisini naambiwa wameshafunga hawapokei tena wawekezaji tokea nimeambiwa ivo sina raha tena nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana nitafanyaje nilitegemea lakini mwisho wa siku ndio ivo uliwahi kusema mtu usiweke furaha katika vitu lakini furaha yangu kuu ninayo ila hii ya mr kuku pia ili kuwa furaha kwangu maana ilikuwa ni fursa nzuri basi hakuna namna bay Deus john Mimi napenda sana kusubutu jambo sinaga uwongo wa kufeli wala hasara pindi dirisha langine mtakapofungua nitakuwa wa kwanza kushea

  • @titomhagama5545
    @titomhagama5545 4 года назад

    Safi sana

  • @user-wl5wb5dj6d
    @user-wl5wb5dj6d 10 месяцев назад +1

    Asante

  • @abuukajembe85
    @abuukajembe85 3 года назад

    Vizuri kaka

  • @nataliasr3013
    @nataliasr3013 2 месяца назад

    Asante sana ubarikiwe

  • @aisackkandonga6686
    @aisackkandonga6686 Год назад

    Asant brother atakama ni mechelew nimejifuza asant

  • @abdullali9811
    @abdullali9811 2 года назад

    Nime kuelewa br bgp sana

  • @kenydeclassic1577
    @kenydeclassic1577 2 года назад

    ,Nice. Bro

  • @MonaMona-qt5ef
    @MonaMona-qt5ef 4 года назад +1

    Nimeilimika kwa hilo shukran allah akujaze kheri

  • @stingagency1748
    @stingagency1748 10 месяцев назад

    Shukran kwa ilimu Allah barik

  • @saidkamus9169
    @saidkamus9169 4 года назад +1

    Thanks bro
    Allah akubarik sana

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад

    Nimekuelewa vizuri tu kbs shukran

  • @moseskipkemboi9884
    @moseskipkemboi9884 4 года назад

    Mashaallah tabarkaallah elimu nzuri

  • @salmahanai3601
    @salmahanai3601 2 года назад

    umenifungua kaka asante sana ndio maana nashindwa kusonga mbele kumbe niko rafu sana na pesa

  • @robertluge4263
    @robertluge4263 4 года назад +7

    Asante kwa kufundisha somo zuri mimi nnatatizo hilo la bajeti tena linanisumbua sana ndugu yangu naomba msaada wako

  • @irenemziwanda3312
    @irenemziwanda3312 3 года назад

    Nashukur sana

  • @kalmerystephan8881
    @kalmerystephan8881 4 года назад

    Ahsante sana kwa somo nzuri nimejifunza kitu

  • @barakaezekia3382
    @barakaezekia3382 2 года назад

    Mungu akubaliki

  • @elizashirima5986
    @elizashirima5986 3 года назад

    Nimekuelewa brother

  • @twalibjabey7919
    @twalibjabey7919 4 года назад

    Soma zuri sana. Nimeelewa

  • @darlinmandwanga6801
    @darlinmandwanga6801 3 года назад +1

    Alhamdulillah umetufungua macho maana nafanya kazi kwa bidii Ila pesa aiwekeki I don't know why but now nimepata jibu nifanye Nini

  • @sarahlenny1118
    @sarahlenny1118 Год назад

    Thanks nimejifunza kupitia ilisomo laleo na nitajifunza zaid🙏

  • @erickpeter6558
    @erickpeter6558 2 года назад

    Am.happy for.sorty you.

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 4 года назад +3

    Hahahaaaa asante kwa hili maana mi naliweza sana mpk marafiki zangu wakiwa sehem zao za starehe huwa wananikimbia but mm nasema its fine coz this is my life broo,hasa mm kinachonifanya nisitumie pesa ovyo nakumbuka nilipotoka na pia nina kiu na kuwa na pesa nyingi (utajiri) Niishi life flan ivi la kinyamwezi na family yangu

  • @francomgaya9847
    @francomgaya9847 Год назад

    Kaka nimekuelewa kweli God bless you and me

  • @khalifalutonja6125
    @khalifalutonja6125 4 года назад +5

    Somo zuri sana brother.
    May Allah bless you.

  • @wayofsuccess8083
    @wayofsuccess8083 3 года назад

    Kalibu

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 года назад +3

    May ALLAH bless you my brother,umeniokoa ktk Giza Alhamdulillah.

  • @benedictmangoo4222
    @benedictmangoo4222 3 года назад

    Asante sana kwa mawaidha yako

  • @msafirimponda1719
    @msafirimponda1719 3 года назад

    Habari Ezden Jumanne,asante Kwa kutuelimisha naomba unielimishe kuhusu bajeti Kwa upana zaidi,asnt

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 3 года назад

    Shukran sana nimejifunza

  • @agnessmsogoya5320
    @agnessmsogoya5320 3 года назад

    Nice

  • @maishatzmartin5468
    @maishatzmartin5468 4 года назад

    Asante sana kk

  • @katanaali5083
    @katanaali5083 4 года назад +5

    Worthy practices that can indeed change the status of life. Quality staff brother,

  • @husseinbakari9618
    @husseinbakari9618 4 года назад

    Ramadhan qarim brother Asante

  • @kalundepeter2606
    @kalundepeter2606 2 года назад

    Nashukuru Sana broo unanirudisha kwenye njia🙏🙏

  • @sarahlenny1118
    @sarahlenny1118 Год назад

    Thanks mimejifunza sana kupitia ilisomo lako la Leo na nitajitaidi kujifunza zaidi.🙏

  • @justinedaudi9396
    @justinedaudi9396 3 года назад

    Mm nimekupenda sana hii

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад +2

    It's a very important Lesson in our society nowadays shukran My Brother Ezden nakielewa miaka yote 🙏🙏🙏

    • @jamesjustinian4863
      @jamesjustinian4863 3 года назад

      Ya 7 ni kujiepusha na marafiki wenye kupelekea matumizi mabaya ya fedha

  • @halimahalima7544
    @halimahalima7544 3 года назад

    Asantee Kaka nimekupenda buree

  • @johnmwaikambo8623
    @johnmwaikambo8623 4 года назад +1

    Safi sana nimeipenda hii

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Shukran

  • @medsonstarlon1781
    @medsonstarlon1781 4 года назад

    Shukrani sana sana

  • @donathkimaro1931
    @donathkimaro1931 4 года назад +5

    Ushauri wako mzuri sana tutaendelea kukusapoti na kutoa mawazo hendelevu

  • @freddyngabonziza5864
    @freddyngabonziza5864 4 года назад +1

    Mashallah Allah akubariki shukran sana

  • @sarahsarah4919
    @sarahsarah4919 4 года назад +1

    Asate sana kaka hap nimejifuza kitu mana sijuwi kutuza hela

  • @princeivan9680
    @princeivan9680 3 года назад

    Shukran broo

  • @shamsiamsaghati
    @shamsiamsaghati Год назад

    Hapa kwenye matumizi hapa sasa
    Itabidi nijitahidi kila ninachonunua niandike ili nione natumia kiasi gani ili niweze kujibajeti
    Nijue naingiza sh ngapi na kutumia sh ngapi kwa mwezi
    Shukran broo much love to you😍

  • @zaitunimchomvu3574
    @zaitunimchomvu3574 3 года назад

    Nakuelewa vizuri Sana unanifunza vitu bingi mungu akulipe

  • @bupedaudi8095
    @bupedaudi8095 3 года назад +1

    Jamani mimi nabalikiwa sana namafundisho yako. Asante sana kaka.

  • @hudaally2599
    @hudaally2599 3 года назад

    Nimekuelewa vizuri kaka ilaongeongelea pia swala la kuridhisha marafiki katika matumizi ya fedha

  • @abdallahhashim9981
    @abdallahhashim9981 Год назад

    Ezden jumanne brother mm kila nikiangalia video zako uwa napata amasa kubwa niangalie na nyingine asante sanaa

  • @ernestermpunza5252
    @ernestermpunza5252 4 года назад

    Nafurahia sana somo nzur

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 4 года назад

    somo zuri sana nikupata vyema.

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 4 года назад

    Shukran ticha

  • @darlinmandwanga6801
    @darlinmandwanga6801 3 года назад +1

    Asante Sana Kaka ezden jumanne

  • @faidhalshundi977
    @faidhalshundi977 4 года назад

    realy perfect successfuly

  • @hamismusa1016
    @hamismusa1016 4 года назад

    Shukran kaka

  • @rehemahaji4732
    @rehemahaji4732 4 года назад

    Asante kk

  • @shabaniramadhani9817
    @shabaniramadhani9817 4 года назад

    Asante kwa somo

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 3 года назад

    Asante nimekuelewa vzr Allah akujaze kheri ishaallah

  • @khadijatamimi2495
    @khadijatamimi2495 3 года назад

    Shukran sana nakufwatilia sana masomo yako yananipa mafunzo na akili ya kutulia nakusoma ni kiwa Dubai asante kaka ALLAH akuzidishie ilmu

  • @amossmbola4287
    @amossmbola4287 4 года назад +1

    Nimeipenda sana broo kwani najifunza mengi kupitia kipindi chako

    • @amossmbola4287
      @amossmbola4287 4 года назад +1

      Kipindi kizuri sana kwani chanisongesha sana mbele kimaisha nakifikra pia mtazamo chanya

  • @allfaeliasi7440
    @allfaeliasi7440 4 года назад

    Nimekusoma brother thanks

  • @mj.100onlinetz.2
    @mj.100onlinetz.2 4 года назад

    Nimekuelewa sana bro

  • @efrasiamichael2025
    @efrasiamichael2025 2 года назад

    ASANTE SANA

  • @kingssimbahh932
    @kingssimbahh932 4 года назад +1

    Nimeipenda shukran san broo

  • @ImranAhmad-rc9lg
    @ImranAhmad-rc9lg 2 года назад

    Nimeipnd cn asnt cn Ezden

  • @joycengatunga3052
    @joycengatunga3052 4 года назад +1

    Kaka, shukrani sana kwa elimu hii, ingawa nimechelewa kupata darasa, lkn nimejifunza kitu, asante sana

  • @samboy9177
    @samboy9177 4 года назад +1

    Saf sana kak

  • @dogoroma1921
    @dogoroma1921 3 года назад

    Mkn brother nimeelewq

  • @charlesmoore3615
    @charlesmoore3615 4 года назад +1

    Free class big up bro kwa mawazo yanayoishi na yenye faida!!!!!

  • @pauledward6972
    @pauledward6972 3 года назад

    Fantastic lesson bother

  • @paskalmaganga9225
    @paskalmaganga9225 4 года назад

    Nimekusoma vyema brother 🤜

  • @aletiusierasimusi4504
    @aletiusierasimusi4504 4 года назад +1

    nimekukubali sana yani ntakufatilia broo umenifunza kitu

  • @evashebby1224
    @evashebby1224 3 года назад

    Thanks bro

  • @KatemboMakata-vd1ho
    @KatemboMakata-vd1ho 11 месяцев назад

    Asante ndugu,

  • @thobiaslameck4430
    @thobiaslameck4430 3 года назад

    Nilichelewa sana kukufuatilia kaka wew ni zaid ya mwalim mungu akubariki uzidi kutoa elimu muhim kama hizi.

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 4 года назад

    Elimu nzuri kuliko ya darasan

  • @alikhamis6626
    @alikhamis6626 4 года назад

    thanks for yr hosp

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759 3 года назад +1

    thanks you for your geet thinking bro ww upo sawa sana pne nikifaniwa ww ni mchango kwangu usihofu sicomment muda mwingi but naku appreciate sana ww in term pf your topical in examinining knowledge

  • @antonpaskali8083
    @antonpaskali8083 3 года назад

    Asant