KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 83

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 2 месяца назад +13

    ni better kumsikiliza Joel siku nzima kuliko kuangalia umbea mtandaoni! ametumwa na mungu kufungua ufahamu wa watanzania!

    • @Ufugajikuku
      @Ufugajikuku Месяц назад

      Hakika @joel nanauka ❤❤❤

    • @ahz6907
      @ahz6907 7 дней назад

      kweli kabisa ila wambea wakikusikia wataandamana

  • @overabubakar4590
    @overabubakar4590 Месяц назад +2

    Kaka your the best, ninakukubali sana kwasababu unaamini katika mungu, matumaini yangu siku moja tutakutana na tutayajenga kaka, mungu akuongoze sana.

  • @Sanga_jr_24
    @Sanga_jr_24 6 месяцев назад +13

    Sijachelewa bado 😂 na pokea like za life coach @joel nanauka 👍🏿

  • @rebeccamhando9625
    @rebeccamhando9625 6 месяцев назад +7

    Hongera sana sana Joel Nanauka kwa mafundisho yako nimejifunza vitu vingi ambavyo nilikuwa sivijui na nimeyafanyia kazi mafundisho yako na nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu

  • @ChristopherNdemba-dk5ig
    @ChristopherNdemba-dk5ig 24 дня назад

    Mwalimu salaam, nahitaji sana kuwa mwanafunzi katika mafundisho yako, naomba msaada wa mawasiliano.

  • @ChristopherMilinga
    @ChristopherMilinga 24 дня назад

    Nashukurru sana umenisaidiaa kupunguza pia msongo wa mawazo baadaa ya kuaanza kusikiliza mafundisho yako mungu akubarikii,,

  • @MohdMohammed-w5v
    @MohdMohammed-w5v 22 дня назад

    Ahsante brother Joel....Maarifa makubwa sana haya.

  • @JohnNdosi-i1y
    @JohnNdosi-i1y 3 месяца назад +1

    Nimekubali anachofundisha
    Ubarikiwe Sana ndugu

  • @Jasmine_siama
    @Jasmine_siama 6 месяцев назад +4

    King of life wisedom💪💪💪

  • @HOFANKASULU
    @HOFANKASULU 6 месяцев назад +9

    naombeni like

  • @Shabirimohamed255
    @Shabirimohamed255 6 месяцев назад +2

    Mungu akujalie sana kaka, wengine faraja yetu na mwalimu wetu ni wewe

  • @AliSalumu-mg6fb
    @AliSalumu-mg6fb 4 месяца назад +1

    I like so much masomo yako,yana kuwa na mafundisho yaki nabii,nakupenda sana na mungu akubariki

  • @neemakimaro6871
    @neemakimaro6871 6 месяцев назад +3

    Go where your celebrated and appreciated 👍

  • @masalu.shineneko.nwashi
    @masalu.shineneko.nwashi 29 дней назад

    Kaka mungu akubariki

  • @godianathuman705
    @godianathuman705 6 месяцев назад +2

    Unanipa madini mazuri sana tajili wangu mwenyez mungu akujalie

  • @paulinmachlory9362
    @paulinmachlory9362 Месяц назад

    Ni kweli,Mimi ni mwaka tatu kumfuatilia na amenibadilisha Sana kitabia ,kiakili na kimwili.

  • @AminaPaulo-x1y
    @AminaPaulo-x1y 2 месяца назад

    Asante sana mungu azid kukufunulia maono makubwa zaid ili tupate elim zaid

  • @nevillekolawa5466
    @nevillekolawa5466 Месяц назад

    Yeah 👍 Joel unaongea reality sanaa

  • @MustafaShomari-nh7pn
    @MustafaShomari-nh7pn 6 месяцев назад +2

    Good work

  • @georgemuigai7427
    @georgemuigai7427 6 месяцев назад +1

    Uko vizuri Sana

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 3 месяца назад

    Brother Joel ubarikiwe Mungu akuongeze,nimepata kitu kikubwa sana kwenye hili somo

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 5 месяцев назад

    Ahsante sana kakangu Joely Joely Mungu wambinguni na nchi akubarik sanaa 🙏🙏🙏

  • @sudason8467
    @sudason8467 4 месяца назад

    Mimi nimekuelewa kaka mungu akubariki akuzidishie marifa usaide watu wengi

  • @FarajiKiberiti
    @FarajiKiberiti 6 месяцев назад +1

    One man army 💪

  • @NEEMAMOHAMED-k3j
    @NEEMAMOHAMED-k3j 6 месяцев назад

    Hongera sana na MUNGU aendelee kukutunza❤ naomba niunge kwenye group lako lolote Whatsapp

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 4 месяца назад

    📌🔨
    🙏🙏
    God bless you brother

  • @IbrahimRadjabu
    @IbrahimRadjabu 3 месяца назад

    faida kubwa sana .mungu akujaliye joel

  • @politenessjasper4100
    @politenessjasper4100 6 месяцев назад

    Mungu aendelee kukuongezea maarifa,uko vzr kaka🙏

  • @ruwaidamabrouk1797
    @ruwaidamabrouk1797 4 месяца назад

    Kaka Joel najifunza kwa kweli be bless

  • @TeopistaKombaTeopista
    @TeopistaKombaTeopista 4 месяца назад

    Kaka umeongea vitu vya maana sana. Ubarikiwe sana!!

  • @SaharaZacharia
    @SaharaZacharia Месяц назад

    Nakupenda kaka

  • @hellen9467
    @hellen9467 6 месяцев назад

    The way you're explaining kwa kwseli hii ni ya daraja nyingine

  • @Ritha-ok2hh
    @Ritha-ok2hh 6 месяцев назад

    Much appreciations kaka Joel, najifunza mengi sana kutoka kwako 🙏🙏

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 6 месяцев назад

    Wow! Yan hili somo limechanganua kila mahali penye positive na negative 🙏🙏🙏 shukran sana lemme take notes nataka niwe najikumbusha daily

  • @Mr.Wans-01
    @Mr.Wans-01 3 месяца назад

    Daaah,,, God bless you abundantly... you have changed my mindset completely!!!! Be blessed forever!

  • @ndetitave466
    @ndetitave466 5 месяцев назад

    Mungu akubaliki sana

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 6 месяцев назад

    Somo zuri Sana hili.ubarikiwe kaka joe

  • @njungedennis8227
    @njungedennis8227 6 месяцев назад

    Congratulations sir,this is for another level.
    I appreciate you..
    @kenya

  • @omarykaukuya7819
    @omarykaukuya7819 3 месяца назад

    Connection people/value
    Financial value
    Knowledge value
    Wisdom value
    Power of Authority
    Reputation people.
    Motivation people
    Physical Presence

  • @ELIAWINGAMWASHA-iw9xq
    @ELIAWINGAMWASHA-iw9xq 3 месяца назад

    Big up 🎉🎉🎉

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 6 месяцев назад

    Ahsante sana kwa maarifa

  • @jameswamburamagesa8633
    @jameswamburamagesa8633 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana kaka

  • @mariamwikedzi1638
    @mariamwikedzi1638 6 месяцев назад

    Asante kwa SoMo zuri kiongozi

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 5 месяцев назад

    kaka hili group la kujoin lina utaratibu gan ..nataman sana niwemo kaka

  • @salomemchewa690
    @salomemchewa690 6 месяцев назад

    Kaka Asante .naomba unipe namba ya kujiunga na grop .nimegundua unaweza kunisaidia sana .tena nimepata tatizo la stress ninamwezi Sasa .unaweza kunisaidia sana .asante

  • @goodluckmanji7459
    @goodluckmanji7459 2 месяца назад

    Hivi kitabu Cha timiza malengo yako,naweza kukipataje??

  • @realemma2312
    @realemma2312 2 месяца назад

    Aaaaah nikweli kabis

  • @lilianjoseph1144
    @lilianjoseph1144 4 месяца назад

    Asante nimejifunza

  • @enesnaftali7813
    @enesnaftali7813 3 месяца назад

    Asate kaka joeli kwa elimu nzuli naomba uniunge kwenye gluop lako la watsap enesi wa mbeya mjini😊

  • @maalimumachichanatangu8332
    @maalimumachichanatangu8332 6 месяцев назад

    Fact speech it always makes me to be invester

  • @muniramtika3614
    @muniramtika3614 3 месяца назад

    Eti umefungia kuku😁😁😁🤣🤣🤣umenikumbusha mbali sn kaka ang

  • @KulwaShija-qf4tf
    @KulwaShija-qf4tf 6 месяцев назад +1

    Natamani kukua kimalifa na nikiwa mwanafunzi chuon ili niweze kutegeneza rasilimali watu naomba kujoin group lako ili nipate malifa zaidi na kuchukua hatua nakubadilisha maisha yangu nikiwa chuon

  • @CalmOysters-im5lh
    @CalmOysters-im5lh 6 месяцев назад

    Kaka JOEL ni muda mrefu nakufuatilia kwa jinsi naweza kusema wewe ni mwalimu mkombozi wa fikra

  • @auguhhindo1240
    @auguhhindo1240 6 месяцев назад

    Big up bro

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 6 месяцев назад +1

    See you at the top #JAN Financial, Physical, Mental and Social Wealth...Tunaongeza knowledge.💪✊

  • @MATHEOMBILINYI
    @MATHEOMBILINYI 6 месяцев назад

    Thanks brother

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 6 месяцев назад +1

    AHSANTE

  • @everose276
    @everose276 6 месяцев назад +1

    Naomba ku join group niongezee maarifa. Nitumie namba zipi kaka?

  • @VictoriaOmela
    @VictoriaOmela 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rosemarysiame8443
    @rosemarysiame8443 3 месяца назад

    I need that group plz how can I get

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo3520 6 месяцев назад

    Nimechelewa kufika ila lakini sintachelewa kupata maarifa....

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 6 месяцев назад

    Kaka joel unafundisha vizur..ila ukiwa unaongea kwa kingereza tafsiri kaka ili twende pamoja

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 4 месяца назад

    Brother j naomba link ya group

  • @EmmanuelNdebile
    @EmmanuelNdebile 6 месяцев назад

    Kaka naomba unisadiee link ya group

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 6 месяцев назад

    Kaka naomba na mm link ya group

  • @HildaJuma-c4z
    @HildaJuma-c4z 4 месяца назад

    Bro naomba link ya group

  • @HARUNANFINULA-wf9cb
    @HARUNANFINULA-wf9cb 6 месяцев назад

    Naomba namba ya group kaka

  • @Paul-g8t
    @Paul-g8t 6 месяцев назад +1

    How is everything Brother Joel,❤, naomba nijiunge group lako lolote hata Whatsapp.

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 6 месяцев назад

    KUMBE KUNA CONTACT NA NETWORK
    ASANTE

  • @officialmagreth479
    @officialmagreth479 4 месяца назад

    kuku😂😂😂😂😊

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂Yeah 😂😂i know 😂😂

  • @IbrahimRadjabu
    @IbrahimRadjabu 3 месяца назад

    faida kubwa sana .mungu akujaliye joel

  • @muniramtika3614
    @muniramtika3614 3 месяца назад

    Eti umefungia kuku😁😁😁🤣🤣🤣umenikumbusha mbali sn kaka ang

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 6 месяцев назад

    Thank brother

    • @EmmanuelNdebile
      @EmmanuelNdebile 6 месяцев назад

      Bro nashukuru sana kukufahamu nimekuwa na mwanga wa maisha

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 5 месяцев назад

    nakuelewa sasa kaka Joel napata faraja sana hata kama napitia kipindi fulani kigumu kwangu ila napata kitu ....thnx a lot

  • @IbrahimRadjabu
    @IbrahimRadjabu 3 месяца назад

    faida kubwa sana .mungu akujaliye joel

  • @olivertadeo6991
    @olivertadeo6991 4 месяца назад

    😂😂 kumbe empty hongera sana mtumishi wa Mungu

  • @DanielAckley
    @DanielAckley 5 месяцев назад

    Thanks more than that brother