Hongera sana sana Joel Nanauka kwa mafundisho yako nimejifunza vitu vingi ambavyo nilikuwa sivijui na nimeyafanyia kazi mafundisho yako na nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu
Kaka Asante .naomba unipe namba ya kujiunga na grop .nimegundua unaweza kunisaidia sana .tena nimepata tatizo la stress ninamwezi Sasa .unaweza kunisaidia sana .asante
Natamani kukua kimalifa na nikiwa mwanafunzi chuon ili niweze kutegeneza rasilimali watu naomba kujoin group lako ili nipate malifa zaidi na kuchukua hatua nakubadilisha maisha yangu nikiwa chuon
ni better kumsikiliza Joel siku nzima kuliko kuangalia umbea mtandaoni! ametumwa na mungu kufungua ufahamu wa watanzania!
Hakika @joel nanauka ❤❤❤
kweli kabisa ila wambea wakikusikia wataandamana
Kaka your the best, ninakukubali sana kwasababu unaamini katika mungu, matumaini yangu siku moja tutakutana na tutayajenga kaka, mungu akuongoze sana.
Sijachelewa bado 😂 na pokea like za life coach @joel nanauka 👍🏿
Kweli
Hongera sana sana Joel Nanauka kwa mafundisho yako nimejifunza vitu vingi ambavyo nilikuwa sivijui na nimeyafanyia kazi mafundisho yako na nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu
Mwalimu salaam, nahitaji sana kuwa mwanafunzi katika mafundisho yako, naomba msaada wa mawasiliano.
Nashukurru sana umenisaidiaa kupunguza pia msongo wa mawazo baadaa ya kuaanza kusikiliza mafundisho yako mungu akubarikii,,
Ahsante brother Joel....Maarifa makubwa sana haya.
Nimekubali anachofundisha
Ubarikiwe Sana ndugu
King of life wisedom💪💪💪
naombeni like
Mungu akujalie sana kaka, wengine faraja yetu na mwalimu wetu ni wewe
I like so much masomo yako,yana kuwa na mafundisho yaki nabii,nakupenda sana na mungu akubariki
Go where your celebrated and appreciated 👍
Kaka mungu akubariki
Unanipa madini mazuri sana tajili wangu mwenyez mungu akujalie
Ni kweli,Mimi ni mwaka tatu kumfuatilia na amenibadilisha Sana kitabia ,kiakili na kimwili.
Asante sana mungu azid kukufunulia maono makubwa zaid ili tupate elim zaid
Yeah 👍 Joel unaongea reality sanaa
Good work
Uko vizuri Sana
Brother Joel ubarikiwe Mungu akuongeze,nimepata kitu kikubwa sana kwenye hili somo
Ahsante sana kakangu Joely Joely Mungu wambinguni na nchi akubarik sanaa 🙏🙏🙏
Mimi nimekuelewa kaka mungu akubariki akuzidishie marifa usaide watu wengi
One man army 💪
Hongera sana na MUNGU aendelee kukutunza❤ naomba niunge kwenye group lako lolote Whatsapp
📌🔨
🙏🙏
God bless you brother
faida kubwa sana .mungu akujaliye joel
Mungu aendelee kukuongezea maarifa,uko vzr kaka🙏
Kaka Joel najifunza kwa kweli be bless
Kaka umeongea vitu vya maana sana. Ubarikiwe sana!!
Nakupenda kaka
The way you're explaining kwa kwseli hii ni ya daraja nyingine
Much appreciations kaka Joel, najifunza mengi sana kutoka kwako 🙏🙏
Wow! Yan hili somo limechanganua kila mahali penye positive na negative 🙏🙏🙏 shukran sana lemme take notes nataka niwe najikumbusha daily
Daaah,,, God bless you abundantly... you have changed my mindset completely!!!! Be blessed forever!
Mungu akubaliki sana
Somo zuri Sana hili.ubarikiwe kaka joe
Congratulations sir,this is for another level.
I appreciate you..
@kenya
Connection people/value
Financial value
Knowledge value
Wisdom value
Power of Authority
Reputation people.
Motivation people
Physical Presence
Big up 🎉🎉🎉
Ahsante sana kwa maarifa
Ubarikiwe sana kaka
Asante kwa SoMo zuri kiongozi
kaka hili group la kujoin lina utaratibu gan ..nataman sana niwemo kaka
Kaka Asante .naomba unipe namba ya kujiunga na grop .nimegundua unaweza kunisaidia sana .tena nimepata tatizo la stress ninamwezi Sasa .unaweza kunisaidia sana .asante
Hivi kitabu Cha timiza malengo yako,naweza kukipataje??
Aaaaah nikweli kabis
Asante nimejifunza
Asate kaka joeli kwa elimu nzuli naomba uniunge kwenye gluop lako la watsap enesi wa mbeya mjini😊
Fact speech it always makes me to be invester
Eti umefungia kuku😁😁😁🤣🤣🤣umenikumbusha mbali sn kaka ang
Natamani kukua kimalifa na nikiwa mwanafunzi chuon ili niweze kutegeneza rasilimali watu naomba kujoin group lako ili nipate malifa zaidi na kuchukua hatua nakubadilisha maisha yangu nikiwa chuon
Kaka JOEL ni muda mrefu nakufuatilia kwa jinsi naweza kusema wewe ni mwalimu mkombozi wa fikra
Big up bro
See you at the top #JAN Financial, Physical, Mental and Social Wealth...Tunaongeza knowledge.💪✊
Thanks brother
AHSANTE
Naomba ku join group niongezee maarifa. Nitumie namba zipi kaka?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I need that group plz how can I get
Nimechelewa kufika ila lakini sintachelewa kupata maarifa....
Kabisa. Better late than never
Kaka joel unafundisha vizur..ila ukiwa unaongea kwa kingereza tafsiri kaka ili twende pamoja
Brother j naomba link ya group
Kaka naomba unisadiee link ya group
Kaka naomba na mm link ya group
Bro naomba link ya group
Naomba namba ya group kaka
How is everything Brother Joel,❤, naomba nijiunge group lako lolote hata Whatsapp.
KUMBE KUNA CONTACT NA NETWORK
ASANTE
kuku😂😂😂😂😊
😂😂😂😂😂Yeah 😂😂i know 😂😂
faida kubwa sana .mungu akujaliye joel
Eti umefungia kuku😁😁😁🤣🤣🤣umenikumbusha mbali sn kaka ang
Thank brother
Bro nashukuru sana kukufahamu nimekuwa na mwanga wa maisha
nakuelewa sasa kaka Joel napata faraja sana hata kama napitia kipindi fulani kigumu kwangu ila napata kitu ....thnx a lot
faida kubwa sana .mungu akujaliye joel
😂😂 kumbe empty hongera sana mtumishi wa Mungu
Thanks more than that brother