Ni kweli kabisa kaka. Kiburi ni miongoni mwa vikwazo (miba,) vya mtu kuendelea kusonga mbele. Natamani watu wote tungekuwa na ufahamu huu. Neno la Mungu limeweka wazi kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi na anawapa wanyenyekevu neema. Asante kwa somo zuri mtaalam🙏
Kaka @joelnanauka yan leo unenigusa mimi aisee,mtu wa aina hii ninae naishi nae yani ni shida sifa zote apo anazo yan kuna muda mpaka unamuurumia maana kuna vitu ananjifanya anajua kumbe ajui ila kwakuwa ataki ushirikiano wala ushauri ye kilakitu anahisi anaweza.Daaah ni hatari sana
Uzuri nimejifunza mengi sana toka nikujue na sikitambo huu mwezi tu watu 2024 lkn nimepona aliyo kuwa yananisumbua na bado,ee MUNGU mbariki huyu mtumishi wako
Ak Mimi Niko na kiburi tena sungu kira siku najaribu itoke Dani yangu sai Niko na 29 years. Cjawai ingia Kwa usiano na mtu tukaa mezi ata miwili . Nifunze jisi kiburi itatoka Dani yangu Niko tayari kujifuza juu ni kitu nayaribu itoke Dani yangu paka nimeshindwa sazingine na kaa mbali na watu
Jitahidi na maombi ukiona kitu unajaribu kukiacha na unashindwa jitihada Kama binadamu unashindwa ...inaitaji msaada wa Mungu kwa sababu linakuwa Jambo la kiroho zaidi
Ni kweli kiburi si. Uungwana. Ni vema kuweka nidhamu Kila mtu, Rika na hali tofauti kwani mungu anamakusudio yake kwa Kila jambo
Ni kweli kabisa kaka. Kiburi ni miongoni mwa vikwazo (miba,) vya mtu kuendelea kusonga mbele. Natamani watu wote tungekuwa na ufahamu huu. Neno la Mungu limeweka wazi kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi na anawapa wanyenyekevu neema. Asante kwa somo zuri mtaalam🙏
MUNGU MUNGU....MUNGU WANGU ASANTE
Na unyenyekevu pia ukizidi sana. Unaonekana unajipendekeza. Kilakitu Kwa kiasi. Unyenyekevu Kwa kiasi kiburi Kwa kiasi
Be blessed Always Ameen
Nashkur sana mola mwenyezi kwa mja wsko huyu kunikumbusha jambo muhimu
Barikiwa mtu WA Mungu nimefatilia nikaona sain nyingi zipo ndani yangu bila kujua ila nimechukua hatua ya maombi
Mungu tusaidie viongozi wengi huangukia hapo😢
Niko huru kwa Yale uliyoyaelezea simo nashukuru Mungu.
Kiburi ni vazi la Mungu, tujiepushe sana na kiburi.
Ila binafsi najitahidi kukiepuka kiburi huwa nashindwa Mr Joel naomba ushauri kitu gani bado hakijakaa sawa hapo #joelnanauka
Kaka @joelnanauka yan leo unenigusa mimi aisee,mtu wa aina hii ninae naishi nae yani ni shida sifa zote apo anazo yan kuna muda mpaka unamuurumia maana kuna vitu ananjifanya anajua kumbe ajui ila kwakuwa ataki ushirikiano wala ushauri ye kilakitu anahisi anaweza.Daaah ni hatari sana
Uzuri nimejifunza mengi sana toka nikujue na sikitambo huu mwezi tu watu 2024 lkn nimepona aliyo kuwa yananisumbua na bado,ee MUNGU mbariki huyu mtumishi wako
Kwakweli kiburu nimbaya sana na hufanya ukakosa baraka.na piakijifunghia hata watu wakakuonghopa pia
Mwenye kuvaa joha la kiburi ni mwenyezi.mungu tu.na atakaevaa joha hilo ni motoni tu.
Vita mbalimbali katika maisha huwafanya maadui kuwatuhumu wahanga wao kuwa 'wenye kiburi'.
Exactly kaka uko sahihi ❤❤
Ubalikiwe sana
Kiburi ni ukinzani dhidi ya dharau na maumivu ya kihisia dhidi ya watu wengine.
Nakuelewa sana kaka Joel.
Mungu nisaidie ktk jitihada nifanyazo kuondoa Kiburi
Mwenyezimungu pia hampendi mtu mwenye kiburi..na mwenye kibuli mungu kamuahidi moton..Kuna lafiki zangu walikuwaga ivyo nimewablok na kufuta namba zao
Unyenyekevu ni Siri kubwa ya kuenda mbali maishani
MUNGU nisaidie mimi mwanadamu nione kila mtu akiwa na thamani.
Ahsante
Mungu akubaliki kwa hii kazi yako inanisaidia sn
Boss kama boss😊
Ubarikiwe xanaaa , xomo nzuri sanaaaa
See you at the top JAN 🇹🇿
Kaka swadacta..
🙏🙏🙏 shukran sana kwa somo zuri sana
Acha nijichunguze kiburi changu kipo wapi
Kiburi chako wewe ni ukishiba tu ndio unakiburi.
@@mohamededdi7527 😅😅😅jamn em nihakikishe kwanza baada ya ftari nitakuwa nacho au lah
@@janetmbwana553 wee jiangalie baada ya ftari utakiona kiburi.
@@mohamededdi7527 sio kweli bhana acha nikague maeneo mengine 😁
Kuna maisha yanatulazimisha kutumia kiburi kama silaha,mfano huku uarabuni bila kuwa na kiburi hutoboi 😂😂
Ak Mimi Niko na kiburi tena sungu kira siku najaribu itoke Dani yangu sai Niko na 29 years. Cjawai ingia Kwa usiano na mtu tukaa mezi ata miwili . Nifunze jisi kiburi itatoka Dani yangu Niko tayari kujifuza juu ni kitu nayaribu itoke Dani yangu paka nimeshindwa sazingine na kaa mbali na watu
Jitahidi na maombi ukiona kitu unajaribu kukiacha na unashindwa jitihada Kama binadamu unashindwa ...inaitaji msaada wa Mungu kwa sababu linakuwa Jambo la kiroho zaidi
🎉🎉🎉🎉🎉
See you at the top
Shukran kaka ila ni namna gani yakutoka kwa kiburi?????
I'm not i the first!
Nimekuelewa kaka ila naomba namna ya kutoka kwa kiburi
Thanks a lot
Njia ya kumsaidia mtu mwenye kiburi.?
Mmh
Nikwel kabsa kuna muda mtu anakuwa na kiburi kwa kutotaka majadiliano hii nimeliona kabsa kwa mtu Flani
Mmh