LIFE WISDOM : MADHARA YA KUWA NA KIBURI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 48

  • @VeronicaYenga
    @VeronicaYenga 14 дней назад +1

    Ni kweli kiburi si. Uungwana. Ni vema kuweka nidhamu Kila mtu, Rika na hali tofauti kwani mungu anamakusudio yake kwa Kila jambo

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 10 месяцев назад +6

    Ni kweli kabisa kaka. Kiburi ni miongoni mwa vikwazo (miba,) vya mtu kuendelea kusonga mbele. Natamani watu wote tungekuwa na ufahamu huu. Neno la Mungu limeweka wazi kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi na anawapa wanyenyekevu neema. Asante kwa somo zuri mtaalam🙏

  • @RonaJumanne
    @RonaJumanne 10 месяцев назад +1

    MUNGU MUNGU....MUNGU WANGU ASANTE

  • @RamadhaniMpwatile
    @RamadhaniMpwatile 10 месяцев назад +4

    Na unyenyekevu pia ukizidi sana. Unaonekana unajipendekeza. Kilakitu Kwa kiasi. Unyenyekevu Kwa kiasi kiburi Kwa kiasi

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 3 месяца назад +1

    Be blessed Always Ameen

  • @AhmedyNassoro
    @AhmedyNassoro 28 дней назад

    Nashkur sana mola mwenyezi kwa mja wsko huyu kunikumbusha jambo muhimu

  • @JoyicMwangende
    @JoyicMwangende 10 месяцев назад +1

    Barikiwa mtu WA Mungu nimefatilia nikaona sain nyingi zipo ndani yangu bila kujua ila nimechukua hatua ya maombi

  • @EliasGwaya
    @EliasGwaya 4 месяца назад +1

    Mungu tusaidie viongozi wengi huangukia hapo😢

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 10 месяцев назад +1

    Niko huru kwa Yale uliyoyaelezea simo nashukuru Mungu.

  • @MrJuma-in5io
    @MrJuma-in5io 2 месяца назад

    Kiburi ni vazi la Mungu, tujiepushe sana na kiburi.

  • @EDMUNDSOSPETER
    @EDMUNDSOSPETER 10 месяцев назад +1

    Ila binafsi najitahidi kukiepuka kiburi huwa nashindwa Mr Joel naomba ushauri kitu gani bado hakijakaa sawa hapo #joelnanauka

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 10 месяцев назад +1

    Kaka @joelnanauka yan leo unenigusa mimi aisee,mtu wa aina hii ninae naishi nae yani ni shida sifa zote apo anazo yan kuna muda mpaka unamuurumia maana kuna vitu ananjifanya anajua kumbe ajui ila kwakuwa ataki ushirikiano wala ushauri ye kilakitu anahisi anaweza.Daaah ni hatari sana

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 10 месяцев назад +1

    Uzuri nimejifunza mengi sana toka nikujue na sikitambo huu mwezi tu watu 2024 lkn nimepona aliyo kuwa yananisumbua na bado,ee MUNGU mbariki huyu mtumishi wako

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 10 месяцев назад +1

    Kwakweli kiburu nimbaya sana na hufanya ukakosa baraka.na piakijifunghia hata watu wakakuonghopa pia

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 10 месяцев назад +2

    Mwenye kuvaa joha la kiburi ni mwenyezi.mungu tu.na atakaevaa joha hilo ni motoni tu.

  • @EmayNgayda-in9gx
    @EmayNgayda-in9gx 10 месяцев назад

    Vita mbalimbali katika maisha huwafanya maadui kuwatuhumu wahanga wao kuwa 'wenye kiburi'.

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 10 месяцев назад +1

    Exactly kaka uko sahihi ❤❤

  • @shukuranirebecca4877
    @shukuranirebecca4877 10 месяцев назад +1

    Ubalikiwe sana

  • @EmayNgayda-in9gx
    @EmayNgayda-in9gx 10 месяцев назад +1

    Kiburi ni ukinzani dhidi ya dharau na maumivu ya kihisia dhidi ya watu wengine.

  • @upendofuraha
    @upendofuraha 10 месяцев назад +1

    Nakuelewa sana kaka Joel.
    Mungu nisaidie ktk jitihada nifanyazo kuondoa Kiburi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 10 месяцев назад +3

    Mwenyezimungu pia hampendi mtu mwenye kiburi..na mwenye kibuli mungu kamuahidi moton..Kuna lafiki zangu walikuwaga ivyo nimewablok na kufuta namba zao

  • @tsongokauta5911
    @tsongokauta5911 10 месяцев назад +1

    Unyenyekevu ni Siri kubwa ya kuenda mbali maishani

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 10 месяцев назад

    MUNGU nisaidie mimi mwanadamu nione kila mtu akiwa na thamani.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 10 месяцев назад

    Ahsante

  • @MSHINDICLEMENCE
    @MSHINDICLEMENCE 10 месяцев назад

    Mungu akubaliki kwa hii kazi yako inanisaidia sn

  • @NTC-LIMITED
    @NTC-LIMITED 10 месяцев назад

    Boss kama boss😊

  • @khajirmussa
    @khajirmussa 10 месяцев назад

    Ubarikiwe xanaaa , xomo nzuri sanaaaa

  • @jacksontumaini9108
    @jacksontumaini9108 10 месяцев назад

    See you at the top JAN 🇹🇿

  • @tawakaliramadhani1352
    @tawakaliramadhani1352 10 месяцев назад

    Kaka swadacta..

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 10 месяцев назад

    🙏🙏🙏 shukran sana kwa somo zuri sana
    Acha nijichunguze kiburi changu kipo wapi

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 10 месяцев назад +2

      Kiburi chako wewe ni ukishiba tu ndio unakiburi.

    • @janetmbwana553
      @janetmbwana553 10 месяцев назад +1

      @@mohamededdi7527 😅😅😅jamn em nihakikishe kwanza baada ya ftari nitakuwa nacho au lah

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 10 месяцев назад +1

      @@janetmbwana553 wee jiangalie baada ya ftari utakiona kiburi.

    • @janetmbwana553
      @janetmbwana553 10 месяцев назад

      @@mohamededdi7527 sio kweli bhana acha nikague maeneo mengine 😁

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 8 месяцев назад +1

    Kuna maisha yanatulazimisha kutumia kiburi kama silaha,mfano huku uarabuni bila kuwa na kiburi hutoboi 😂😂

  • @veronicawangari8089
    @veronicawangari8089 10 месяцев назад +1

    Ak Mimi Niko na kiburi tena sungu kira siku najaribu itoke Dani yangu sai Niko na 29 years. Cjawai ingia Kwa usiano na mtu tukaa mezi ata miwili . Nifunze jisi kiburi itatoka Dani yangu Niko tayari kujifuza juu ni kitu nayaribu itoke Dani yangu paka nimeshindwa sazingine na kaa mbali na watu

    • @lizybethpeter6124
      @lizybethpeter6124 10 месяцев назад +1

      Jitahidi na maombi ukiona kitu unajaribu kukiacha na unashindwa jitihada Kama binadamu unashindwa ...inaitaji msaada wa Mungu kwa sababu linakuwa Jambo la kiroho zaidi

  • @oscarj....5979
    @oscarj....5979 10 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MikwaloSalehe
    @MikwaloSalehe 10 месяцев назад

    See you at the top

  • @IbrahimDaudi-bo7ke
    @IbrahimDaudi-bo7ke 10 месяцев назад

    Shukran kaka ila ni namna gani yakutoka kwa kiburi?????

  • @andrew0502
    @andrew0502 10 месяцев назад

    I'm not i the first!

  • @SamKanono
    @SamKanono 10 месяцев назад

    Nimekuelewa kaka ila naomba namna ya kutoka kwa kiburi

  • @azizabakarimsologoni.49
    @azizabakarimsologoni.49 10 месяцев назад

    Thanks a lot

  • @BestinaCleti
    @BestinaCleti 10 месяцев назад

    Njia ya kumsaidia mtu mwenye kiburi.?

  • @andrew0502
    @andrew0502 10 месяцев назад

    Mmh

  • @paulmayombe4336
    @paulmayombe4336 10 месяцев назад

    Nikwel kabsa kuna muda mtu anakuwa na kiburi kwa kutotaka majadiliano hii nimeliona kabsa kwa mtu Flani

  • @cutieprecious7809
    @cutieprecious7809 10 месяцев назад

    Mmh