JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 94

  • @ModestusKibasa
    @ModestusKibasa 8 месяцев назад +44

    🎉🎉❤bro i promise nitakuwa mtu mkubwa apa nchini na nitakua wealth lkn naomba uifadhi hii text nitakapo kutana na wew nitataka uirudie hii text sir. GOD BLESS U

  • @HanifaChalresy
    @HanifaChalresy 8 месяцев назад +7

    Napenda Sana vile ukitoa somo unaingia kweye somo moja kwa moja huna Mambo mengi ya kumchosha msikilizaji

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng 8 месяцев назад +9

    Naona jinsi nnavopiga hatua Kwa kufatilia elimu yako Asante sana

  • @melodymutio727
    @melodymutio727 7 месяцев назад +3

    Amen,mimi nina 48yrs but i believe ican do something after many years of making Mistakes in life,see you at the top!

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 Месяц назад

    Mungu akubariki kaka Joel nimekuwa nikikufatilia kwa muda sasa umenifanya nijitambue Mimi ni nani na nifanye kitu gani,What I promise lazima niache Legacy

  • @AngelMichael-hz8ms
    @AngelMichael-hz8ms 8 месяцев назад +3

    really I see you "at the top" napata uelewa zaidi kupitia lesson zako

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 8 месяцев назад +1

    Amina Amina, Naona uyu n mimi ntasonga mbele na juu Zaid in Jesus name, Bidii pekee haiwezi kukupeleka mbali bila Mungu, Mungu na Bidii usiviache, see You at the Top

  • @victorchiwai8831
    @victorchiwai8831 8 месяцев назад +3

    Safi prof joel nanauka.naendelea kujifunza Niko Nairobi,kenya

  • @HamisMaulid-q7c
    @HamisMaulid-q7c 8 месяцев назад +4

    I'm from Comoro, Mr Joel you are the true meaning of a life coach God bless you👑🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  8 месяцев назад

      Thank you so much, let’s keep on learning 🙏🙏🙏

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa Месяц назад

    Mungu azidi kukubariki sana kaka Joel naendelea kujifunza 🙏🙏

  • @paulissayapaul4819
    @paulissayapaul4819 8 месяцев назад +1

    Nitaijurisha Dunia kuwa thamani yangu inaitajika sehemu furani one day maana wakati sahihi utakapo fika ❤

  • @fabriceabedi8606
    @fabriceabedi8606 8 месяцев назад +1

    I'm from Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩,i just like your speech too much🎉❤

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 8 месяцев назад +3

    Mungu akubariki sana kakaangu umefanyika baraka sana

  • @MericyMdegela
    @MericyMdegela 6 месяцев назад

    Be blessed my mentor nakufatilia since2019 nkiwa form four najifunza kitu .....2024 ni mwaka wangu God be be with me......🔥🔥God bless you 🙏

  • @fridamwalongo9892
    @fridamwalongo9892 5 месяцев назад

    Asante sana Kaka Joel Nanauka Hakika elimu yako inaniongezea hatua saaana,Najikuta nasonga mbele kwa ujasiri mkubwa kila siku❤🎉

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 Месяц назад +1

    Kweli Baba

  • @MalongoRichard-md5dv
    @MalongoRichard-md5dv 8 месяцев назад +2

    Asanteee sana Mr joelnanauka nimebarikiwa sana rafiki Angu

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 3 месяца назад

    Hili somo lina nibariki nalirudia kila wakati

  • @mansourkhamis457
    @mansourkhamis457 8 месяцев назад

    Speaker Pekee ninaemkubali dunia nzima ni Mr Joel Nanauka 🎉

  • @rollahngimbwa6978
    @rollahngimbwa6978 8 месяцев назад

    Shukrani sana kaka Joel 🙏🏽🙏🏽, kila siku nifunza mambo mapya. Hakika kila siku nakuza maarifa na fikra zangu kupitia kwako.
    God bless you kaka Joel🙏🏽🙏🏽

  • @IsmailHassan-ql8fj
    @IsmailHassan-ql8fj 8 месяцев назад

    Mungu Amemleta Abraham kwa wanaIstraeli❤❤

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 7 месяцев назад

    Kaka zawadi Yako mungu akupe kibali zaidi

  • @doughlasoburu
    @doughlasoburu 2 месяца назад

    This is inspirational,what is your price I bet you should come home in Siaya,Kenya .

  • @bertinIgnas
    @bertinIgnas 4 месяца назад

    Napata nguvu mno ninapokusikiliza, mungu akubariki sana.

  • @jescaaloyce3485
    @jescaaloyce3485 8 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana bro 😊

  • @gabrielmhina8216
    @gabrielmhina8216 8 месяцев назад

    Kaka Joel unatisha, ubarkiwe sana. Utatuvusha.

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 4 месяца назад

    Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu kw..hii.. video asante sana 🙏🙏🇧🇭🇧🇭

  • @AlexVenance-s1b
    @AlexVenance-s1b 2 месяца назад

    Brother Asante sana kwa somo zurii

  • @Saranabwire
    @Saranabwire 4 месяца назад

    Nashukuru kwa mafundisho yako bro

  • @marymatenga4038
    @marymatenga4038 8 месяцев назад +1

    Asant sana kwa somo zuri,.tumekuona Mwanza airport leo,tulifrahi.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  8 месяцев назад

      Nashukuru sana sana 👏🏽👏🏽

  • @ibrahimyoungtz
    @ibrahimyoungtz 5 месяцев назад

    asante sana kaka umenipa somo kubwa sana naanza kuyafanyia kazi sasa ili niweze kuishinda hofu yangu Mungu akubariki sana🙌🙏

  • @charlesligonja857
    @charlesligonja857 8 месяцев назад +2

    Ndugu yangu wewe ni baraka kwa wengi

  • @alexandermajula7268
    @alexandermajula7268 8 месяцев назад +1

    Asante sana Joel 🙏🙏🙏🙏

  • @mwashamyusuph7552
    @mwashamyusuph7552 8 месяцев назад +1

    Life transforming thank you Nanauka

  • @kotemakutesi5294
    @kotemakutesi5294 8 месяцев назад +1

    God bless you

  • @josephisrael508
    @josephisrael508 8 месяцев назад +1

    👏👏 mentor

  • @Nickbrown127
    @Nickbrown127 8 месяцев назад

    Jamaa anaonekana ni msomaji mzuri wa vitabu. ❤

  • @priscashairock2679
    @priscashairock2679 8 месяцев назад

    God bless you
    Najifunza mno...
    Maisha yangu yamebadilika

  • @PiliHamisi-l7e
    @PiliHamisi-l7e 5 месяцев назад

    Asante sana kaka

  • @upendochenela8000
    @upendochenela8000 7 месяцев назад

    Kuanzia Leo mwaka huu nitaruka Kama tai❤🎉

  • @UpendoJacob-n3j
    @UpendoJacob-n3j 8 месяцев назад

    Kaziyako ni zuri sana kaka Mungu akubariki sana

  • @lilianjoseph1144
    @lilianjoseph1144 7 месяцев назад

    Noted.see me at the TOP

  • @AlexVenance-s1b
    @AlexVenance-s1b 4 месяца назад

    Be blessed brother 🙏

  • @mercynathan7651
    @mercynathan7651 8 месяцев назад +2

    Mm N mtu mkubwa sana na nitakuwa tajiri ndani ya miaka mitano Ii kufikia mwaka 2030 lazma niwe tajiri mkubwa Tz

  • @Mama-A
    @Mama-A 8 месяцев назад

    I didn't know there's something like Baby friends.....kenya is well represented

  • @geophreymisheck4031
    @geophreymisheck4031 7 месяцев назад

    Ubarikiwe sana sitachoka kukufuatilia

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 2 месяца назад

    Asante

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma 8 месяцев назад +1

    Kwa kutumia hii Semina naweka rekodi hapa,nitakuja kuandika ushuhuda mrefu sana.Sioni sababu ya kulala,naamka nimpige Mike Tyson.Naamka kuisaka Goals zangu kama Oxygen.

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 8 месяцев назад

    Naendelea kukufatilia❤❤❤

  • @janethWoisso-r4q
    @janethWoisso-r4q 7 месяцев назад

    Love it, najifunza kitu hapa

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 8 месяцев назад

    Mungu mwenyezi naomba ukilinde kichwa hiki kwa faida ya kizazi kijacho.Joel,kila herufi unayoitoa kwenye kinywa chako ina thamani kuliko dhahabu yenye kilo 20.Asante sana.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  8 месяцев назад

      Ameen Ameeen Ahsante sana sana🙏

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 8 месяцев назад +1

    Shukrani kaka❤❤

  • @magrethhhayuma6087
    @magrethhhayuma6087 8 месяцев назад

    Good motivation

  • @Irene-rt4bf
    @Irene-rt4bf 8 месяцев назад

    Barikiwa ndugu

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 8 месяцев назад

    Tunakuchukuru sana

  • @ArafatiDua
    @ArafatiDua 8 месяцев назад

    Asante kwa somo ziri

  • @RuthMomanyi-bh3ez
    @RuthMomanyi-bh3ez 8 месяцев назад

    NASHUKURU TU MAANA NAJIFUNZA

  • @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
    @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 8 месяцев назад +4

    Ni vyema kama serikal ikikupa nafasi wew na tim yako kutoa hii elimu mashulen o-level na advance kwa form 4 na 6 itakua nzur zaid

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 8 месяцев назад +1

    😂😂😂 yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Unapoint nzur sana. Shukran sana

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 8 месяцев назад

    Pamoja na kuku fuatilia video zako za kila siku sasa nina hitaji kuhudhulia kwenye semina zako sija jua taratibu zako za simina zako.

  • @ThabitJadi-g2b
    @ThabitJadi-g2b 8 месяцев назад

    Bro uko vzir sna ❤❤

  • @saulamakungu7280
    @saulamakungu7280 4 месяца назад +1

    Mimi waleo ni wathamani sitatumika bure kuanzialeo mimi ni thamani hii miezi 6 iliyoboki nitakuwa wathamani

  • @AmosBunzari
    @AmosBunzari 6 месяцев назад

    Nimebarikiwa kupitia hisemina naaza kuandaa ushindi

  • @rithamalisa4636
    @rithamalisa4636 8 месяцев назад +1

    Mm sikufatilii tu bali nafanya n unacho kifundishaa naamin nitakua mtu wa tofauti sana miaka kumi ijayo i will be the best na mungu anisaidie 🙏

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 8 месяцев назад

    Asante

  • @NtayandiLeonard
    @NtayandiLeonard 8 месяцев назад +1

    🙏

  • @RaelBosibori-qn7sl
    @RaelBosibori-qn7sl Месяц назад

    🔥🔥🔥🙏🙏

  • @DenisWamala-t3j
    @DenisWamala-t3j 8 месяцев назад

    Kaka Mimi nakufatilia sana toka 2019 naninapambana sana wakati unakuja ntatoa nilichokua nafanya kupitia masomo yako

  • @SkaVin-fz5hf
    @SkaVin-fz5hf 8 месяцев назад

    Nzr

  • @Peterhodram475
    @Peterhodram475 8 месяцев назад

    Kaka nimekufuatiria kwa mda sasa wa mwaka na miezi toka ninalize elimu yangu ya secondary lakin bado naendelea nimejifunza mengi Sana toka kwako naomba unifundishe kuhusu kutengeneza fedha ukiwa chuon

  • @epunguson123
    @epunguson123 8 месяцев назад

    Kaka nimekuelewa

  • @JoshuaNk-d7h
    @JoshuaNk-d7h День назад

    Kk nataka nishiri masemina sako nafanyaje ili niwe moja

  • @LusanaJohn
    @LusanaJohn 5 месяцев назад

    Hata mm kuanzia sasa naanza kuishinda hofu yangu

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂Eti chura alikuwa kiziwi alijuwa anapewa moyo❤kumbe walikua wanamcheka😂😂😂😂

  • @JamalPaulo-jt1ju
    @JamalPaulo-jt1ju 6 месяцев назад

    NIKIWA NAKUSIKILIZA youtube NI KAMA VILE TUKOWOTE DARASANI . SICHOKI KUKUSIKILIZA . UBARIKIWE SAAANA ,P6

  • @LusanaJohn
    @LusanaJohn 5 месяцев назад

    Naomba namba zako

  • @kabibiscovia9141
    @kabibiscovia9141 8 месяцев назад

    kupitia ww lazm niwe Tajiri 2026, nitakua nimekuza jina lang

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 4 месяца назад

    👏👏👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉🇨🇩

  • @Saranabwire
    @Saranabwire 4 месяца назад

    Nimesikiza hadi mwisho MM sio kuku ila MM ni tai

  • @NtayandiLeonard
    @NtayandiLeonard 8 месяцев назад

    🙏