Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 авг 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Комментарии • 221

  • @scholasticamarandu4762
    @scholasticamarandu4762 3 месяца назад +2

    Mungu nipe hii neema ya kukutana na hawa watu Muhimu
    Amina

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 2 года назад +13

    Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana

  • @ebrojohn9406
    @ebrojohn9406 8 месяцев назад +2

    Mmoja wa watu mhimu maishani mwangu ni wewe Joel Nina Imani Mungu alikuleta for me 🙏🙏🙏

  • @mrlusindetzb8399
    @mrlusindetzb8399 2 года назад +14

    Kaka mungu akulinde sana maana unatufanya tuwe na muonekano mwingine katika maisha yetu may God bless you my brother 100%

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 20 дней назад

    Mungu nijalie kupata rafiki mzuri atakaesimama na mimi

  • @NelsonYohane-kh8qy
    @NelsonYohane-kh8qy 21 день назад

    Ubarikiwe sana Joel unanifundisha vitu vingi sana

  • @CharamKabul
    @CharamKabul 20 дней назад

    God bless you,,, umenijenga kiakili vzr sana kaka

  • @judithnyawanda1934
    @judithnyawanda1934 9 месяцев назад +2

    Through you I have moved from point A to B in my life, keep it up Joel I am listening from Mombasa Kenya.

  • @liliansindiyo1214
    @liliansindiyo1214 3 месяца назад +1

    Joel ubarikiwe sana, nakuelewa sana

  • @Oderabrenda
    @Oderabrenda Месяц назад

    May God bless you for the teaching.Akuzidishiye miaka nyingi

  • @meeknessmaziku2156
    @meeknessmaziku2156 Год назад +1

    Ndio maana nlikuwa nakushangaa we ni mtu wa namna gani!!
    Kumbe we ni mchungaji!! Ubarikiwe kwa kazi yako njema!!...

  • @bisimwabezo7862
    @bisimwabezo7862 2 года назад +1

    Mungu akulinde uishi myiaka mingu sana mimi nakuwa rdc Congo vitabu tutapata je Lubumbashi

  • @alutonyoni2520
    @alutonyoni2520 2 года назад +2

    Mungu azidi kuku bariki kaka na kukupa baraka na maisha marefu kaka uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏 barikiwa sana

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 5 месяцев назад +1

    Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha...
    Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo

  • @joshuapeter312
    @joshuapeter312 2 года назад +3

    Hakika mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi.

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 2 года назад +4

    Mafundisho yako yananisaidia sana katika maisha yangu ya kila siku.

  • @user-pk2ub6wl4s
    @user-pk2ub6wl4s 4 месяца назад

    thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed

    • @user-pk2ub6wl4s
      @user-pk2ub6wl4s 4 месяца назад

      thank you very much pastor joel, continue to be blessed with your inspiration

  • @everose276
    @everose276 4 месяца назад

    Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊

  • @mkamamfungo3200
    @mkamamfungo3200 2 года назад +2

    Kaka nashukuru kwa mafundisho yako ,yamenisaidia sana kutoka hatua moja kwenda ya nyingine kimafanikio sifa na utukufu apewe Mungu wa mbinguni

  • @michaelgeorge8454
    @michaelgeorge8454 2 года назад +3

    Swez kuamka asbh bila ya kusklza hamasa zako kk uwa naingia kwenye mishughuliko yangu everyday

  • @tatu3tatu549
    @tatu3tatu549 2 года назад +1

    Asant mungu kwa kuniunganisha na shujaa kama wewe AMEE

  • @rogathmassawe7480
    @rogathmassawe7480 2 года назад +3

    Kumbe ww ni pastor pia,kwel tuta kufaidi sana

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 2 года назад +1

    Kumbe ni pastor Joel nanauka umetumwa na mungu wetu kutuelimisha

  • @jamesimakasi9712
    @jamesimakasi9712 2 года назад +2

    Mungu akubaliki sana mtumishi umebadilisha sana maisha ya wengi hakika wewe ni zaidi hata ya mwalimu

  • @mwakalukwafredy3720
    @mwakalukwafredy3720 2 года назад +1

    Kaka joel Nanauka Mungu akubariki na kukuinua zaidi na zaidi maana Tangu nianze kukufuatilia hakika sijawahi kupungukiwa ,
    Umebadili maisha yangu sana

  • @witnessemily1391
    @witnessemily1391 2 года назад +2

    Huwa na barikiwa sana na kupata nguvu ya kuendelea mwenyezi Mungu akulinde na kukupa afya njema

    • @maryeliya1300
      @maryeliya1300 2 года назад

      We Mungu wangu nipe watakaonifikisha kwenye malengo yangu

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y Месяц назад

    Amina kaka unasema kweli kabisa

  • @everinakahigi-mj9yk
    @everinakahigi-mj9yk 11 месяцев назад

    Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe

  • @tumainisemakuba3520
    @tumainisemakuba3520 2 года назад

    Mungu akuzidishie roho wake mtakatifu ili u endelea vema kwa kutulisha Neno lake litakatifu

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel8277 2 года назад +2

    Tunasonga mbele kwa ajiri yako big up

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 2 года назад +2

    NGULIIIIIIIIIIIIIII... FROM ZANZIBAR...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shukurumbwana2295
    @shukurumbwana2295 Год назад

    Kwenye karama umenigusa mtumishi, imenitokea the same way. Mungu akubariki sana.

  • @mwamvitamyombo4466
    @mwamvitamyombo4466 Год назад

    Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka mafundisho yako ni ya kiroho yananipa ujasiri huwa najifunza vitu vingi

  • @eneamwaruanda2064
    @eneamwaruanda2064 2 года назад

    Ni kweli kabisa ni mpango wa Mungu kabisa inanikumbusha hii nilipokua advance level school Mungu hutumia watu kukufikisha mahali flani

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 2 года назад +15

    likes za joel jaman

    • @calsonrobson4172
      @calsonrobson4172 2 года назад +1

      Mungu akubari akuzidishie upako Usiku mchana na asubuh your good

  • @wisdomcharles7749
    @wisdomcharles7749 2 года назад +1

    MUNGU akupe maisha marefu umenitoa sehemu🙏 meno zuri asanteee

    • @beatricekasambula1657
      @beatricekasambula1657 2 года назад

      Hakika Mungu akubariki.Naomba neno hili likaniinue Kwa kutajwa mahali sahihi

  • @mercyk6665
    @mercyk6665 2 года назад +11

    What a blessed tongue of this man ,may GOD bless you abundantly and give you long life to continue making us prosper

    • @aureliachiwanga5956
      @aureliachiwanga5956 2 года назад

      Jamani mtumishi nateseka nakipaji cha kumwimbia mungu lakini selew nianzie wapi milango yote imefungwa

  • @irenesilas2614
    @irenesilas2614 9 месяцев назад +1

    May GOD bless you abundantly continue making us prosper!🙏

  • @priscapascal9177
    @priscapascal9177 Год назад

    Ndo mara ya Kwanza kujua haya mafundisho yako yamenibadilisha sana Sana kiroho na kiakili, Mungu akubariki sana

  • @hendryprosper9950
    @hendryprosper9950 2 года назад +1

    Mungu atufungue akili na macho tupate kuelewa na kuonaa amina

  • @kizajacqueline8583
    @kizajacqueline8583 Год назад +1

    Amen mtume wa mungu na akubariki

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 7 месяцев назад

    Pastor! Nimebarikiwa sana mafundisho Yako yanaingia moyoni KABISA Amina

  • @mariaslaa921
    @mariaslaa921 28 дней назад

    Mungu akubariki kaka

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 11 месяцев назад

    Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA
    Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana
    Nitafurahi sanaa

  • @user-ho6zq4cz6c
    @user-ho6zq4cz6c 6 месяцев назад +1

    Nakuewa saana Joel

  • @jacklinemashenene5976
    @jacklinemashenene5976 Год назад

    Huwa nakuelewa sana kaka Joel Mungu akubaliki sana

  • @GeorgeBajuta-ro4ez
    @GeorgeBajuta-ro4ez 9 месяцев назад

    ahsante mungu kwa mafundisho mazur ya neno la mungu kaka mungu akupe maisha marefu

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 2 года назад

    Amina Baba angu Yani sijajutia muda na MB Zangu kuku sikiliza

  • @robertfransis1680
    @robertfransis1680 10 месяцев назад

    Mungu alibariki mchungaji kwa maneno mazuri.

  • @sarahbaby6764
    @sarahbaby6764 2 года назад

    Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai

  • @jameskarogo3094
    @jameskarogo3094 2 года назад +1

    Asante sana mungu akubariki ..unanibarikingi kwa maneno yako ..na pia mafunzo mazuri .. thanks

  • @Greatamir
    @Greatamir Год назад

    Jamaaa uko vizur nimekuwa nakufuatilia kwa kua unazungumzia vitu vya uhalisia..

  • @danielsumaye362
    @danielsumaye362 Год назад

    Mungu akubariki sana JOEL kwa mafundisho mazuri, Munguakubariki sana.

  • @maxmilajoseph1897
    @maxmilajoseph1897 Год назад

    Mungu naomba niandalie watu watakao nivusha kuelekea mafanikio yangu

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta Год назад

    Mungu anikutanishe na hao watu mungu awafungue macho nimetumikishwa sana

  • @devothasanga9897
    @devothasanga9897 2 года назад +4

    Very powerful speech! It is very live.

  • @princemajinge2206
    @princemajinge2206 2 года назад +5

    Nafurahia sana speech zako bro zinaleta + impact kwangu

    • @selinamashuka6267
      @selinamashuka6267 2 года назад

      Kweli kaka joeli umetufungua kiufaham Kwa mambo mengi

  • @christopherjoshua278
    @christopherjoshua278 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana
    Binafsi nakuelewa sana

  • @happydaniel7788
    @happydaniel7788 Год назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kaz nzur

  • @Esther-kz1es
    @Esther-kz1es 2 месяца назад

    Umekuwa baraka Sana kwangu kaka Joel.Barikiwa

  • @danymboje7314
    @danymboje7314 2 года назад +4

    God Bless Joel Nanauka, God Bless Tanzania!!

  • @jolumatv7211
    @jolumatv7211 Год назад

    Asante na Mungu akubariki sana nimekuelewa. Mungu nisaidie nayazingatie haya

  • @mericktamba7981
    @mericktamba7981 2 года назад

    Niceeeeee...brzaaa...💯💯💯💯💥💥💥💥💥💫💫💫💫💫🔥🔥🔥

  • @anjelafrancis6353
    @anjelafrancis6353 11 месяцев назад

    Mungu akubariki Kwa kutufungua mtumishi🙏🙏

  • @nikoletaugi3247
    @nikoletaugi3247 2 месяца назад

    Asante sana kaka barikiwa sana

  • @Mwinamila-3
    @Mwinamila-3 6 месяцев назад

    Asante sana bro Joel kwa MAFUNDISHO yako

  • @rehabokaya2232
    @rehabokaya2232 2 года назад

    Niseme nini mungu akubariki kwa maarifa hayo umenipa siku ya leo this will help me thank you mr Joel

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Год назад

    Ameeeen ..🙏🙏 Ubarikiwee sanaa Mtumishii wa Mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @Joyceandjoele
    @Joyceandjoele 6 месяцев назад

    Asante sana nashukuru

  • @thrivehappy9610
    @thrivehappy9610 2 года назад

    Thank you so much! Yani hili somo nikama a special for me!
    Oh! My God! Mungu akubariki!

  • @petermponzi411
    @petermponzi411 2 года назад +2

    I’m blessed with your brilliant speech

  • @user-nt6uv5wr8p
    @user-nt6uv5wr8p 6 месяцев назад

    Asanteh sana kaka , ubarikiwe

  • @deomushi7341
    @deomushi7341 2 года назад

    Pasta unafafanua vizuri sana,sana endeleza kazi hii haswa kwa vijana wetu,

  • @abeljohnmpanda7717
    @abeljohnmpanda7717 2 года назад +4

    Powerful speech 🔥🔥

  • @meshackmwakajwanga8349
    @meshackmwakajwanga8349 2 года назад

    Jina la bwana likaishi ndani yangu nawe ndani yko!!

  • @felistermorungu7976
    @felistermorungu7976 2 года назад +2

    Powerful I'm blessed

  • @aliyukagambo
    @aliyukagambo Год назад

    Kwema boss kaka Joel nanauka

  • @elionoraherman6790
    @elionoraherman6790 2 года назад

    Kaka Joel Mungu akubariki sanaaa .Asantee sana🙏💪

  • @shefujosee617
    @shefujosee617 Год назад

    Big up sana kaka kwa masomo mazuri mungu akubariki sana

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 2 года назад

    Mungu akubariki kwa mwangaza unaotuangazia vijana..

  • @josephlukumaya4223
    @josephlukumaya4223 Год назад

    Amena Kuna ki2 nimejifunza hapa

  • @revombenmwakwenda6006
    @revombenmwakwenda6006 Год назад

    Kweli kabisa ndugu Barikiwa kwa ujumbe mzuri

  • @FredyIma
    @FredyIma 9 месяцев назад

    Thanks sanaaa nazidi kubilikiwa nakuonaa mbalii zaidii nitfika🙏🙏

  • @macdonaldmushira8723
    @macdonaldmushira8723 2 года назад +5

    I'm proud of you man of God and our mentor.

  • @injilitv3104
    @injilitv3104 2 года назад +3

    Asante sana

  • @mcengineer7711
    @mcengineer7711 Год назад +2

    Be blessed coach

  • @laurentpetro3878
    @laurentpetro3878 Год назад

    Mungu akuongoze ntazidi kukufatilia najifunza meng sana kupitia mafundisho yako

  • @erneosingogo2907
    @erneosingogo2907 Год назад

    Ahsante

  • @eliasbufula2482
    @eliasbufula2482 2 года назад

    Joel amini kwamba, hakika umenisaidia sana🤝

  • @UpendoYMwingamno-lj3hz
    @UpendoYMwingamno-lj3hz 8 месяцев назад

    Nimekuelewa sana kaka...!!🙏🙏🙏

  • @barisasaji8669
    @barisasaji8669 2 года назад

    Asante Sana pastor Nanauka Kwa speech zako zenye uhai ndani yake hakika unatuadilisha Sana maishani mwetu 🙏🙏🙏🙏

  • @bdraper6036
    @bdraper6036 2 года назад +12

    Kaka naamini kila MTU ameletwa Kwa kusudi maalum kwaajili ya Mwenzie, Vivyo hivyo Hata Mimi na wewe baada ya kukufaham kupitia Humu mitandaoni Niliimarika kimtazamo, kifikra, na kmatendo pia, Now nipo ktk misingi bora ya kimtazamo

  • @simonsulley5183
    @simonsulley5183 2 года назад

    Mungu azidi kukutumia katika viwango vya juu

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 9 месяцев назад

    Dah noma sana

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 2 года назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako .Mungu akutunze kaka

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 Год назад

    Mungu akubariki saana mtu mishi. I love this

    • @gregoryfelcian3932
      @gregoryfelcian3932 Год назад

      Ni mala yangu ya Kwanza kukusikia kweli mungu yupo ndani yako nami nitakufuatilia Kila nikiweka bando una kitu Cha kunivusha kwenye maisha yangu

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 11 месяцев назад

    Amen

  • @kamagaissa4561
    @kamagaissa4561 Год назад

    Brother Ahsante umenisaidia sanaa

  • @ahadiandongwisye6041
    @ahadiandongwisye6041 2 года назад

    Ubarikiwe Sana kwa huduma unayotoa ,naamini ipo siku nitakuja katika mkondo huu.

    • @motelalasem6755
      @motelalasem6755 2 года назад

      Ahsante...safali ya dunia na maisha yake...yana changamoto...ata uwe nani..utapata tabu..viumbe wanao itwa binadamu... Pamoja nakusali atujui tupo kwajili ya nini,,, maisha ninguvu, na akili,

  • @vailethmalakibungu7866
    @vailethmalakibungu7866 Год назад

    So powerful ..Ninajifunza