Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha... Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana Nitafurahi sanaa
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
Kaka naamini kila MTU ameletwa Kwa kusudi maalum kwaajili ya Mwenzie, Vivyo hivyo Hata Mimi na wewe baada ya kukufaham kupitia Humu mitandaoni Niliimarika kimtazamo, kifikra, na kmatendo pia, Now nipo ktk misingi bora ya kimtazamo
Ahsante...safali ya dunia na maisha yake...yana changamoto...ata uwe nani..utapata tabu..viumbe wanao itwa binadamu... Pamoja nakusali atujui tupo kwajili ya nini,,, maisha ninguvu, na akili,
Mungu nipe hii neema ya kukutana na hawa watu Muhimu
Amina
Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
Mmoja wa watu mhimu maishani mwangu ni wewe Joel Nina Imani Mungu alikuleta for me 🙏🙏🙏
Kaka mungu akulinde sana maana unatufanya tuwe na muonekano mwingine katika maisha yetu may God bless you my brother 100%
Mungu nijalie kupata rafiki mzuri atakaesimama na mimi
Ubarikiwe sana Joel unanifundisha vitu vingi sana
God bless you,,, umenijenga kiakili vzr sana kaka
Through you I have moved from point A to B in my life, keep it up Joel I am listening from Mombasa Kenya.
Joel ubarikiwe sana, nakuelewa sana
May God bless you for the teaching.Akuzidishiye miaka nyingi
Ndio maana nlikuwa nakushangaa we ni mtu wa namna gani!!
Kumbe we ni mchungaji!! Ubarikiwe kwa kazi yako njema!!...
Mungu akulinde uishi myiaka mingu sana mimi nakuwa rdc Congo vitabu tutapata je Lubumbashi
Mungu azidi kuku bariki kaka na kukupa baraka na maisha marefu kaka uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏 barikiwa sana
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha...
Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
Hakika mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi.
Mafundisho yako yananisaidia sana katika maisha yangu ya kila siku.
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed
thank you very much pastor joel, continue to be blessed with your inspiration
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
Kaka nashukuru kwa mafundisho yako ,yamenisaidia sana kutoka hatua moja kwenda ya nyingine kimafanikio sifa na utukufu apewe Mungu wa mbinguni
Swez kuamka asbh bila ya kusklza hamasa zako kk uwa naingia kwenye mishughuliko yangu everyday
Asant mungu kwa kuniunganisha na shujaa kama wewe AMEE
Kumbe ww ni pastor pia,kwel tuta kufaidi sana
Kumbe ni pastor Joel nanauka umetumwa na mungu wetu kutuelimisha
Mungu akubaliki sana mtumishi umebadilisha sana maisha ya wengi hakika wewe ni zaidi hata ya mwalimu
Kaka joel Nanauka Mungu akubariki na kukuinua zaidi na zaidi maana Tangu nianze kukufuatilia hakika sijawahi kupungukiwa ,
Umebadili maisha yangu sana
Huwa na barikiwa sana na kupata nguvu ya kuendelea mwenyezi Mungu akulinde na kukupa afya njema
We Mungu wangu nipe watakaonifikisha kwenye malengo yangu
Amina kaka unasema kweli kabisa
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
Mungu akuzidishie roho wake mtakatifu ili u endelea vema kwa kutulisha Neno lake litakatifu
Tunasonga mbele kwa ajiri yako big up
NGULIIIIIIIIIIIIIII... FROM ZANZIBAR...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwenye karama umenigusa mtumishi, imenitokea the same way. Mungu akubariki sana.
Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka mafundisho yako ni ya kiroho yananipa ujasiri huwa najifunza vitu vingi
Ni kweli kabisa ni mpango wa Mungu kabisa inanikumbusha hii nilipokua advance level school Mungu hutumia watu kukufikisha mahali flani
likes za joel jaman
Mungu akubari akuzidishie upako Usiku mchana na asubuh your good
MUNGU akupe maisha marefu umenitoa sehemu🙏 meno zuri asanteee
Hakika Mungu akubariki.Naomba neno hili likaniinue Kwa kutajwa mahali sahihi
What a blessed tongue of this man ,may GOD bless you abundantly and give you long life to continue making us prosper
Jamani mtumishi nateseka nakipaji cha kumwimbia mungu lakini selew nianzie wapi milango yote imefungwa
May GOD bless you abundantly continue making us prosper!🙏
Ndo mara ya Kwanza kujua haya mafundisho yako yamenibadilisha sana Sana kiroho na kiakili, Mungu akubariki sana
Mungu atufungue akili na macho tupate kuelewa na kuonaa amina
Amen mtume wa mungu na akubariki
Pastor! Nimebarikiwa sana mafundisho Yako yanaingia moyoni KABISA Amina
Mungu akubariki kaka
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA
Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana
Nitafurahi sanaa
Nakuewa saana Joel
Huwa nakuelewa sana kaka Joel Mungu akubaliki sana
ahsante mungu kwa mafundisho mazur ya neno la mungu kaka mungu akupe maisha marefu
Amina Baba angu Yani sijajutia muda na MB Zangu kuku sikiliza
Mungu alibariki mchungaji kwa maneno mazuri.
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
Asante sana mungu akubariki ..unanibarikingi kwa maneno yako ..na pia mafunzo mazuri .. thanks
Jamaaa uko vizur nimekuwa nakufuatilia kwa kua unazungumzia vitu vya uhalisia..
Mungu akubariki sana JOEL kwa mafundisho mazuri, Munguakubariki sana.
Mungu naomba niandalie watu watakao nivusha kuelekea mafanikio yangu
Mungu anikutanishe na hao watu mungu awafungue macho nimetumikishwa sana
Very powerful speech! It is very live.
Nafurahia sana speech zako bro zinaleta + impact kwangu
Kweli kaka joeli umetufungua kiufaham Kwa mambo mengi
Ubarikiwe sana
Binafsi nakuelewa sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kaz nzur
Umekuwa baraka Sana kwangu kaka Joel.Barikiwa
God Bless Joel Nanauka, God Bless Tanzania!!
Asante na Mungu akubariki sana nimekuelewa. Mungu nisaidie nayazingatie haya
Niceeeeee...brzaaa...💯💯💯💯💥💥💥💥💥💫💫💫💫💫🔥🔥🔥
Mungu akubariki Kwa kutufungua mtumishi🙏🙏
Asante sana kaka barikiwa sana
Asante sana bro Joel kwa MAFUNDISHO yako
Niseme nini mungu akubariki kwa maarifa hayo umenipa siku ya leo this will help me thank you mr Joel
Ameeeen ..🙏🙏 Ubarikiwee sanaa Mtumishii wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
Asante sana nashukuru
Thank you so much! Yani hili somo nikama a special for me!
Oh! My God! Mungu akubariki!
I’m blessed with your brilliant speech
Asanteh sana kaka , ubarikiwe
Pasta unafafanua vizuri sana,sana endeleza kazi hii haswa kwa vijana wetu,
Powerful speech 🔥🔥
Jina la bwana likaishi ndani yangu nawe ndani yko!!
Powerful I'm blessed
Kwema boss kaka Joel nanauka
Kaka Joel Mungu akubariki sanaaa .Asantee sana🙏💪
Big up sana kaka kwa masomo mazuri mungu akubariki sana
Mungu akubariki kwa mwangaza unaotuangazia vijana..
Amena Kuna ki2 nimejifunza hapa
Kweli kabisa ndugu Barikiwa kwa ujumbe mzuri
Thanks sanaaa nazidi kubilikiwa nakuonaa mbalii zaidii nitfika🙏🙏
I'm proud of you man of God and our mentor.
Asante sana
Be blessed coach
Mungu akuongoze ntazidi kukufatilia najifunza meng sana kupitia mafundisho yako
Ahsante
Joel amini kwamba, hakika umenisaidia sana🤝
Nimekuelewa sana kaka...!!🙏🙏🙏
Asante Sana pastor Nanauka Kwa speech zako zenye uhai ndani yake hakika unatuadilisha Sana maishani mwetu 🙏🙏🙏🙏
Kaka naamini kila MTU ameletwa Kwa kusudi maalum kwaajili ya Mwenzie, Vivyo hivyo Hata Mimi na wewe baada ya kukufaham kupitia Humu mitandaoni Niliimarika kimtazamo, kifikra, na kmatendo pia, Now nipo ktk misingi bora ya kimtazamo
Kweli kaka
Mungu azidi kukutumia katika viwango vya juu
Dah noma sana
Nabarikiwa sana na mafundisho yako .Mungu akutunze kaka
Mungu akubariki saana mtu mishi. I love this
Ni mala yangu ya Kwanza kukusikia kweli mungu yupo ndani yako nami nitakufuatilia Kila nikiweka bando una kitu Cha kunivusha kwenye maisha yangu
Amen
Brother Ahsante umenisaidia sanaa
Ubarikiwe Sana kwa huduma unayotoa ,naamini ipo siku nitakuja katika mkondo huu.
Ahsante...safali ya dunia na maisha yake...yana changamoto...ata uwe nani..utapata tabu..viumbe wanao itwa binadamu... Pamoja nakusali atujui tupo kwajili ya nini,,, maisha ninguvu, na akili,
So powerful ..Ninajifunza