Jinsi ya kupangilia mwaka Wako - sehemu ya kwanza (Designing your Year Part 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 451

  • @fadhilisedoyeka4919
    @fadhilisedoyeka4919 4 года назад +32

    Kaka hakika nitakukumbuka sana katika maisha yangu Maana nilikufahamu Mwaka 2018 nikiwa nimefugwa Gerezani niliomba ndugu zangu waninunulie kitabu chako cha Timiza malengo yako kweli nilipata kitabu chako nikasoma vizuri baada ya kutoka nilifanyia kazi leo napoongea nashidwa niseme nini Maana sikuwahi kuwaza nitajenga lini lakini leo ninanyumba nzuri ninamiliki magari manne pia account ipo vzr leo nawaza kufuata bidhaa china hakika wewe ni mwanga💪

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 4 года назад +8

    Nimepata mwanga mzuri kabisa katika kuanza huu mwaka 2020 shukran sana mwalimu Joel Nanauka mwaka 2019 nilipoanza kukuskiliza nilojitambua sana na kuanza kupangilia vitu na hatimae nilitimiza zaidi ya 70%ya malengo yangu shukran sana na MUNGU AONAE MOYO akuinue viwango vya juu zaidi kuwabadili wengine kimtazamo

  • @eliasbufula6290
    @eliasbufula6290 4 года назад +3

    Sijawahi kujuta kwa kukusikiliza wewe, bali huwa ninajutatu pale ninapokosa muda wa kutokukusikiliza, be blessed forever man of GOD Joel.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +1

      Elias Bufula nashukuru sana,tuendelee kujifunza 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @eliasbufula6290
      @eliasbufula6290 4 года назад

      @@joelnanauka Asante sana kaka. 2020 juzi nimeanza na wewe, nimedhamilia kufanikiwa kupitia mafundisho yako, nitakuambiatu siku moja, maana kwa elimu unayotoa kufanikiwa ni lazima.

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Год назад +2

    Still here in 2023 this video will never get old. Be blessed brother joel

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 4 года назад +18

    Tunasema kufanikiw co kufanya k2 kwa nguv au mda mref ispokua n kufanya ki2 unachoweza kwa wakat sahih Jim rohn aliwah kusema “reasonable time is enough time”

  • @shifamakame4622
    @shifamakame4622 4 года назад +2

    Nilicho zingatia na kukielewa kwa mara moja fanya kile kilochomo ndani yk ndio kino maendeleo yk
    Kitu ukiwa na huru nacho ,furaha nacho ,amani kukifanya ndio kinofaa
    Umenifuza sana km naangalia RUclips maisha yote ile ndio nimejifuza kitu kwenye maisha asante sn km mungu awe mwema kwk

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Shifa Makame safi kabisa ,tuendelee kujifunza pamoja

  • @mkwizoxsafarisadventures9750
    @mkwizoxsafarisadventures9750 4 года назад

    Nimerudia zaidi ya mara tatu na kila nikirudia napata kitu kipya...
    Nitarudia mara kumi ili nijue kusudi la hili somo kwangu... Somo hili sio lipo tu ila lina kusudi ndani yake na hilo kusudi halibadiliki mpaka nitalijua kwann limekuja kwangu. Asante sana Coach JNanauka
    See You At the Top

  • @elizabethmabula101
    @elizabethmabula101 4 года назад +1

    Wewe ni mtu muhimu sana. Na unajitolea kwetu sisi watanzania tuliokata tamaa. Tangu nianze kufatilia vipind vyako. Nimejifunza mengi sana

  • @JamesJoseph-bm8ix
    @JamesJoseph-bm8ix 8 месяцев назад +1

    Hakika mungu anakusudi kwa Kila mwanadamu ubarikiwe sana ndg.joel nanauka🙏🙏

  • @LornaDadi
    @LornaDadi 4 года назад +1

    Heri ya mwaka mpya kaka. Nimefurahi sana kuanza mwaka na madini haya, hujawahi kukosea. MUNGU azidi kukutunza na akutumie kwa viwango vya juu zaidi kwa ajili ya watu kama sisi. Ubarikwe. -- (tutafutane kaka, japo mwaka huu.)

  • @estherfredrick3198
    @estherfredrick3198 4 года назад +2

    Unatufundisha maisha na kumjua MUNGU pia....BARIKIWA Sana kaka JOEL

  • @mwanaharusialifakifaki8716
    @mwanaharusialifakifaki8716 4 года назад

    Tokea nianze kumsikiliza docta nanauka nahisi maisha yangu yamebadilika,furaha imeanza kuchanua ,kusudi langu nimeligundua na nafurahia kusudi langu sambamba na kuamua kuliishi kusudi langu .ahsante docta

  • @rukiasalim2512
    @rukiasalim2512 4 года назад +1

    Wewe ni wamuhimu sana kwangu na kwa watoto wangu najifunza napia unafundisha watoto wangu kujua kusudi lao la kwenda shule kila moja anasoma akiamini yeye atakuwa nani kesho Mungu akutunze kakangu❤

  • @selemanramadhan3279
    @selemanramadhan3279 Год назад

    Ni kweli Kaka Joel, Mimi nimeshatuma coach zako, zimenipa matokeo mazuri Sana, wanafunzi wamenisifia pamoja na wadhamini wa wanafunzi pia wamenisifia, Mimi Ni mwalimu wa ufundi nilipogundua kusudi langu imenisaidia Sana. Kwenye taasisi yangu pia wamenipenda hawataki niondoke!!

  • @marianachristophory4916
    @marianachristophory4916 4 года назад

    Joel wewe ni mioongoni wa mentor ninaowakubali sana, endeleeea kaka kudufundisha ipo cku nitakuja nitoe ushuhuda hapa. Mungu tu anitie nguvu na afya yangu iwe imara cku zote, maana mtaji wangu wa kwanza ni huo.

  • @shijamorris8280
    @shijamorris8280 4 года назад +2

    Tambua kusudi lako na uliishi na kusudi lako sio kwa ajili yako ila ni kwa ajili ya wengi. Barikiwa sana hakika mwaka huu ni kwa ajili yangu

  • @enmselm
    @enmselm 4 года назад +6

    ubarikiwe saana kiongozi weew n mtu sahihi sana kwetu na mm ntajtaid kufikia kulifahamu kusudi langu Aaameen

  • @albertlucaskoisha7353
    @albertlucaskoisha7353 4 года назад

    speech hii imenigusa alimia 100% mimi nimengundua asante sana ime niimarisha nimeimarika zaidi.

  • @fitcyprian9784
    @fitcyprian9784 4 года назад +2

    May God bless work of your hands....thank you so much for good lesson

  • @deokimena5168
    @deokimena5168 4 года назад +4

    Maisha yanayoongozwa na malengo!!! Safi sana!!

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 4 года назад

    Duu kwenye hii video umeongea mambo mazito sana ambayo mtu yeyote yule akiyafuatisha lazima atapiga hatua maishani mwake be blessed nothin more to say

  • @ibrahimgerion2952
    @ibrahimgerion2952 4 года назад +2

    A get d concept.......... Purpose vs ambition 🤔, thanks bro

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 4 года назад +16

    It's very true my brother and you're too unique believe me you have done something to me of which you don't know my brother thanks very much

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +2

      Edward Msongelwa nashukuru,karibu sanaa

    • @edwardmsongelwa5455
      @edwardmsongelwa5455 4 года назад +2

      @@joelnanauka I so wish you were' there ten years a go I promise you I would have been someone else by now you really have lightened my brain thanks again you're wonderful don't get tired the country needs you my brother may God bless ypu

    • @happyfesto6360
      @happyfesto6360 4 года назад

      Naomba namba yako kaka @Joel

    • @sumiodilo1180
      @sumiodilo1180 4 года назад

      HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
      .
      Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
      .
      Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
      .
      Unachotakiwa kufanya:
      .
      1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
      2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
      3)Chagua jina la Joel Nanauka
      4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
      .
      Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
      .
      AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
      .
      See You At The Top
      .
      Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.

  • @molaizer992
    @molaizer992 4 года назад +1

    Kaka #joel_nanauka kweli nabarikwa sanaa na masomo yako napenda sanaa kuwa #speaker je naweza tumia masomo yako kutengeneza ujasiri wangu na pia niendelee kujifunza kwako zaid

  • @khalifalutonja6952
    @khalifalutonja6952 4 года назад +6

    Brother Ahsante sana kwa somo zuri sana.
    Brother Joel tangu nianze kukufuatilia 2017 hadi leo 2020 Dah! Kiufupi brother wewe ni mwalimu wangu hasa ktk suala la Maisha (personal development knowledge).
    Kwakukufuatilia wewe nimeweza kufikia level ya supervisor, thank you very much my Best friend may God bless you and your family.
    Natamani japo siku moja tuonane, japo nitoe shukurani zangu za dhati live, nina vitabu vyako vi5 vyote vimenikaa kichwani sometimes ninapo lose Attitude huwa naji-motivat kwa kusoma vitabu vyako hasa Timiza malengo mbinu zote ni madini.
    Ahsante sana brother kwa hamasa yako.
    Nina namba ya officen lakini pia ningependa sana pia kuwa na namba yako private kwa mawasiliano zaidi, sababu kuna mengi sana ya ku-share hasa katika 2020 hii.
    Niko Zanzibar ki-kazi.

  • @modestaruta9383
    @modestaruta9383 4 года назад +1

    Hakika kusudi lako kwetu ni kutufundisha na kutuelimisha. Mungu akubariki zaidi ili tunufaike zaidi.

  • @subilafrancis470
    @subilafrancis470 4 года назад +4

    Thank u brother ,mafundisho yako ni mazuri sana na yana inspire watu wengi

  • @emmanuelmputa1473
    @emmanuelmputa1473 4 года назад +1

    You are the best.

  • @fatmajumapili8918
    @fatmajumapili8918 4 года назад +3

    Thank you Joel, haya madini nimeyapata uzuri kabisa

  • @josephatngua7914
    @josephatngua7914 Год назад +1

    Mungu akubariki nimelipenda somo hili

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 4 года назад +1

    Ubarikiwe Sana kwa Somo nzuri

  • @marympemba8843
    @marympemba8843 4 года назад +3

    Asante sana kaka kwa somo hili umenisaidia

  • @nemymtango4074
    @nemymtango4074 4 года назад +3

    💪💪💪💪Ahsante sana Mungu azidi kukupa hekima uzidi kutusaidia

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 4 года назад +4

    Mambo ni 🔥 🔥 🔥 Mungu akutunze

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 года назад +1

    Shukrani sana kwa mafunzo haya.

  • @leonardbugomba8548
    @leonardbugomba8548 4 года назад +1

    Kaka Tunashukuru Mungu KWA kutupatia mtu Kama wewe, Hakika Mungu aliweke kusudi kubwa juu ya Maisha yako ili uwe msaada Zaidi kwa wengine.....,

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 4 года назад +12

    Safi Sana.... Hizi ndio elimu tunazozitaka mitaani... We learn.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +1

      Godfrey Kristo sawa sawa tuwashirikishe na wengine

    • @the_white_43.
      @the_white_43. 4 года назад

      @@joelnanauka Yap .

    • @sumiodilo1180
      @sumiodilo1180 4 года назад

      HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
      .
      Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
      .
      Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
      .
      Unachotakiwa kufanya:
      .
      1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
      2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
      3)Chagua jina la Joel Nanauka
      4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
      .
      Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
      .
      AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
      .
      See You At The Top
      .
      Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.

    • @the_white_43.
      @the_white_43. 4 года назад

      @@sumiodilo1180 thanks

    • @gimongegoryo2413
      @gimongegoryo2413 4 года назад

      @@the_white_43. yap

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 4 года назад +6

    Brother 👏👏👏 nakukubali sana asante Kwa somo zuri saan, barikiwa saan Kaka. # MWONGOZA NJIA YANGU

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 4 года назад +1

    Nazidi kujivunia kuwa Mtanzania kwaajili yako kaka. Mungu akuweke miaka mingi sana, taifa linakuhitaji sana kuzidi kuwa inspire wengine.
    Kupitia mafundisho yako tunapata nguvu kubwa mno

  • @cecilialucas7655
    @cecilialucas7655 4 года назад +7

    Ubarikiwe sana kwa somo zuri nakuelewa sana nalitambua kusudi LA Mimi kuwepo duniani

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +1

      Cecilia Lucas hongera snaaaa,usiache kuwashirikisha na wengine

    • @cecilialucas7655
      @cecilialucas7655 4 года назад

      @@joelnanauka Amina kaka ninatambua uwepo wangu kuwa duniani ukivuna mema kuwapa na wengine Mungu akutunze siku zote Kaka Joel'.

  • @timemcharazomcharazo110
    @timemcharazomcharazo110 4 года назад +4

    Ahsant kaka joel,nataka kuhudhulia mafundisho yako,,najuaje tar

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Huwa naweka kwenye mitandao yangu ya kijamii

    • @rehemakawamda629
      @rehemakawamda629 4 года назад

      Ahsant kaka joel napenda sana mafundisho yako

  • @DennisKinyua-md7nu
    @DennisKinyua-md7nu 10 месяцев назад

    Asante sana bro kwa mafudisho Yako mazuri Kila video Yako najifunza kitu🙏

  • @frankgabriel5036
    @frankgabriel5036 3 года назад

    Kaka formula ya mwisho nimekuelewa pamoja nakuchelewa kukujua nimekuelewa mno asante! Kuanzia sasa naenda kuiishi kusudi na nitarudi kukushukuru

  • @marrycianakarume2608
    @marrycianakarume2608 4 года назад

    Asante kwa seminer nzuri kaka mungu akubariki uzidi kutufundisha

  • @adsonfungo8186
    @adsonfungo8186 4 года назад +2

    Mungu akubariki sana, Nimeanza mwaka 2020 nikiwa mtu mpya kuhusu kusudi na mipango.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Adson Fungo wow,hongera sanaaa

  • @ignassimbengale3972
    @ignassimbengale3972 4 года назад +1

    Best💪💪

  • @bestcakes7098
    @bestcakes7098 4 года назад +2

    Asante sana kwa ujumbe mzuri binafsi jumbe zako zimenisaidia naamini 2020 nitafika mbali zaidi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +1

      Best Cakes nafurahi sana kusikia hivyo..2020 tupate matokeo makubwa zaidi

    • @judithfungo9152
      @judithfungo9152 2 года назад +1

      Mungu akubark sana kaka ndio nimekufaham 2022, mungu anisaidie niweze kuyaishi mafunzo yako naona nimechelewa kukufaham

  • @RatifaKarim
    @RatifaKarim 9 месяцев назад

    Shukrani tunaendelea kujifunza zaidi

  • @andrewwoiso5559
    @andrewwoiso5559 4 года назад +2

    Asante sana kaka Mungu akuongezee ulichonacho! Nakubali broo

  • @NdyankaBulengo
    @NdyankaBulengo 8 месяцев назад

    Nanauka ubarikiwe sana ndugu yangu hakika humpatii mtu samaki bali unampatia ndoano

  • @ombeningaya122
    @ombeningaya122 4 года назад +6

    thanks mentor it's time to walk this talk...

  • @amanbuzwagala1025
    @amanbuzwagala1025 9 месяцев назад

    Ndy nilichelewa kuwa sereouse na mafundisho yako kaka but now nafatilia MDA ote kunamabadiliko katika hakiri yangu Kwa sasa mungu akuweke Sana kaka naamin siku moja ntakuwa tajir

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 4 года назад

    asante sana JOEL, semina hii hatutakuja kujutia kamwe ilikuwa yenye nguvu sana kwetu ambao tulihudhuria

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 2 года назад

    Asante kaka kati ya malengo yangu makuu mwaka huu ni kujifunza kutokana na masomo yako. MUNGU ANISAIDIE

  • @aishakhasim1440
    @aishakhasim1440 4 года назад

    Natamani ningekujuwa zamani lkn bado sijachelewa Allah akupe maisha malefu lnshaAllah🙏

  • @magerebudodi8471
    @magerebudodi8471 4 года назад

    Mwalimu Mr Joel tunaomba ututembelee musoma tunayapenda masomo yako tunahitaji.

  • @Shukrannsemwa88
    @Shukrannsemwa88 6 месяцев назад

    Ipo vizuri sana mkuu tatizo nimekosa Sana ubunifu sijielewi

  • @ayubulanda711
    @ayubulanda711 Год назад

    Nice bro Hakka umpata neema yalkua mwarmu Mungu aenderee kukutumia

  • @lucyloy1610
    @lucyloy1610 4 года назад +4

    Thank you for a powerful message

  • @sylviankenza4951
    @sylviankenza4951 4 года назад +4

    Ahsante sana Mwl. Mungu azidi kukujalia yakutufundisha zaidi na zaidi

  • @rashidimussa3294
    @rashidimussa3294 4 года назад +2

    Asante sana kwa knowledge hii...nasubir sehemu ya pili

  • @veronikaagustino874
    @veronikaagustino874 4 года назад +1

    Asante kaka mungu akupe umri mrefu ili tuzid kujifunza zaid tusiyoyajua

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Veronika Agustino Amen nashukuru sana kwa kuniombea

  • @hyahasisimsigala4346
    @hyahasisimsigala4346 4 года назад +2

    Ahsante sana JN Mungu akuzidishie........

  • @finaedward7484
    @finaedward7484 4 года назад +1

    Thanks for ur lesson

  • @maryndito7553
    @maryndito7553 4 года назад +1

    Ur genius brother Nanauka.I am blessed

  • @allymfaume4310
    @allymfaume4310 4 года назад +3

    See you at the top

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 11 месяцев назад

    A good teacher

  • @kenyantotoz4244
    @kenyantotoz4244 3 года назад

    Nimekuja hapa kuhusu kupangilia 2021 InshaAllah

  • @upendofrank4917
    @upendofrank4917 4 года назад +8

    Asante broo kwa somo zuri

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Ahsante sana upendo,tuendelee kushare na wengine

  • @ramadhanhaji2993
    @ramadhanhaji2993 4 года назад +1

    Ahsate sana . Nimefahamu vizuri

  • @jumasaid4191
    @jumasaid4191 4 года назад

    Shukran kaka mungu akulinde ,akuzidishie ufahamu, na akupe afya njema ili ufanikiwe katika kufikisha elimu yenye manufaa kwa watanzania na walimwengu wote wanaokufatilia.

  • @kondelaeliasmtotowasimba2769
    @kondelaeliasmtotowasimba2769 4 года назад

    Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kuendelea kuelemisha jamii

  • @mathiasvicent9955
    @mathiasvicent9955 4 года назад +2

    Joel kaka nashukuru sana kwa kazi unayoifanya Mungu akutangulie Kwa kila hatua yako.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      mathias vicent Ahsante sanaaa

  • @marybee6124
    @marybee6124 4 года назад +1

    Hongera sana kaka Joel kwa darasa nzuri sana lenye kuelimisha jamii..ila swali langu inawezekana kuwa nimeshidwa kugundua kusudi langu je kuna namna gani naweza kugundua kusudi langu

  • @joshuakaminyoge4954
    @joshuakaminyoge4954 4 года назад +8

    🔥✔ Much respect to you

  • @lordreuben5787
    @lordreuben5787 4 года назад

    Safii kaka umeyafanya maisha yangu yamebadilika sana kwa kupitia video zako

  • @rabsonndisa8510
    @rabsonndisa8510 4 года назад +2

    Ahsante sana kwa somo kaka. Umeniweka katika mstari wakati sahihi. Barikiwa sana

  • @feedomcharles4722
    @feedomcharles4722 4 года назад +2

    Nakuelewa sana kaka ubarikiwe zaidi na zaidi ili uzird kutuelimisha kadili mungu atakavyo yeye

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +1

      Amen nashukuru sanaa

    • @feedomcharles4722
      @feedomcharles4722 4 года назад

      Amina wakushukuriwa zaidi ni mwenyezi mungu atupae uhai

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад +5

    God bless u🙏 na mimi kusundi langu open parents eyes who from Africa God help me

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 4 года назад +29

    KAKA
    wewe nimtu muhimu sana kwetu watanzania tujivunie zawadi hii ambayo MUNGU ametupa naamini kupitia wewe wengi tumefanikiwa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +2

      Asante sana nashukuru Mno

    • @sylviakisanga7507
      @sylviakisanga7507 4 года назад

      @@joelnanauka Kiongozi semina ..huwa unafanyiaga wapi..?

    • @raphaelymtaita8390
      @raphaelymtaita8390 4 года назад

      Anste kaka !!Teacher tuandalie somo namna gani unaweza kugundua kusudi zako.Either kiroho au kimazingira.all in all ur recycle our impossible to becomes possible

    • @marianachristophory4916
      @marianachristophory4916 4 года назад

      Kwelii aiishi miaka mingi sn

    • @sumiodilo1180
      @sumiodilo1180 4 года назад

      HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
      .
      Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
      .
      Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
      .
      Unachotakiwa kufanya:
      .
      1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
      2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
      3)Chagua jina la Joel Nanauka
      4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
      .
      Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
      .
      AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
      .
      See You At The Top
      .
      Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +4

    JOEL you're the best Motivation Speaker n Really Life Coach of all the time since av started to follow your Videos My life have totally Change hopefully 2020 I'm going to be a best WINNER,MAY God Bless You Bro. HAPPY NEW YEAR JOEL2020

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад +1

      Hassanova junior Thanks so much,tuendelee kujifunza.

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 4 года назад

      @@joelnanauka More Blessings my Mentor 🙏🙏🙏

    • @joycebudotto9831
      @joycebudotto9831 Год назад

      Nitapataje kitabu cha timiza malengo yako Mr Joel?

  • @abuumtoa2336
    @abuumtoa2336 Год назад

    Well done broh,,, keep it up,,,from 2day am ready to listen what u say to us

  • @saidsuleiman7473
    @saidsuleiman7473 4 года назад

    Ni mzuri sana

  • @OnaTimestv
    @OnaTimestv 4 года назад +1

    joel nanauka napenda sana video zako ila nadhani video zako ni ndefu zako sana..... ningekushari uzivunjevunje kwenye vipande vidogo vidogo itatusaidia sana.... asante

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Karibu Sana,fupi zipo pia.Hizi ndefu Ni za semina ambazo Zina masomo.kamili

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 4 года назад

    Ahsante Sana Mheshimiwa Nanauka hakika nime elimika sana natamani siku moja nikuone live unifundishe me nipo Mwanza

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 4 года назад +2

    We are waiting bro

  • @jacksonkinange4605
    @jacksonkinange4605 4 года назад +7

    Hakika Joel wewe ni mtu mwenye upendo wa hali ya juu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Jackson Kinange Nashukuru sana,Tuko pamoja

    • @sumiodilo1180
      @sumiodilo1180 4 года назад

      HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
      .
      Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
      .
      Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
      .
      Unachotakiwa kufanya:
      .
      1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
      2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
      3)Chagua jina la Joel Nanauka
      4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
      .
      Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
      .
      AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
      .
      See You At The Top
      .
      Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 3 года назад

    Ahsante Mwalimu

  • @samweliyangson1278
    @samweliyangson1278 4 года назад +4

    Asante kwa somo hili ndugu Joel

  • @mosesmanguzu2674
    @mosesmanguzu2674 4 года назад

    Barikiwa sana Joel kwa somo zuri unatufundisha mambo muhm sana ktk maisha yetu

  • @madamtunu2191
    @madamtunu2191 4 года назад +1

    Napenda sana masomo yako kaka joel nanauka lakn video hii niliipokea kwa furaha nikijua unafundisha jinsi ya kupanga malengo ya mwaka yan kwasiku wiki adi mweZ Ila sijakuta Ivo nimeuzunika mini😭😭😭😭

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      madam Tunu subiria part two ndio tulijifunza hiyo

    • @madamtunu2191
      @madamtunu2191 4 года назад

      @@joelnanauka inatoka lini hiyo na hamu nayo sana yaaaani acha tu brother natamani mwaka huu uwe wa ushuhuda kupitia ww mwanga wetu

  • @celebrityquoteinswahili8894
    @celebrityquoteinswahili8894 4 года назад +8

    2020 at the top

  • @yonalaizer581
    @yonalaizer581 4 года назад +7

    Nahitaji kitabu cha " timiza malengo yako "/ msaada please

  • @andy_the_great
    @andy_the_great 4 года назад +5

    Asee such a blessing knowldege🙏🏿🙏🏿

  • @lutemamathias
    @lutemamathias 2 месяца назад

    haki ya Mungu wewe kaka ni nabii

  • @frankmsangi
    @frankmsangi 2 года назад

    brother joel unajua sana aisee daah kazi nzuri sana unafanya kaka🙏Mungu akubariki sana

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 4 года назад +1

    Kaka Joel thanks much naheshimu sana kazi yako ilinitoa kwenye hali mbaya sana about relationship. Thank u so much naamini nikirudi Tz nitafuta no yako pia vitabu. I'm proud of my brother . Mungu aendelee kukuinua zaidi.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Anisia ludelemla Ameen,Ahsante sana,natiwa nguvu sana kusikia hivyo.Mungu akubariki na tuwasiliane ukirudi

    • @salomeswai4420
      @salomeswai4420 4 года назад

      Asantee kaka

    • @daniellaizer2260
      @daniellaizer2260 Год назад

      Mambo

  • @alibujaga9728
    @alibujaga9728 Год назад

    Asante nawezaje kufaham kusud kangu

  • @husnahassan3344
    @husnahassan3344 4 года назад +2

    Asante kaka inshlh tunagemea matokeo mazuri ya mafaanikio mazuri ktk 2020

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 года назад

      Kabisa Husna,naamini tutafanikiwa sanaa

    • @husnahassan3344
      @husnahassan3344 4 года назад

      @@joelnanauka nipo Oman nilimiss sn seminer ya mwisho wa mwaka

  • @denkimnyamweziofficial9011
    @denkimnyamweziofficial9011 4 года назад

    Asante Sana MUNGU akuongoze