Kaka hakika nitakukumbuka sana katika maisha yangu Maana nilikufahamu Mwaka 2018 nikiwa nimefugwa Gerezani niliomba ndugu zangu waninunulie kitabu chako cha Timiza malengo yako kweli nilipata kitabu chako nikasoma vizuri baada ya kutoka nilifanyia kazi leo napoongea nashidwa niseme nini Maana sikuwahi kuwaza nitajenga lini lakini leo ninanyumba nzuri ninamiliki magari manne pia account ipo vzr leo nawaza kufuata bidhaa china hakika wewe ni mwanga💪
Nimepata mwanga mzuri kabisa katika kuanza huu mwaka 2020 shukran sana mwalimu Joel Nanauka mwaka 2019 nilipoanza kukuskiliza nilojitambua sana na kuanza kupangilia vitu na hatimae nilitimiza zaidi ya 70%ya malengo yangu shukran sana na MUNGU AONAE MOYO akuinue viwango vya juu zaidi kuwabadili wengine kimtazamo
@@joelnanauka Asante sana kaka. 2020 juzi nimeanza na wewe, nimedhamilia kufanikiwa kupitia mafundisho yako, nitakuambiatu siku moja, maana kwa elimu unayotoa kufanikiwa ni lazima.
Tunasema kufanikiw co kufanya k2 kwa nguv au mda mref ispokua n kufanya ki2 unachoweza kwa wakat sahih Jim rohn aliwah kusema “reasonable time is enough time”
Nilicho zingatia na kukielewa kwa mara moja fanya kile kilochomo ndani yk ndio kino maendeleo yk Kitu ukiwa na huru nacho ,furaha nacho ,amani kukifanya ndio kinofaa Umenifuza sana km naangalia RUclips maisha yote ile ndio nimejifuza kitu kwenye maisha asante sn km mungu awe mwema kwk
Nimerudia zaidi ya mara tatu na kila nikirudia napata kitu kipya... Nitarudia mara kumi ili nijue kusudi la hili somo kwangu... Somo hili sio lipo tu ila lina kusudi ndani yake na hilo kusudi halibadiliki mpaka nitalijua kwann limekuja kwangu. Asante sana Coach JNanauka See You At the Top
Heri ya mwaka mpya kaka. Nimefurahi sana kuanza mwaka na madini haya, hujawahi kukosea. MUNGU azidi kukutunza na akutumie kwa viwango vya juu zaidi kwa ajili ya watu kama sisi. Ubarikwe. -- (tutafutane kaka, japo mwaka huu.)
Wewe ni wamuhimu sana kwangu na kwa watoto wangu najifunza napia unafundisha watoto wangu kujua kusudi lao la kwenda shule kila moja anasoma akiamini yeye atakuwa nani kesho Mungu akutunze kakangu❤
Ni kweli Kaka Joel, Mimi nimeshatuma coach zako, zimenipa matokeo mazuri Sana, wanafunzi wamenisifia pamoja na wadhamini wa wanafunzi pia wamenisifia, Mimi Ni mwalimu wa ufundi nilipogundua kusudi langu imenisaidia Sana. Kwenye taasisi yangu pia wamenipenda hawataki niondoke!!
Joel wewe ni mioongoni wa mentor ninaowakubali sana, endeleeea kaka kudufundisha ipo cku nitakuja nitoe ushuhuda hapa. Mungu tu anitie nguvu na afya yangu iwe imara cku zote, maana mtaji wangu wa kwanza ni huo.
@@joelnanauka I so wish you were' there ten years a go I promise you I would have been someone else by now you really have lightened my brain thanks again you're wonderful don't get tired the country needs you my brother may God bless ypu
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Kaka #joel_nanauka kweli nabarikwa sanaa na masomo yako napenda sanaa kuwa #speaker je naweza tumia masomo yako kutengeneza ujasiri wangu na pia niendelee kujifunza kwako zaid
Brother Ahsante sana kwa somo zuri sana. Brother Joel tangu nianze kukufuatilia 2017 hadi leo 2020 Dah! Kiufupi brother wewe ni mwalimu wangu hasa ktk suala la Maisha (personal development knowledge). Kwakukufuatilia wewe nimeweza kufikia level ya supervisor, thank you very much my Best friend may God bless you and your family. Natamani japo siku moja tuonane, japo nitoe shukurani zangu za dhati live, nina vitabu vyako vi5 vyote vimenikaa kichwani sometimes ninapo lose Attitude huwa naji-motivat kwa kusoma vitabu vyako hasa Timiza malengo mbinu zote ni madini. Ahsante sana brother kwa hamasa yako. Nina namba ya officen lakini pia ningependa sana pia kuwa na namba yako private kwa mawasiliano zaidi, sababu kuna mengi sana ya ku-share hasa katika 2020 hii. Niko Zanzibar ki-kazi.
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Nazidi kujivunia kuwa Mtanzania kwaajili yako kaka. Mungu akuweke miaka mingi sana, taifa linakuhitaji sana kuzidi kuwa inspire wengine. Kupitia mafundisho yako tunapata nguvu kubwa mno
Ndy nilichelewa kuwa sereouse na mafundisho yako kaka but now nafatilia MDA ote kunamabadiliko katika hakiri yangu Kwa sasa mungu akuweke Sana kaka naamin siku moja ntakuwa tajir
Shukran kaka mungu akulinde ,akuzidishie ufahamu, na akupe afya njema ili ufanikiwe katika kufikisha elimu yenye manufaa kwa watanzania na walimwengu wote wanaokufatilia.
Hongera sana kaka Joel kwa darasa nzuri sana lenye kuelimisha jamii..ila swali langu inawezekana kuwa nimeshidwa kugundua kusudi langu je kuna namna gani naweza kugundua kusudi langu
Anste kaka !!Teacher tuandalie somo namna gani unaweza kugundua kusudi zako.Either kiroho au kimazingira.all in all ur recycle our impossible to becomes possible
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
JOEL you're the best Motivation Speaker n Really Life Coach of all the time since av started to follow your Videos My life have totally Change hopefully 2020 I'm going to be a best WINNER,MAY God Bless You Bro. HAPPY NEW YEAR JOEL2020
joel nanauka napenda sana video zako ila nadhani video zako ni ndefu zako sana..... ningekushari uzivunjevunje kwenye vipande vidogo vidogo itatusaidia sana.... asante
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Napenda sana masomo yako kaka joel nanauka lakn video hii niliipokea kwa furaha nikijua unafundisha jinsi ya kupanga malengo ya mwaka yan kwasiku wiki adi mweZ Ila sijakuta Ivo nimeuzunika mini😭😭😭😭
Kaka Joel thanks much naheshimu sana kazi yako ilinitoa kwenye hali mbaya sana about relationship. Thank u so much naamini nikirudi Tz nitafuta no yako pia vitabu. I'm proud of my brother . Mungu aendelee kukuinua zaidi.
Kaka hakika nitakukumbuka sana katika maisha yangu Maana nilikufahamu Mwaka 2018 nikiwa nimefugwa Gerezani niliomba ndugu zangu waninunulie kitabu chako cha Timiza malengo yako kweli nilipata kitabu chako nikasoma vizuri baada ya kutoka nilifanyia kazi leo napoongea nashidwa niseme nini Maana sikuwahi kuwaza nitajenga lini lakini leo ninanyumba nzuri ninamiliki magari manne pia account ipo vzr leo nawaza kufuata bidhaa china hakika wewe ni mwanga💪
Mambo vipi bro, habari za kazi! Huyu mwamba katufungua macho wengi
Hongera Sana fathili
Hongeraa sana
Kuna somo umetufundisha kaka tusikate tamaaa
Hongera brother
Nimepata mwanga mzuri kabisa katika kuanza huu mwaka 2020 shukran sana mwalimu Joel Nanauka mwaka 2019 nilipoanza kukuskiliza nilojitambua sana na kuanza kupangilia vitu na hatimae nilitimiza zaidi ya 70%ya malengo yangu shukran sana na MUNGU AONAE MOYO akuinue viwango vya juu zaidi kuwabadili wengine kimtazamo
Wow hongera sana...pamoja
Mwaka huu tuufanye kuwa bora zaidi
Mungu akupiganie kaka najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Mun
Be serious
Ahsante kaka
Sijawahi kujuta kwa kukusikiliza wewe, bali huwa ninajutatu pale ninapokosa muda wa kutokukusikiliza, be blessed forever man of GOD Joel.
Elias Bufula nashukuru sana,tuendelee kujifunza 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@@joelnanauka Asante sana kaka. 2020 juzi nimeanza na wewe, nimedhamilia kufanikiwa kupitia mafundisho yako, nitakuambiatu siku moja, maana kwa elimu unayotoa kufanikiwa ni lazima.
Still here in 2023 this video will never get old. Be blessed brother joel
Tunasema kufanikiw co kufanya k2 kwa nguv au mda mref ispokua n kufanya ki2 unachoweza kwa wakat sahih Jim rohn aliwah kusema “reasonable time is enough time”
Nilicho zingatia na kukielewa kwa mara moja fanya kile kilochomo ndani yk ndio kino maendeleo yk
Kitu ukiwa na huru nacho ,furaha nacho ,amani kukifanya ndio kinofaa
Umenifuza sana km naangalia RUclips maisha yote ile ndio nimejifuza kitu kwenye maisha asante sn km mungu awe mwema kwk
Shifa Makame safi kabisa ,tuendelee kujifunza pamoja
Nimerudia zaidi ya mara tatu na kila nikirudia napata kitu kipya...
Nitarudia mara kumi ili nijue kusudi la hili somo kwangu... Somo hili sio lipo tu ila lina kusudi ndani yake na hilo kusudi halibadiliki mpaka nitalijua kwann limekuja kwangu. Asante sana Coach JNanauka
See You At the Top
Wewe ni mtu muhimu sana. Na unajitolea kwetu sisi watanzania tuliokata tamaa. Tangu nianze kufatilia vipind vyako. Nimejifunza mengi sana
Hakika mungu anakusudi kwa Kila mwanadamu ubarikiwe sana ndg.joel nanauka🙏🙏
Heri ya mwaka mpya kaka. Nimefurahi sana kuanza mwaka na madini haya, hujawahi kukosea. MUNGU azidi kukutunza na akutumie kwa viwango vya juu zaidi kwa ajili ya watu kama sisi. Ubarikwe. -- (tutafutane kaka, japo mwaka huu.)
Unatufundisha maisha na kumjua MUNGU pia....BARIKIWA Sana kaka JOEL
Tokea nianze kumsikiliza docta nanauka nahisi maisha yangu yamebadilika,furaha imeanza kuchanua ,kusudi langu nimeligundua na nafurahia kusudi langu sambamba na kuamua kuliishi kusudi langu .ahsante docta
Wewe ni wamuhimu sana kwangu na kwa watoto wangu najifunza napia unafundisha watoto wangu kujua kusudi lao la kwenda shule kila moja anasoma akiamini yeye atakuwa nani kesho Mungu akutunze kakangu❤
Ni kweli Kaka Joel, Mimi nimeshatuma coach zako, zimenipa matokeo mazuri Sana, wanafunzi wamenisifia pamoja na wadhamini wa wanafunzi pia wamenisifia, Mimi Ni mwalimu wa ufundi nilipogundua kusudi langu imenisaidia Sana. Kwenye taasisi yangu pia wamenipenda hawataki niondoke!!
Joel wewe ni mioongoni wa mentor ninaowakubali sana, endeleeea kaka kudufundisha ipo cku nitakuja nitoe ushuhuda hapa. Mungu tu anitie nguvu na afya yangu iwe imara cku zote, maana mtaji wangu wa kwanza ni huo.
Tambua kusudi lako na uliishi na kusudi lako sio kwa ajili yako ila ni kwa ajili ya wengi. Barikiwa sana hakika mwaka huu ni kwa ajili yangu
Amen ni kweli kabisaa
ubarikiwe saana kiongozi weew n mtu sahihi sana kwetu na mm ntajtaid kufikia kulifahamu kusudi langu Aaameen
En Mselm Ameen,Nashukuru sanaaa🙏🏻🙏🏻
Asnte sana..somo.zuri
speech hii imenigusa alimia 100% mimi nimengundua asante sana ime niimarisha nimeimarika zaidi.
May God bless work of your hands....thank you so much for good lesson
Maisha yanayoongozwa na malengo!!! Safi sana!!
Duu kwenye hii video umeongea mambo mazito sana ambayo mtu yeyote yule akiyafuatisha lazima atapiga hatua maishani mwake be blessed nothin more to say
A get d concept.......... Purpose vs ambition 🤔, thanks bro
It's very true my brother and you're too unique believe me you have done something to me of which you don't know my brother thanks very much
Edward Msongelwa nashukuru,karibu sanaa
@@joelnanauka I so wish you were' there ten years a go I promise you I would have been someone else by now you really have lightened my brain thanks again you're wonderful don't get tired the country needs you my brother may God bless ypu
Naomba namba yako kaka @Joel
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Kaka #joel_nanauka kweli nabarikwa sanaa na masomo yako napenda sanaa kuwa #speaker je naweza tumia masomo yako kutengeneza ujasiri wangu na pia niendelee kujifunza kwako zaid
Brother Ahsante sana kwa somo zuri sana.
Brother Joel tangu nianze kukufuatilia 2017 hadi leo 2020 Dah! Kiufupi brother wewe ni mwalimu wangu hasa ktk suala la Maisha (personal development knowledge).
Kwakukufuatilia wewe nimeweza kufikia level ya supervisor, thank you very much my Best friend may God bless you and your family.
Natamani japo siku moja tuonane, japo nitoe shukurani zangu za dhati live, nina vitabu vyako vi5 vyote vimenikaa kichwani sometimes ninapo lose Attitude huwa naji-motivat kwa kusoma vitabu vyako hasa Timiza malengo mbinu zote ni madini.
Ahsante sana brother kwa hamasa yako.
Nina namba ya officen lakini pia ningependa sana pia kuwa na namba yako private kwa mawasiliano zaidi, sababu kuna mengi sana ya ku-share hasa katika 2020 hii.
Niko Zanzibar ki-kazi.
Hakika kusudi lako kwetu ni kutufundisha na kutuelimisha. Mungu akubariki zaidi ili tunufaike zaidi.
Ameeen
Thank u brother ,mafundisho yako ni mazuri sana na yana inspire watu wengi
You are the best.
Thank you Joel, haya madini nimeyapata uzuri kabisa
Mungu akubariki nimelipenda somo hili
Ubarikiwe Sana kwa Somo nzuri
Asante sana kaka kwa somo hili umenisaidia
💪💪💪💪Ahsante sana Mungu azidi kukupa hekima uzidi kutusaidia
NEMY MTANGO Ameeen
Mambo ni 🔥 🔥 🔥 Mungu akutunze
Shukrani sana kwa mafunzo haya.
Kaka Tunashukuru Mungu KWA kutupatia mtu Kama wewe, Hakika Mungu aliweke kusudi kubwa juu ya Maisha yako ili uwe msaada Zaidi kwa wengine.....,
Safi Sana.... Hizi ndio elimu tunazozitaka mitaani... We learn.
Godfrey Kristo sawa sawa tuwashirikishe na wengine
@@joelnanauka Yap .
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@@sumiodilo1180 thanks
@@the_white_43. yap
Brother 👏👏👏 nakukubali sana asante Kwa somo zuri saan, barikiwa saan Kaka. # MWONGOZA NJIA YANGU
Nashukuru sana
Nazidi kujivunia kuwa Mtanzania kwaajili yako kaka. Mungu akuweke miaka mingi sana, taifa linakuhitaji sana kuzidi kuwa inspire wengine.
Kupitia mafundisho yako tunapata nguvu kubwa mno
Ubarikiwe sana kwa somo zuri nakuelewa sana nalitambua kusudi LA Mimi kuwepo duniani
Cecilia Lucas hongera snaaaa,usiache kuwashirikisha na wengine
@@joelnanauka Amina kaka ninatambua uwepo wangu kuwa duniani ukivuna mema kuwapa na wengine Mungu akutunze siku zote Kaka Joel'.
Ahsant kaka joel,nataka kuhudhulia mafundisho yako,,najuaje tar
Huwa naweka kwenye mitandao yangu ya kijamii
Ahsant kaka joel napenda sana mafundisho yako
Asante sana bro kwa mafudisho Yako mazuri Kila video Yako najifunza kitu🙏
Kaka formula ya mwisho nimekuelewa pamoja nakuchelewa kukujua nimekuelewa mno asante! Kuanzia sasa naenda kuiishi kusudi na nitarudi kukushukuru
Asante kwa seminer nzuri kaka mungu akubariki uzidi kutufundisha
Mungu akubariki sana, Nimeanza mwaka 2020 nikiwa mtu mpya kuhusu kusudi na mipango.
Adson Fungo wow,hongera sanaaa
Best💪💪
Asante sana kwa ujumbe mzuri binafsi jumbe zako zimenisaidia naamini 2020 nitafika mbali zaidi
Best Cakes nafurahi sana kusikia hivyo..2020 tupate matokeo makubwa zaidi
Mungu akubark sana kaka ndio nimekufaham 2022, mungu anisaidie niweze kuyaishi mafunzo yako naona nimechelewa kukufaham
Shukrani tunaendelea kujifunza zaidi
Asante sana kaka Mungu akuongezee ulichonacho! Nakubali broo
Nanauka ubarikiwe sana ndugu yangu hakika humpatii mtu samaki bali unampatia ndoano
thanks mentor it's time to walk this talk...
It's true
Ndy nilichelewa kuwa sereouse na mafundisho yako kaka but now nafatilia MDA ote kunamabadiliko katika hakiri yangu Kwa sasa mungu akuweke Sana kaka naamin siku moja ntakuwa tajir
asante sana JOEL, semina hii hatutakuja kujutia kamwe ilikuwa yenye nguvu sana kwetu ambao tulihudhuria
Asante kaka kati ya malengo yangu makuu mwaka huu ni kujifunza kutokana na masomo yako. MUNGU ANISAIDIE
Natamani ningekujuwa zamani lkn bado sijachelewa Allah akupe maisha malefu lnshaAllah🙏
Mwalimu Mr Joel tunaomba ututembelee musoma tunayapenda masomo yako tunahitaji.
Ipo vizuri sana mkuu tatizo nimekosa Sana ubunifu sijielewi
Nice bro Hakka umpata neema yalkua mwarmu Mungu aenderee kukutumia
Thank you for a powerful message
Ahsante sana Mwl. Mungu azidi kukujalia yakutufundisha zaidi na zaidi
Sylvia Nkenza Ameeen
umebobea balaa, sijawahi ona!! big up sana.
Asante sana kwa knowledge hii...nasubir sehemu ya pili
Imeshatoka
Asante kaka mungu akupe umri mrefu ili tuzid kujifunza zaid tusiyoyajua
Veronika Agustino Amen nashukuru sana kwa kuniombea
Ahsante sana JN Mungu akuzidishie........
Ameen
Thanks for ur lesson
Ur genius brother Nanauka.I am blessed
See you at the top
A good teacher
Nimekuja hapa kuhusu kupangilia 2021 InshaAllah
Asante broo kwa somo zuri
Ahsante sana upendo,tuendelee kushare na wengine
Ahsate sana . Nimefahamu vizuri
Shukran kaka mungu akulinde ,akuzidishie ufahamu, na akupe afya njema ili ufanikiwe katika kufikisha elimu yenye manufaa kwa watanzania na walimwengu wote wanaokufatilia.
Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kuendelea kuelemisha jamii
Joel kaka nashukuru sana kwa kazi unayoifanya Mungu akutangulie Kwa kila hatua yako.
mathias vicent Ahsante sanaaa
Hongera sana kaka Joel kwa darasa nzuri sana lenye kuelimisha jamii..ila swali langu inawezekana kuwa nimeshidwa kugundua kusudi langu je kuna namna gani naweza kugundua kusudi langu
🔥✔ Much respect to you
Safii kaka umeyafanya maisha yangu yamebadilika sana kwa kupitia video zako
Ahsante sana kwa somo kaka. Umeniweka katika mstari wakati sahihi. Barikiwa sana
Ahsante sana Robinson
Pamoja sana
Nakuelewa sana kaka ubarikiwe zaidi na zaidi ili uzird kutuelimisha kadili mungu atakavyo yeye
Amen nashukuru sanaa
Amina wakushukuriwa zaidi ni mwenyezi mungu atupae uhai
God bless u🙏 na mimi kusundi langu open parents eyes who from Africa God help me
KAKA
wewe nimtu muhimu sana kwetu watanzania tujivunie zawadi hii ambayo MUNGU ametupa naamini kupitia wewe wengi tumefanikiwa
Asante sana nashukuru Mno
@@joelnanauka Kiongozi semina ..huwa unafanyiaga wapi..?
Anste kaka !!Teacher tuandalie somo namna gani unaweza kugundua kusudi zako.Either kiroho au kimazingira.all in all ur recycle our impossible to becomes possible
Kwelii aiishi miaka mingi sn
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
JOEL you're the best Motivation Speaker n Really Life Coach of all the time since av started to follow your Videos My life have totally Change hopefully 2020 I'm going to be a best WINNER,MAY God Bless You Bro. HAPPY NEW YEAR JOEL2020
Hassanova junior Thanks so much,tuendelee kujifunza.
@@joelnanauka More Blessings my Mentor 🙏🙏🙏
Nitapataje kitabu cha timiza malengo yako Mr Joel?
Well done broh,,, keep it up,,,from 2day am ready to listen what u say to us
Ni mzuri sana
joel nanauka napenda sana video zako ila nadhani video zako ni ndefu zako sana..... ningekushari uzivunjevunje kwenye vipande vidogo vidogo itatusaidia sana.... asante
Karibu Sana,fupi zipo pia.Hizi ndefu Ni za semina ambazo Zina masomo.kamili
Ahsante Sana Mheshimiwa Nanauka hakika nime elimika sana natamani siku moja nikuone live unifundishe me nipo Mwanza
We are waiting bro
Hakika Joel wewe ni mtu mwenye upendo wa hali ya juu
Jackson Kinange Nashukuru sana,Tuko pamoja
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Ahsante Mwalimu
Asante kwa somo hili ndugu Joel
Barikiwa sana Joel kwa somo zuri unatufundisha mambo muhm sana ktk maisha yetu
Napenda sana masomo yako kaka joel nanauka lakn video hii niliipokea kwa furaha nikijua unafundisha jinsi ya kupanga malengo ya mwaka yan kwasiku wiki adi mweZ Ila sijakuta Ivo nimeuzunika mini😭😭😭😭
madam Tunu subiria part two ndio tulijifunza hiyo
@@joelnanauka inatoka lini hiyo na hamu nayo sana yaaaani acha tu brother natamani mwaka huu uwe wa ushuhuda kupitia ww mwanga wetu
2020 at the top
Celebrity Quote in swahili Ameen
Aise natamani kihudhuria semina zako
Nitajuaje hizo tarehe na venue
Please
Nahitaji kitabu cha " timiza malengo yako "/ msaada please
Asee such a blessing knowldege🙏🏿🙏🏿
haki ya Mungu wewe kaka ni nabii
brother joel unajua sana aisee daah kazi nzuri sana unafanya kaka🙏Mungu akubariki sana
Kaka Joel thanks much naheshimu sana kazi yako ilinitoa kwenye hali mbaya sana about relationship. Thank u so much naamini nikirudi Tz nitafuta no yako pia vitabu. I'm proud of my brother . Mungu aendelee kukuinua zaidi.
Anisia ludelemla Ameen,Ahsante sana,natiwa nguvu sana kusikia hivyo.Mungu akubariki na tuwasiliane ukirudi
Asantee kaka
Mambo
Asante nawezaje kufaham kusud kangu
Asante kaka inshlh tunagemea matokeo mazuri ya mafaanikio mazuri ktk 2020
Kabisa Husna,naamini tutafanikiwa sanaa
@@joelnanauka nipo Oman nilimiss sn seminer ya mwisho wa mwaka
Asante Sana MUNGU akuongoze