Nimepoteza ujasiri wangu kwa 90% hii hali inaniumiza sana😭 Mm ni mtu ambaye nilikuwa na ujasiri wa kukabiliana na jambo lolote linalokuja mbele yangu na nitafanikiwa na nitashinda ila sasaivi nimepoteza ujasiri wangu😭😭😭
Asant Sana Kaka Joel Mungu akuongoze kwa Kila hatua najua umepewa hicho kipower na Mungu Cha kukoach watu ili wafanikiwe kimaisha hakika thamani yako duniani ni Kama dhahabu...
Shukukrani bradha joel kila siku nazidi kupiga hatua za mafanikio toka nimeanza kukusiliza mwaka 2016 sijawahi kukosa cha kuchukua katika maktaba yako mungu akufikishe unapotaka kufika
Asante kaka kwanzia leo nitaongea kwa ujasiri na nitaweza kuongea mbele ya wanachuo wenzangu mungu akubariki sana umenifumbua macho nakuijua hofu yangu
Asante sana Joel Kila siku najikuta kujengeka ninapo sikiza hizi series...... asante sana Joel mungu azidi kukubariki kw kila kitu....unachofikiria kw kuzidi kutufunza.......see you at the top.
Mimi nakushukuru sana Joel now foundation yangu imeanza kukuwa maana ujasiri wangu nimeupeleka sehemu kubwa na juzi nimekuwa involved kwenye dawati la watoto la police nauona mwanga baada ya kulijenga giza zito muda mrefu
Kaka joel nimesoma kitabu chako cha money fomla nimejifunza mengi sana ila kubwa zaidi nimeweza kujilipa mwenyewe mpka shilingi m450 kwezi mungu akupe maisha marefu sana kaka
Yaani kama umeniona nilimshirikisha Mr jambo fulani mara tatu jibu lake hio pesa utaijutia acha nikaacha baada ya mda nikalifanya kwa siri maana Mr alinitia hofu Yaani huweziamini mambo yamekua mazuri mpaka mme wangu anashanga na majukumu tunasaidiana maana tuna watoto
Hii ni hazina ya taifa, Huyu Kaka yupo duniani kwa kusudi maalumu la Mungu.
Nimepoteza ujasiri wangu kwa 90% hii hali inaniumiza sana😭
Mm ni mtu ambaye nilikuwa na ujasiri wa kukabiliana na jambo lolote linalokuja mbele yangu na nitafanikiwa na nitashinda ila sasaivi nimepoteza ujasiri wangu😭😭😭
Mental wangu nakuelewa sana mkuu wangu
Asant Sana Kaka Joel Mungu akuongoze kwa Kila hatua najua umepewa hicho kipower na Mungu Cha kukoach watu ili wafanikiwe kimaisha hakika thamani yako duniani ni Kama dhahabu...
Mungu azidi kukutia nguvu kaka uzidi kutunoa
Sitaacha kukusikiliza barikiwa sanaa
Shukrani sàna Ndugu Nanauka kujiamini muhimu ,Sana asante kwa kututia MOYO,Kila siku Maisha ni yetu.....
Asante kaka Mungu akubariki nime ele wa jambo muhimu sana sita fili tena kwenye MAISHA 🎉🇨🇩
Asante kaka Joel kwa ujumbe muhimu naomba Mungu azidi kunipa ujasiri wa kutimiza ndoto zangu
Ameen tusonge mbele
Kiukweli wengi tunakuwa na hofu kwa kuogopa watu walio tuzunguka ,Mungu akutunze kaka Joel ❤
Asante kaka kwa somo nzuri sana nimevuka kabisa leo❤
Asante kaka, na BWANA MUNGU azidikukubariki.
Ameen Ameen
Nimejifunza jambo zuri, kuna umuhimu wa kujitoa kushinda jambo lolote unalotamani litokee thanks for lesson
Shukukrani bradha joel kila siku nazidi kupiga hatua za mafanikio toka nimeanza kukusiliza mwaka 2016 sijawahi kukosa cha kuchukua katika maktaba yako mungu akufikishe unapotaka kufika
Asante kaka kwanzia leo nitaongea kwa ujasiri na nitaweza kuongea mbele ya wanachuo wenzangu mungu akubariki sana umenifumbua macho nakuijua hofu yangu
Hyo Hali ya woga/hofu inanisimbua, sijui natokaje kwenye Hali hiyo.
To the circumstances I am in the moment,,,,,,,,,,,,,,,,,,this I believe it will strengthen to finish my diploma.🙏🙏. God bless you brother Joel✍️🇹🇿🤔
Critical resolution #core point, thank you my life coach
Ubarikiwe Sana mkuu mungu ukuonoze Sana mkuu wangu akupepe nguvu sana
Asante Kaka somo zuri .
Uishi miaka buku tuendelee kujifunza
Asante sana Joel Kila siku najikuta kujengeka ninapo sikiza hizi series...... asante sana Joel mungu azidi kukubariki kw kila kitu....unachofikiria kw kuzidi kutufunza.......see you at the top.
Hii elimu haipo mashuleni... ni elimu bora.... chakula cha ubongo... GOD BLESS YOU
Mimi nakushukuru sana Joel now foundation yangu imeanza kukuwa maana ujasiri wangu nimeupeleka sehemu kubwa na juzi nimekuwa involved kwenye dawati la watoto la police nauona mwanga baada ya kulijenga giza zito muda mrefu
God bless you brother unatuimarisha weng katika kuthubutu✨🌹
Kaka joel nimesoma kitabu chako cha money fomla nimejifunza mengi sana ila kubwa zaidi nimeweza kujilipa mwenyewe mpka shilingi m450 kwezi mungu akupe maisha marefu sana kaka
AHSANTE sana. MUNGU akubariki nimepata kitu
Mwenyezi MUNGU akubariki,
Kweli kaka Joël kwangu nami nichaguo mbili Eza nika fanikiwe ao nife nikijaribu.
Asante sana
Kaka ubarikiwe maana namna yako ya kuongea mimi binafsi huwa nakuelewa kirahisi nakushikuru 👏👏👍
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU.
Asante bro..kwa somo nzuri mungu akubariki
Nakukubari sana kak tunapata mafunzo mazuri yananipa ujasili wa kusonga mbele mungu a kupeafy njem
Nataka nijenge ujasiri,I either win or die.
Ubalikiwe sana ndugu joel nanauka.
Kaka hazina ya vijana safi ni nzuri
❤❤❤
Ubalikiwe sana.
♥️♥️♥️🙏🙏
God bless u sana
Sifa na utukufu kwa MUNGU wetu, damu ya YESU izidi kukufunika Joel See you at the top
Thanks brother Joel
Kak asante sana
Ninachotaka kukifanya ni kikubwa sana kinaniogopesha ila ksbb wengine wamefanya,nami nitaweza kwa msaada wa Mungu
Barikiwa sana Nanauka
Shukran ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante kaka
Yaani kama umeniona nilimshirikisha Mr jambo fulani mara tatu jibu lake hio pesa utaijutia acha nikaacha baada ya mda nikalifanya kwa siri maana Mr alinitia hofu Yaani huweziamini mambo yamekua mazuri mpaka mme wangu anashanga na majukumu tunasaidiana maana tuna watoto
💃🙏🏿🤸🏽♂️
See you at the top
See me at the TOP!
See At The Top
Mimi mipango yangu huwa siwaambi watu....Huwa na washangazaa kwa matokeo...Wanabaki kimya na kushangaa
Hua nataman kufanya mambo kimya kimya lkn hua najikuta nshalopoka cjui nfanyaje
Barikiwa kaka tukutane julai mileniam tower
Ameen tuombe uzima.Tiketi Zinaanza kutoka hivi karibuni🔥🔥
Transformative
Mungu akubariki sana kaka
Ahsante Mentor Joel
Nitasimama katika haki