NJIA WANAZOTUMIA KUKUTOA KWENYE RELI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 80

  • @bushimani1544
    @bushimani1544 7 месяцев назад +14

    Bro unakiri nyingi Sana mungu akupe afya njema sio afya tu na pesa pia

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад +1

      Ameen Ahsante sana 🙏

    • @diibabatz764
      @diibabatz764 5 месяцев назад

      Mm natoaga nondo hapo Sasa kwenye magrup ya chuo mm nikiwashauri huo mswada umepite

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 7 месяцев назад +4

    Namshukru sana Mungu kwaajili ya maisha yako yaani sijaamini nimejikuta mpaka nalia maana ndo nayapitia haya sasa mpaka nashindwa hata kuelewa asante kwa somo hili nazidi kupata ujasiri zaidi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад +2

      Pole sana Mungu akupe ushindi uvuke salama

  • @dominicamlawa4753
    @dominicamlawa4753 23 дня назад +1

    Ahsnt kwa mafunzo brother ubarikiwe mno

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 7 месяцев назад +2

    Hapo kwenye siri nimuhimu kuwa makini sana na tunaojifunua kwao, nimekuelewa mwalimu.🤝

  • @franksamson1718
    @franksamson1718 7 месяцев назад +3

    But all of them shukrani kwa somo lako. Kaka Joel. Shukran sana.

  • @LucksonMwijage-ro6ps
    @LucksonMwijage-ro6ps 4 месяца назад +2

    Kwaiyo solution ni ipi unapokutana na mtu wa aina iyo

  • @zaituntembo
    @zaituntembo 7 месяцев назад +1

    Shukrani brother, Mungu atutunzie wewe kwa kweli!

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 7 месяцев назад +1

    Brother mungu akupe maisha marefu,haya ni maisha ambayo tunayaishi.

  • @MaryamHaruna-f3r
    @MaryamHaruna-f3r 7 месяцев назад +1

    Kukaa kimya na ku focus kulinisaidia baada ya mwanamama ambae alkuwa anafanya biashara kama yangu kuanza kunitengenezea matukio,kunizushia,nikaitwa mpk mchawi kuwa namtumia wadudu wakamuume afe nilipitia wakati mgumu lkn nilikuwa kimya tu nkawa bize kila mteja aliyekuwa akienda kwakwe akawa anampa habari zangu kwangu nilikuwa naumia na hata na shangaa na ukweli n kwamba mm nilikuwa mgeni maeneo yake na hakuna aliyekuwa akinijua mimi wala habari zangu
    Mwisho wa siku wateja wakamchoka na maneno yake wakaanza kumsema yeye sasa na wakawa wakimuona wanamkwepa Mungu alivyokuwa mkubwa yaan wote wakahamia kwangu na wakawa wanamsema pia ili kuogopa kujiharibia pia nkawa napuuza najali niwauzie waende nikijitahidi sana najibu positive
    Hakika hyo formula ilinisaidia sana kudeal na huyo mama
    Nilikuwa naumia lkn sikujifanya dhaifu kwake au kupoteza lengo langu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад +2

      Hongera sana kwa kuvuka salama, Songa mbele 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @AmaniRashidi-i9b
    @AmaniRashidi-i9b 7 месяцев назад +1

    Kutoka South Africa mafanikio makubwa ninayo yapata ni msada wa video zako mungu akutunze

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад +1

      Ameen nashukuru sana, tuendelee kujifunza 🙏

  • @African511
    @African511 7 месяцев назад +2

    Alooo hii ni kweli kabisa

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 3 дня назад

    Barikiwa brother 🤝🎉

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana ,Mwanangu!

  • @pjsite2390
    @pjsite2390 7 месяцев назад +1

    Hii imenitokea kwa kiwango cha juu sana Asante sana Joel kwa kunipa mwanzo mpya Mungu akubariki

  • @EliasGervas-jb6rd
    @EliasGervas-jb6rd 7 месяцев назад +1

    Lini utakuja MUST kaka tunakusubri sana

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 7 месяцев назад +1

    Much love 👊

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 7 месяцев назад +1

    Boss kweli kuna watu wengine mm binafsi na sema bora wasinge zaliwa

  • @MaendeleoProgramChristopherChi
    @MaendeleoProgramChristopherChi 6 месяцев назад

    Kujitambua ruclips.net/video/Q4F6E10R0IQ/видео.htmlsi=99O7VKLysLq1as7g

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 7 месяцев назад +1

    See you at the top #JAN..🔥🔥🔥

  • @LatifaAbbas-f3m
    @LatifaAbbas-f3m 7 месяцев назад

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 7 месяцев назад

    Njia ingin ni kupitia kukukop huku wakijitia wema mwishow wanakukimbia lengo lak upotez direction kama c kukua kbs

  • @alisalum6733
    @alisalum6733 7 месяцев назад

    Nilipitia haya.... Uzuri niliyafahamu na kuchukuwa hatua.. Ukweli ni kuwa ni mara chache kuepukana na yote hayo iwapo una ndoto na ubaya zaidi watu wakagundua unakitu zaidi yao. Tumtegemee Mungu ndo mfanyaji wa yote

  • @Tinahkisaka
    @Tinahkisaka 7 месяцев назад

    Unaakili nyingi Sasà broo Joel .kwa kipawa hiki unaweza kuibadilisha nchi yetu .keep It up.......✍️

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 7 месяцев назад

    Kaka Ahsante sana. Ni kumuomba Mungu tu kwa kila jambo . Wapo wengi mm wamenizunguka ila Mungu n muweza wa yote Hakika. Nimeinuka kwa mcg zako . Mungu akubariki sana wallah

  • @IbrahimuAmiry
    @IbrahimuAmiry 7 месяцев назад

    Blood ii ni kweli asilimia zote na imesababisha kuniaharibia ktk maisha yangu ila MUNGU mkubwa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 7 месяцев назад

    Kaka kiukweli najifunza vingi,niombee nahitaji kuachana na kuajiriwa nijiajiri,japo ninaona nikijiajili nitashindwa ila naamini Mungu ndiye kiongozi ndoto yangu kumiliki mgawa wakisasa

  • @AlexAdrian-vp4oi
    @AlexAdrian-vp4oi 7 месяцев назад +1

    Fact

  • @IdrissaBakar-w1u
    @IdrissaBakar-w1u 7 месяцев назад

    Babu unaniongelea babu dah lakini asante, hawa watu wanaumiza sana roho unakosa amani kabisa

  • @MosesFikiriIbrahimu
    @MosesFikiriIbrahimu 3 месяца назад

    AMENI

  • @Samufocus
    @Samufocus 7 месяцев назад

    napitia hiyo hali nina rafiki yangu mmoja hivi ni mnafiki kweli

  • @StanslousMpangala
    @StanslousMpangala 7 месяцев назад

    Namshukuru sana mungu kukutana na joel maisha yangu

  • @pialafrance7922
    @pialafrance7922 7 месяцев назад

    Kwel kbsa kaka ...Mungu akubariki mno

  • @rosemlawa7306
    @rosemlawa7306 7 месяцев назад

    Ukweli mtupu

  • @ShekheKiungio-wb5qw
    @ShekheKiungio-wb5qw 7 месяцев назад

    Tufanye nn ili tuepouke hiyo vita

  • @professorimmah
    @professorimmah 7 месяцев назад

    You're brilliant and go on to teach people how can live in their life

  • @keviolotu
    @keviolotu 5 месяцев назад

    kweli kabisa mi naona Kwa ndugu

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 7 месяцев назад

    Asante sana coach 🙏 barikiwa

  • @neemarobert5995
    @neemarobert5995 7 месяцев назад

    Yaan kiukwel ndo naamin wanataka nifel kabisa

  • @marigemsando9564
    @marigemsando9564 7 месяцев назад

    Asante Kwa somo nzuri.

  • @meshackevance9959
    @meshackevance9959 7 месяцев назад

    Kabisa mentor wangu,naamini kuna siku nitapata nafasi ya kuonana na wewe na nikupe ushuhuda wa namna mafundisho yako yalivyo badilisha uelekeo wa maisha yangu.Yesu akutunze kaka Joel..

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад

      Ameen Ahsante sana Mungu ni Mwema atatupa hiyo fursa ya kuonana

  • @MosesAmenye
    @MosesAmenye 7 месяцев назад

    Bro mungu akusaidie🙏

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un 6 месяцев назад

    Amina

  • @salesiomweda1747
    @salesiomweda1747 7 месяцев назад

    Muito obrigado pela aula
    Deus te abençoe sempre

  • @Ajome_Family
    @Ajome_Family 7 месяцев назад

    Apo ni kuwa makini tu

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 7 месяцев назад

    Amina ubarikiwe sana 🙏

  • @neemarobert5995
    @neemarobert5995 7 месяцев назад

    Yaan huwezi amini hii ishu imenikuta leo, yaan mtu analazimisha watu waamini anachokisema kuhusu mm, nyie watu wana roho ngum sijawahi ona

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад

      Mungu akuvushe salama kwa ushindi 🙏

  • @BaisaMohamed-fj3vf
    @BaisaMohamed-fj3vf 7 месяцев назад

    asante sana kwa masomo mazuri unayotupa,, mungu akulinde daima see you at the top

  • @joshuajackson3827
    @joshuajackson3827 7 месяцев назад

    Ila yupo mungu

  • @vennamaina
    @vennamaina 7 месяцев назад

    tunazidi kujifunnza kutoka kwako

  • @aidanmbilinyi8184
    @aidanmbilinyi8184 7 месяцев назад

    Ameen

  • @joshuajackson3827
    @joshuajackson3827 7 месяцев назад

    Ila yupo mungu

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 7 месяцев назад

    Shukrani kaka❤❤

  • @dommie444
    @dommie444 7 месяцев назад

    Asante kwa somo bro

  • @Sumay228
    @Sumay228 7 месяцев назад

    Dunia ngumu hii huhuhu

  • @AlyKhalifani
    @AlyKhalifani 7 месяцев назад

    Asante kweli

  • @franksamson1718
    @franksamson1718 7 месяцев назад +1

    Si kila mtu anastahili jawabu lako 😢
    Dah kaka Joel mpaka nahic kulia hii hali ilisha wahi kujitokeza pia ni watu nao fanya nao kazi
    Lakini nilipuuzia maana walipakaza maneno kwa watu wangu wa karibu mpaka wanao niamini lakini hawakuweza kufanikiwa. Nashukuru Mungu maisha yanaendelea. Huwa nawachek tu. Afu nawakaushia.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 месяцев назад

      Hongera Sana kwa ushindi

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni6889 7 месяцев назад

    Cubic cm hao aka ccm

  • @MajaliwaMusolwa-rb6nq
    @MajaliwaMusolwa-rb6nq 5 месяцев назад

    Big up mr

  • @alfredshafii2413
    @alfredshafii2413 7 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @winifridaclement8675
    @winifridaclement8675 7 месяцев назад

    Thanks for this

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 7 месяцев назад

    KWELI KABISA

  • @prosperkiria6383
    @prosperkiria6383 7 месяцев назад

    100%

  • @sosteneselias7764
    @sosteneselias7764 7 месяцев назад

    Teacher 🎉🎉

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 7 месяцев назад

    🙏🙏

  • @Vipajivyatanzania
    @Vipajivyatanzania 7 месяцев назад

    Kiukweli kwa mimi binafsi hii hali ilinitokea mwaka 2019 ambapo sitasahau lakini katika mwaka huohuo ni kaanza kupata video zako zimeniponya na nimeendelea kuongeza ufanisi zaidi kwenye kipaji changu