Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, kila siku napata kujiona ninapo kosea na ninacho takiwa kukufanya, kupitia wewe, kama Mungu alivyo kuumba! God Bless you, Amen 🙏🏼
Dahl Kaka umenigusa kwa asilimia kubwa sana. Ila kupitia hili somo nimejifunza sana na nitaitatua hii changamoto kupitia maarifa niliyoyapata ili kuweka mikakati na misingi ambayo itaniwezesha kumaliza mambo. MUNGU akubariki Kaka.
Kaka yangu kiukweli nakosa chakusema ,ila baraka za Bwana ziwe nawe siku zote ,umekua baraka kila iitwapo leo,hili somo limeniimarisha ,sito lalamika kwa watu ila nazidi kuwa imara
Nimecomment RUclips kwa mara ya kwanza kaka Joel. Kila mara naposkiliza hizi episodes zako hua nakua na Notebook and Pen pembeni kwa ajili ya noting down hizi gems. Mungu aendelee kukutunza😊.
Barikiwa sana mwalimu. lakini huyo mtu wa kusubmitt namjuaje au namoataje?
Ubarikiwe
Ubarikiwe
Ahsante sana kaka kwa malifaa ulisha wah nitoa hata moja kwenda nyingne kupitia vitabu vyako see you at the top
Ameen Ameen, nashukuru sana kwa mrejesho🙏🙏
South Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia kikamilifu somo ❤❤❤❤❤
Shukrani sana kwa kuwa mwanafunzi unajifunza kila siku.
Kweli mwalimu asante
Holy Spirit Amen 🙏🏼
Asante sana mwalimu Joel, kila siku napata kujiona ninapo kosea na ninacho takiwa kukufanya, kupitia wewe, kama Mungu alivyo kuumba! God Bless you, Amen 🙏🏼
❤ Asante Sana ✍️✍️
🙏🙏🌹😘
Sijapata Mtu mwenye Hekima kama wewe! Yote ambayo umeyazungumza yananihusu Mimi! Asante Mwalimu Mwema. Nzarubara Emmanuel Nchini Rwanda.
Ameen Ameen, ahsante sana Nzurabara kwa kuendelea kujifunza.
Asante MUNGU kwa ajiri ya kaka Joel Nanauka, MUNGU nakuomba endelea kumtunza kwa ajiri yetu. see you at the top.
Asante Sana coach Joel naendelea kujifunza na kushare
Sion niseme nini ila🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dahl Kaka umenigusa kwa asilimia kubwa sana. Ila kupitia hili somo nimejifunza sana na nitaitatua hii changamoto kupitia maarifa niliyoyapata ili kuweka mikakati na misingi ambayo itaniwezesha kumaliza mambo. MUNGU akubariki Kaka.
Ahsante kwa mrejesho Jumanne,tuendelee kujifunza🙏
🎉🎉🎉
🏆🏆🔥🔥
✍️
Tunasubiri boss wetu
I'm the winner of the best
☝️✍️✍️
Nashukuru san ninaumri mdog san lkn nimkubwa kiakil asante kwa kuujaz ubongo wangu kwa maneno n mxukumo kaka❤❤❤❤❤
Asante
Ubarikiwe sana!
Kaka yangu kiukweli nakosa chakusema ,ila baraka za Bwana ziwe nawe siku zote ,umekua baraka kila iitwapo leo,hili somo limeniimarisha ,sito lalamika kwa watu ila nazidi kuwa imara
😊😊pamoja
Tupo pamoja kaka
nakukubari sana kaka
Wa kwanza kuview😂😂
Hongera mnooo👏🏻👏🏻👏🏻
Menono Yako yanaishi mungu akulinde
❤
Nimecomment RUclips kwa mara ya kwanza kaka Joel. Kila mara naposkiliza hizi episodes zako hua nakua na Notebook and Pen pembeni kwa ajili ya noting down hizi gems. Mungu aendelee kukutunza😊.
Hongera sana sana na ahsante kwa mrejesho
Ma sha allah.. ❤
Q
Asante sana fanikiwa
I love u joel my roal mode wangu
Iyo ya mwisho sasa
Ahsante sana kaka
❤❤❤❤ a boy from kigoma town
Mr Joel see me at the top
🙏🙏🙏🙏