Uelewe ulimwengu wa Roho Ufanikiwe katika Maisha III

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 52

  • @amaniipatrokil4214
    @amaniipatrokil4214 4 месяца назад

    MUNGU wa mbinguni akubariki saaana mtumishi wa MUNGU aliehai umekuwa baraka saaana kwangu kupitia mafundisho unayotupa watoto wako, natamani saana kukuona ila nipo rombo Kilimanjaro na cjajua nitawezaje kukufikia mtumishi wa MUNGU 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @viviankuzilwa3556
    @viviankuzilwa3556 2 месяца назад

    Wow what knowledge?!so profound ,Asante Yesu. “Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu humwangamiza jirani yake, bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.”
    ‭‭Mithali‬ ‭11‬:‭9‬ ‭NEN‬‬

  • @chapeantony7746
    @chapeantony7746 Месяц назад

    Asante..sana God...

  • @MJSTV-up7xd
    @MJSTV-up7xd Год назад

    Mtumishi Asante Sana nakufuatilia kutoka DRC.Congo

  • @magdalenapaul9846
    @magdalenapaul9846 Год назад

    Asante mtumish Mungu akutunze zaid

  • @bukeyegunaguje2524
    @bukeyegunaguje2524 2 года назад

    Asante Roho Mtakatifu!!!!

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 года назад

    Amina asante sana pastor natoka kwa Kasi ya ajabu

  • @viddamgeneka-fo9fp
    @viddamgeneka-fo9fp Год назад

    Yaanii Sunbellaa!

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Год назад

    Amen

  • @judithokothpraises
    @judithokothpraises 2 года назад

    amina

  • @esthersikuli794
    @esthersikuli794 2 года назад

    Asante minister Sunbella

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 3 года назад +1

    Nashukuru Paster Soumbera Mimi ni mutumishi wa Mungu nimeandariwa n'a Mungu gupambana vitæ za Mungu nahitaji maombezi Yako nipate mafuta ya kazi ya Mungu yani Uwe muzazi wangu wa kiroho nina mwito wa kazi ya Mungu ukiomba Mungu atakuonenesha kazi Yake Mungu ndani yangu

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np 2 года назад

      Soumbera❌ Sunbella✅

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Год назад

    I need to access spiritual realm through the holyspirit in the name of Jesus Christ .

  • @aloycelusungu1322
    @aloycelusungu1322 3 года назад +1

    Minister. Sunbella the value of your teaching is more than Gold

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 2 года назад

    Asante Mungu nimejifunza kitu kizuri sn,siendi Tena kwa waganga

  • @elinamushi1556
    @elinamushi1556 2 года назад

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @kakadkarima2448
    @kakadkarima2448 3 года назад +1

    Mtumishi wa Mungu barikiwa sana. leo nimesikiliza somo la uelewe ulimwengu roho ( Nov 2018) bado lina moto na nguvu sana. Wewe ni mwalimu mzuri sana.

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 3 года назад

    Amen mtumishi

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Год назад +1

    SASA NIMEELEWA KUMBE KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA VIONGOZI WA DINI NA WATUMISHI WA MUNGU, BABA UBARIKIWE MNOO

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller4699 2 года назад +1

    We thank God for you, imagine jinsi elimu ya ulimwengu wa roho ilivyonibariki mimi, baba mchungaji endelea kuchunga kondoo wako

  • @umubyeyileila863
    @umubyeyileila863 3 года назад

    mutumishi mungu akubariki sana, rakini tupe siri vizuri, sasa ju tubaki kuco turico umbiwa inatubidi tufanye nini tupe siri nasisi na ubarikiwe

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 5 лет назад

    Mwenyezi mungu akutangulie sana mtumishi 👈 namimi nibariki pia ili niamini Kama unaniona mchungaji🏃

  • @irenefrank2644
    @irenefrank2644 3 года назад

    Mungu akuweke akupe uzima dady 🙏

  • @janekalondu4633
    @janekalondu4633 2 года назад

    Amen..I learn alot..God bless you soo much pastor

  • @ModesterJackson-g8r
    @ModesterJackson-g8r 2 месяца назад

    Hii inahitaji ufunguke kiroho

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Год назад

    Amen 🙏

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 5 лет назад +1

    Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 5 лет назад

    Mbarikiwe wateule

  • @eliudmsey7925
    @eliudmsey7925 5 лет назад +1

    Amen somo Zuri kabisa

  • @rachelandrew5588
    @rachelandrew5588 5 лет назад

    Amen unanibariki Sana mtumishi ubarikiwe

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul3672 4 года назад

    Kila siku nahitaji kujifunza zaidi, ,Mungu akubarikia Mtumishi.

  • @christopherkalinga3358
    @christopherkalinga3358 5 лет назад

    Mungu ni mwema

  • @yusuphkayoka5452
    @yusuphkayoka5452 5 лет назад

    Aksante, somo zuri.

  • @farajasiame1053
    @farajasiame1053 5 лет назад

    Thanks we learn it

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 5 лет назад +2

    Kuanzia leo kila kitu naanza kupambana katika ulimwengu wa roho

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 3 года назад

    Nahitaji unifungue ngombo zote nimutumikiye Mungu wa Yesu Kristo nikiwa hutu kabisa

  • @samuelmdota8452
    @samuelmdota8452 5 лет назад +1

    pastor tunaomba namba yako tafadhali .

  • @ezekiaaliko1015
    @ezekiaaliko1015 5 лет назад

    Majini mahaba yanawezaje kufanya mapenz na binadamu ikiwa wao wapo kwenye ulimwengu wa roho?

    • @yusuphkayoka5452
      @yusuphkayoka5452 5 лет назад +3

      ezekia Aliko Majini huvaa mwili ktk ndoto, Na kitendo uonekana ktk uhalisia,baada ya kujikuta umelowa.

  • @collinslyimo8095
    @collinslyimo8095 3 года назад

    Ameeen

  • @meshackmanofgod8151
    @meshackmanofgod8151 2 года назад

    Naitwa meshack ni dreva wa shabiby nakufuatilia sanaaa mtumishi wa mokozi

  • @makaramayatibamrmichaelkih3683
    @makaramayatibamrmichaelkih3683 5 лет назад

    Kwanini huwa hatujitambui tukiwa ulimwengu wa roho

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 Год назад

      Utajitambua ukiwa umelala Kwa njia ya Ndoto na pia ukitaka uishi Moja Kwa Moja kabisa omba maombi ya maneno ambayo utaona matokeo Yake ndo kuutawala unatamka kitu kinatokea ni Moja ya kuumiliki

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 5 лет назад

    unajitaihidi ila unajichanganya kimaelezo

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 5 лет назад +5

      Pole sana Shabani kwani nyuma yako namuona shetani akihusika kwa siri sana

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 5 лет назад +3

      Kwa jina la Yesu na akuachie

    • @irenefrank2644
      @irenefrank2644 3 года назад +1

      Ww muislam kuelewa ngumu angeongea shekhe ungemuelewa

    • @georgebugangazpoa4975
      @georgebugangazpoa4975 3 года назад +1

      Pole majini yanakusumbua yameshikilia ufahamu wako unachotakiwa sasa ni uombewe tu majini yaachilie ufahamu wako hakuna namna ingine zaidi ya jina la YESU KRISTO NDIO likufungue

  • @granceneema772
    @granceneema772 2 года назад

    Amen

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 5 лет назад +1

    Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana

  • @jeannettefuraha854
    @jeannettefuraha854 3 года назад

    Amen