HAUTAAIBIKA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2021
  • Kuna wakati shetani anakupitisha kwenye hali ngumu sana,na lengo lake kubwa sio wewe bali mlengwa ni Yesu unayemtumikia.Anataka ufike mahali ambapo utaona kuwa kumtumikia Mungu hakuna faida.Neno la Mungu linasema shetani ni muongo,na tena baba wa huo.
    Wakati akitaka akuaibishe,Mungu hukuheshimisha,akitaka ukate tamaa na usione tena njia mbele,Mungu hukuhuisha.Safari ya wokovu tunaiendeleza na kamwe hatutarudi nyuma.
    Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando namna ya kuzitambua mbinu za shetani na jinsi ya kutoka katika njia na mitego yake.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...

Комментарии • 97

  • @MnyabiGang
    @MnyabiGang 18 дней назад +1

    Mchungaji nakuelewa sana

  • @leahswedy4895
    @leahswedy4895 2 года назад +8

    Unafafanua vizuri neno la Mungu .. Mungu azidi kukuinua mtumishi

  • @sambalizainabu
    @sambalizainabu 9 месяцев назад +1

    Sitaaibika kwa jina la yesu

  • @MnyabiGang
    @MnyabiGang 18 дней назад

    Sitaaibika kwa jina la YESU AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-sp2xx7dx2l
    @user-sp2xx7dx2l 9 месяцев назад +1

    Sitaabika kwa jina la yesu wataabika wao

  • @EmmaAchieng-ns4ck
    @EmmaAchieng-ns4ck 2 месяца назад +1

    I shall not be put to shame in Jesus name

  • @officialgabriel7535
    @officialgabriel7535 5 месяцев назад +2

    I will not be ashamed in my life....

  • @JosephineFerdinand-gp3oq
    @JosephineFerdinand-gp3oq 11 месяцев назад +1

    Ni kweli aise Mtumishi

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +7

    Sitaaibika kwa Jina la yesu Amen 🙏

  • @bethkamau6649
    @bethkamau6649 Год назад +3

    I really love your teachings and sermons always watching from Kenya ,,may God continue blessing you 🙏🙏

  • @veronicahndungu4353
    @veronicahndungu4353 2 года назад +6

    I love your preaching's.
    There is so much truth in each and every sermon.
    I will be forever greatfull.

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti7987 Месяц назад +1

    Amen amen amen

  • @gosbertmethod-mk7dg
    @gosbertmethod-mk7dg Год назад +1

    Sitaaibika katika jina la yesu amen 🙏🙏

  • @user-sx8xi8kh2v
    @user-sx8xi8kh2v 5 месяцев назад +1

    Mungu aendelee kukutunza mtumishi.

  • @user-vg1kg2yn5t
    @user-vg1kg2yn5t 6 месяцев назад +1

    Mungu akubaliki mtumishi

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 2 года назад

    Mungu Baba unirehemu mimi kudhani hufanyi kitu. Asante Yesu Kristo ungali ukiandika nipe subira na Roho Mtakatifu anisaidie nitulie tu huku washitaki wangu wakiaibika kiwango cha mafarisayo na waandishi. Mimi sitataharika wala kufadhaika wala kuaibika. Asante Pastor Kyando na wote watendao kazi nawe mabarikiwe na mtumiziwe haja ya mioyo yenu.

  • @violetmbowe4643
    @violetmbowe4643 3 года назад +2

    Watching from Arusha
    Am so blessed
    MUNGU AZIDI KUKUTUMIA MTUMISHI WAKE

  • @carolinengondo2698
    @carolinengondo2698 2 года назад +1

    Am so blessed pastor 🙏. I reside in Kenya 🇰🇪. But I have been following the sermons online. I request for prayer for my husband, my children and my job.I look forward to hearing from God.God bless your ministry.

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi6681 2 года назад

    YESU KRISTO ni Baba na rafiki mzuri sana nakupenda sana Bwana wangu, , Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA 🙏

  • @thawabuunique9154
    @thawabuunique9154 3 года назад +1

    Hakika we Baba nakupenda mpaka sijielew nataman nikuone mafundisho yako yananiingia Sana

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 2 года назад +1

    I love the translater she must have schooled in Kenya. Soft English and easy to understand with no jargons. Congratulations

  • @felestinekwamboka2873
    @felestinekwamboka2873 2 года назад

    Mungu najua mm c mkamilifu unisamehe dhambi zangu unifunike n damu yako kwa ajili ya Neema yako.barikiwa mtumishi

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Год назад

    Sitaibika maishani mwangu na familia katika jina la yesu Christ.

  • @floridam7317
    @floridam7317 Год назад

    Amina. Sitaaibika mimi na familia yangu kwa jina la Yesu.

  • @priscaadongo1922
    @priscaadongo1922 2 года назад

    Ahsante sana mchungaji toka nikujue miezi mitatu ulio pita umekua wa msada kwangu

  • @papyprosper8922
    @papyprosper8922 2 года назад +1

    Hatutoayibika kwa Jina la Yesu Christ Amen Amen 🙏🙌👏❤

  • @epray6031
    @epray6031 Год назад

    Mungu naomba neema ya kusamehe na kuachilia

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Год назад +1

    sitaaibika katika jina la yesu... Amen

  • @heriethkitururu4401
    @heriethkitururu4401 2 года назад

    Nakuelewa sana mtumishi hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu kiwango changu cha imani kinakua

  • @naomykasiti777
    @naomykasiti777 2 года назад +1

    Ohoooo Yes, halleluyah🙏 Yesu bado anaandika kwa ajili yangu..wakati unakuja sitawaona Tena🙇🙇🙇

  • @connieomondi7030
    @connieomondi7030 2 года назад

    Sijui la kusema eh Mungu unirehemu.nijifunze vyema kuwa ni wewe unaandika yote
    Jambo mgumu kweli lakini utawezesha.

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima4267 3 года назад +2

    Ameen 🙏 🙏🙏 Asante kwa mafunuo Aya, sitaaibika katika jina la Yesu

  • @JosephineFerdinand-gp3oq
    @JosephineFerdinand-gp3oq 11 месяцев назад

    Ee Bwana uandae meza yangu machoni pa watesi.wangu.

  • @Besmile27
    @Besmile27 3 года назад

    Zile aibu mwisho mda huu .SITAAIBIKA KWAJINA LA YESU KRISTO.KUDHARAULIKA MWISHO SAAHII IN JESUS NAME 🙏🏻

  • @deborahlusama4909
    @deborahlusama4909 Год назад

    Mungu ni mwaminifu sintaabika kwa jina la Yesu Amen🙏🙏

  • @simplycaren375
    @simplycaren375 Год назад

    Niko kenya natembelewa na nyoka mwilini nahisi tu...mwili wangu unanona na siku moja kesho nakonda... nimeskiza neno nalia tu sijui chanzo lakini ni mahangaiko sina namna ya kufika tzd

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 года назад

    Amen baba.mungu azindi kukuinua ulishe koondoo wako

  • @zahramakota2198
    @zahramakota2198 2 года назад

    Yeeeee nimetambua kwanini wananidharau nitasimama na Bwana mpaka mwisho..SITAHAIBIKA

  • @godfreykapufy386
    @godfreykapufy386 11 месяцев назад +1

    Amen

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Год назад

    I will not be ashamed in my life and family in Jesus Christ name.

  • @neemawelus3846
    @neemawelus3846 2 года назад

    Nikweli mtumishi wa
    Mungu🙏🙏🙏 ubarikiwe nikusamehe tu ili yaendelee kuandikwa

  • @agnessstuartvicent5582
    @agnessstuartvicent5582 2 года назад

    Sitaaibika nimepokea na umekuwa kwangu amin

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima4267 3 года назад +2

    Neema ya Mungu ni kubwa 🙏🙏🙏

  • @afroboy...keylearn7229
    @afroboy...keylearn7229 3 года назад +2

    Be blessed mtumishi

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Год назад

    Staaibika kwa jina la Yesu

  • @kayombotv9758
    @kayombotv9758 2 года назад

    Baba wa Mbinguni uzidi kunipa neema ya kusamehe na kuachilia.

  • @Janekiboma
    @Janekiboma 2 года назад

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu ,hakika ww n mpakwa mafuta

  • @maggymutevu3305
    @maggymutevu3305 3 года назад +1

    Amen mtumishi barikiwa Sana

  • @qghjjaddfdg2125
    @qghjjaddfdg2125 3 года назад +1

    Amen ubarikiwe kwa somo nzuri

  • @blessedaggie9159
    @blessedaggie9159 3 года назад +1

    Amina.Mungu akubariki Mtumishi

  • @achiamwenda8788
    @achiamwenda8788 Год назад

    ASANTE kwa somo zuri

  • @irenemwamfupe8994
    @irenemwamfupe8994 2 года назад

    Nimebarikiwa sana naomba NEEMA inibebe

  • @dollamtui5849
    @dollamtui5849 3 года назад +1

    Sitaabika kwa jina la yesu

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 2 года назад

    YESU ANAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.

  • @priscaadongo1922
    @priscaadongo1922 2 года назад

    Listening and watching from Kenya Diani beach

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 2 года назад

    Amen mtumishi akika unasema n mimi 😭😭

  • @bellatvonline
    @bellatvonline 2 года назад +1

    Ameeen Ameeen Sitaaibika🙏🏽

  • @paschalkunji6132
    @paschalkunji6132 2 года назад

    Siaibika kwa jina la yesu.Amen

  • @nellymuhonja9255
    @nellymuhonja9255 2 года назад +4

    I have learned a lot may God bless you man of God

  • @essywilly8426
    @essywilly8426 2 года назад

    Aaaamen barikiwa kamanda lindoni

  • @mawazokilingo3073
    @mawazokilingo3073 11 месяцев назад

    You are good teacher

  • @oliverunique8645
    @oliverunique8645 2 года назад

    Amen🙏 Ubarikiwe Sana Mtumishi ur Gifted 🙌

  • @gabrielkaliki4040
    @gabrielkaliki4040 2 года назад

    Barikiwa sana Mtumishi

  • @roseayako3778
    @roseayako3778 2 года назад

    Amen,sitaabika kamwe

  • @mzizirashid709
    @mzizirashid709 2 года назад

    Ameen Naisubiri hiyo siku

  • @wilbard3692
    @wilbard3692 2 года назад

    watching from Manyonii

  • @getrudakipengele3284
    @getrudakipengele3284 3 года назад

    Kwa jina la yesu sitahaibikaa

  • @irenemwamfupe8994
    @irenemwamfupe8994 2 года назад

    barikiwa sana baba

  • @elasgakungugu7130
    @elasgakungugu7130 2 года назад

    Good teachings .May God bless you

  • @salmakiyabosiriyamachoziha8756
    @salmakiyabosiriyamachoziha8756 3 года назад

    Amen Amen hakika Sintoaibika tena

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 3 года назад

    AMINA Sihaibika milele

  • @faithngelime5306
    @faithngelime5306 2 года назад

    Amen I am blessed

  • @happypatrick2807
    @happypatrick2807 Год назад

    Amenii 🖐️

  • @judydavid5001
    @judydavid5001 Год назад

    So powerful

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 2 года назад

    Nimejifunza kudeel na wa kwanza habari yyte mbaya inayonijia natafuta chanzo chake kwanza

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Год назад

    Ameni🙏🙏

  • @francksindano9582
    @francksindano9582 2 года назад

    Amen 🙏🏿

  • @veronicanyalinga2845
    @veronicanyalinga2845 2 года назад

    🙇🏻‍♀️🙇🏻‍♀️🙇🏻‍♀️🙏

  • @alexanderkileo2409
    @alexanderkileo2409 Год назад

    ahsante Yesu kwa ukombozi wako katika Manisha yangu

  • @leticiaalphonce2202
    @leticiaalphonce2202 2 года назад

    Amina

  • @nestorymbuya-ef4hp
    @nestorymbuya-ef4hp Год назад

    Hata ikitokea tumeaibika hatumpi utukufu shetan kwa kulalamika tuna bali tunamtukuza MUNGU yeye alie tupenda nakutuwazia meme

  • @emanueltimoth4523
    @emanueltimoth4523 3 года назад +1

    Yees

  • @truthsetsfree2753
    @truthsetsfree2753 2 года назад

    Haleluyah!!!! Amen 🙌🏾 Amen🙌🏾

    • @shirimaevarista1829
      @shirimaevarista1829 2 года назад

      Thanks rrrrrr57r6rrrrrrr r. Noc. Okkkk kkkkkkk. Kk kk. KkkIkumbarr66rr k8mxkknknkiioxk.

  • @gracecosta1622
    @gracecosta1622 3 года назад

    Sitaaibika kwa jina la yesu

    • @esterkipesile9274
      @esterkipesile9274 3 года назад

      Amen kwanzia leo nitamngoja Bwana Yesu aandike 🤐🤐

  • @amanishuklani4581
    @amanishuklani4581 Год назад

    Amen

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад

    Amen

  • @maureenprosperity6335
    @maureenprosperity6335 2 года назад

    Amen

  • @mosengogubaja7433
    @mosengogubaja7433 2 года назад

    Amen

  • @husnakibwana1859
    @husnakibwana1859 2 года назад

    Amen

  • @stellathewriter2298
    @stellathewriter2298 2 года назад

    Amen

  • @husnakibwana1859
    @husnakibwana1859 2 года назад

    Amen

    • @ronaldabisai5989
      @ronaldabisai5989 2 года назад

      Naamini yesu bado anaandika kwa kidole chake.