HAUTAAIBIKA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 24 апр 2021
- Kuna wakati shetani anakupitisha kwenye hali ngumu sana,na lengo lake kubwa sio wewe bali mlengwa ni Yesu unayemtumikia.Anataka ufike mahali ambapo utaona kuwa kumtumikia Mungu hakuna faida.Neno la Mungu linasema shetani ni muongo,na tena baba wa huo.
Wakati akitaka akuaibishe,Mungu hukuheshimisha,akitaka ukate tamaa na usione tena njia mbele,Mungu hukuhuisha.Safari ya wokovu tunaiendeleza na kamwe hatutarudi nyuma.
Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando namna ya kuzitambua mbinu za shetani na jinsi ya kutoka katika njia na mitego yake.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
Mchungaji nakuelewa sana
Unafafanua vizuri neno la Mungu .. Mungu azidi kukuinua mtumishi
Sitaaibika kwa jina la yesu
Sitaaibika kwa jina la YESU AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sitaabika kwa jina la yesu wataabika wao
I shall not be put to shame in Jesus name
I will not be ashamed in my life....
Ni kweli aise Mtumishi
Sitaaibika kwa Jina la yesu Amen 🙏
I really love your teachings and sermons always watching from Kenya ,,may God continue blessing you 🙏🙏
I love your preaching's.
There is so much truth in each and every sermon.
I will be forever greatfull.
Amen amen amen
Sitaaibika katika jina la yesu amen 🙏🙏
Mungu aendelee kukutunza mtumishi.
Mungu akubaliki mtumishi
Mungu Baba unirehemu mimi kudhani hufanyi kitu. Asante Yesu Kristo ungali ukiandika nipe subira na Roho Mtakatifu anisaidie nitulie tu huku washitaki wangu wakiaibika kiwango cha mafarisayo na waandishi. Mimi sitataharika wala kufadhaika wala kuaibika. Asante Pastor Kyando na wote watendao kazi nawe mabarikiwe na mtumiziwe haja ya mioyo yenu.
Watching from Arusha
Am so blessed
MUNGU AZIDI KUKUTUMIA MTUMISHI WAKE
Am so blessed pastor 🙏. I reside in Kenya 🇰🇪. But I have been following the sermons online. I request for prayer for my husband, my children and my job.I look forward to hearing from God.God bless your ministry.
YESU KRISTO ni Baba na rafiki mzuri sana nakupenda sana Bwana wangu, , Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA 🙏
Hakika we Baba nakupenda mpaka sijielew nataman nikuone mafundisho yako yananiingia Sana
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
I love the translater she must have schooled in Kenya. Soft English and easy to understand with no jargons. Congratulations
Mungu najua mm c mkamilifu unisamehe dhambi zangu unifunike n damu yako kwa ajili ya Neema yako.barikiwa mtumishi
Sitaibika maishani mwangu na familia katika jina la yesu Christ.
Amina. Sitaaibika mimi na familia yangu kwa jina la Yesu.
Ahsante sana mchungaji toka nikujue miezi mitatu ulio pita umekua wa msada kwangu
Hatutoayibika kwa Jina la Yesu Christ Amen Amen 🙏🙌👏❤
Mungu naomba neema ya kusamehe na kuachilia
sitaaibika katika jina la yesu... Amen
Nakuelewa sana mtumishi hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu kiwango changu cha imani kinakua
Ohoooo Yes, halleluyah🙏 Yesu bado anaandika kwa ajili yangu..wakati unakuja sitawaona Tena🙇🙇🙇
Mambo
Sijui la kusema eh Mungu unirehemu.nijifunze vyema kuwa ni wewe unaandika yote
Jambo mgumu kweli lakini utawezesha.
Ameen 🙏 🙏🙏 Asante kwa mafunuo Aya, sitaaibika katika jina la Yesu
Ee Bwana uandae meza yangu machoni pa watesi.wangu.
Zile aibu mwisho mda huu .SITAAIBIKA KWAJINA LA YESU KRISTO.KUDHARAULIKA MWISHO SAAHII IN JESUS NAME 🙏🏻
Mungu ni mwaminifu sintaabika kwa jina la Yesu Amen🙏🙏
Niko kenya natembelewa na nyoka mwilini nahisi tu...mwili wangu unanona na siku moja kesho nakonda... nimeskiza neno nalia tu sijui chanzo lakini ni mahangaiko sina namna ya kufika tzd
Amen baba.mungu azindi kukuinua ulishe koondoo wako
Yeeeee nimetambua kwanini wananidharau nitasimama na Bwana mpaka mwisho..SITAHAIBIKA
Amen
I will not be ashamed in my life and family in Jesus Christ name.
Nikweli mtumishi wa
Mungu🙏🙏🙏 ubarikiwe nikusamehe tu ili yaendelee kuandikwa
Sitaaibika nimepokea na umekuwa kwangu amin
Neema ya Mungu ni kubwa 🙏🙏🙏
Be blessed mtumishi
Staaibika kwa jina la Yesu
Baba wa Mbinguni uzidi kunipa neema ya kusamehe na kuachilia.
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu ,hakika ww n mpakwa mafuta
Amen mtumishi barikiwa Sana
Amen ubarikiwe kwa somo nzuri
Amina.Mungu akubariki Mtumishi
ASANTE kwa somo zuri
Nimebarikiwa sana naomba NEEMA inibebe
Sitaabika kwa jina la yesu
YESU ANAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.
Listening and watching from Kenya Diani beach
Amen mtumishi akika unasema n mimi 😭😭
Ameeen Ameeen Sitaaibika🙏🏽
Siaibika kwa jina la yesu.Amen
I have learned a lot may God bless you man of God
Aaaamen barikiwa kamanda lindoni
You are good teacher
Amen🙏 Ubarikiwe Sana Mtumishi ur Gifted 🙌
Barikiwa sana Mtumishi
Amen,sitaabika kamwe
Ameen Naisubiri hiyo siku
watching from Manyonii
Kwa jina la yesu sitahaibikaa
barikiwa sana baba
Good teachings .May God bless you
Amen Amen hakika Sintoaibika tena
AMINA Sihaibika milele
Amen I am blessed
Amenii 🖐️
So powerful
Nimejifunza kudeel na wa kwanza habari yyte mbaya inayonijia natafuta chanzo chake kwanza
Ameni🙏🙏
Amen 🙏🏿
🙇🏻♀️🙇🏻♀️🙇🏻♀️🙏
ahsante Yesu kwa ukombozi wako katika Manisha yangu
Amina
Hata ikitokea tumeaibika hatumpi utukufu shetan kwa kulalamika tuna bali tunamtukuza MUNGU yeye alie tupenda nakutuwazia meme
Yees
Ameen
Haleluyah!!!! Amen 🙌🏾 Amen🙌🏾
Thanks rrrrrr57r6rrrrrrr r. Noc. Okkkk kkkkkkk. Kk kk. KkkIkumbarr66rr k8mxkknknkiioxk.
Sitaaibika kwa jina la yesu
Amen kwanzia leo nitamngoja Bwana Yesu aandike 🤐🤐
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Naamini yesu bado anaandika kwa kidole chake.