KUSHINDA ROHO YA USINGIZI NA UZITO || PASTOR GEORGE MUKABWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #jrcchurch #jrctz #Tanzania
    Jesus Restoration Center ni kanisa liliopo Mwanza, Tanzania (Kirumba Polisi Mwisho wa Lami) Likiongozwa na Pastor George Mukabwa.
    Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
    For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
    Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Комментарии • 258

  • @LoishookiMollel
    @LoishookiMollel 9 месяцев назад +12

    Hawwa ndio waubiri wa ukweli wazidishiwe kipawa na MUNGU zaidi

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Год назад +12

    Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭

    • @brysonkaaya5151
      @brysonkaaya5151 Год назад +1

      Asante pasta kwa mafundisho mazuri mungu akubariki

  • @fravianapkafiti7781
    @fravianapkafiti7781 Год назад +4

    Mtumishi tusaidie namba ilitujue ukowapi ilituweze kufika

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 3 месяца назад

      Kirumba Mwanza Tanzania, karibu na police station

  • @RizikiRiziki-qb4iz
    @RizikiRiziki-qb4iz 4 месяца назад +4

    Bwana yesu asifiwe pst George, mafundisho yako yananibariki sana yananiongeza hatuwa moja baada ya nyingine.

  • @MariamKazungu
    @MariamKazungu 9 месяцев назад +6

    Baba nipe neeema ya kua macho kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ElizabethNgwelo
    @ElizabethNgwelo Год назад +4

    Tangu nianze kuskiliza mafundisho yahuyu mchungaj nimebadilishwa

  • @SiaRichati
    @SiaRichati 4 месяца назад +3

    Jmn hili kanisa wamshukuru Mungu amewapa mtumishi wa kweli. Nawaonea wivu.

  • @maggytonga8410
    @maggytonga8410 Год назад +8

    Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba

  • @everlynecheposera
    @everlynecheposera 4 месяца назад +3

    Bwana asifiwe pastor,,nabarikiwa sana,, from Kenya ,westpokot county

  • @MariaLulenje-z4x
    @MariaLulenje-z4x 7 дней назад +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi mungu akubariki sana nimekua nikikufatilia sana

  • @NicksonWiliam
    @NicksonWiliam Год назад +3

    Amen mtumishi wa mungu akubariki sana Ninabarikiwa sana na mafundisho yako.mungu aendelee kukuinua zaidi katika viwango vya juu zaidi 🙏🙏🙏

  • @VictorSanga-qx7rw
    @VictorSanga-qx7rw 4 месяца назад +3

    Mungu akubariki mno baba maaana niwengi tunapona kupitia mafundisho yako

  • @Ambwene
    @Ambwene 4 месяца назад +2

    Nipo south Africa 🇿🇦 toka nianze kumfatilia pastor George nimebadilika saana

  • @everkivuyo8596
    @everkivuyo8596 Год назад +2

    SHALOM pastor George mukabwa Mungu akuzidishie mafuta

  • @rimahsteve3738
    @rimahsteve3738 Год назад +6

    Ameeen❤❤ thanks God for RUclips watumishi kama hawa tungewapata wapi.

  • @yusuphmarka5868
    @yusuphmarka5868 Год назад +3

    Usingizi me nikikwazo kwangu

  • @JuneMagolanga
    @JuneMagolanga Год назад +4

    Pst nabarikiwa naujumbe unaotulisha nimefunguliwa maeneo mengi umekuwa mchungaji wangu kunipeleka ktk malisho mabichi ubarikiwe

  • @selinadancan1525
    @selinadancan1525 4 месяца назад +2

    Mafundisho ni mazuri sana Barikiwa

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад +10

    😭😭😭🙌🙌Mimi hata sijui asingelikuwa huyu Mungu kunitetea kwa mkono wake wa nguvu adui angelinimaliza nasema tena ASANTE YESU 🙏🙏

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 Месяц назад +1

    I don't know nilichelewa wapi kumfahamu mtumishi wa Mungu huyu but definitely kupitia mafundisho yako naona Mungu anazungunza na Mimi kabisa Praise the Lord no more darkness .🙏🙏🙏.

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Год назад +3

    Amen. Ninapokea nguvu mpya 🙏

  • @JanethLekule-pm8qe
    @JanethLekule-pm8qe Год назад +3

    Amen Amen sina chakumrudisha Jehova

  • @PastaBahariaWilliam-vi1jo
    @PastaBahariaWilliam-vi1jo 6 месяцев назад +2

    Utafika mbali sana baba,na mimi napita njia hizi,barikiwa baba🙏🙏nakupenda sana ipo siku tutaonana

  • @magrethpaul2207
    @magrethpaul2207 Год назад +2

    MUNGU akutunze kwa umri mrefu uendelee kua Baraka kwa wengi we love you so much

  • @IssaKoloba
    @IssaKoloba 2 месяца назад +1

    Baba Mungu mkumbuke mtumishi wako huyu na uzidi mpa,maarifa

  • @InnocentHelmet-pn9mh
    @InnocentHelmet-pn9mh 4 месяца назад +1

    Hii kichwa ni noma, syo rahis kuumuelewa utaona tu kama unasoma physics

  • @Lucyiminza
    @Lucyiminza 4 месяца назад +2

    Amen 🙏 🙏 🙏 from kenya you are a blessing to many 🙏people

    • @LUCYANYONA-t9u
      @LUCYANYONA-t9u 3 месяца назад

      Same here 🇰🇪🇰🇪 this man of God is sually a God's sent

  • @lucykamau9463
    @lucykamau9463 2 дня назад

    Very strong message I am blessed and it's an eye opener in my life God bless you so much pastor. From Kenya.

  • @DanEma-l9t
    @DanEma-l9t Год назад +2

    Aminaa Mungu ninasema Asante Mungu mwaminifu maana nimeona mkono wako mkuu maana umenipe kibali tena mwezi moja pokea sifa na utukufu maana unasitaili Baba mtakatifu maana mim kwa akili yang nilipanga safari ukaniambia bado mda mwanangu Mungu Asante maana nakuona kila saa kwangu Mungu pia namwombea mfunike kwa Dam ya Yesu kiristo mtunze mlinde Mubarak san Amina 🙏🙏 🙏

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 6 месяцев назад

    Hiyo niukweli kbs pastor shunjaa wafimiahaya naMimi. I ataka usadizi wakiroho

  • @HermanaMapunda
    @HermanaMapunda Месяц назад

    Nayafurahia saaana mafundisho yako ni neno lisiloghoshiwa hasa kila somo unalofundisha linanigusa uje na Songea utufanyie Semina. Kama mwenzagu ayetangulia alivyosema nawaonea wivu watu wa huko Butimba, Mwanza.

  • @evalynerwegasira7485
    @evalynerwegasira7485 3 месяца назад

    HONGERA PASTA GEORGE MKABWA. UMEPATA NEEMA. NAWAONEA WIVU WASHIRIKA WAKO DOH!!!!!.WAMEPATA WAPI BAHATI HII YA KUMPATA MWALIMU MZURI HIVI?

  • @dorcastumaini2224
    @dorcastumaini2224 13 дней назад

    Asante Yesu kwa ajili ya Neema ya kumsikia mtumishi wako George,

  • @Jessica-qz1qw
    @Jessica-qz1qw 6 месяцев назад +1

    Mafuñdizo yako postor kuna Mahali inanielekeza mungu akufunulie zaidi.

  • @Patience763
    @Patience763 9 месяцев назад +1

    Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji

  • @RitaLoice
    @RitaLoice Год назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu... Nashkuru Mungu umenitoa mahali.. Amen

  • @bettyadhiambo9557
    @bettyadhiambo9557 Год назад +2

    Nabarikiwa sana🇰🇪🇰🇪

  • @georgemtey6195
    @georgemtey6195 Год назад +37

    Bwana Yesu asifiwe pastor George Mukubwa, nabarikiwa sana na mafundisho yako. Nipo Dar es salaam. Nitafurahi siku moja nikikutana na wewe, you always speak about my life when you preach. Mungu akubariki sana

  • @benedetamuia2639
    @benedetamuia2639 Год назад +2

    Amen

  • @victoriasezi2469
    @victoriasezi2469 Год назад +1

    Asante Bwana,naomba uzidi kunifungua kupitia mahubiri haya kupitia mtumishi wako❤❤❤🙏🙏🙏

  • @irenemilau2946
    @irenemilau2946 Год назад +2

    BARIKIWA MTUMISHI KWA MAFUNDISHO..AMEN AMEN 🙏

  • @Mwanza123-e6u
    @Mwanza123-e6u Год назад +1

    ubarikwe pastor by sammy nakukumbuka sana🙏🏾🙏🏾

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 3 месяца назад

    Ila huyu pastor huyu Mungu azidi kututia mafuta mabichi

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 3 месяца назад

    Ila huyu pastor huyu Mungu azidi kututia mafuta mabichi

  • @brayankimambo5125
    @brayankimambo5125 Год назад

    Pasta naomba usogeze maiki karibu na mdomo ili tukudikie vizuri sauti ni ndogo

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Год назад +2

    JRC mkumbukwe na Mungu daima asante kwa kuabudu pamoja nasi

    • @ElizabethAron-n3s
      @ElizabethAron-n3s Год назад

      Ubarikiwe mchungaji wangu Mimi hapo Pana nihusu Mungu anisaidie lazima nitoke

  • @peterlangay6469
    @peterlangay6469 5 месяцев назад

    Nikimsikiliza huyu mchungaji nawaonea wivu hao anaowafundisha nahisi kama hawaelewi/wanafanya mzaha na mafundisho mazuri kiasi hiki.

  • @RitaLameck
    @RitaLameck 12 дней назад

    Ameen mtumishi nabarikiwa,najifunza

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 Год назад +1

    Hakika kama si Bwana aliyekuwa upande wetu,ingekuwaje Leo.

  • @PriscillaTanui
    @PriscillaTanui 25 дней назад

    Mtumishi wa mungu nabariwa sana kwa maubiri wako inanijenga kiroho

  • @CatherineMbuya-mb9ts
    @CatherineMbuya-mb9ts 10 месяцев назад +1

    Postor,umekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu,Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.

  • @enriqueganywamulume570
    @enriqueganywamulume570 Год назад +1

    Mungu Nina Ku rudishiya utukufu wako mwenyewe una stahili.
    Mubariki paya mtumishi wako Pastor Gorge apekuwa baraka sana iwangu

  • @josephinerajabu8657
    @josephinerajabu8657 6 месяцев назад

    Yaan mtumish naomba maomb nkifika kazin tuu naingia nikiwa hoi usingiz wakutosha siipend hii hali baba naomba maomb

  • @floraan4388
    @floraan4388 Год назад +3

    Amen and amen thank yesu

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 9 месяцев назад +2

    Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 Год назад +1

    Ameen

  • @gideonwambua9498
    @gideonwambua9498 Год назад +3

    Amen and Amen and Amen and thanks to Jesus

  • @LuciaVenance-nd2kd
    @LuciaVenance-nd2kd Год назад +3

    Libarikiwe jina la bwana mungu wetu kama sio yeye sijui ningekuwa wapi mungu wetu ni muamnifu amejawa na neema na rehema tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 8 месяцев назад +1

    Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho. Nakuelewa sana unachofundisha ni maisha ya Bwana Yesu,. Tunapaswa kumfuata yeye.

    • @Zamdaswahibu
      @Zamdaswahibu 3 месяца назад

      Amen nashukuru sana Mtumishi wa Mung ubarikiwe

  • @puritycelina9240
    @puritycelina9240 8 месяцев назад +1

    Pastor you are a great blessing to me,I love your teaching..am from Nakuru county in Kenya

  • @nyanjwabresh8307
    @nyanjwabresh8307 Год назад +2

    Hakika Ni Mungu tu, Amen.

  • @PaulinaWilliam-py6gk
    @PaulinaWilliam-py6gk 9 месяцев назад +1

    Ameeni

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Год назад

    Hakika kuna mahali umenitoa .nilikuwa nimelala.
    N

  • @ErickChisongela
    @ErickChisongela 3 месяца назад

    Nabalikiwa sana na huduma zako

  • @getrayakoyi9185
    @getrayakoyi9185 Год назад

    Sifa na utukufu ni Kwa Jehova aishiye milele barikiwa Kwa mafundisho mchungaji mukabwa

  • @BensonKonsolo
    @BensonKonsolo Год назад

    Bless God pastor, am Benson watching from Nairobi.have you been in Eldoret?Be blessed

    • @JONASNGHOKA
      @JONASNGHOKA Год назад

      Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen

  • @Bahati-b1
    @Bahati-b1 3 месяца назад

    Halleluya Halleluya Halleluya Halleluya Amen Amen Amen Ameen unanifungua akili yangu Mtumishi wa mungu barikiwa sana, mungu akulinde uzidi kufungua vizazi vilivo potea babayetu wakihoro 🙏 🙏 🙏

  • @hadijanafuna-qe7hm
    @hadijanafuna-qe7hm Год назад +2

    Hallelujah gory to God ❤❤❤

  • @PangaSelina
    @PangaSelina 2 месяца назад

    Pastor George, Nabarikiwa na mafunfisho yako Sana, kupitia mafundisho yako Kuna mahali nimetoka Mungu akubariki Sana, np Arusha

  • @gwantwakipetho4074
    @gwantwakipetho4074 6 месяцев назад

    Nakua kiroho nkikuskiliza

  • @JONASNGHOKA
    @JONASNGHOKA Год назад +3

    Be blessed the servant of God!

    • @collinssinclair
      @collinssinclair 7 месяцев назад

      man of God, You have been a great blessing to me 🙏, l was giving up but your word's always makes me feel better important,l wish one day l will visit your church in mwanza,am from Nairobi Kenya,let God be praised all the time.

  • @DeborahEric-s8c
    @DeborahEric-s8c Месяц назад

    Amen, ubarikiwe sana Pastor, kila unapo fundisha naona mwanga, Mungu akutunze mtumishi wa Bwana

  • @chacharehema
    @chacharehema Год назад

    Asante mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenizaidia sana,kutoka Kenya.

  • @susanwanyoni249
    @susanwanyoni249 Год назад +1

    Hallelujah Hallelujah Amen

  • @AgnesWanzala
    @AgnesWanzala Год назад +1

    Roho wa Mungu nisaidie

  • @LUCYANYONA-t9u
    @LUCYANYONA-t9u 3 месяца назад

    Pastor mungu akubariki 🙏 unanibariki na mafundisho yako ,,umenipa sababu ya kukuskiza Kila wakati nikiingia mtandaoni,,hakika umebadilisha mawazo yangu kwa mafunzo yako ,,ombi langu siku Moja nikutane na wewe

  • @JescarOchieng
    @JescarOchieng 7 месяцев назад

    Am watching from Nairobi, nimebarikiwa zaidi na Mungu akuzidishie uhai ili uendelee kutuelimisha❤❤❤ mafundisho.

  • @stellariwa2723
    @stellariwa2723 2 месяца назад

    Thanks pastor George

  • @PriscillaMroso
    @PriscillaMroso 6 месяцев назад

    Ameen BABA MUNGU azidi kukulinda ,,unanibariki sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🥰

  • @beatricemungoni6033
    @beatricemungoni6033 Год назад

    Kweli kama si mungu kijana yangu angeuawa na majambazi mungu kweli asante

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanje Год назад +1

    Amen 🇰🇪🇰🇪

  • @ashuramuhammad8813
    @ashuramuhammad8813 9 месяцев назад

    Babaasnnte

  • @mlongongomr9925
    @mlongongomr9925 Год назад +1

    Amen amen 🙏🙏

  • @MbonimpaNina
    @MbonimpaNina 4 месяца назад

    Yeah Ivi sasa nakuelewa mitumishi unasoma saana vitabu ndipo unapata yakufundisha Ubarikiwe mno

  • @elizabethaineah8861
    @elizabethaineah8861 Год назад

    Mafundisho yako yamepigisha hatua kubwa maisha yangu Mungu akubariki . Nipo Mtwara.

  • @PaulNjiku
    @PaulNjiku Год назад

    Asanteh Mungu Kwa kunilinda kulinda familia asanteh kulinda mtumishi wako pia,

  • @ElizabethKazimil-rv8zz
    @ElizabethKazimil-rv8zz Год назад

    Aksante sana Mungu kwa ajili ya mtumishi wako past George Mukabwa.

  • @nyanjwabresh8307
    @nyanjwabresh8307 Год назад +1

    Very inspiring pastor God bless you so much.

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Год назад +1

    Ameen mtumishi asante kwa ujumbe huu mtumishi God bless you 🙏

    • @JONASNGHOKA
      @JONASNGHOKA Год назад +1

      Amen

    • @elizanyarusi6154
      @elizanyarusi6154 8 месяцев назад +1

      Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia.

  • @kaumbyacyprianbatamzi8143
    @kaumbyacyprianbatamzi8143 Месяц назад

    Amena❤

  • @GeofreyDanda
    @GeofreyDanda 8 месяцев назад

    Mungu akubariki mafundisho yako yanaleta uponyaji maana unahubiri injili iletayo wokovu. I need to conduct you man of God

  • @TullyMwakibete-xt5xm
    @TullyMwakibete-xt5xm 4 месяца назад

    Asante sana mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana,kuna kitu umenibadilisha sana ktk maisha yng,Mungu akukumbuke uendelee kutufungua

  • @ElizabethabrahamHassan
    @ElizabethabrahamHassan 5 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana. Ni abarikiwe sana na mafundisho yako.. Na Kufatilia kila siku. Hakikat unazidi kuninenga kiroho

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад +1

    Ameen

  • @kmtcuniversity9310
    @kmtcuniversity9310 5 месяцев назад

    POWERFUL AND Amazing preachings from the greatest man of God❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MartinMuthara
    @MartinMuthara 7 месяцев назад

    Nashukuru. Muchunga mafundiso yako yamaombi kufunga mungu akufungulie
    Malango ni martin mpeketoni lamu

  • @WemaKiondo
    @WemaKiondo 8 месяцев назад

    Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 6 месяцев назад

    Barikiwa San pastor shunjaa y😊🎉👏👏👏🙏🏽🙏🏽🙏🏽🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽😬😬

  • @HendricaAjiambo
    @HendricaAjiambo 3 месяца назад

    Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati

  • @FransiscaKavishe-xu6de
    @FransiscaKavishe-xu6de Месяц назад

    Your blessed Dad