We we ni mimi jamani, Ee Mungu nope kibali machoni pa watu wako, nipe kibali Cha kazi yangu ikubalike, nipe kibali Biashara yangu itambulike kimataifa,
Pokea kibali Cha kazi nakulipwa madeni Yako yote kwa jina la YESU KRISTO,kuanzia Leo hiyo Roho yakadhulumiwa naikemea juu yako kwa mamlaka ya JINA la YESU,utainuka tangu Leo nasiku zote zamaisha Yako hutorudi nyuma Tena.
Pastor may God continue blessing you always 🙏❤️👍💪,,,aki tangu nikujue kupitia mitadao ukiubiri neno la mungu ,,,nimejifuza mengi katka hii safari ya ki Imani 👏👏👏👏,,,
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Eeeeh dhambi hiyo itakua ya ajabu Sana hata Mungu Atamani Kuweka pashia Jeusi uonekanapo Mbele auf machoninpake???!!! Loo ooh loo...wachananeni na kutenda dhambi wenzangu❤❤❤❤❤Tenda Mwema ya Mungu kupitia Damu ya yesu Kristo na kupitia Jina lake Yesu Kristo Aliye Hai......Amen...Be Blessed Prophet Pastor Georgia Mukabwa ❤❤❤❤❤❤Oye Niederosterreich St Pölten ❤❤❤❤❤❤
Ahsante yesu naomba Tina na rehema mbele zako nisamehe Kwa kuwa mtovu WA nidhamu Kwa habari ya kutokuwa mtiifu na mwaminifu nisamehe,,naomba roho mtakatifu usiniache niambatanishe na wewe nikasimame Kwa shauri lako na kuwa mwaminifu
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Mungu wewe ni Mungu wa kweli! Zidi kunipa kibali chako kila wakati! Nipe kibali kitokacho kwako shusha malaika wako kwangu eeeeh! Mungu wangu
Naenda kazini kila siku na sipati kulipwa na watu wengi wamenizulumu pesa zangu kilasiku naanza maish mapya 😢😢 Mungu naomba kibali
😭😭😭😭😭the same me
We we ni mimi jamani, Ee Mungu nope kibali machoni pa watu wako, nipe kibali Cha kazi yangu ikubalike, nipe kibali Biashara yangu itambulike kimataifa,
Mungu atusaidie
Ww 2 book@@saumusulaiman4742
Pokea kibali Cha kazi nakulipwa madeni Yako yote kwa jina la YESU KRISTO,kuanzia Leo hiyo Roho yakadhulumiwa naikemea juu yako kwa mamlaka ya JINA la YESU,utainuka tangu Leo nasiku zote zamaisha Yako hutorudi nyuma Tena.
Nakushuru Mungu kwasomo hili,kwani nimelipata kwa majira sahihi,ya uhitaji wangu,Mungu amenifunulia nakataliwa nandugu zangu Mimi nawatoto wangu,then nakutana nahili SoMo,haya nimajira sahihi yakushughulikia hii roho
Very powerful teachings
Naomba mungu anibariki siku moja watu uku nje waache kunidharau i need respect one one day,,,,Amen God is with me in Jesus name
MUNGU naomba nipate kibali nikubalike kwenye biashara yangu na familia yangu ipate kibali katika kazi zao kwa damu ya YESU Ameeen
Mchungaji namka Saa Tisa usiku na ninalala Saa Tano usiku na biashara yangu hainisaidii inaisha tu😢😢😢
Kuna mtu alinidulumu pesa nyingi sana so naomba mungu unipe kibali
Mwenyezi Mungu azidi kukutumia ili ss tuokolewe nimejifunz meng ukungu akubariki
Eee
Amen Amen mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha my GOD bless you and your family growly to JESUS
Pastor may God continue blessing you always 🙏❤️👍💪,,,aki tangu nikujue kupitia mitadao ukiubiri neno la mungu ,,,nimejifuza mengi katka hii safari ya ki Imani 👏👏👏👏,,,
Baba mimi nimepoteza kibali changu mimi mwenyewe.Mungu anisamehe sana anirudishiye tena hicho kibali.
Nimejifunza sana mengi katika masomo yako pastor George
Asante Mungukwa ujumbe mpya wa kunitia nguvu kupitia mtumishi Pastor Mkabwa.
Naomba kibali Mungu wangu
Napokea kibali kwa jina la yesu.
Mungu nipe kibali nimekua wakudharauliwa na kudhumiwa muda mrefu Yani wewe mungu ulie hai unikumbuke😢
Mimi Niko Saudi na ninapitia halii hii ngumu sana pastor,ninabadilishiwa manyumba Hadi nimechoka,nahitaji maombi sana
May God give favor dear
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Eeeeh dhambi hiyo itakua ya ajabu Sana hata Mungu Atamani Kuweka pashia Jeusi uonekanapo Mbele auf machoninpake???!!! Loo ooh loo...wachananeni na kutenda dhambi wenzangu❤❤❤❤❤Tenda Mwema ya Mungu kupitia Damu ya yesu Kristo na kupitia Jina lake Yesu Kristo Aliye Hai......Amen...Be Blessed Prophet Pastor Georgia Mukabwa ❤❤❤❤❤❤Oye Niederosterreich St Pölten ❤❤❤❤❤❤
Ee Mungu nafanya kazi kila siku lakini silipwi jamii inanisema nafanya kazi lakini sina chochote naomba kibari nikubarike machoni pa watu wako😰🙏🙏🙏
Very very true , 😢
Amen nabarikiwa na mafundisho yako pastor.Napataje namba yako.
Ahsante yesu naomba Tina na rehema mbele zako nisamehe Kwa kuwa mtovu WA nidhamu Kwa habari ya kutokuwa mtiifu na mwaminifu nisamehe,,naomba roho mtakatifu usiniache niambatanishe na wewe nikasimame Kwa shauri lako na kuwa mwaminifu
Naomba leo mungu anikubalie maombi yangu
Mungu naomba unipee Kibali
Mungu naomba kibali mimi na familia yangu hatuna mtu wakutusaidia katika shida
Yupo Yesu aliye hai atakushindia
Amen
Naomba kibali Mungu ndoa irejeshwe na isimame
MUNGU kupitia nenola mtumishi wako nipate kibali mbele zako MUNGU wangu
Mungu naomb Kibari nikubalike kila napokanyaga na kila nifanyacho Kipate kubali mble zako🙏
Ameen napokea kibali kwa Jina la Yesu
Mungu nipe kibali, pesa yangu iwache kupotea potea. Amen.
Mungu naomba unipe kibali kwenye biashara yangu niweze kutoka maana ninachangamoto.nipo chalinze naombee mnsaidie jaman
Pole sana
Ni somo zuri. Sana ndio muda ninaopitia lakini naamini kuanzia muda huu nitakubarika Amen
Napokea kibali cha kukubaliwa kwajina la YESU.Amen
Naomba mungu anipe kibali cha kusafiri kwenda inchi zainje nipate passport kirahisi
Pastor umenifurahisha apo ulikofundishwa kufuata gari.😅
Ameen Ameen and Ameen Our God is powerful
Mungu.nipe.kibali.nikubalike.kila.mahali.nitakapopita.amina
Mungu akubariki sana Baba ninakuelewa sana wewe hunilea kiroho sana Mungu akutunze
Nisaidie kuwa na kibali kwa kila jambo.mi naeza imba au kuomba but confused biashara neza uza but sometym nipate pesa but hazipatikani
Amen nimekubalika huu mwaka nitaongeza contract nitajenga
Ameen pastor niombee nipate kibali
Hv where was I to know this pastor earlier?it's like God is speaking to me now kwa habari ya maisha yangu.
Amina mungu naomba kibali juu ya maisha yangu..juu ya familia yangu juu ya kazi yangu..juu ya nyumba yangu❤❤
Ameen
Eeh Mùngu warehema unirehemu unipe kibali chako
Ndio Yesu
Ameen pastor
Mungu naomba nipate kibar katika kanzi yangu nitimize ndoto yangu ninaamin bwana atatenda
Mungu naomba kibari ya kazi ya mikono yangu
Amina ubarikiwe sana 🙏 siku nikija mwanza natamani nikione nikuletee na zawadi nabarikiwa sana mahubiri yako
Natamani kutuma sadaka nifanyaje pastor ? Niko Kenya
Ubarikiwe niongee mtumishi wa mungu ili na Mimi Muwe nami Ali ubarikiwe
Be blessed more pastor God may use you for more and more and you have a good message to on each reson
Mungu nipee kibali nafanya kazi ngumu pesa hainisadii kil😢😢🙏
Amen kwanza mimi hata mme wangu amefanya kazi kwa miaka mbili but halipwi na anaendelea na kazi please muombee
Mtumishi mbona tunafanya kazi tunazurumiwa
Amen Pastor.
Emungu naomba kibali cha kuinuka kiimani na kiroho naomba uku wamungu uonekane kwangu
Amen 🙏 ubarikiwe pastor
Ameeen be blessed pastor kanisa linapatikana wapi?
Naomba Mungu akaachilie kibali ndani yangu
Ubarikiwe mtumish wa mungu
Poster niombe sana nimekataliwa na marafiki baka kwa ndoa
Amina napokea Kibali ktk maisha yangu
Kuanzia sasa natangaza kukubalika kwa jina la yesu
Naomba mungu kibari kwenye ndoa yangu
Na online mtu anaweza pata hiyo form?
Mahubiri mazuri sanaa huku mbele sauti imekata natamani kulia somo zuri na nimejipata hapa tusaidie fundibmitambo hakuna sauti
Kumbe wote mnakosa sauti nimesikitika sana kukatika kwa sauti.
Ikiwezekana somo lirudiwe ili likamilishe "clip"
Amina
Ameen and Ameen Our God is powerful
Ameen and Ameen Our God is powerful
Ameen and Ameen Our God is powerful
Naomba anikumbuke nikumbalike
Naomba nipokee kibali kwanzia sas
Nafanya kazi ya mkono yangu na silipwi
Mungu hakik unaishi ninaamini upon na uta
😢😢Nafaya vitu lkin naona mambo nimagumu tu eee MUNGU NIPE NEEMA YA KUKUBALIKA NIPE NAOMB KIBALI BABA😭🙌🙌🙌 mpk nahis kukata tamaa kuedelea kupambana
Ee mungu wa mbinguni naomba kibali
Pastor niombee kibali
Naomba namba mchungaji wangu
Asante paster unaniponya
Napokea kibali leo kutoka kwa mungu amen 🙏 🙌
Kanisa hii iko wapi huku nairobi
Amen 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Nakataa ndamu ya kutaliwa
Mungu nipe kibali
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Mungu wewe ni Mungu wa kweli! Zidi kunipa kibali chako kila wakati! Nipe kibali kitokacho kwako shusha malaika wako kwangu eeeeh! Mungu wangu
Sijui kibali changu kiliibiwa wapi,lkn Asante Sana kwa somo mimi napitia wakati mgumu Sana sasa napokea kwa jina la YESU KRISTO
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu umefungua njia zangu haki nimejua nilipopotelea ! Kupitia huu ujumbe njia zangu zimefunguka
Pastor may God bless you for the powerful word.. nmengangana muda mwingi bila mafanikio bt now I have known the truth.
Napokea kibali
Nashukuru Mungu kwajili yako yote uliyofundisha ni mm kbsa kila neno ulilosema ni mm kaabsa
Mtumishi umbarikiwe sana nimejifunza mengi kutoka kwako Mungu azidndi kukuongoza
Mungu nipe kibali cha kukubalika Nipe Neema ya kipekee itokayo kwako! Mungu niongezee kibali Mungu wangu!
Ameen
Ameen
Ameen
Ameen
Ameen
Ameen