Bwana Yesu apewe sifa naomba mtumishi wa Mungu uniombee nasumbuliwa sana kutemelewa na kitu mwilini nakuniletea maumivu makari sana Sasa ni miaka 12 namuomba Mungu aniponye Leo Amen
@@winiwill Kwa jina la Yesu kristo umefunguliwa shida uliyonayo damu ya Yesu imekusafisha damu Yako na Kila kilichokuwa kimeingua mwilini mwako kwa njia yoyote, umekuwa huru tangu Sasa unaposoma meseji hii
Ameen mchungaji naomba mungu andelee kunitia nguvu nisimame katika kweli na mungu naomba anikumbuke katika maisha yangu yote mpaka mwisho wa maisha yangu anichukue nikiwa katika kweli yake ameen
Asante mtumishi nmelielewa hili somo ubarikiwe sana Akili yangu sasa imefunguka🙏
Mtumishi niombee nifunguliwe kiuchumi amee,
Asantee sana Mtumishi kwa neno lako nimejifunza mambo muhimu, ubalikiwe, naomba pia uniombe nitimize malengo yangu ya masomo yangu
Naomba mume wangu aache kuchepuka chepuka
Nimepokonywa mume wangu wamemuozesha mwanamke mwingine nimetelekezw nawatot wanasema nikosa kuzaa na mimi wamewakataa nasema nihalam nifanye nini mtumish
Aminaaa ubarikiwe Sana mtumishi
Amen
Amen
Barikiwa sana naona
Amina mtumishi
Amen mtumishi🙏
Amen mtumishi
Aamen
🙏
Amen mtumishi
Bwana asifiwe m2shi wamungu
Amen mtumishi niombee kwa mume wangu asiniache kisa mke mngine
Ni muhimu kuwa na neno la Mungu ili kuwa na maombi yenye majibu.barikiwa sana
amen
Amen Amen
Amen 🙏
Amina mtumish.
Amina
Nashukuru kwa mafundisho yako mazuri mungu akubariki sana
Amen
Amina mtumishi Yesu azidi kukuwezesha
Amen
Aminaaa mtumishiii
Amen.
ameni 🙏💯
Amee mungu akubaliki sana na akuzidishie amee ubalikiwe mtumish
Amen
Biblia inasema omba lolote kwa jina langu utapata
Amen, hakika.
Bwana Yesu apewe sifa naomba mtumishi wa Mungu uniombee nasumbuliwa sana kutemelewa na kitu mwilini nakuniletea maumivu makari sana Sasa ni miaka 12 namuomba Mungu aniponye Leo Amen
@@winiwill Kwa jina la Yesu kristo umefunguliwa shida uliyonayo damu ya Yesu imekusafisha damu Yako na Kila kilichokuwa kimeingua mwilini mwako kwa njia yoyote, umekuwa huru tangu Sasa unaposoma meseji hii
Niombee pastor nipate mtoto
Mwa 1:28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha.
Mungu akufanye mama wa watoto wengi
Najiungamanisha mtumishi
Mungu akujibu alithibitishe neno lake kwako kwa kuamini kwako
Aminaaaa
Amen
Amen Amen Mungu akubariki na akuzidishie maana nimejifunza kitu kupitia kwa haya mafundisho
Ameen mchungaji naomba mungu andelee kunitia nguvu nisimame katika kweli na mungu naomba anikumbuke katika maisha yangu yote mpaka mwisho wa maisha yangu anichukue nikiwa katika kweli yake ameen