AINA YA MAOMBI AMBAYO MUNGU ANAJIBU Mwl Mpoki Jafari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 44

  • @qenxlizaxh6402
    @qenxlizaxh6402 19 дней назад +1

    Asante mtumishi nmelielewa hili somo ubarikiwe sana Akili yangu sasa imefunguka🙏

  • @JovitaChilumba
    @JovitaChilumba 2 месяца назад

    Mtumishi niombee nifunguliwe kiuchumi amee,

  • @MousaAdamu
    @MousaAdamu 22 дня назад

    Asantee sana Mtumishi kwa neno lako nimejifunza mambo muhimu, ubalikiwe, naomba pia uniombe nitimize malengo yangu ya masomo yangu

  • @RoseHenjewele
    @RoseHenjewele Месяц назад

    Naomba mume wangu aache kuchepuka chepuka

  • @RucyMartin
    @RucyMartin Месяц назад

    Nimepokonywa mume wangu wamemuozesha mwanamke mwingine nimetelekezw nawatot wanasema nikosa kuzaa na mimi wamewakataa nasema nihalam nifanye nini mtumish

  • @waleedbahar5275
    @waleedbahar5275 Месяц назад

    Aminaaa ubarikiwe Sana mtumishi

  • @WinnieKemunto-s3i
    @WinnieKemunto-s3i Месяц назад

    Amen

  • @charlesmassawe5224
    @charlesmassawe5224 Месяц назад

    Amen

  • @ChedyNsaje
    @ChedyNsaje 24 дня назад

    Barikiwa sana naona

  • @LinaSebastian-c2c
    @LinaSebastian-c2c 2 месяца назад

    Amina mtumishi

  • @FaridaKessy
    @FaridaKessy Месяц назад

    Amen mtumishi🙏

  • @LilyMwaigomole
    @LilyMwaigomole Месяц назад

    Amen mtumishi

  • @MaguyYosia
    @MaguyYosia 17 дней назад

    Aamen

  • @happyaloyce8797
    @happyaloyce8797 23 дня назад

    🙏

  • @blackmoy1999
    @blackmoy1999 Год назад +1

    Amen mtumishi

  • @janecleophas440
    @janecleophas440 Год назад +3

    Amen mtumishi niombee kwa mume wangu asiniache kisa mke mngine

  • @joygraceshoo8939
    @joygraceshoo8939 Год назад +1

    Ni muhimu kuwa na neno la Mungu ili kuwa na maombi yenye majibu.barikiwa sana

  • @FarhO-r7m
    @FarhO-r7m 2 месяца назад

    Amen Amen

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @marymzaza4307
    @marymzaza4307 2 месяца назад

    Amina mtumish.

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende9740 5 месяцев назад

    Amina

  • @subiramrungu88
    @subiramrungu88 Год назад

    Nashukuru kwa mafundisho yako mazuri mungu akubariki sana

  • @joyceaminasanaikenda5230
    @joyceaminasanaikenda5230 Год назад

    Amina mtumishi Yesu azidi kukuwezesha

  • @neema-go7xb
    @neema-go7xb Год назад

    Aminaaa mtumishiii

  • @jovianjoel331
    @jovianjoel331 Год назад

    Amen.

  • @johnsonmwalemba-go5sb
    @johnsonmwalemba-go5sb Год назад

    ameni 🙏💯

  • @agenithaleonard6804
    @agenithaleonard6804 2 года назад

    Amee mungu akubaliki sana na akuzidishie amee ubalikiwe mtumish

  • @safinaharuna-mm8ws
    @safinaharuna-mm8ws Год назад

    Biblia inasema omba lolote kwa jina langu utapata

    • @mpokijafari
      @mpokijafari  Год назад

      Amen, hakika.

    • @winiwill
      @winiwill Год назад

      Bwana Yesu apewe sifa naomba mtumishi wa Mungu uniombee nasumbuliwa sana kutemelewa na kitu mwilini nakuniletea maumivu makari sana Sasa ni miaka 12 namuomba Mungu aniponye Leo Amen

    • @mpokijafari
      @mpokijafari  Год назад

      ​@@winiwill Kwa jina la Yesu kristo umefunguliwa shida uliyonayo damu ya Yesu imekusafisha damu Yako na Kila kilichokuwa kimeingua mwilini mwako kwa njia yoyote, umekuwa huru tangu Sasa unaposoma meseji hii

  • @naimahassan8093
    @naimahassan8093 Год назад

    Niombee pastor nipate mtoto

    • @mpokijafari
      @mpokijafari  Год назад

      Mwa 1:28
      Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha.
      Mungu akufanye mama wa watoto wengi

  • @erickishengoma3108
    @erickishengoma3108 Год назад

    Najiungamanisha mtumishi

    • @mpokijafari
      @mpokijafari  Год назад

      Mungu akujibu alithibitishe neno lake kwako kwa kuamini kwako

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa441 2 года назад

    Aminaaaa

    • @mpokijafari
      @mpokijafari  Год назад

      Amen

    • @peninabensonpen870
      @peninabensonpen870 Год назад +1

      Amen Amen Mungu akubariki na akuzidishie maana nimejifunza kitu kupitia kwa haya mafundisho

    • @jhstationery3036
      @jhstationery3036 Год назад

      Ameen mchungaji naomba mungu andelee kunitia nguvu nisimame katika kweli na mungu naomba anikumbuke katika maisha yangu yote mpaka mwisho wa maisha yangu anichukue nikiwa katika kweli yake ameen