JINSI YA KUTUMIA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 13-10-2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
    For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
  • КиноКино

Комментарии • 204

  • @teclabudodi1970
    @teclabudodi1970 2 года назад +41

    Nimevuka kiuchumi kwaajili ya mafundisho yako ubarikiwe Sana pastor

  • @annnjeri864
    @annnjeri864 Год назад +10

    Nitangaza Damu ya yesu iniwakilishe katika maisha yangu Damu ya Yesu initetee panapo mashitaka yote yanayo ongea kinyume na maisha yangu katika ulimwengu wa rohoni🙏🙏🙏

  • @2010Tadeo
    @2010Tadeo 2 года назад +8

    Huyu baba mchungaji ananibariki sana. Mafundisho yake yanajenga sana, Mwanza wana bahati. Mungu na ambariki sana kwa kutumika.

    • @monicakijazi6351
      @monicakijazi6351 Год назад

      Mungu Baba nisaidie kuelewaasomonya Mtumishi wako

    • @gracehose8840
      @gracehose8840 Год назад

      Nimebarikiwa sana na somo Hili mtumishi Mungu akuinue zaidi nazaidi Amina

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 Год назад

      Mwanza yupo sehemu gani?

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 6 месяцев назад +3

    Damu yaYesu irudishe uhai kwenye kazi yangu AMEN

  • @meleamatonya697
    @meleamatonya697 2 года назад +8

    Mungu akubariki Sana baba masomo yako yanaendelea kunivusha hatua kwa hatua

  • @Grace-ts2rf
    @Grace-ts2rf 7 месяцев назад +3

    He always say, nitakupa andiko...i like this, Amen,

  • @finessarone5559
    @finessarone5559 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana baba unamasomo mazuri yananifanya nipande viwango vingine kiimani

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 Год назад +3

    Amen !Mchungaji
    Hakika nimekuelewa juu ya Somo lisemalo "JINSI YA KUTUMIA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI"
    Ninaomba DAMU ya YESU KRISTO iniondolee magonjwa yangu yote na iniondolee mikosi ,Lana,nguvu za shetani,kafara na sadaka zote za kishetani zilizotolewa juu yangu ziteketee Kwa DAMU YA YESU KRISTO

  • @hassanbukambu931
    @hassanbukambu931 2 года назад +4

    Amen nilikuwa najua kiasi sasahivi najua Kwa kiwango kikubwa Sasa naitumiaga TU Damu ya Yesu Kristo ila Sasa naitumia vizuri zaidi

  • @CresenciaMahembega
    @CresenciaMahembega 6 месяцев назад +3

    Barikiwa sana baba kweli unanibariki na mahubiri yako

  • @judysondara7654
    @judysondara7654 3 месяца назад +6

    Natangaza damu ya yesu ifute kila kifungo kilio wekwa juu yangu katk Jina la Yesu. Na yoyote anayepitia mafundisho haya damu ya yesu na inene mema kwa kila mmoja

  • @ResparGirbert
    @ResparGirbert 6 месяцев назад +1

    Amen Amen 🙌🏿🙌🏿 barikiwa sana Pastor nmesuumbuka sana na magonjwa kichwa meno maskio na Magoti na nmefundishika jinsi ya kutumia Damu ya YESU Asante Bwana Yesu

  • @neemamakando1250
    @neemamakando1250 2 года назад +3

    Hakika nina mbariki sana Mungu kwaajili yako Pastor George.Wewe ni mwalimu haswaa.Yaani najifunza mnoo.Sifa na utukufu kwa Mungu juu

    • @marymassawe8655
      @marymassawe8655 Год назад +1

      Bwana yesu asifiwe mchungaji.mchungaji ninaombi. Naomba kwenye mafundisho yako utoe Flash ili na wasio na simu wapate mafundisho yako mazuri sana yanatubariki sanasana. Tupate na huku mikoani watu wazidi kumjua huyu mungu na kumuishi.UBARIKIWE SANA MCHUNGUJI.UTUNZE NA MUNGU.

  • @braxiviliannafula9151
    @braxiviliannafula9151 8 месяцев назад +2

    Amen Amen Mungu akubariki sana mchungaji kwa mafunzo mazuri acha damu ya Yesu ituteeee na kutulinda katika maisha yetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @violetnafula4948
    @violetnafula4948 2 месяца назад +1

    Kwa hakika umefungua maisha yangu 😢😢😢😢😢 nimejua ni nn kizuizi cha mema yangu! Maisha yangu yamefunguka haki damu ya Yesu kristo imefungua njia zangu

  • @mauricekipchemboi9656
    @mauricekipchemboi9656 Год назад +3

    waa you are my favorite teacher
    Live long pastor
    get more revelations

  • @NivessKomba
    @NivessKomba 26 дней назад

    Asante pastor kwa mafundisho yako mazuri.

  • @lucywangui1932
    @lucywangui1932 8 месяцев назад +2

    Ooh yes I have an advocate who is Jesus Christ

  • @Naomie.kerubo
    @Naomie.kerubo 8 месяцев назад +2

    More blessings man of God I have learnt alot since I started listening to this preachings🙏🙏🙏🙏

  • @winfridamahali6349
    @winfridamahali6349 2 года назад +3

    Amen. Naendelea kubarikiwa sana. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @HAPPYNESMSONDE
    @HAPPYNESMSONDE 20 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana Yesu

  • @Eva-e8z1i
    @Eva-e8z1i 11 дней назад

    Ameni ameni mungu akubariki pastor

  • @juhudijotham888
    @juhudijotham888 2 года назад +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi,hakika ninabarikiwa sana na mafundisho yako.

  • @mthiaspaul
    @mthiaspaul 4 месяца назад +1

    Pastor Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa sana,haya mafundisho ndio MAARIFA ambayo tukiwa nayo hatutaangamia.

  • @everlyneimili
    @everlyneimili Год назад +3

    thank you man of God am blessed with your teachings

  • @elizanyarusi6154
    @elizanyarusi6154 8 месяцев назад +1

    Amen sana Mtumishi wa Mungu, Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia sana nakutakia maisha mema yenye baraka tele daima dumu.

  • @lilianmwamdanga9726
    @lilianmwamdanga9726 8 месяцев назад +2

    Bless you man of God!!

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Год назад +5

    Am in Dar, i have never been in your church but am very blessed through your chanel🙏
    Mafundisho mazuri mno

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Год назад +1

    Amen umenitia Nguvu ya kuomba sana ,, MUNGU akubariki ,,wengine tumefungwa na Damu ya uko ,,so nilazima Damu ya YESU iniokie

  • @annamariamlolwa5409
    @annamariamlolwa5409 Год назад +3

    Hakika damu inawakilisha na niliiona kwkweli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacklinewahome2416
    @jacklinewahome2416 9 месяцев назад +1

    We glorify the name of the Lord, There's true gospel preachers.

  • @teresaarama8452
    @teresaarama8452 Год назад +2

    May God bless you too much for your teachings ❤❤❤❤

  • @RehemaExaudi
    @RehemaExaudi 3 месяца назад

    MUNGU akubariki pastor

  • @julianasuleman219
    @julianasuleman219 5 месяцев назад +1

    Amen. Damu ya Yesu initetee wachawi wanaoninyemelea washindwe

  • @benyoshumu3483
    @benyoshumu3483 8 месяцев назад +1

    Pastor be bless and more grace , ur teaching has tanch my heart

  • @nancykagwima9516
    @nancykagwima9516 6 месяцев назад +1

    Amen pastor huwa nabarikiwa sana wakati unahubiri
    21:02

  • @ekaleregae4765
    @ekaleregae4765 6 месяцев назад +2

    Damu ya yesu niteteee katika maisha yangu na Familia yangu

  • @NoellaBilembano
    @NoellaBilembano 6 месяцев назад +2

    Asante ulidwe namungu siku żółte za maisha yako

  • @margrethemanuel7501
    @margrethemanuel7501 3 месяца назад +1

    Siwezi kumwelezea huyu pastor vile amenivusha na Damu ya Yesu

  • @TabithaImisa
    @TabithaImisa 10 месяцев назад +1

    Am really blessed through this word of God may God bless you more man of God ❤❤

  • @ashajuma6083
    @ashajuma6083 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
    Nimejifunza sana siku ya kwanza kusikiliza soma la nguvu ya maombi ya usiku wa manane Hadi leo sijaacha amen sana baba. Najifunza sana inuliwa ktk jina la baba yesu christo

  • @rebeccamuhonja-xo7xf
    @rebeccamuhonja-xo7xf Год назад +2

    This teachings have moved me to another level thank you pastor be blessed

  • @PapáZongwe
    @PapáZongwe 4 месяца назад +1

    Nimechuguru.sana.mungu.akubariki.sana.nimetaka.mungu.anifanye.kama.wewe.ufunuo
    Waneno.naekima..salamu.sana.apa.congo.lumbu.mbashi

  • @peterkaji7552
    @peterkaji7552 7 месяцев назад

    Asante sana Mchungaji, kwa kunijulisha na kunifanya nimjue Yesu na thamani ya Damu ya Yesu ilivyo na nguvu ya ukombozi hata kwa maisha yangu ya kila siku.
    Barikiwa mtumishi na endelea kumtangaza Kristo na nguvu zake na pia kuibomoa kambi ya adui, Asante sana.

  • @HappyBm-z4v
    @HappyBm-z4v 3 месяца назад

    Amina barikiwa mtumiishi

  • @lovenessdastan5943
    @lovenessdastan5943 9 месяцев назад +1

    mungu akubariki baba kwa kuponya mioyo yetu

  • @JanethJaneth-dy6kr
    @JanethJaneth-dy6kr 3 месяца назад

    Daaah huyu mtumishi ni wa kipekee sana tofauti na wale wa pokea magari wakt hata mia sina, ubarikiwe sana mtumishi Mungu akulinde milele

  • @OswardMuganyiziFortunatus
    @OswardMuganyiziFortunatus Месяц назад

    Amina Mungu akubariki

  • @LydiaKarioki
    @LydiaKarioki 4 месяца назад

    Amen 🙏 nashukuru pastor kwa mafundizo, damu ya yesu itirike maishani mwangu

  • @joyceonzere6206
    @joyceonzere6206 2 года назад +1

    Hakika nabarikiwa sana kwa mafundisho yako mchungaji n Joyce kutoka Kenya

  • @ndinahkibona2546
    @ndinahkibona2546 10 месяцев назад

    Mungu akubariki sana Mch.kwa fundisho hili hakika ni Mungu amekutuma kwangu.

  • @christinechambuni9060
    @christinechambuni9060 6 месяцев назад +1

    Munguakubariki sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs 2 месяца назад

    MUNGU akubariki sana mtumishi mafunzo Yako yananitia moyo sana na kunipa nguvu ya kusonga mbele zaidi kwa NGUVU mpya

  • @Grace-ts2rf
    @Grace-ts2rf 7 месяцев назад

    This man preaches the word of God not his own words. He always read a verse (s). Be blessed man of God,

  • @levinajackson2773
    @levinajackson2773 Год назад +1

    Amen! Amen! Ameeeeeeeeeen! Asante sana mtumishi wa Mungu nimevuka Kwa damu ya Yesu ya thamani

  • @JacklineAkinyi-kg8zb
    @JacklineAkinyi-kg8zb 7 месяцев назад

    I love the way God is using you to help us and enlighten us about God be blessed pastor always

  • @NellyAbel-x6b
    @NellyAbel-x6b 6 месяцев назад +2

    Amen mtumishi najifunza

  • @ekaleregae4765
    @ekaleregae4765 6 месяцев назад +2

    Damu ya Yesu nirudishie biashara yangu

  • @mercymsanzu6944
    @mercymsanzu6944 Год назад +1

    Amen hii neno niyangu ak😭😭😭 ubarikiwe sana

  • @TomasKakami
    @TomasKakami 2 месяца назад

    Paster sina mengi yakusema bt mungu anakutumia kwa viwango vya juu maisha yangu imebadilika kabisa nimekuwa kiumbe kipya

  • @elizabethurovick3887
    @elizabethurovick3887 Год назад +4

    Am so blessed with this sermon,God bless you Pastor.

  • @MAG-yb5ez
    @MAG-yb5ez 9 месяцев назад

    Barikiwa sana Mtumishi nimepokea kitu kikubwa sana.japo napitia maisha magumu madhabahu za giza zinanitesa sana

  • @rosekeruboonchiri2789
    @rosekeruboonchiri2789 5 месяцев назад

    Am blessed 🙌

  • @TomasKakami
    @TomasKakami 2 месяца назад

    Mtumishi kweli ni mungu anakutumia

  • @annambwilo5101
    @annambwilo5101 11 месяцев назад

    Asante mtumishi Nimefanyika huru kwa mafundisho yako.

  • @JudithaJustine-b1u
    @JudithaJustine-b1u Год назад +1

    Ubarikiwe sana Baba

  • @FaithNdahani
    @FaithNdahani Год назад

    Ameni pastor mafundisho yako yamenivusha mbali kiimani mungu akubariki mno

  • @edinahmasea1603
    @edinahmasea1603 Год назад

    Asante sana pastor umeninenea kweli asante Yesu naitisha hii damu itutetee. Amen Amen ❤

  • @MarianaMajenga-uu2wj
    @MarianaMajenga-uu2wj Год назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho haya,uko wapi pastor,mkoa ,wlaya na enjoy,mie niko mza.

  • @SuzanaMsengi
    @SuzanaMsengi 10 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumshi wangu kwa mafundisho mazuri yaani nilikufa kiroho lakin now nimefunguka.

  • @christinaenock6988
    @christinaenock6988 8 месяцев назад

    Amina mchungaji ubarikiwe kwa SoMo la kutumia damu ya Yesu.

  • @NoellaBilembano
    @NoellaBilembano 7 месяцев назад

    Ubarikiwe ninayo mengi takupataje ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @SalutaryJohn
    @SalutaryJohn 7 месяцев назад

    Mungu akuongoze na kukubariki, mtumikie thawabu yako utaikuta mbinguni.

  • @magrethmkemwa9287
    @magrethmkemwa9287 7 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe Sana Kwa somo hili

  • @gracedouglas6009
    @gracedouglas6009 7 месяцев назад

    Asante Bwana Yesu mtakatifu kwa neno lako uendelee kunena NAMI na kuniongoza

  • @PiliHamisi-w9z
    @PiliHamisi-w9z 4 месяца назад +1

    Kweli napenda kukusikiliza mtumishi wa Mungu ,yesu akubariki sana 2:11

  • @aubg3870
    @aubg3870 Год назад

    Ameen..Nimebarikiwa Sana.Mungu akubariki pastor.

  • @mariadagobert2406
    @mariadagobert2406 11 месяцев назад

    Barikiwa sana. Ujumbe mzito na umenibariki sana

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Год назад

    Ubarikiwe mwalimu sana neema ya kufundisha uko nayo kweli

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Год назад

    Barikiwa Sanaa Mtumishi wa MUNGU! Kila ninapo tazama na kusikiliza mafundisha yako hakika nadhidi kukua kiroho

  • @schilasalim
    @schilasalim Год назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako najifunza natatumia Nazidi kuinuliwa

  • @ElizabethKyando-e2s
    @ElizabethKyando-e2s 6 месяцев назад +1

    Yesu akulinde mtumishi

  • @adelambaye1298
    @adelambaye1298 Год назад

    Amen Sana mtumishi kwa mafundisho haya nimebarikiwa Sana ubarikiwe

  • @IssaKoloba
    @IssaKoloba 2 месяца назад

    Kweli,mwanza wanafaidi sana wakibaki hvyhvyo wametaka wenyeweee!

  • @nancykagwima9516
    @nancykagwima9516 6 месяцев назад

    Amen pastor huwa nabarikiwa sana wakati unahubiri

  • @officialjemimahowiti
    @officialjemimahowiti Год назад

    Pure gospel...am charged...God bless you

  • @monicanyangwe4102
    @monicanyangwe4102 Год назад

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi ninaomba kama naweza kupata vitabu vya masomo uliyofundisha barikiwa

  • @shshygibb2236
    @shshygibb2236 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤Oooooh My Goodness True

  • @preciousbuberwa9817
    @preciousbuberwa9817 Год назад

    Thank you Hili somo nimelielewa Kwa undani , nitasimama Nayo 🙏Damu Ya Yesu

  • @mercylinebundala2346
    @mercylinebundala2346 Год назад

    Mungu akubariki sana, Mtumishi wa Mungu. Unafundi vizuri sana

  • @LawrenceLeoMalawa
    @LawrenceLeoMalawa 7 месяцев назад

    Asante kwa neno lako la kutumia damu ya Yesu kutuponya.

  • @elizabethisack1158
    @elizabethisack1158 4 месяца назад

    Ninaamuru DAMU YA YESU iniondolee magonjwa yote, na iponye uchumi wangu.

  • @Grace-ts2rf
    @Grace-ts2rf 4 месяца назад

    Nyinshi watu mumebahatika sana kusikiya hili neno la msalaba na damu ya Yesu Kristo. Hii ina nguvu sana, ni ya kweli kabisa inatoka patakatifu pa patakatifu, absolute truth without any shadow of doubt,

  • @pastorleanib.kibingila267
    @pastorleanib.kibingila267 10 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana mtumishi

  • @violetnafula4948
    @violetnafula4948 2 месяца назад

    Ahsante Yesu kwakunipa damu mpya kutoka kwako Yesu

  • @AgnesNangela
    @AgnesNangela 7 месяцев назад

    Damu ya Yesu kwa maisha yangu na watoto wangu wote

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 3 месяца назад

    Amen Utukufu Kwa YESU KRISTO

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Год назад

    May God keep blessing you Pastor

  • @YonaMaguvu
    @YonaMaguvu Год назад

    Asante mchungaji ubarikiwe sana

  • @janethyangi9986
    @janethyangi9986 6 месяцев назад +1

    Nimeteseka sana kwa muda mrefu lkn Leo nimesikiliza neno la kusimamia damu ya Yesu nimefunguliwa,nimepona.

    • @janethyangi9986
      @janethyangi9986 6 месяцев назад

      Mungu akubariki pastor,wish to see you. Lkn niko dar

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 4 месяца назад

      Utukufu kwa Mungu baba