NGUVU YA SHUKRANI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 04/09/2022
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Ahsante sana baba kwa mafundisho Yako yanayotuimarisha kiroho.Mwenyezi Mungu akubariki sana.🙏🙏
Pastor naomba nambar yako unanifariji sana
Najipatanisha na hyo sauti ya kurejeshwa kazini na kumkumbuka Mungu
Asante baba kwa mafundisho mazuri naomba MUNGU aniumbie kinywa cha shukrani na kuniondolea manung'uniko kinywani mwangu
Hallelujah NIMEBARIKIWA na huu ujumbe leo tar.1.9.2024, Mom Lee.... shukran inakupatia. UHAI...Ibrahim,Isaka waliishi maisha marefu coz ya kumshukuru MUNGU
Asante sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubariki, natumia nafasi i kutubu: nisamehe Mungu kwa kuto kuwa na moyo wa shukurani kwa watu walio tenda wema kwangu🧎♀️
Asante mtumishi kwa mafundisho mazuri , naomba Mungu anisaidie kuwashukuru walionisaidia
Asante Mutumishi kwakutufundisha Mambo Mazuri ya kumshukuru Mungu
Unanibariki sana pastor. Mtu aliyekutendea mema usimlipe mabaya.
Ahsante baba kwa Siri hii kubwa iliyositirika Mungu akupe upako zaidi.
Pastor umeniponya kupitia sim sijui wewe unafundishwa nani jamani mbona mimj siwezi
Asante sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubariki, tatumia nafasi i kutubu: nisamehe Mungu kwa kuto kuwa na moyo wa shukurani kwa watu walio tenda wema kwangu🧎♀️
Paster nabarikiwa sana na mafundisho yako hasa neno la shukrani kwa kila jambo kwa ngu momi ni jipya maana sijawahi kushikiri kwa mabaya kwa hiyo kumbe natakiwa nitubu kwa hilo mungu anisamehe sana . Amina❤
Asante mchungaji mungu akuzidishie baraka
Ubarikiwe baba mafundisho mazuri
Bwana Yesu asifiwe nabarikiwa sana na neno lako pastor naweza vipi kupata namba yako ya simu?
Asant mch.kwa mafundisho mazuri
Asante pastor nipe no.yako ya simu tafathari.
Asante kwakuni fundisha 🙏🏻🙏🏻
Jaman huyu baba🙏🙏🙏🙏
AMEN N AMEN 💟🙏 IN JESUS MIGHTY NAME 📛🙏.
Very powerful man of God
nashukuru kwa uhai ulinzi umenipa
Amen mtumishi msg imefika kabisa
Amen mtumishi wa MUNGU
Amen 🙏 mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa hili neno🙌
Amen amen amen 🙏🙏🙏❤
Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mchungaji Mungu akubariki sana, unatufundisha sana. Asante sana.
Amena❤
Amen🎉🎉
Amen
amen
Ameeen na barikiwa kwa mafunzo na jina la YESU lipewe sifa milele
Amen and Amen 🙏
Ubarikiwe na bwana mtumishi wa bwana wamajeshi 💒🙏🙏🙏
AMEEEEEN
Amen barikiwe sana sana.
Asantesa sana MCUNGAJI kwa mafundisho. Yananipa kusonga mbele, kukua kiroho, na kukomaa ktk kila changamoto nyingi sana, Na nimepata mafanikio mengi kiroho na kimwili pia, Mungu akubariki sana MCHUNGAJI🙏🙏🙏🙏
Barikiwa sana Mtumishi
Amen mungu akubariki
🙏🙏🫢🫢🥰
Waah. Asante nimekuwa na dhambi mingi yakutoshukuru kwa mabaya lakini leo nimepokea neno vizuri kushukuru kwa kila jambo liwe mbaya au zuri, Nashukuru Mungu kwa hilo neno kunifikia kwa maana sitabaki jinsi nilivyo. Amen
Pastor ubarikiwe tu sana you changed my thoughts and life.I thank God.
Asante baba mchungaji kwa ajili ya ili neno. Kweli iyi ni tatizo kubwa nilikuwa nayo. Kushindwa kushukuru
Asante sana pastor kwa Neema MUNGU aliyokupatia..nitawezaje kupata mawasiliano ya Pastor jmn?
Kwa pasta huyu. Mungu yu pamoja naye. Anamafundisho yenye nguvu Sana. Nabarikiwa Sana naye.
Asante MUNGU kwa kutupatia mtumishi mwenye mafunzo mazuri na ya kushiba kila enao kwa ustawi wa wananadamu kuweza kuufikia ufalme wa MUNGU .
Mch. Asante sana kwa somo, umenibariki sana sana, masomo unayofundisha, yamenibariki mno imani inaongezeka
Ameen nimebarikiwa Sana na hili neno ,namtukuza Mungu katika vyote na yote tunayopitia
Pastor namsgkuru sn Mungu kwa mahubiri yako
Neema ya Mungu ikutunze
Tunavuka sn
Pastor mafundisho Yako yananifungua ,Mungu Akubariki sana !!
Mungu Nasema asante kwaajili ya huyu pasta maana kwa mafundisho yako nimebadilika
Amen mungu akuongeze ngufu ya kutusaidia sisi wana wake mungu wetu
Amen mtumish wa Mungu nimebarikiwa saan na mafundisho yako 🙏🙏🙏😇😇
asantee kwa kunifundisha pst
Amen mtumishi Asante sana kwa mafundisho yako hakika najifunza mengi kwako Amen
@@patrickjames6547 m k 😅
Amina ubarikiwe somo zuri sana
Amen amen amen amen amen
Hallelujah ❤
Amen mtumishi
Ameen