NGUVU YA SHUKRANI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 04/09/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
    For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa

Комментарии • 63

  • @LucyPaul-e7v
    @LucyPaul-e7v 16 дней назад +1

    Ahsante sana baba kwa mafundisho Yako yanayotuimarisha kiroho.Mwenyezi Mungu akubariki sana.🙏🙏

  • @matheihaule-tw8yt
    @matheihaule-tw8yt Год назад +2

    Pastor naomba nambar yako unanifariji sana

  • @MiriamIbobo
    @MiriamIbobo Месяц назад +2

    Najipatanisha na hyo sauti ya kurejeshwa kazini na kumkumbuka Mungu

  • @LizzyMwambene-t9y
    @LizzyMwambene-t9y 18 дней назад +1

    Asante baba kwa mafundisho mazuri naomba MUNGU aniumbie kinywa cha shukrani na kuniondolea manung'uniko kinywani mwangu

  • @marundimahugija8168
    @marundimahugija8168 Месяц назад +1

    Hallelujah NIMEBARIKIWA na huu ujumbe leo tar.1.9.2024, Mom Lee.... shukran inakupatia. UHAI...Ibrahim,Isaka waliishi maisha marefu coz ya kumshukuru MUNGU

  • @rosahilario17
    @rosahilario17 Год назад +2

    Asante sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubariki, natumia nafasi i kutubu: nisamehe Mungu kwa kuto kuwa na moyo wa shukurani kwa watu walio tenda wema kwangu🧎‍♀️

    • @wazirimahenge1458
      @wazirimahenge1458 19 дней назад

      Asante mtumishi kwa mafundisho mazuri , naomba Mungu anisaidie kuwashukuru walionisaidia

  • @marynkembo2547
    @marynkembo2547 27 дней назад

    Asante Mutumishi kwakutufundisha Mambo Mazuri ya kumshukuru Mungu

  • @salomejabarikalenga886
    @salomejabarikalenga886 Месяц назад

    Unanibariki sana pastor. Mtu aliyekutendea mema usimlipe mabaya.

  • @LilanLilian-c4l
    @LilanLilian-c4l 17 дней назад

    Ahsante baba kwa Siri hii kubwa iliyositirika Mungu akupe upako zaidi.

  • @BerthaPhilipoShigi-pg4kv
    @BerthaPhilipoShigi-pg4kv Месяц назад

    Pastor umeniponya kupitia sim sijui wewe unafundishwa nani jamani mbona mimj siwezi

  • @rosahilario17
    @rosahilario17 Год назад +4

    Asante sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubariki, tatumia nafasi i kutubu: nisamehe Mungu kwa kuto kuwa na moyo wa shukurani kwa watu walio tenda wema kwangu🧎‍♀️

  • @SelinaSulle
    @SelinaSulle 13 дней назад

    Paster nabarikiwa sana na mafundisho yako hasa neno la shukrani kwa kila jambo kwa ngu momi ni jipya maana sijawahi kushikiri kwa mabaya kwa hiyo kumbe natakiwa nitubu kwa hilo mungu anisamehe sana . Amina❤

  • @nancynasambu997
    @nancynasambu997 Месяц назад

    Asante mchungaji mungu akuzidishie baraka

  • @finacouture8804
    @finacouture8804 13 дней назад

    Ubarikiwe baba mafundisho mazuri

  • @doveadventure
    @doveadventure 8 месяцев назад

    Bwana Yesu asifiwe nabarikiwa sana na neno lako pastor naweza vipi kupata namba yako ya simu?

  • @wazirimahenge1458
    @wazirimahenge1458 19 дней назад

    Asant mch.kwa mafundisho mazuri

  • @leahwairimu3312
    @leahwairimu3312 Месяц назад

    Asante pastor nipe no.yako ya simu tafathari.

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo 2 года назад +2

    Asante kwakuni fundisha 🙏🏻🙏🏻

  • @mankakiwelu607
    @mankakiwelu607 2 года назад +2

    Jaman huyu baba🙏🙏🙏🙏

  • @wilsonkahuthu6604
    @wilsonkahuthu6604 Месяц назад

    AMEN N AMEN 💟🙏 IN JESUS MIGHTY NAME 📛🙏.

  • @NancyKanana-nb4hy
    @NancyKanana-nb4hy 2 месяца назад

    Very powerful man of God

  • @nellykadenyi
    @nellykadenyi 29 дней назад

    nashukuru kwa uhai ulinzi umenipa

  • @ConfusedCityMap-fy6ou
    @ConfusedCityMap-fy6ou 24 дня назад

    Amen mtumishi msg imefika kabisa

  • @AmbeleMwakihaba
    @AmbeleMwakihaba 15 дней назад

    Amen mtumishi wa MUNGU

  • @mercynafula6905
    @mercynafula6905 2 месяца назад +1

    Amen 🙏 mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa hili neno🙌

  • @AgnesNyaleso
    @AgnesNyaleso 3 месяца назад

    Amen amen amen 🙏🙏🙏❤

  • @JolleetNiaze
    @JolleetNiaze 25 дней назад

    Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 2 года назад +1

    Mchungaji Mungu akubariki sana, unatufundisha sana. Asante sana.

  • @kaumbyacyprianbatamzi8143
    @kaumbyacyprianbatamzi8143 29 дней назад

    Amena❤

  • @GuFg-d1y
    @GuFg-d1y 6 месяцев назад

    Amen🎉🎉

  • @ChristineWafula-tm2mp
    @ChristineWafula-tm2mp Месяц назад

    Amen

  • @nellykadenyi
    @nellykadenyi 29 дней назад

    amen

  • @princesprovide3
    @princesprovide3 2 года назад +1

    Ameeen na barikiwa kwa mafunzo na jina la YESU lipewe sifa milele

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824 Год назад +1

    Amen and Amen 🙏

  • @mshumbusiprotase9095
    @mshumbusiprotase9095 2 года назад +1

    Ubarikiwe na bwana mtumishi wa bwana wamajeshi 💒🙏🙏🙏

  • @fulgencenayingo8919
    @fulgencenayingo8919 Год назад +1

    AMEEEEEN

  • @evelynekabaka7140
    @evelynekabaka7140 Год назад +1

    Amen barikiwe sana sana.

  • @annaadaestate-ir3jp
    @annaadaestate-ir3jp Месяц назад

    Asantesa sana MCUNGAJI kwa mafundisho. Yananipa kusonga mbele, kukua kiroho, na kukomaa ktk kila changamoto nyingi sana, Na nimepata mafanikio mengi kiroho na kimwili pia, Mungu akubariki sana MCHUNGAJI🙏🙏🙏🙏

  • @leahmahali8948
    @leahmahali8948 2 года назад +1

    Barikiwa sana Mtumishi

  • @dorothybanda5278
    @dorothybanda5278 2 года назад +1

    Amen mungu akubariki

  • @tinakatana4513
    @tinakatana4513 Месяц назад

    🙏🙏🫢🫢🥰

  • @JacintaWanjiru-j2d
    @JacintaWanjiru-j2d 2 месяца назад

    Waah. Asante nimekuwa na dhambi mingi yakutoshukuru kwa mabaya lakini leo nimepokea neno vizuri kushukuru kwa kila jambo liwe mbaya au zuri, Nashukuru Mungu kwa hilo neno kunifikia kwa maana sitabaki jinsi nilivyo. Amen

  • @NorahMbithe-i6m
    @NorahMbithe-i6m 3 месяца назад

    Pastor ubarikiwe tu sana you changed my thoughts and life.I thank God.

  • @yvonnebora1627
    @yvonnebora1627 Месяц назад

    Asante baba mchungaji kwa ajili ya ili neno. Kweli iyi ni tatizo kubwa nilikuwa nayo. Kushindwa kushukuru

  • @NancyJonas-h1j
    @NancyJonas-h1j Год назад

    Asante sana pastor kwa Neema MUNGU aliyokupatia..nitawezaje kupata mawasiliano ya Pastor jmn?

  • @malandojames5151
    @malandojames5151 4 месяца назад

    Kwa pasta huyu. Mungu yu pamoja naye. Anamafundisho yenye nguvu Sana. Nabarikiwa Sana naye.

  • @VailethJimmy-v7u
    @VailethJimmy-v7u Месяц назад

    Asante MUNGU kwa kutupatia mtumishi mwenye mafunzo mazuri na ya kushiba kila enao kwa ustawi wa wananadamu kuweza kuufikia ufalme wa MUNGU .

  • @LoyceKulwa
    @LoyceKulwa Месяц назад

    Mch. Asante sana kwa somo, umenibariki sana sana, masomo unayofundisha, yamenibariki mno imani inaongezeka

  • @MiriamIbobo
    @MiriamIbobo Месяц назад

    Ameen nimebarikiwa Sana na hili neno ,namtukuza Mungu katika vyote na yote tunayopitia

  • @sarahstanslous347
    @sarahstanslous347 Месяц назад

    Pastor namsgkuru sn Mungu kwa mahubiri yako
    Neema ya Mungu ikutunze
    Tunavuka sn

  • @ephaskamwela2538
    @ephaskamwela2538 5 месяцев назад

    Pastor mafundisho Yako yananifungua ,Mungu Akubariki sana !!

  • @Joycepetro
    @Joycepetro 8 месяцев назад

    Mungu Nasema asante kwaajili ya huyu pasta maana kwa mafundisho yako nimebadilika

  • @MaryMwihaki-if7ry
    @MaryMwihaki-if7ry 4 месяца назад

    Amen mungu akuongeze ngufu ya kutusaidia sisi wana wake mungu wetu

  • @malisamgosi9179
    @malisamgosi9179 2 года назад +6

    Amen mtumish wa Mungu nimebarikiwa saan na mafundisho yako 🙏🙏🙏😇😇

  • @BethuelKipngetichmutai
    @BethuelKipngetichmutai 6 месяцев назад

    Amen amen amen amen amen

  • @Beulah13579
    @Beulah13579 Год назад

    Hallelujah ❤

  • @DavidTarimo-g8n
    @DavidTarimo-g8n 3 месяца назад

    Amen mtumishi

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 11 месяцев назад

    Ameen