KUJINASUA NA NIRA YA KUCHELEWA || PASTOR GEORGE MUKABWA || 23-07-2023
HTML-код
- Опубликовано: 21 июл 2023
- #jrctz #Tanzania #jrcchurch
#jrctz #jrcchurch #Tanzania
#jrctz #Tanzania #jrcchurch
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz#youngministersconeference2023#
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa Кино
Nakosa maneno ya kuelezea shukrani zangu kwa kile Mungu amefanya maishani mwangu kupitia mafundisho haya. Japo niko Kenya, naamini nitafika Tanzania siku moja nikutane nanyi wapendwa uso kwa uso. Uongezeke sana.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Oooh Wooow
Great Man of lord God..
.wooow
True True truth......❤❤❤❤❤❤❤❤❤Be Blessed from me Mnande
Niederoesterreich Oye ❤❤❤❤❤❤Mungu Akuinue Zaidi❤❤❤❤❤❤❤Amen nakucheki Pastor Wangu Mpendwa wa Mungu
George..Mkabwa
Mwana Wa Kukhu! Orio Mno.....wibaĺe❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MUNGU wa mbinguni akubari sna mtumishi coz Bwana ametumia kinywa chako kusema nami.Nackia kubarikiwa na maandiko ,naninaomba Bwana apanue zaidi mipa yako.
mungu wambinguni akubariki mtumishi
Mafundisho haya kwa kwl yamenifinza vitu vingi sana . nlikuwa mkristo ambaye sikui kabisa .cjui kujiombea Mungu Asante kwa hili neno
Nabarikiwa na mahubiri yako
Mungu akubariki, Pasta. Najengwa sana na Neno la Mungu kupitia huduma yako. Nimebaki mwaminifu kwa kukufata kila siku.
😊😊
Jambo, Mtumishi wa Bwana nashukuru kupokea mafundisho muzuri ambayo yananijenga kiroho nasema ubarikiwe zaidi, mimi naishi nchini congo/ mkoani kivu tarafani uvira mtaani songo av. Alliance no 65 ila Mtumishi naomba utusaidiye kuhinua sahuti kiasi Bwana atakavyoenda kukuwezesha ili sisi tuliye mbali tuhelewe kila neno unalolisema ila kuna sehemu sauti inasikilika, vizuri kwenye you tube na sehemu zingine sahuti inashuka zaidi! Asante.
Asante Yesu kwa mafundisho haya najua ni mpango wako kunivusha kupitia Pastor George.
Amen amen amen 🙏
Ameeeeeeeen 🙌🙌🙌🙌
Hakika huyu ni mwalimu wa injili! This is what we call gospel! strictly frm the bible! Asante Mungu kunikutanisha na hii youtube channel imagine in my first day of fasting i came across his video “jinsi ya kuutumia mfungo wako” roho akaniambia niangalie hakika nimebarikiwa! Na hapa ndo nmefika kiu yangu ya neno inaisha baada ya kutazama vidoes zako! Mungu akubariki sana pastor!
E e Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo uliempa mamlaka mbinguni na duniani.
Nimejiungamanisha madhabahu Ibada hii ,nimejikuta ikiwa ni mimi kabisaa jamani, ee Mungu tokea sasa ninajinasua na Roho ya kucheleweshwa kwa jina la Kristo Yesu Alie hai.
Asante Pastor Mungu aendelee kukutumia Kwa ajili yetu sisi.🙏
Amen 🙏🙏🙏
amina ujumbe mzur sana umenibariki Mungu niongoze kujinasua na roho ya kucheleweshwa
Mungu akubarik Sana Mtumishi was.Mungu hakaka ninapokea uamsho kupitia meno lako shukuran
Mandiko yamenifuza ata sina la kusema mchungaji Mungu akubariki n kuinua kipaji chako iliuinue wengi kupitia Neno lake,Eee Mungu nipe uwezo wakukujua zaidi pia njue kuchelewa yako n y shetani💪💪🙌🙌🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Thanks a lot pastor George Mungu azidi kukutia nguvu ktk neno lake .i have been following you umenifungua mengi kupitia Bibilia.
Amen, nmeamini na ninajua nitapokea kazi ninayoiombea kwa njina kuu la Yesu kristo
Yaan mm nimebadilishwa na pastor sitaki hata siku ipita bila kusikia neno la mungu nashukuru sana Kwa mtumishi amenipa tama sana ya maombi na kusikiliza neno
😂Kama vile hunishindi mimi😂😂 bado kwenda kumtembelea tuu
@@tausimwinuka wow wow kama unaishi tz make sure uende Ibadan hata siku moja pastor George amenielekeza Kwa neno la mungu sana
@@ffflll6001 must be, I will attend, kila siku lazima ni danload kipindi chake halafu nisikilize,,, Hakika ananibariki.. Mungu aendelee kumtumia..
Kanisani lake Lipo wapi
@@jackpeter4165 kwanza dear
BWANA YESU ASIFIWE Pastor,minajiuliza kwa habari ya ndoto na maono,Mungu hunifunulia sana kwahabari ya huduma,wito wangu,lakini sioni vitu hivi vikizaliwa,napouliza yupo kimya tu,
Asante sana postor hakika mafundisho yako yamenijenga sana 🙏
Amen
Mtumishi wa Mungu Mungu akubariki kwa kila wakati kwa ajili ya kazi yake ninabarikiwa sana nimepona baba asante ❤
Asanti pastor since nikupate Kwa RUclips mahubili yako YA Mani badilisha.barikiwa sana❤❤❤🎉🎉🎉
Niko Na Amani moyoni mwangu, pastor live long nimebarikiwa
Mafundisho haya yanisaidia Sana kiroho nashukulu pastor
Mungu alie hai akubariki saana Pastor nimejengwa saana na fundisho hili
Amen and amen humble in Jesus mighty name, hallelujah hallelujah 🙏🙏👏👏👏👏
Ithank God paster for your teaching....from today my prayers will change over my children
Asantee Sana pastor mungu aendelee kukubariki umekua Baraka Sana kwangu
Asubuhi ya Leo sema Bwana Mungu ktk biashara yangu naomba neeema iniongoze naamini kilicho anzishwa na mungu kitaenda kukamilishwa
Ninabarikiwa sana Paster,mungu akuzidishie
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Nakataa roho ya kucheleweshwa katika jina la Yesu
Mafundisho yana nijenga sana ubarikiwe pastor
Mungu naomba nitembeleee Leo ktk biashara yangu naomba mkono wako 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲👐👐
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥watoto wangu wapete elimu katika jina yesu
Neno la Mungu ni Nuru Wapendwa Mungu akubariki Mtumishi.
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa na mafundisho yako
Bwana akuzidishiye
Ume nitosha mbali.
BABA WA MBINGUNI AKULINDE PASTOR UNANIBARIKI MNO
Hadui hatinichelewesha katika Jina la yesu kristo
I wish ningekuchua mapema kweli,but it's not late Mungu atatenda makuu
Tangu nianze kufuatilia haya mafunzo,kurasa zote za hatma ambazo muovu aliweka gundi,zimeanza kufunguka.Naskiza kutoka Kakamega, Kenya.
Amina
Yan jamani Mimi na barikiwa na hatua napata kabisa God bless you my paster
Ubarikiwe kwamafudisho mungu akuwezeshe
Amina Mtumishi wa Mungu nabarikiwa
hakika pst umenibariki katika ujumbe huu. natoka nrb Kenya bwana yesu asifiwe
Namshukuru Bwana Yesu kwa hili somo,nitavuka katika Jina la Yesu,
Pastor umenibariki saaana umenifunza mengi
Baba mungu akubariki na akupe miaka iliyoba amen
Barikiwe sana Pastor umekuwa sauti ya Mungu juu ya maombi yangu, hakika nimepata mwanga wa njia yangu,
Asante mtumishi wa Mungu,neno limenigusa sana, ubarikiwe sana,Mungu anivushe na roho hii ya kucheleweshwa.
Amina Baba nabarikiwa saana
Ameen mtumishi mafundisho haya Yana niandaa kumungoja Mungu
Asante Kwa madundisho Mazuri🙏
God will protect u to help many pple in Lord way
Amina nakataa Roho ya kuchelewa
Amena mungu akubariki mchungajo
Man of God, powerful teaching I am blessed, Thank you.
Hakika mafundisho haya yana uzima wa Mungu wa mbinguni
Namshukuru Mungu kwa ajili ya huyu mchungaji huwa ananibariki sana
Namshukuru mungu kupitia neno hili
Mungu akubariki kwa viwango vyake mwenyewe
Pastor you have realy help me with these teachings
God help me have wasted so many year let me walk with these now
God bless you for the good teaching
Amina kubwa baba mafundo yako yananijega sana kiimani
Nabarikiwa sana Baba
Amen 🙌🙏
Nimefungukaa mungu azidi kukutumia
Our is a God of seasons Amen
Amina nabarikiwa.
Kweli kabisa pastor be blessed 🙏🙏🙏❤️
Pastor nakupenda sana baba
May God continue to bless you Man of God🙏🙏
Ameen Ameen
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubariki mchungaji unanibariki sana , Naomba namba zako za simu
Amina kubwa, kwa mafundisho haya lazima nitavuka
Wobeya wadodo waku waNasubu RiwaNambebo
Barikiwa sana mtu wa Mungu
napata tumaini la kumungojea Mungu zaidi
Amen Amen
Mungu nisaidie
Amen Amen Amen 🙏
Mungu akubariki
Amen umbarikiwe sana
Amina mtumishi
Amen 🙏 God bless
Amina 🙏🙌🙏
Thank you Lord Jesus
Thank God 🙏🙏
Amina 🙏
Amina baba nimebarikiwa leo
Bwana unikumbuke Leo niipate ile frem nianze biashara mahali pale naomba niingie kweny ratiba yanao saidiwa Leo Papa
Thank you so much Pastor George Mukabwa! Your teachings are an eye opener for many Christians. God bless, bless and bless you in the mighty name of Jesus Christ! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
God bless you pastor ..we receive this grace in Jesus Name
Akisati.baba.
Rescue me ooh Lord.
Ameeen
God is good