Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO
HTML-код
- Опубликовано: 9 июл 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RUclips : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Sometimes unaongea tunawaza unaishi nasisi nyumbani kwetu. God continue to bless you and protect you pastor
Mimi dereva kisomo Niko najo mbaka degree lakini kipato ja kwangu udereva , kwa kweli barabara watu husumbua kama wanyama .
Balikiwa mtishi
Mimi ni mwislam ila pastor napenda sana mafundisho yako ❤❤❤
Naomba namba,Nataka kutoa sadaka, maana ni itikio la Imani, nisikiapo Neno la Mungu naimarika sana
yaan unajua kunifrahisha ww nisipokusikia naumwa nakupenda bureee ,mafundisho yako ni hatar wengi tumepona aminaaaaa❤❤❤❤❤❤
😂❤ pastor Asantee kwa mafundisho yako
🎉🎉 Joseph from Kenya getting you loud and clear, may God bless you Pastor Emmanuel Mgogo
Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏🙏🙏
Tunashkuru sana mungu, kwasababu tunawewe mtandaoni
Mchungaji mungu akubariki mafundisho yako ni darasa kwetu
Thank you dad in the Christ it’s true 🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️😇
You are the prophet of God
Wewe ni mwalimu pia love u
Kweli tuko wengi pastor asante Kwa mahu iri mazuri nakupenda Sana umenisaidia na kuniondoa Kwa hatari ya stress.mungu akubariki
Thanks Prophet🙏
Kwa kweli ubarikiwe Muchungaji na Mungu aku zidishie Mengi . Tuna ku Fuatilia direct in Canada.
Barikiwa mtumishi wa bwana niko omani
MWANADAMU kweli, TAABU kuishi na kiumbe hiki.
Mwenyezi Mungu aondowe stress kwa WOTE wanaolemewa.
Amina
Amee;! niombee nipate mke anaeweza kunipenda na kunisamini
Ameen hakika kazi yako n njema kwa wengi
Mtumishi mungu azidi kukupa mahalifa hili tuzidi kujifuza
Ongela sana mtumishi
Am blessed by your preaching it is very wonderful and related into our daily life may God continue to protect you and keep you longer and longer
Ubarikiwe Sana pastor ❤❤❤naipenda mahubiri Yako Leo nimejigunza ukiongea na wabovu utaku nawe ....🙏
Asante pastor mimi mwenyewe nafurahia hii mafundisho sana maana mimi huwa najeka mbaka mpavu sikafunjika asantw pastor habari tunaipata mungu akupe ujasiri zaidi
njoo arusha uda river watu waache dhambi jaman ni wagumu ,tunaomba ututembelee arusha usa river siku moja ni ombi tuuu❤❤❤❤❤
Amen kweli,Mungu aliye kuita amekupea na message Pastor wataifa.
Nakupenda pastr
Asante saana baba mgogo uweunasema yote
Paster wewe uko na mwito wa kufundisha ata kama unaubiri pia uko nakipawa cha mafunzo mzuri sana ubarikiwe sana umenifunza mambo mengi🤝
Nabarikiwa sana na mafunzo yako pastor. Mungu azidi kukubariki
ubalikiwe na mungu kwaktufungua vichwa❤❤❤
Nina barikiwa sana kwa somo Hizo, from Congo DRC 🇨🇩
Man of God you are speaking all the truth may God bless you so much.
Mwalimu wa kweli mungu akuzidishie
Mchungaji mgogo nakukubali sana unanifundisha sana
Ubarikwe Pastor, safi sana
Kweli kabisa mutumishi barikiwa sana keep going ❤❤❤❤❤❤
Asante saana baba yangu Mungu awabariki kweli uwe unasema wakome kwanza
Pastor sadaka tunaweza kutoa ila tunawasiwasi wa kukufikia kwasababu ya matapeli mitandaoni
Kabisaa
Amina kubwa sana pasta,yaani wewe ni mtu wa ajabu sana.Mungu akupe maisha marefu
Ubarikiwe sana mchungaji
Asante baba kwa mafundisho venue busara ukweli mtupu...mungu akupanue zaidi
Baba wangu wa kiroho, mungu azidi kukulinda sana. Niko msumbiji❤
Amen
Asante sana tena sana.muchungaji kwa mafundisho. tuna kufuta tokeya bunia injini congo
Amina mtmish wa mungu kuhusu sadaka mungu atajitwalia utkufu wake
I appreciate to your service in just Amen
Amen nabarikiwa sana na mafundisho yako ya neno la mungu❤
Ila pastor kuna wanaume wengine Hata uwajie kwa upole ila bado atakugeuzia bao wewe au shetani. Ukimuuliza Kwanini umenicheat atasema wewe Ndo umenipush nikucheat au utasikia shetani ananguvu au sijui na ukiuliza kosa langu ni nini hadi umecheat utasikia Hamna au tatizo mdomo wako au haunipi mapenzi. Yani viumbe hawa ni shidaaahhh in pastor’s voice
Mtumishi ubarikiwe sana kwa utume mahubiri yako yanabariki sana
Outstanding teaching man of God
Kwakweli mchungaji upo juu kwa kutuelimisha. Ubarikiwe sana.
Ubarikiwe mchungaji Amen .....kenyan
Mungu akubariki nabarikiwa sana na ujumbe zako.
Mungu aendelee kukutumia mchungaji nabarikiwa nikigwa kenya kericho town
Ujumbe halali kabisa
Be blessed pastor👏👏your words helps me alot
Tunashukuru kweli nakpenda sanaaaaa !!!!
Napenda mafunzo Yako pastor
Thank u profet
Nimerizika mchungaji🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇫
Amen ubarikiwe mtumishi ❤❤❤
God bless you pastor
Thanks dady for message
Pastor hata kama nimekasirika najikuta nacheka😂tu juu ya mafundisho yako. Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Amen be blessed
Ubarikiwe sana❤❤❤❤❤❤
Uongo dhambi mm muislamu lkn mafundisho ya huyu Pastor yananipa mwanga sana
Mungu akubariki sana
AMEN Ubarikiwe
Ameeeen 🙏💯
God b😢 you pasta
God bless 🙏 past
God bless you
Mtu ambaye Ako Kenya anaeza kutuma sadaka aje?
Napenda sana kukuskiza ila sijawai toa sadaka Kwa kweli🥲
Mungu aendelee kukutumia mchungaji nabarikiwa nikiwa Mozambique mmakonde
Amen balikiwa sana
Pasta Sisi wenye tuko mbali tunatowa Sana,jiga 2 Ni 4000fc, Congo
Mch.umesema kweli kabisa!
Thanks am touched
❤❤❤❤
Amen Amen
Amen amen
Nikweli kabisa
Barikiwa pasta
Barikiwa sana
❤
Nakukubali baba wanaokuchukia niwa chawi wandoa hawataki zipone
Asante baba mimi nikokongo
Ata mimi nimesaidika Haki ila sijatoa sadaka 😂😂 Amen
Umenena paster
Ameen postor
Ndio mgogo
Myaka ishilini uzoefu safi😢
Hakika pastor
iyo kweli wanao barikiwa ni wengi kuliko hao waliyo katika séminaire
Nimetasama Hadi mwisho,am from kenya
Piya mimi nashukuru
Tunashukuru san pasta
Amennnnnn😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
4:57