MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)
    Mahubiri, Preaching, Eliona Kimaro, KKKT, KKKT Kariokoo, KKKT Kijitonyama, Messages, kkkt, eliona kimaro, daniel mgogo, mch eliona kimaro, rev eliona kimaro, mch daniel mgogo, sermons, teaching, preaching, kkkt kariokoo, kkkt kijitonyama, tanzania, bongo, ujumbe, neno, personal growth, lutheran church

Комментарии • 343

  • @mariethamarietha3527
    @mariethamarietha3527 4 года назад +1

    Nakupenda sana baba yangu wa kiroho mungu akupe maisha marefu

  • @barakagaby7615
    @barakagaby7615 5 лет назад +3

    Pastor hakika injil ya Yesu ndo hii, siyo pokea pesa/nyumba /gar na kadhalika Mungu akuinue zaid pastor I love you more because you doing the perfect things

  • @DavidNjemeti
    @DavidNjemeti Месяц назад

    Mchungaji akubariki Mungu wa mbinguni

  • @muzaliaandre6686
    @muzaliaandre6686 5 лет назад +1

    Shalom mtumishi wa Mungu iyi ni Injili inayo itajika kwa nyakati izi zamwisho mola akutiy nguvu maombi yangu nikwamba umupendeze Mungu anipe roho yako mara dufu ,ninakiu yakubadilika nakuubiri Injili inayojaa uzima namna hii,k Dieu vous bénisse abondamment chere prédicateur

    • @MwaiElyne
      @MwaiElyne Год назад +1

      Mungu akutimize haja ya roho yako,,,iwapo utamtumikia Kwa kweli 🙏😊

  • @user-vs8mf5mo6p
    @user-vs8mf5mo6p Месяц назад

    Wewe ni professeur wa uchristo kabisa

  • @sadelickkihongosi8248
    @sadelickkihongosi8248 5 лет назад +1

    ubarikiwe sana Mchungaji Mgogo hayo ndiyo mafundisho yanayohitjika kwetu.

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 лет назад +15

    Wapewape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao👏👏asante mchungaji huwa unawapa za uso.hiyo ndio injili sio kubembelezana

  • @amisarurangira5268
    @amisarurangira5268 4 года назад +1

    Muchungaji mungu akubariki Sana tena Sana nimebarikiwa sana mungu akuongeze nguvu kwa kazi unayoifanya!!

  • @AdieryFuraha
    @AdieryFuraha 23 дня назад

    Mungu akubari sana mchungaji

  • @arolaruhutha8542
    @arolaruhutha8542 5 лет назад +1

    Nafarijika na mafundisho ya Mchungaji huyu, napata injiri kamilikamili(complite) ila naomba mtengeneze mahubiri haya ili tuweze kuyapata hata kwenye flash au CD. au yapatikane kwa wauza moves or CDs. Mungu wa Mbinguni awabaliki kwa huduma nzuri.

  • @farajagordon4847
    @farajagordon4847 5 лет назад +1

    Ukweli unatuweka huru saana, aliyekufa katika Yesu atafufuka naye, asante Mchungaji.

  • @talumbamtopa2706
    @talumbamtopa2706 4 года назад

    Ubarikiwe baba unatoa nondo nzuri na unawagusa watu wengi Sana wenye shida mbalimbali

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 года назад +2

    Powerful people like Pastor Mugogo. Big up Pastor.

  • @kelvinwilliam3595
    @kelvinwilliam3595 3 года назад

    Hapo nakubali pastor mungu akupee neema zaid uzidi kutuchambua kabisa

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 5 лет назад +4

    Ubarikiwe sana dady.... ASIKIAYE NA AFAHAM NENO AMBALO ROHO AYAAMBIA MAKANISA... AMEN

  • @charlesluhwago5529
    @charlesluhwago5529 5 лет назад

    Huyu mputi nampenda na mahubiri yake yana ukweli mtupu kuhusu maisha ya watu na Mungu

  • @vumiliambogela7436
    @vumiliambogela7436 Год назад

    Mungu akubariki mchungaji

  • @lizzyshayo209
    @lizzyshayo209 4 года назад +2

    “Walionizalishaaa wamenikimbiaaa ...,mchungajiii umenichekesha

  • @LydiatumusifuCinyabuguma
    @LydiatumusifuCinyabuguma 4 месяца назад

    Mungu atupe nasi wachungaji kama wewe,ili duniya yote iba dilike, nashukurusana baba.

  • @rogathejosephat9872
    @rogathejosephat9872 5 лет назад +2

    Baba umeniacha hoi na nyimbo ninazipenda kweli .kumbe nimechemka

  • @cathyrayz7374
    @cathyrayz7374 4 года назад +1

    Ndugu wa wote😂😂. Mungu azidi kukutetea mtumishi Najifunza vitu vingi toka kwako

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 5 лет назад +29

    😁😁😁🤗hutaki nyama na supu usile😁😁barikiwa sana

  • @florakijole447
    @florakijole447 5 лет назад +1

    Nampenda sana huyu mtumishi. Unafiki unamaliza makanisa na watumishi

  • @neemamussa7866
    @neemamussa7866 5 лет назад +7

    kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu. barikiwa sana mchungaji Daniel Mgogo

    • @12nkima53
      @12nkima53 5 лет назад

      Msema kweli mpenzi wa Mungu. Hii ndio Live!! Asante mtumishi.

    • @neemamussa7866
      @neemamussa7866 5 лет назад

      +Ernest Mnzava amina

    • @nestogwau3221
      @nestogwau3221 3 года назад

      Améen sana

  • @gracealexander5309
    @gracealexander5309 5 лет назад +1

    Kweli.mtumishi mtu mnafiki ni mbaya sana mtumishi waambiye wapone

  • @lucymahiza9145
    @lucymahiza9145 3 года назад

    Aminaaaaaa nitaimba nyimbo nkimaanisha 🙏

  • @robertmwangamila9832
    @robertmwangamila9832 5 лет назад +7

    Hakika wokovu ni talanta iliyo njema na ya thamani sana

  • @winnykhakali2048
    @winnykhakali2048 4 года назад

    Mchungaji nashukuru kwa mahubiri yako lakini kuwa watu wako gerezani na wako huru na wengine Hawayuko gerezani lakini Hawayuko huru

  • @user-uw8uv9bz3y
    @user-uw8uv9bz3y 2 месяца назад

    Amen mungu 🙏🙏🙏

  • @susanlune240
    @susanlune240 5 лет назад

    Barikiwa sana Mtumishi Wa Mungu ,Mungu azidi kuteua watu wake wakuhubiri ukweli dunia ipone

  • @ElizabethMjila
    @ElizabethMjila 2 месяца назад

    Amina mtumishi

  • @abbymwangoka9473
    @abbymwangoka9473 3 года назад

    Mungu akubaliki

  • @joycejumaa7181
    @joycejumaa7181 5 лет назад

    Amen! Mungu akuondolee roho za unafiki penda Sana mafudisho barikiwa mtumishi wa mungu

  • @maombitv4118
    @maombitv4118 5 лет назад +2

    mchungaji kweli unatoboa direct sio watumishi wengi wanaweza kufanya hivi

  • @princesslaurian1758
    @princesslaurian1758 5 лет назад

    kweli kabisa mchungaji wanafiki wasingekuwa makanisani ingekuwa raha sana. Mungu azidi kukuinua

  • @lalilamaingu9426
    @lalilamaingu9426 5 лет назад +2

    mnaishi wapangaji 2 kwenye nyumba moja oooh Mchungaji sema watu tupone

  • @leoncembata4203
    @leoncembata4203 5 лет назад

    Nakupenda sana mchungaji...tunahitaji mafundisho kama haya sio mafundisho ya kufalijiana...

  • @pstmosesmaina8158
    @pstmosesmaina8158 4 года назад

    Papa habari ndio hiyo. Hakuna injili nyingine Baba hubiri

  • @ceciliamary1554
    @ceciliamary1554 4 года назад

    Ameeen pastor listening from kenya napenda mahubiri yako sana🙏🙏

  • @wycliffeiboshe3052
    @wycliffeiboshe3052 3 года назад

    Ujumbe wa kusisimua mno...

  • @patrickmusyoka3544
    @patrickmusyoka3544 4 года назад

    barikiwa mtumishi kwa ilo neno la mungu

  • @lilyjimmy4029
    @lilyjimmy4029 5 лет назад +2

    Kweli kabisa baba mungu akubariki saana kwa kusema ukweli

  • @heryboeog7431
    @heryboeog7431 3 года назад

    Mugu akubariki sana mchungaji kwa huduma yako njema

  • @monicahwanjiku5304
    @monicahwanjiku5304 5 лет назад +3

    I love your sermons you bless my soul man Of God. Barikiwa sana

  • @josephinakosma3107
    @josephinakosma3107 Год назад

    Mchungaji mungu akubarik Yan maubiri yako Niya ukweli

  • @kingaugus1514
    @kingaugus1514 5 лет назад +2

    Haaa nice and massage brought home

  • @marthageofrey909
    @marthageofrey909 Год назад

    Amina

  • @adelaidapaulo5184
    @adelaidapaulo5184 5 лет назад

    Mungu akubariki Sana muchungaji. Napenda sana maneno yako. kupitia neno lako tumepona

  • @ikwetajunior945
    @ikwetajunior945 5 лет назад +4

    Hahahaaaa amina barikiwa mtumishi wa Mungu, walio nizalishaaaa wamenikimbiaaaa.

  • @myk6519
    @myk6519 2 года назад

    Nyc1🆒

  • @graceyessaya9188
    @graceyessaya9188 5 лет назад +1

    We baba YESU akutunze kwa kweli

  • @rockykambale6432
    @rockykambale6432 3 года назад

    Aksante pastaa

  • @albinishirima6981
    @albinishirima6981 5 лет назад

    Amen umesema kweli nashukuru kwa mafundisho yako

  • @elizabernard5823
    @elizabernard5823 3 года назад

    Mungu akubariki unanyoshaga hupindishagi tuambie

  • @lindagrace1597
    @lindagrace1597 Год назад

    Ninapo skia maneno ya mcungaji 'nafarijika sana ''asante sana

  • @sabongetz4676
    @sabongetz4676 5 лет назад

    yani unafiki ni mbaya kabisa ubarikiwe mtumishi

  • @lazaroezekiel3308
    @lazaroezekiel3308 Год назад

    Amina baba

  • @leontinematumaini5273
    @leontinematumaini5273 5 лет назад +2

    Hallelujah hosanna i just love this m'en of God

  • @dinaniyokwizigira6257
    @dinaniyokwizigira6257 3 года назад

    Ndio pastor

  • @bethmziray690
    @bethmziray690 5 лет назад +12

    Mnafiki ni zaidi ya muuaji, Amina mtumishi

  • @mumyraphine5790
    @mumyraphine5790 5 лет назад

    Ahaaaaa mashavu kama maandazi hakika mchungaji napenda sana mahubiri yako

  • @lovenessmoses1616
    @lovenessmoses1616 5 лет назад

    Ubarikiweeeeeeee sana.. yaan walioko chini yako wananajifunza mengi.... daaaaa wanafaidi sana

  • @marymusangi5568
    @marymusangi5568 4 года назад +1

    Ubarikiwe mchungazi sana unanibari kila waka🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @bonifacekidawi6535
    @bonifacekidawi6535 5 лет назад

    mch mgogo weeni mwanzo mwisho hakuna kubanda2 sitret

  • @gladyschiri3641
    @gladyschiri3641 5 лет назад +2

    wah!. .nampenda huyu anahubiri ukweli mtubu 👏👏

    • @dismasmtui729
      @dismasmtui729 5 лет назад

      Kuokokaaaa,kuokokaaaa,nimechekaaa kama mazuri,barikiwa mtumishi.

  • @saralema9353
    @saralema9353 5 лет назад +2

    Hongera Pastor hubiri kweli

  • @justusmbulishi5735
    @justusmbulishi5735 5 лет назад +27

    True pastor. Listening from Kenya.

  • @leahmshana3514
    @leahmshana3514 5 лет назад +50

    yaan wachungaji, watumishi, mapadre na mashehe wangekuwa wasema ukweli hivi watu wangebadilika

    • @doricemulera9927
      @doricemulera9927 5 лет назад +1

      leah mshana u

    • @naomibenjamini2088
      @naomibenjamini2088 5 лет назад +2

      wanasema ukweli sema watu wanaingia kwenye nyumba na mahali pa ibada kimazoea ndio maana awaguswi usishangae hata hapo wapo wasio sikia na kuishi

    • @giliadgodfriend8006
      @giliadgodfriend8006 5 лет назад

      Amina

    • @omarymoses7256
      @omarymoses7256 4 года назад

      Akika Mungu atupe wachungakama awa

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi6807 5 лет назад +2

    Mchungaji yupo vizuri sana

  • @edithamwanitu4136
    @edithamwanitu4136 4 года назад +1

    Unanipa raha sana mchungaji mgogo ,mung akuweke daima , endelea kusema tupone,barikiwa sana

  • @kigoyeruth5946
    @kigoyeruth5946 5 лет назад +1

    Amina, amina, mchungaji, barikiwa na Bwana.

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 5 лет назад +1

    Napenda sana injili ya upako kama hii, sio kupapasa ...barikiwa sana

  • @japhetemoru8782
    @japhetemoru8782 4 года назад

    Ameen barikiwa mtumishi wa mungu

  • @ethan20207
    @ethan20207 4 года назад

    Wachungaji muna mambo mengi

  • @George_maina-777
    @George_maina-777 5 лет назад

    Waaah Rev Daniel mgogo habari iko chonjo

  • @madeleinemb6727
    @madeleinemb6727 5 лет назад +4

    Aksanti muchungaji, mungu akubariki

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 5 лет назад

    Kenya tupoo! Tuache unafiki hapa ni penyewe

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 3 года назад

    Ubarikiwe sana mungu akuweke

  • @halfansalim3280
    @halfansalim3280 5 лет назад

    Na mapasta wengi ni wanafiki, wanahubiri kufurahisha waumini na kujaza kanisa, hawakemei maovu,

  • @esthermwanasiti1406
    @esthermwanasiti1406 5 лет назад

    Amen.....ubarikiwe mtumish

  • @tvamanifoundation1998
    @tvamanifoundation1998 5 лет назад +1

    Hakika wewe ni mwinjiljti na unahubili kweli ambayo ipo mpaka sasa

  • @marysj7685
    @marysj7685 4 года назад

    Kweli kabisa pastor

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg3819 5 лет назад +3

    du umeningusa sana mungu akubariki

  • @rnesetter2023
    @rnesetter2023 5 лет назад

    Heheeee.... Walionizalisha, wamenikimbia, Bwana nipe uvumilivu..

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 5 лет назад +3

    Amen kwa kweli umenibariki sana mch

    • @joeljoseph1124
      @joeljoseph1124 5 лет назад

      Injili ya kristo yesu ihubiriwe wazi wazi kama rev Daniel mgogo anavyohubiri

    • @lenardernest5887
      @lenardernest5887 5 лет назад

      hii nimeipeda ubalikiwe mtumishi wMungu

  • @midiansimon6970
    @midiansimon6970 5 лет назад +5

    Amina baba sema akupingae neo yumo baba sema

  • @harunyusuf4229
    @harunyusuf4229 4 года назад

    Amen sema yote mchungaji.

  • @damariskiriga2961
    @damariskiriga2961 3 года назад

    The sermon is real and true .. Thanks Rev

  • @estherboke782
    @estherboke782 4 года назад

    Oooh my God eti wanaume wanaimba eti walionishalisha😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 barikiwa mchungaji🌹

  • @susanwakesho9133
    @susanwakesho9133 5 лет назад

    Pasua jipu mchungaji n Mngu akupe nguvu napenda Sana mahubiri yako

  • @harunamagige5049
    @harunamagige5049 5 лет назад +3

    Fact, God bless you abundantly.

  • @user-sr5hn4bl5d
    @user-sr5hn4bl5d 3 месяца назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @sakwelanyanginywa9644
    @sakwelanyanginywa9644 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @simonchogo3597
    @simonchogo3597 5 лет назад

    amina baba ubarikiwe kwa kutulisha neno la uzima

  • @harryshabban8750
    @harryshabban8750 Год назад

    God bless you

  • @socialteatective5888
    @socialteatective5888 Год назад

    Amen

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania9602 5 лет назад

    Nimecheka sanaa Sema baba tupone n ukwel mtup🙏🙏

  • @marietaturuka5228
    @marietaturuka5228 5 лет назад

    point mchungaj mungu akutie nguvu na akupake mafuta matakatifu

  • @josphinemutindi412
    @josphinemutindi412 5 лет назад

    Amina Wanibariki Sana Mchungaji..

  • @anethnaomi6086
    @anethnaomi6086 5 лет назад

    Amen.
    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.

    • @rashidliviga1710
      @rashidliviga1710 5 лет назад

      Mtumkweli uchukiwa nawatu lakini mtu mkweli upendwa na Mungu.sema ukweli mungu yupo pamoja nawe.napenda ukweli sana