MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 344

  • @mariethamarietha3527
    @mariethamarietha3527 4 года назад +2

    Nakupenda sana baba yangu wa kiroho mungu akupe maisha marefu

  • @muzaliaandre6686
    @muzaliaandre6686 5 лет назад +1

    Shalom mtumishi wa Mungu iyi ni Injili inayo itajika kwa nyakati izi zamwisho mola akutiy nguvu maombi yangu nikwamba umupendeze Mungu anipe roho yako mara dufu ,ninakiu yakubadilika nakuubiri Injili inayojaa uzima namna hii,k Dieu vous bénisse abondamment chere prédicateur

    • @MwaiElyne
      @MwaiElyne Год назад +1

      Mungu akutimize haja ya roho yako,,,iwapo utamtumikia Kwa kweli 🙏😊

  • @rockykambale6432
    @rockykambale6432 3 года назад +1

    Aksante pastaa

  • @kelvinwilliam3595
    @kelvinwilliam3595 4 года назад

    Hapo nakubali pastor mungu akupee neema zaid uzidi kutuchambua kabisa

  • @sadelickkihongosi8248
    @sadelickkihongosi8248 5 лет назад +1

    ubarikiwe sana Mchungaji Mgogo hayo ndiyo mafundisho yanayohitjika kwetu.

  • @edithamwanitu4136
    @edithamwanitu4136 4 года назад +1

    Unanipa raha sana mchungaji mgogo ,mung akuweke daima , endelea kusema tupone,barikiwa sana

  • @lucymahiza9145
    @lucymahiza9145 3 года назад

    Aminaaaaaa nitaimba nyimbo nkimaanisha 🙏

  • @winnykhakali2048
    @winnykhakali2048 4 года назад +1

    Mchungaji nashukuru kwa mahubiri yako lakini kuwa watu wako gerezani na wako huru na wengine Hawayuko gerezani lakini Hawayuko huru

  • @EmmanuelNgurunyamwasaSiri
    @EmmanuelNgurunyamwasaSiri 6 месяцев назад

    Wewe ni professeur wa uchristo kabisa

  • @amisarurangira5268
    @amisarurangira5268 4 года назад +1

    Muchungaji mungu akubariki Sana tena Sana nimebarikiwa sana mungu akuongeze nguvu kwa kazi unayoifanya!!

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 6 лет назад +30

    😁😁😁🤗hutaki nyama na supu usile😁😁barikiwa sana

  • @cathyrayz7374
    @cathyrayz7374 4 года назад +1

    Ndugu wa wote😂😂. Mungu azidi kukutetea mtumishi Najifunza vitu vingi toka kwako

  • @DavidNjemeti
    @DavidNjemeti 6 месяцев назад

    Mchungaji akubariki Mungu wa mbinguni

  • @heryboeog7431
    @heryboeog7431 3 года назад

    Mugu akubariki sana mchungaji kwa huduma yako njema

  • @josephinakosma3107
    @josephinakosma3107 2 года назад

    Mchungaji mungu akubarik Yan maubiri yako Niya ukweli

  • @talumbamtopa2706
    @talumbamtopa2706 4 года назад

    Ubarikiwe baba unatoa nondo nzuri na unawagusa watu wengi Sana wenye shida mbalimbali

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 6 лет назад +15

    Wapewape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao👏👏asante mchungaji huwa unawapa za uso.hiyo ndio injili sio kubembelezana

  • @barakagaby7615
    @barakagaby7615 5 лет назад +3

    Pastor hakika injil ya Yesu ndo hii, siyo pokea pesa/nyumba /gar na kadhalika Mungu akuinue zaid pastor I love you more because you doing the perfect things

  • @elizabernard5823
    @elizabernard5823 3 года назад

    Mungu akubariki unanyoshaga hupindishagi tuambie

  • @bethmziray690
    @bethmziray690 6 лет назад +13

    Mnafiki ni zaidi ya muuaji, Amina mtumishi

  • @AdieryFuraha
    @AdieryFuraha 5 месяцев назад

    Mungu akubari sana mchungaji

  • @lindagrace1597
    @lindagrace1597 Год назад

    Ninapo skia maneno ya mcungaji 'nafarijika sana ''asante sana

  • @patrickmusyoka3544
    @patrickmusyoka3544 5 лет назад

    barikiwa mtumishi kwa ilo neno la mungu

  • @leoncembata4203
    @leoncembata4203 5 лет назад

    Nakupenda sana mchungaji...tunahitaji mafundisho kama haya sio mafundisho ya kufalijiana...

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 года назад +2

    Powerful people like Pastor Mugogo. Big up Pastor.

  • @lizzyshayo209
    @lizzyshayo209 4 года назад +3

    “Walionizalishaaa wamenikimbiaaa ...,mchungajiii umenichekesha

  • @rogathejosephat9872
    @rogathejosephat9872 6 лет назад +2

    Baba umeniacha hoi na nyimbo ninazipenda kweli .kumbe nimechemka

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 6 лет назад +4

    Ubarikiwe sana dady.... ASIKIAYE NA AFAHAM NENO AMBALO ROHO AYAAMBIA MAKANISA... AMEN

  • @arolaruhutha8542
    @arolaruhutha8542 5 лет назад +1

    Nafarijika na mafundisho ya Mchungaji huyu, napata injiri kamilikamili(complite) ila naomba mtengeneze mahubiri haya ili tuweze kuyapata hata kwenye flash au CD. au yapatikane kwa wauza moves or CDs. Mungu wa Mbinguni awabaliki kwa huduma nzuri.

  • @lovenessmoses1616
    @lovenessmoses1616 6 лет назад

    Ubarikiweeeeeeee sana.. yaan walioko chini yako wananajifunza mengi.... daaaaa wanafaidi sana

  • @marymusangi5568
    @marymusangi5568 4 года назад +1

    Ubarikiwe mchungazi sana unanibari kila waka🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @LydiatumusifuCinyabuguma
    @LydiatumusifuCinyabuguma 9 месяцев назад

    Mungu atupe nasi wachungaji kama wewe,ili duniya yote iba dilike, nashukurusana baba.

  • @farajagordon4847
    @farajagordon4847 5 лет назад +1

    Ukweli unatuweka huru saana, aliyekufa katika Yesu atafufuka naye, asante Mchungaji.

  • @pstmosesmaina8158
    @pstmosesmaina8158 4 года назад

    Papa habari ndio hiyo. Hakuna injili nyingine Baba hubiri

  • @robertmwangamila9832
    @robertmwangamila9832 6 лет назад +8

    Hakika wokovu ni talanta iliyo njema na ya thamani sana

  • @charlesluhwago5529
    @charlesluhwago5529 5 лет назад

    Huyu mputi nampenda na mahubiri yake yana ukweli mtupu kuhusu maisha ya watu na Mungu

  • @gracealexander5309
    @gracealexander5309 6 лет назад +1

    Kweli.mtumishi mtu mnafiki ni mbaya sana mtumishi waambiye wapone

  • @neemamussa7866
    @neemamussa7866 6 лет назад +8

    kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu. barikiwa sana mchungaji Daniel Mgogo

    • @12nkima53
      @12nkima53 6 лет назад

      Msema kweli mpenzi wa Mungu. Hii ndio Live!! Asante mtumishi.

    • @neemamussa7866
      @neemamussa7866 6 лет назад

      +Ernest Mnzava amina

    • @nestogwau3221
      @nestogwau3221 4 года назад

      Améen sana

  • @vumiliambogela7436
    @vumiliambogela7436 Год назад

    Mungu akubariki mchungaji

  • @ikwetajunior945
    @ikwetajunior945 6 лет назад +4

    Hahahaaaa amina barikiwa mtumishi wa Mungu, walio nizalishaaaa wamenikimbiaaaa.

  • @florakijole447
    @florakijole447 6 лет назад +1

    Nampenda sana huyu mtumishi. Unafiki unamaliza makanisa na watumishi

  • @sabongetz4676
    @sabongetz4676 5 лет назад

    yani unafiki ni mbaya kabisa ubarikiwe mtumishi

  • @justusmbulishi5735
    @justusmbulishi5735 6 лет назад +28

    True pastor. Listening from Kenya.

  • @princesslaurian1758
    @princesslaurian1758 6 лет назад

    kweli kabisa mchungaji wanafiki wasingekuwa makanisani ingekuwa raha sana. Mungu azidi kukuinua

  • @mumyraphine5790
    @mumyraphine5790 6 лет назад

    Ahaaaaa mashavu kama maandazi hakika mchungaji napenda sana mahubiri yako

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 4 года назад

    Ubarikiwe sana mungu akuweke

  • @ceciliamary1554
    @ceciliamary1554 4 года назад

    Ameeen pastor listening from kenya napenda mahubiri yako sana🙏🙏

  • @susanlune240
    @susanlune240 6 лет назад

    Barikiwa sana Mtumishi Wa Mungu ,Mungu azidi kuteua watu wake wakuhubiri ukweli dunia ipone

  • @leahmshana3514
    @leahmshana3514 6 лет назад +50

    yaan wachungaji, watumishi, mapadre na mashehe wangekuwa wasema ukweli hivi watu wangebadilika

    • @doricemulera9927
      @doricemulera9927 6 лет назад +1

      leah mshana u

    • @naomibenjamini2088
      @naomibenjamini2088 6 лет назад +2

      wanasema ukweli sema watu wanaingia kwenye nyumba na mahali pa ibada kimazoea ndio maana awaguswi usishangae hata hapo wapo wasio sikia na kuishi

    • @giliadgodfriend8006
      @giliadgodfriend8006 5 лет назад

      Amina

    • @omarymoses7256
      @omarymoses7256 4 года назад

      Akika Mungu atupe wachungakama awa

  • @estherboke782
    @estherboke782 5 лет назад

    Oooh my God eti wanaume wanaimba eti walionishalisha😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 barikiwa mchungaji🌹

  • @adelaidapaulo5184
    @adelaidapaulo5184 6 лет назад

    Mungu akubariki Sana muchungaji. Napenda sana maneno yako. kupitia neno lako tumepona

  • @King-Jack-ryan
    @King-Jack-ryan 6 лет назад +8

    Hahahah happy pastor this real am a Kenyan watching from Morocco woooow this is good hahaha

  • @josphinemutindi412
    @josphinemutindi412 5 лет назад

    Amina Wanibariki Sana Mchungaji..

  • @albinishirima6981
    @albinishirima6981 5 лет назад

    Amen umesema kweli nashukuru kwa mafundisho yako

  • @elizabethrobert6024
    @elizabethrobert6024 6 лет назад +4

    Walonizalisha wamenikimbia mwanaume na suruali yako 😀😀😀mchungaji kiboko

  • @elishamnkondy832
    @elishamnkondy832 3 года назад

    Barikiwa sanaaaaa

  • @kingaugus1514
    @kingaugus1514 5 лет назад +2

    Haaa nice and massage brought home

  • @lilyjimmy4029
    @lilyjimmy4029 6 лет назад +2

    Kweli kabisa baba mungu akubariki saana kwa kusema ukweli

  • @joycejumaa7181
    @joycejumaa7181 5 лет назад

    Amen! Mungu akuondolee roho za unafiki penda Sana mafudisho barikiwa mtumishi wa mungu

  • @gladyschiri3641
    @gladyschiri3641 6 лет назад +2

    wah!. .nampenda huyu anahubiri ukweli mtubu 👏👏

    • @dismasmtui729
      @dismasmtui729 6 лет назад

      Kuokokaaaa,kuokokaaaa,nimechekaaa kama mazuri,barikiwa mtumishi.

  • @marysj7685
    @marysj7685 4 года назад

    Kweli kabisa pastor

  • @midiansimon6970
    @midiansimon6970 6 лет назад +5

    Amina baba sema akupingae neo yumo baba sema

  • @lalilamaingu9426
    @lalilamaingu9426 6 лет назад +2

    mnaishi wapangaji 2 kwenye nyumba moja oooh Mchungaji sema watu tupone

  • @isaacgideon8158
    @isaacgideon8158 2 года назад

    Amen....this is nice

  • @maombitv4118
    @maombitv4118 6 лет назад +2

    mchungaji kweli unatoboa direct sio watumishi wengi wanaweza kufanya hivi

  • @mealemalika7565
    @mealemalika7565 6 лет назад

    Mtumishi mwenyezi mungu akuzidishie maisha marefu

    • @nyagasagocelestine3636
      @nyagasagocelestine3636 2 года назад

      Ubarikiwe mtumishi wa Mungu tuna fuata mahubiri yako Mungu azidi kukuinuwa

  • @japhetemoru8782
    @japhetemoru8782 5 лет назад

    Ameen barikiwa mtumishi wa mungu

  • @marietaturuka5228
    @marietaturuka5228 6 лет назад

    point mchungaj mungu akutie nguvu na akupake mafuta matakatifu

  • @monicahwanjiku5304
    @monicahwanjiku5304 6 лет назад +3

    I love your sermons you bless my soul man Of God. Barikiwa sana

  • @bonifacekidawi6535
    @bonifacekidawi6535 5 лет назад

    mch mgogo weeni mwanzo mwisho hakuna kubanda2 sitret

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki2780 5 лет назад

    Mungu akubariki sanaaa mchungaji.

  • @harunyusuf4229
    @harunyusuf4229 4 года назад

    Amen sema yote mchungaji.

  • @anethnaomi6086
    @anethnaomi6086 6 лет назад

    Amen.
    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.

    • @rashidliviga1710
      @rashidliviga1710 6 лет назад

      Mtumkweli uchukiwa nawatu lakini mtu mkweli upendwa na Mungu.sema ukweli mungu yupo pamoja nawe.napenda ukweli sana

  • @George_maina-777
    @George_maina-777 5 лет назад

    Waaah Rev Daniel mgogo habari iko chonjo

  • @judygathoni5861
    @judygathoni5861 6 лет назад +2

    Ukueli kabisa mchungaji nyibo zingine azituhusu hahaha true pastor

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 6 лет назад +1

    Napenda sana injili ya upako kama hii, sio kupapasa ...barikiwa sana

  • @esthermwanasiti1406
    @esthermwanasiti1406 5 лет назад

    Amen.....ubarikiwe mtumish

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 6 лет назад

    Kenya tupoo! Tuache unafiki hapa ni penyewe

  • @anneleonard260
    @anneleonard260 6 лет назад +7

    hahahahaha nabarikiwa sana na mahubiri yako

  • @susanwakesho9133
    @susanwakesho9133 5 лет назад

    Pasua jipu mchungaji n Mngu akupe nguvu napenda Sana mahubiri yako

  • @abbymwangoka9473
    @abbymwangoka9473 4 года назад

    Mungu akubaliki

  • @damarisfavour5799
    @damarisfavour5799 6 лет назад +3

    Hallelujah Ameeeeeeeen you have nailed it Mtumishi

  • @danielwilliam5213
    @danielwilliam5213 28 дней назад

    AMAN AND AMAN AND AMEN 🙏🏼 🙌 👏🏼

  • @saralema9353
    @saralema9353 6 лет назад +2

    Hongera Pastor hubiri kweli

  • @rnesetter2023
    @rnesetter2023 5 лет назад

    Heheeee.... Walionizalisha, wamenikimbia, Bwana nipe uvumilivu..

  • @madeleinemb6727
    @madeleinemb6727 6 лет назад +4

    Aksanti muchungaji, mungu akubariki

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 6 лет назад +3

    Amen kwa kweli umenibariki sana mch

    • @joeljoseph1124
      @joeljoseph1124 6 лет назад

      Injili ya kristo yesu ihubiriwe wazi wazi kama rev Daniel mgogo anavyohubiri

    • @lenardernest5887
      @lenardernest5887 6 лет назад

      hii nimeipeda ubalikiwe mtumishi wMungu

  • @ismaelmanhica790
    @ismaelmanhica790 6 лет назад +3

    Kkkkkkk!!!!!!! huyu jamaaa . Mungu akubariki.

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi6807 6 лет назад +2

    Mchungaji yupo vizuri sana

  • @jeniphermtenda7477
    @jeniphermtenda7477 6 лет назад +10

    😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 MUNGU akubariki sana mchungaji wangu

  • @fredymbilinyi7429
    @fredymbilinyi7429 6 лет назад +4

    Haaa hapo Kweli waokoke hawa .ubishi wanini washarika MCHUNGAJI kaokoka

  • @leontinematumaini5273
    @leontinematumaini5273 6 лет назад +2

    Hallelujah hosanna i just love this m'en of God

  • @belsoi9799
    @belsoi9799 4 года назад

    Hapo umenena ndipo pst

  • @tvamanifoundation1998
    @tvamanifoundation1998 6 лет назад +1

    Hakika wewe ni mwinjiljti na unahubili kweli ambayo ipo mpaka sasa

  • @evanskatunzi6729
    @evanskatunzi6729 6 лет назад

    Mashavu km mandazi he he he he he he he heheheheeeeeeeeee barikiwa mzee baba

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 6 лет назад +1

    Ukweli ndiyo huyo tufanyie kazi

  • @hoseamollel2925
    @hoseamollel2925 6 лет назад

    Daaaa Pastor unanibariki sana God bless you alot

  • @harunamagige5049
    @harunamagige5049 6 лет назад +3

    Fact, God bless you abundantly.

  • @kigoyeruth5946
    @kigoyeruth5946 6 лет назад +1

    Amina, amina, mchungaji, barikiwa na Bwana.

  • @graceyessaya9188
    @graceyessaya9188 6 лет назад +1

    We baba YESU akutunze kwa kweli