KUISHI NA BINADAMU SIYO KITU RAHISI MULIZE RUTO ILI AKAE NA VIUMBE HIVI VIONGOZEKE "PASTOR MGOGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 100

  • @ayelaeverlyn6373
    @ayelaeverlyn6373 2 месяца назад +14

    Mungu alinde inchi yetu ya kenya iwe na amani

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 2 месяца назад +10

    Niukweli muchungaji 🙏🙏🙏🙏❤️🇪🇺🇩🇪🇩🇪🇩🇪 Amen

  • @sellynechepkemoi4432
    @sellynechepkemoi4432 2 месяца назад +8

    You have spoken the pure truth , it's not easy to leave with human beings, we are never satisfied.

  • @MarkMwadime
    @MarkMwadime 2 месяца назад +5

    Kuongoza hii kenya inataka mungu karibu

  • @Josephineonyango-cl6ql
    @Josephineonyango-cl6ql 2 месяца назад +6

    Mungu akupe miaka mingi paster mgogo unasema ukwel mtupu hatakama hatutoi sadaka tuko hpa tu kwa uponyaji wa moyo ipo sku tuaitoa hiyo sadaka

  • @SarahNafula-st9xc
    @SarahNafula-st9xc 2 месяца назад +2

    napenda maneno yako mtumishi wa mungu, my God plss u

  • @eliudkimari-wt5cl
    @eliudkimari-wt5cl 2 месяца назад +5

    Uko vizuri mchungaji

  • @ULIMWENGUWAROHO-v4f
    @ULIMWENGUWAROHO-v4f 2 месяца назад +6

    UPO SO DEEPER MCHUNGAJI.

  • @GLORIAutukufu
    @GLORIAutukufu 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂 pastor much love 🎉🎉 from Kenya Amen very true 👏👏🙏

  • @josephinendinda9065
    @josephinendinda9065 2 месяца назад +3

    Sema ukweli mtumish mungu atusaidie

  • @ChachaDanielMarwa
    @ChachaDanielMarwa 2 месяца назад

    Mungu awe name pastor

  • @IrihoAhadi
    @IrihoAhadi Месяц назад

    Ubarikiwe mchungaji

  • @RoseKillian-b8k
    @RoseKillian-b8k Месяц назад

    Nywele zimebadilika 😊😊😊

  • @MariamHamisi-sg5it
    @MariamHamisi-sg5it 2 месяца назад +1

    Kweli mchungaji

  • @tabithanjoki-n1g
    @tabithanjoki-n1g 2 месяца назад +1

    Nice preching

  • @robertmungathia4686
    @robertmungathia4686 Месяц назад

    Sati Mr pastor I love you 😅

  • @wainainarachel1047
    @wainainarachel1047 2 месяца назад +1

    Muchungaji amen amen thank so much

  • @sarahshahenza4865
    @sarahshahenza4865 2 месяца назад +1

    Much love pastor

  • @tovinent1414
    @tovinent1414 2 месяца назад +7

    Much love from Gen z 😂😂 na siku moja uje 🇰🇪 tukusalimie mchungaji

  • @IbarkaBukuku
    @IbarkaBukuku Месяц назад

    Amen pastor😮😢🎉😂❤

  • @Josephineonyango-cl6ql
    @Josephineonyango-cl6ql 2 месяца назад +2

    100% point you saide

  • @Gatsiga
    @Gatsiga 2 месяца назад +1

    Mahubiri iko juu 🙏🙏🙏

  • @NiyongaboDaniel-sc6yk
    @NiyongaboDaniel-sc6yk 2 месяца назад +1

    Saafi saana mchungaji

  • @BettyKiriungi
    @BettyKiriungi 2 месяца назад +1

    😂😂😂much ❤❤❤ from kenya

  • @upcomingevangelist6158
    @upcomingevangelist6158 2 месяца назад

    You're informed mr. Paso

  • @MishaOkondo
    @MishaOkondo 2 месяца назад +3

    Kenya sio mchezo moto wa kuotea mbali sio kupenda kwao

  • @SAKINDINSOROEmmanuel
    @SAKINDINSOROEmmanuel 2 месяца назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kenedymusaukavithi
    @kenedymusaukavithi 2 месяца назад

    Kenya atuna amani.🇪🇸🇪🇸

  • @edwinbillionaire1662
    @edwinbillionaire1662 2 месяца назад

    Ila maubiri ni kuusu yesu stori za maisha hazipo ni yesu tuu ndio yupo kwenye bibilia

  • @kenethluvai
    @kenethluvai 2 месяца назад +1

    Mwanadamu ni ngumu kuishi nawo

  • @moseslaizer7349
    @moseslaizer7349 2 месяца назад

    ❤❤🎉🎉

  • @evaemil856
    @evaemil856 2 месяца назад

    Stress nyingine zinaletwa kwa sababu ya watu kupotezwa, kukamatwa ovyo, kuvamiwa, kuuliwa, kupandishiwa kodi nk.

  • @GeoffreyKurui
    @GeoffreyKurui 2 месяца назад

    Kenya ni kwetu pastor ruto lazima atii

    • @RahayirwaCelestin
      @RahayirwaCelestin 2 месяца назад

      Munafaa kumuheshim kama mkuu wenu vyote anafanya ni kwajili yafaida yenu msipo lipa ushulu mnadani ninani atawalipia madeni ta China mutacoloniziwa n'a Chine mspolipa mtii ruto

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b 2 месяца назад +3

    Mchungaji ruto mwenyewe sio binadamu ,atakaaje na binadamu

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 месяца назад

      Shetani ww pepo chafu bt mind

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b 2 месяца назад +2

      @@WillisAli mukundu WA mamako mbwa wewe

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b 2 месяца назад +2

      @@WillisAli nikome nitakutusi adi kwenu

    • @collinstsieta3216
      @collinstsieta3216 Месяц назад

      Sasa wewe ndo binadamu na unasikiliza mahubiri

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Месяц назад

      @@collinstsieta3216 kaoshie kundu latoa uvundo ,usijaribu kujibu text zangu

  • @carolineotinga-p5e
    @carolineotinga-p5e 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂 pastor

  • @barakakambona935
    @barakakambona935 2 месяца назад +1

    mimi ndie ninaeuza nyumba naviwanja vya ulisi chanika

  • @PoeJanice
    @PoeJanice 2 месяца назад

    Hall Robert Williams Jeffrey Martin Sharon

  • @noussommecapable7570
    @noussommecapable7570 2 месяца назад

    Anaubiria vitu hajui,

  • @AmosNyongesa-g7t
    @AmosNyongesa-g7t 2 месяца назад +1

    Kitabu gani cha Ruto kinapatikana kwenye biblia kwnn wajungaji wa tz,kuhubiri Kenya

  • @noussommecapable7570
    @noussommecapable7570 2 месяца назад

    Mifano ya ruto na ndoa unaleta mifano za uongo azifanani

  • @Ibrahimuraphael-c5p
    @Ibrahimuraphael-c5p 19 дней назад

    watu hawajamuelewa pastor sabb wanakimbilia kukomenti fyuuuuu muwe munaelewa kwanza

  • @muchambizi62
    @muchambizi62 2 месяца назад

    watu wanamusifu huyu mkora, mimi nilianza kufwata huyu mkora kutoka 2020, but siku ya kiama ikifika watu kama hawa ndiyo watakuawa kuni ya kuchoma wenye dhambi.

  • @mkufunzifranciskennedy4958
    @mkufunzifranciskennedy4958 2 месяца назад +1

    Hubiria wa Tanzania.Ruto si kama Suluhu.

  • @RevocatusVenance-m7n
    @RevocatusVenance-m7n 2 месяца назад

    Angalau wengine wacheke mana wengine wamezeeka kwa sababu ya stress

  • @patrickbunyasi2097
    @patrickbunyasi2097 2 месяца назад

    Usije hukumu wakenya sisi ni wazalendo bana wachana hayo maneno unataka kujiingiza

  • @onsongonyabuti5816
    @onsongonyabuti5816 Месяц назад

    Someone has said Pastor need Gen Z greetings

  • @DaudiMade
    @DaudiMade 2 месяца назад +1

    Unahubili au unachekesha

  • @Gesareh-v4d
    @Gesareh-v4d 2 месяца назад +3

    Kenya hiongoswi na ulemavu wa akili, zakayo atashuka

  • @celinamakokha7144
    @celinamakokha7144 2 месяца назад

    Habana ni raisi wetu tumwombee

  • @rehemamubano5745
    @rehemamubano5745 2 месяца назад

    Baba unatuma naliya Aki nahaya mahubiri 😭😭😭 stress, stress stress nikitu mbaya kwa mtu, Aki baba unaongea Mambo tunapitia kweli 🤦🤦

  • @samvande2002
    @samvande2002 2 месяца назад +2

    Habari za kenya ziache kama zilivyo,nyie watanzania endeleeni na uchawa wenu,habari zetu kenya tuachiane wenyewe

  • @reubenmusundi35
    @reubenmusundi35 2 месяца назад

    When Ruto leaves power they will start Praising him ...Humans are funny.Ask Our Lord Jesus

  • @josephekhabi163
    @josephekhabi163 Месяц назад

    😂😂😂😂😂na bado kiumbe bado Kiko half time

  • @Princep-p3y
    @Princep-p3y 2 месяца назад

    Wee ongea ya TZ ya Kenya hutaelewa

    • @MaddieMoreno-i7i
      @MaddieMoreno-i7i Месяц назад

      Tz kuna amani Hamna cha kuongelea tunawaonea huruma Yani jirani Hamna amani Sio poa

  • @karanimeeme5278
    @karanimeeme5278 2 месяца назад

    Nabado ss kama genz

  • @jamandakassim6527
    @jamandakassim6527 2 месяца назад

    Akiona imemlemea nchi atuachie

  • @celinamakokha7144
    @celinamakokha7144 2 месяца назад

    Hubiri ya Bible sio ya raisi wetu tunapenda Dr Ruto

  • @irakazaeriekim4753
    @irakazaeriekim4753 2 месяца назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏🙏

  • @marieheiss6560
    @marieheiss6560 2 месяца назад +16

    Ruto anatuchukia kama matapiko yake sisi kama wanainchi wa kenya, ndoo kwa maana ana tudhulumu bila huruma

    • @evansnzowa5710
      @evansnzowa5710 2 месяца назад

      Inaonekana stress zimekujaa 😂😂

    • @evansnzowa5710
      @evansnzowa5710 2 месяца назад

      Inaonekana stress zimekujaa 😂😂

    • @marieheiss6560
      @marieheiss6560 2 месяца назад

      @@evansnzowa5710 Mimi nipo sawa msee!, soma text yangu vizuri uilewe sio tu kujibu.

    • @marieheiss6560
      @marieheiss6560 2 месяца назад +1

      ​@@evansnzowa5710 Ala!, kaka kila binadamu duniani yupo na stress zake za kwake kutokana na mambo kadhaa wa kadhaa, hata mabilionare wapo na stress na ndiposa wanalindwa na bodyguards😂😅

    • @evansnzowa5710
      @evansnzowa5710 2 месяца назад +1

      @@marieheiss6560 stress itatuua hakuna namna 🤣🤣🤣

  • @cathycarty3222
    @cathycarty3222 2 месяца назад +3

    There was a time they used to preach the gospel of Jesus Christ. Sasa ni comedy 😅

  • @muchambizi62
    @muchambizi62 2 месяца назад +2

    Huyu ndiyo Ruto alikuwa akilipa pesa, wakidanganya wakenya mungu amemukubali Ruto, whaaaaaaa saitani ashindwe kabisa. Pia ukiubiri, ubiri kuhusu Tanzania, Wachana na Kenya, kabisa.

    • @allankeya5651
      @allankeya5651 2 месяца назад

      Ndugu yangu ni MUNGU ni MUNGU tu. Alivyomkubali mfalme wa Babeli Nebuchadnezzar hadi akamwita mtumishi wangu hivyo ndivyo atamkubali mtu awaye yeyote mradi ni yeye Mungu ameruhusu. Tusidhani tunamjua Mungu vile ju si rahisi kumwelewa vile tunadhani kakangu.

  • @emmymongina5420
    @emmymongina5420 2 месяца назад +3

    Pastor ombea ruto arukwe na akili😅😅😅😅😅😅😅

  • @muchambizi62
    @muchambizi62 2 месяца назад +1

    Nivile uko Tanzania, kama ungekuwa Kenya, ningetuma Gen z wakuone kando.

  • @Xamxon254
    @Xamxon254 2 месяца назад

    Wewe na ruto hamna tofauti. Nyinyi wote ni wezi. Uhuru alikuwa mnono hata akiwa rais.
    Upuzi kanisani.

  • @MasilyaMukudi
    @MasilyaMukudi 2 месяца назад

    Sasa naamini kumbe ulikua comedian, wapisasa na maneno ya maraisi?

  • @DerrickDavid-p4b
    @DerrickDavid-p4b 2 месяца назад

    But this pastor like talking about Kenya 🇰🇪

  • @joeliz4324
    @joeliz4324 2 месяца назад

    yaani watanzania kwa kila given day Kenya and Kenyan's is daily news kwa midomo Yao ,, just let us be Kenyan's,,,

    • @MaddieMoreno-i7i
      @MaddieMoreno-i7i Месяц назад

      My dear tunawaonea huruma tunataka na nyie muishi Kwa AMANI kama sisi watanzania tunavyo ishi

    • @joeliz4324
      @joeliz4324 Месяц назад +1

      Sasa sikza nikupashe hizi,,,, fagieni kwenu

    • @WAVELENGTH-tp1tm
      @WAVELENGTH-tp1tm Месяц назад

      @@MaddieMoreno-i7i Uliza Tundu Lissu. Risasi kapigwa na Shetani? Katiba yenu ya mwaka wa 77 inawasaidiaje ikiwa viongozi wa upinzani wanaweza kushikiliwa na polisi. kisa , walipanga kuchochea vijana. Ikiwa Tudu alitiwa matudu, je wewe?

  • @paulmwadzame8261
    @paulmwadzame8261 2 месяца назад

    Unafaa kufungua salon maana injili yako ni ya umbea tuu

    • @MamboleoMalebule
      @MamboleoMalebule 2 месяца назад +2

      Kinacho kuuma ni nini?

    • @LameckOtuomameshack
      @LameckOtuomameshack 2 месяца назад +1

      Mahubiri yako siyapendi unachochea migogoro ya kisiasa mchumi KENYA

    • @shongatv1224
      @shongatv1224 2 месяца назад

      Maombi ni muhimu

    • @carolineotinga-p5e
      @carolineotinga-p5e 2 месяца назад

      Ukweli huruma shindwe ​@@LameckOtuomameshack

    • @MaddieMoreno-i7i
      @MaddieMoreno-i7i Месяц назад

      Haya sasa Hata anaongelea “umbea” kama unavyo sema ila bado umechukua mda wa kumsikiliza na bado ume comment Haya nani tahira. Mr. Paul acha makasiriko chukua jembe ukalime