Rev. Magembe, alipuka tena. KANISA LIMEKUFA. Ni imekuga TAG au anazungumzia kanisa gani??

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 364

  • @nyirabirorijudith8072
    @nyirabirorijudith8072 5 дней назад +1

    Baba ubarikiwe na Bwana yesu
    Naishi Rwanda Kigali kanisa ni hope in Jesus church
    Tunakupenda sana baba

  • @Priscakeneth
    @Priscakeneth Месяц назад +1

    Ameeen baba nakuelewa sana Mungu akutie nguvu uendelee kusema iliyo kweli

  • @theonestrenatus954
    @theonestrenatus954 3 месяца назад +53

    Tungekuwa na watu kama Hawa watano tu Tanzania ingepona mapema sana,, MUNGU ampe maisha marefu pastor Magembe,,

    • @johnmaganga44
      @johnmaganga44 3 месяца назад +5

      1.Moses Magembe
      2.Pascal Cassian
      3.Mwakipesile
      4.Amiel Katekela
      5.Wapo wengine wengine ambao hawana access au exposure ya social media kama hawa

    • @GoodDeeds-Jesus
      @GoodDeeds-Jesus 3 месяца назад

      ​@@johnmaganga44 Bishop Dickson Kabigumila pia

    • @K-go1qj
      @K-go1qj 3 месяца назад

      Uchaguzi ni wako yupi unataka kumfuata wa kweli au wa uongo

    • @NeyoBrave
      @NeyoBrave 2 месяца назад

      Wapo wengi hawana hata account za mitandao 😢​@@johnmaganga44

    • @ashamdemeka
      @ashamdemeka 2 месяца назад +1

      Christopher mwakasege

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 3 месяца назад +18

    Iende mbele Injili ee, iende mbeleeee
    Iende mbele Injili ya Yesu, iende mbele.
    Hii ndiyo Injili ya kweli ya kuliokoa Kanisa na Jehanamu ya moto.
    Mungu aendelee kukutia nguvu Mzee.
    Asante.

  • @ShadrackJustin
    @ShadrackJustin 3 месяца назад +18

    Hii ni injili ya kweli hongera sana pastor magembe MWENYEZI MUNGU akubariki sana🙏

  • @olipamkuyu5149
    @olipamkuyu5149 Месяц назад +2

    Hallelujah ASANTE Mungu kwa kusema na kanisa

  • @wilsonmkumbo3032
    @wilsonmkumbo3032 Месяц назад +3

    Amen mch MUNGU aibariki injili hii ukweli utalirudisha kanisa

  • @richardmessayi9578
    @richardmessayi9578 3 месяца назад +12

    Kuna nguvu kubwa sana ya Kimungu ndani yako mtumishi wa Mungu!!Endelea kusimama katika kweli ya Mungu hata mwisho wa Dunia hii

  • @StephenKaaya-w6q
    @StephenKaaya-w6q 2 месяца назад +2

    Dah Mungu akutie Nguvu baba wa Imani natamani hii Injili . Amen

  • @ElishaMwangabisya
    @ElishaMwangabisya 3 месяца назад +9

    Askofu Mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutupa kweli ya Mungu

  • @SifaelMpagike-gt1gz
    @SifaelMpagike-gt1gz 2 месяца назад +3

    Mimi binafsi nimebarikiwa sana na hili Neno la Leo.... Kama wachungaji wote wangekuwa hivi hakika na maovu yangepungua sana.. pr. Magebe Ubarikiwe sana.🙏🙏🙏

  • @CristianCristianjustine
    @CristianCristianjustine 26 дней назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @PhilipoKabalo
    @PhilipoKabalo Месяц назад

    Mungu akuinue uwe bishop kwajina la yesu

  • @GladTolage
    @GladTolage 3 месяца назад +9

    Amina baba nikweli k abisa %100 mungu atusaidie sana

  • @Evangelist-Joseph-sikanyika
    @Evangelist-Joseph-sikanyika 2 месяца назад +1

    Amina sana May God bless you Servant of our Lord Jesus christ 🙏

  • @aron2346
    @aron2346 3 месяца назад +28

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭YESU nijaalie kuhubiri injili isiyogoshiwa niko tayari hata kufa mwili wangu kabisaaa

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa  3 месяца назад +5

      Kuhubiri injili isiyoghoshiwa sio kujaliwa kaka. Kama uko tayari kifa, anza kupinga uovu na ubaya kama Yohana Mbatizaji umuone Herode anavyokuja kukukata kichwa popote ulipo.

    • @aron2346
      @aron2346 3 месяца назад +3

      @@HelbethMlelwa hata sasa ninaihubiri kaka mm ninakuelewa sana
      Injili inahbiriwa popote nilipo

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 2 месяца назад

      Pokea kwa Jina la Yesu

    • @SARAKAMBARAGE
      @SARAKAMBARAGE 2 месяца назад +1

      Na kufikia hapo magembe alipofka amekua ni mtu wa maombi haswaaa. Chakula chake ni maombi sio chips na nyama. Bwana akutie nguvu

    • @BAIZO96
      @BAIZO96 2 месяца назад +1

      I wish one day ntakuja kusimama kama mch. Magembe Ili na mm niseme kitu mbele ya kanisa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Месяц назад +2

    Nasikia utiisho wa Mungu.

  • @SamweliOnesimo
    @SamweliOnesimo Месяц назад

    Mungu akubariki sana Baba na mchungaji Magembe ...nikikuangalia vizuri unaelekea kw moses kulola askofu

  • @DorosterMsebeni
    @DorosterMsebeni 19 дней назад

    Mungu azidi kukutumia zaidi,akulinde,akutunze,na Skupe mafunuo mapya zaidi ili tupate kupona na Moto wa jehanamu panatisha SANA.Nakupenda SANA Kwa Nemo na ujasiri wa kuhubili kweli tote=You 2:31-32

    • @DorosterMsebeni
      @DorosterMsebeni 18 дней назад

      Mungu azidi kukutumia zaidi,akulinde,akutunze naakupe mafunuo mapya zaidi ili tupate kupona namoto wa jehanamu panatisha SANA.Akuepushe na maadui wanaopinga kweli ya MUNGU=Yohana 8:31-32

  • @michaelambangile3632
    @michaelambangile3632 3 месяца назад +9

    Kukosa au kupoteza uwezo wa kusikia ni mlango wa uovu mbalimbali. BWANA akubariki Mzee Mchg. Magembe. Ni ujumbe sahihi kwa wakati sahihi.

    • @AilenMakaka
      @AilenMakaka 2 месяца назад +1

      Sema Taifa tupone🤌🏼👊🏼

  • @CHRISTINAMBWAMBO-ww1py
    @CHRISTINAMBWAMBO-ww1py Месяц назад +1

    Hii ndio injili ya kweli ambayo yesu aliihubir barikiwa sana

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 2 месяца назад +2

    Hongera mtumishi wa Mungu. Chapa injili, chapa injili maadamu ni mchana maana usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. Chapa injili, washa moto, washa moto mtumishi usinyamaze!

  • @yohanayakobo2154
    @yohanayakobo2154 2 месяца назад +1

    Mungu akupe maisha mpaka utakapoona Mungu ametusaidia

  • @Khadija-f7b
    @Khadija-f7b 3 месяца назад +4

    Asante mchungaji ,ni ukweli usiopingika ,❤ mwenyezi MUNGU afanye wepesi ,

  • @morisernest6528
    @morisernest6528 Месяц назад

    Pando jema lililopandwa ndani yako na likue na kumea katika jina la Yesu

  • @fraidamsemwa5518
    @fraidamsemwa5518 2 месяца назад +2

    Mungu azidi kukutunza daimaa❤

  • @sarahshalom97
    @sarahshalom97 2 месяца назад +5

    Mungu Baba wa Mbinguni tunaomba utusamehe kwa dhambi inayochafua kanisa lako 😢😢😢

  • @FrankChoba
    @FrankChoba 2 месяца назад

    Aminaa sana pastor be blessed mwenye sikio na askie maaan weng tumejikita ma dini badala kumtfuta Yesu aliye hai

  • @ProphetIsayakihingi
    @ProphetIsayakihingi Месяц назад

    Mungu akubaliki Sana BABA

  • @mwasimakenge5752
    @mwasimakenge5752 2 месяца назад

    Amen and amen Baba!
    Holy spirit have mercy upon the church of Tanzania ! Mercy oooh Lord.

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 2 месяца назад

    Amina ...natamani wachungaji wote wawe kama wewe ....Baba Ubarikiwe Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juuu

  • @ClaireMakotswi
    @ClaireMakotswi 2 месяца назад

    Amen pasa Saudi mtumishi wa mungu tangaza Neno la mungu na alie na masikio na asikie mungu akutie nguvu unapoendelea kufundisha Neno 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Cleopa-l3h
    @Cleopa-l3h 2 месяца назад

    Mungu akubariki sana mtumishi Kwa kuisema kweli ya Mungu

  • @juliusdaud8239
    @juliusdaud8239 Месяц назад

    Mungu baba tunaomba utusamehe tunahitaji neema yako tuishi sawasawa na mapenz yako

  • @annajackson5245
    @annajackson5245 2 месяца назад

    Eeee Mungu wangu nifundishe kui ishi kweli yako. Nime kutenda dhambi mimi nirehemu eee Yesu wangu 😢😢😢😢. Niwe na mwisho mwema nika ione ile Mbingu mpya.

  • @nicksonmalle8604
    @nicksonmalle8604 3 месяца назад +3

    Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu

  • @WillsonMtweve
    @WillsonMtweve 2 месяца назад

    Ubarikiwe san kwa ujumbe unaoliponya kanisa nakupata vizuri mchungaji wangu

  • @HelibetiManase
    @HelibetiManase Месяц назад

    Amina mtumish nikweli kabisa tume iacha kweli mungu atusaidie.

  • @ezekielndaga2756
    @ezekielndaga2756 2 месяца назад

    Upo sahihi mchungaji,matengenezo yanatakiwa kuanzia ndani,Mungu akubariki sana na aendelee kukupa nguvu kwa ajili ya wake wa Mungu

  • @shukuranibenoit5638
    @shukuranibenoit5638 Месяц назад

    Mungu akubariki Ku ili neno la kusisimuwa kanisa

  • @josiahtzchangala3876
    @josiahtzchangala3876 2 месяца назад +1

    Mungu akutunze baba,,ni
    UAMSHO na Matengenezo ndani ya KANISA

  • @jeanettekikonde4073
    @jeanettekikonde4073 Месяц назад

    Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi endelea kukemea

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 3 месяца назад +3

    Yes safi kabisa injili iendelee Amina

  • @BoniphaceMachibya
    @BoniphaceMachibya 2 месяца назад

    I appreciate pr God Bless you.

  • @LeoniaShoo
    @LeoniaShoo 2 месяца назад +2

    Barikiwa mtumishii injili isongee mbele

  • @victorbarnabas2809
    @victorbarnabas2809 3 месяца назад +5

    Mungu atusaidie kwa kweli hali ni mbaya mno

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 2 месяца назад

    Sema kweli mtumishi wa Mungu, taji yako n kubwa mbinguni , Mungu akujalie sana uendelee na moyo huo

  • @angelmsuya7423
    @angelmsuya7423 2 месяца назад

    Mungu akutunze sana Mtumishi wa Mungu

  • @MamaDieudonne-mq2sq
    @MamaDieudonne-mq2sq 2 месяца назад +3

    Wako watumishi wa kweli tanzania wakina sumbe elibariki baba magembe

    • @EvaYohana-yr6id
      @EvaYohana-yr6id 2 месяца назад +2

      Kabisa sumbe na mgembe nawapenda sana wanasema kweli sichoki kuwasikiliza mafundisho yao najifunza mengi kuwao

  • @JohnFrancis-t5g
    @JohnFrancis-t5g Месяц назад

    Amina sana ni halisi sana

  • @MwicheGoma
    @MwicheGoma Месяц назад

    Amen and amen always a real servant of God preach the truth and stand with Jesus,asante baba may God give you more strength to spread the truth

  • @DaJemimah62
    @DaJemimah62 2 месяца назад

    Ni kweli Pentekoste ya leo sio ile ya zamani.. Hakika Imekufa. Imekwisha,
    Lakini asifiwe Mungu aliyelijua hili akatupa ahadi katika siku hizi za mwisho ya kuturejesha katika Imani ya Pentekoste ya Asili(Malaki 4:5-6)
    Hallelujah.

  • @JojiJMadale
    @JojiJMadale Месяц назад

    Mungu akubaliki

  • @barakafredrick9492
    @barakafredrick9492 Месяц назад

    Amen haya ni mahubiri muhimu kwa nyakati za mwisho tulizonazo. Kanisa linapoteza radha, ni muhimu mteule kuwa macho

  • @RaymondMhelela-ef9uh
    @RaymondMhelela-ef9uh 2 месяца назад

    mungu akubaliki sana baba

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 2 месяца назад

    Mungu akubariki sana ❤

  • @AnnaMbise-d9k
    @AnnaMbise-d9k Месяц назад

    Yes Preach Man of God

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 3 месяца назад +3

    Umeongea Ukweli Mtupu Mtumishi wa Mungu. Siku hizi wapo wachungaji wanavunja hadi nyungu kanisani. Eti wanavunja laana...wengine wanasema tutoe kafara..au sadaka ngumu ili tubarikiwe..kuna mwengine anasema kwamba ni Ruksa maaskofu kuoa wake zaidi ya mmoja..To be honest, the Chuch is in a critical condition, we Must repent that the times of spiritual awakening may come to us.

  • @PetroLudasi-z4v
    @PetroLudasi-z4v 2 месяца назад

    Pastor magembe BWANA YESU AKUTUNZE SANA PASTOR

  • @ChristopherShirima-r5c
    @ChristopherShirima-r5c 2 месяца назад

    Mungu akubariki mtumish

  • @OctavinaTarimo
    @OctavinaTarimo 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi Kwa huduma

  • @leonardamon1445
    @leonardamon1445 2 месяца назад

    Amina baba ubarikiwe sana

  • @bellingtonlyimo1522
    @bellingtonlyimo1522 3 месяца назад +6

    Rev. Magembe ni sauti ya Mungu katika wakati huu ambao kanisa limepotoka katika kiwango cha kutisha. Ni kawaida ya Mungu kuwainua watumishi wa aina ya Rev. Magembe pale ambapo kanisa linapopotoka na kuanza misingi ya injili ya kweli. Mungu azidi kumbariki mtumishi huyu(Rev. Magembe) na kumpa maisha marefu.

    • @MaryKerush
      @MaryKerush 2 месяца назад

      Eti Reverent hilo n jina la Mungu binadamu astahili kutumia hilo jina😢

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 3 месяца назад +3

    Pole sana mtumishi,wahuni wamevamia kanisa

  • @ABDULKARIM-sx1tb
    @ABDULKARIM-sx1tb 3 месяца назад

    Hua nakuaelewa sana pasta Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu sana

  • @marthabenard3723
    @marthabenard3723 Месяц назад

    Ubarikiwe baba

  • @LylianeBaumaLyly
    @LylianeBaumaLyly 3 месяца назад

    Amen Mutumishi wa Mungu

  • @doricemarko7998
    @doricemarko7998 2 месяца назад

    Mungu atusaidie ubarikiwe mno

  • @JosephMpundu-e2m
    @JosephMpundu-e2m Месяц назад

    Yesu huji thihilisha Ukulingana naunavyo mwami yesu mwenye alichukiwa na makuhani wakanisa kwa ajili Yami ujiza aliyo ifanya. Ninacho mushukulu yesu mwenye kwenye kabu Cha yohana anasema nayeyote atakaye a mini atafanya miujiza niliyo ifanya

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 2 месяца назад

    Baba mungu akubariki

  • @aswilekibona9861
    @aswilekibona9861 Месяц назад +1

    Magembe mchungaji nimekuelewa,Mzee Wang bila unafiki TAG hii ndio ilikuwepo zaman,bila he hata kuambiwa walokole walionekana na waliheshimiwa mno,ss hawana utofaut na Dunia,MUNGU TUREHEMU,

  • @MamaDieudonne-mq2sq
    @MamaDieudonne-mq2sq 2 месяца назад

    Mungu awabariki

  • @Yohanamasunga-h5j
    @Yohanamasunga-h5j Месяц назад

    Haleluya

  • @NuruJackson-o6m
    @NuruJackson-o6m 4 дня назад

    ❤❤Mungu akutunze baba 😂😂😂 ili akutumie zaidi wengine tumjue Mungu zaidi

  • @ChadrackTshunza
    @ChadrackTshunza Месяц назад +1

    ❤❤❤❤

  • @DanfordObed
    @DanfordObed 2 месяца назад

    Mungu atusaidie

  • @saleemsuleiman2220
    @saleemsuleiman2220 3 месяца назад +9

    KAMA ILE NYOMI YOTE YA MWAMPOSA WATU ZAIDI YA ELFU SABINI IMEPOTEA INAENDA KUZIMU 😢😢😢😢

  • @KinangaMakoye
    @KinangaMakoye 2 месяца назад +1

    Naipenda sana Injiri ya huyu Mchungaji na wachungaji wengine wenye Injiri kama hii,,na nikweli kabisa kanisa liko kwenye hali mbaya sana na Mungu atusaidie tushituke

  • @zachariadaniel3703
    @zachariadaniel3703 Месяц назад

    Kweli kabisa pastor MUNGU atuponye

  • @teodorinachengula9728
    @teodorinachengula9728 2 месяца назад

    Kweli Baba Mungu atusaidie

  • @JohnMengele-b2y
    @JohnMengele-b2y 2 месяца назад

    Haleluyaaa Yesu

  • @mathaZingwa
    @mathaZingwa 2 месяца назад +1

    Amina

    • @mathaZingwa
      @mathaZingwa 2 месяца назад

      🙏🙏 mungu atusaidiee

  • @HellenKahema
    @HellenKahema 2 месяца назад +1

    Mungu nisaidie nihubiri kweli yako .nikweli baba kanisa liko icu

  • @ZakhariaMazengo
    @ZakhariaMazengo 2 месяца назад

    Ubarikiwe mpendwa upendwaye na bwana

  • @FarijiEdson
    @FarijiEdson 2 месяца назад

    Injili kama hii naipenda sana mimi Fariji Edson

  • @Joelchalale
    @Joelchalale 2 месяца назад

    Amina baba nasikia kulia

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 3 месяца назад +1

    Be blessed ❤

  • @EzekielCharles-j8x
    @EzekielCharles-j8x Месяц назад

    Amina tunafutilia sana

  • @estafuraha
    @estafuraha 2 месяца назад

    Ameeen sana

  • @ELIYAIZACKY
    @ELIYAIZACKY 2 месяца назад

    Ameni pastor

  • @Matungwamatungwa
    @Matungwamatungwa 2 месяца назад

    Kweli much Mungu akubariki watu wanashuudia mafuta na maji Yesu wamemsahau

  • @NellyFesto
    @NellyFesto 2 месяца назад

    Barikiwa xana mtumish

  • @SahauMwazembe
    @SahauMwazembe Месяц назад

    Ameeeeeeeeeeen

  • @SimonBinde
    @SimonBinde 3 месяца назад +1

    Amen baba 🙏

  • @Shukuruedward
    @Shukuruedward Месяц назад

    Jamani kanisa linarudi maana Mungu amemtuma Mfalme tengwa kuihubiri injiri ya uamsho wa kanisa, kwahiyo kama tengwa yupo kanisa lazima litarudi tu, ashukuriwe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa kumtuma tengwa na kumpa majila haya ya siku za mwisho ili kuihubiri injiri ya mabadiliko ya kiroho.

  • @HappyAtom-qd5sz
    @HappyAtom-qd5sz Месяц назад

    Amen 🙏

  • @ElishaDickson-l8v
    @ElishaDickson-l8v 10 дней назад

    Amen

  • @AsiaMercy-ft4se
    @AsiaMercy-ft4se 2 месяца назад

    Amina baba

  • @NeemaSimon-ik2uj
    @NeemaSimon-ik2uj Месяц назад

    Amina baba sema tupone maana ukweli ndo uponyaji
    "Mtaijua ile kweli, nayo kweli itawaweka huru"

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf 3 месяца назад +8

    Dunia imeingia kanisani waziwazi wala haijifichi

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 3 месяца назад

      Siyo dunia imengiea kanisani, bali kabisa limejisahau, hakuna nguvu ya Mungu ndani ya kanisa ya kubadilisha watu