Iende mbele Injili ee, iende mbeleeee Iende mbele Injili ya Yesu, iende mbele. Hii ndiyo Injili ya kweli ya kuliokoa Kanisa na Jehanamu ya moto. Mungu aendelee kukutia nguvu Mzee. Asante.
Mimi binafsi nimebarikiwa sana na hili Neno la Leo.... Kama wachungaji wote wangekuwa hivi hakika na maovu yangepungua sana.. pr. Magebe Ubarikiwe sana.🙏🙏🙏
Kuhubiri injili isiyoghoshiwa sio kujaliwa kaka. Kama uko tayari kifa, anza kupinga uovu na ubaya kama Yohana Mbatizaji umuone Herode anavyokuja kukukata kichwa popote ulipo.
Mungu azidi kukutumia zaidi,akulinde,akutunze,na Skupe mafunuo mapya zaidi ili tupate kupona na Moto wa jehanamu panatisha SANA.Nakupenda SANA Kwa Nemo na ujasiri wa kuhubili kweli tote=You 2:31-32
Mungu azidi kukutumia zaidi,akulinde,akutunze naakupe mafunuo mapya zaidi ili tupate kupona namoto wa jehanamu panatisha SANA.Akuepushe na maadui wanaopinga kweli ya MUNGU=Yohana 8:31-32
Eeee Mungu wangu nifundishe kui ishi kweli yako. Nime kutenda dhambi mimi nirehemu eee Yesu wangu 😢😢😢😢. Niwe na mwisho mwema nika ione ile Mbingu mpya.
Ni kweli Pentekoste ya leo sio ile ya zamani.. Hakika Imekufa. Imekwisha, Lakini asifiwe Mungu aliyelijua hili akatupa ahadi katika siku hizi za mwisho ya kuturejesha katika Imani ya Pentekoste ya Asili(Malaki 4:5-6) Hallelujah.
Umeongea Ukweli Mtupu Mtumishi wa Mungu. Siku hizi wapo wachungaji wanavunja hadi nyungu kanisani. Eti wanavunja laana...wengine wanasema tutoe kafara..au sadaka ngumu ili tubarikiwe..kuna mwengine anasema kwamba ni Ruksa maaskofu kuoa wake zaidi ya mmoja..To be honest, the Chuch is in a critical condition, we Must repent that the times of spiritual awakening may come to us.
Rev. Magembe ni sauti ya Mungu katika wakati huu ambao kanisa limepotoka katika kiwango cha kutisha. Ni kawaida ya Mungu kuwainua watumishi wa aina ya Rev. Magembe pale ambapo kanisa linapopotoka na kuanza misingi ya injili ya kweli. Mungu azidi kumbariki mtumishi huyu(Rev. Magembe) na kumpa maisha marefu.
Yesu huji thihilisha Ukulingana naunavyo mwami yesu mwenye alichukiwa na makuhani wakanisa kwa ajili Yami ujiza aliyo ifanya. Ninacho mushukulu yesu mwenye kwenye kabu Cha yohana anasema nayeyote atakaye a mini atafanya miujiza niliyo ifanya
Magembe mchungaji nimekuelewa,Mzee Wang bila unafiki TAG hii ndio ilikuwepo zaman,bila he hata kuambiwa walokole walionekana na waliheshimiwa mno,ss hawana utofaut na Dunia,MUNGU TUREHEMU,
Naipenda sana Injiri ya huyu Mchungaji na wachungaji wengine wenye Injiri kama hii,,na nikweli kabisa kanisa liko kwenye hali mbaya sana na Mungu atusaidie tushituke
Jamani kanisa linarudi maana Mungu amemtuma Mfalme tengwa kuihubiri injiri ya uamsho wa kanisa, kwahiyo kama tengwa yupo kanisa lazima litarudi tu, ashukuriwe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa kumtuma tengwa na kumpa majila haya ya siku za mwisho ili kuihubiri injiri ya mabadiliko ya kiroho.
Baba ubarikiwe na Bwana yesu
Naishi Rwanda Kigali kanisa ni hope in Jesus church
Tunakupenda sana baba
Ameeen baba nakuelewa sana Mungu akutie nguvu uendelee kusema iliyo kweli
Tungekuwa na watu kama Hawa watano tu Tanzania ingepona mapema sana,, MUNGU ampe maisha marefu pastor Magembe,,
1.Moses Magembe
2.Pascal Cassian
3.Mwakipesile
4.Amiel Katekela
5.Wapo wengine wengine ambao hawana access au exposure ya social media kama hawa
@@johnmaganga44 Bishop Dickson Kabigumila pia
Uchaguzi ni wako yupi unataka kumfuata wa kweli au wa uongo
Wapo wengi hawana hata account za mitandao 😢@@johnmaganga44
Christopher mwakasege
Iende mbele Injili ee, iende mbeleeee
Iende mbele Injili ya Yesu, iende mbele.
Hii ndiyo Injili ya kweli ya kuliokoa Kanisa na Jehanamu ya moto.
Mungu aendelee kukutia nguvu Mzee.
Asante.
Hii ni injili ya kweli hongera sana pastor magembe MWENYEZI MUNGU akubariki sana🙏
Hallelujah ASANTE Mungu kwa kusema na kanisa
Amen mch MUNGU aibariki injili hii ukweli utalirudisha kanisa
Kuna nguvu kubwa sana ya Kimungu ndani yako mtumishi wa Mungu!!Endelea kusimama katika kweli ya Mungu hata mwisho wa Dunia hii
Dah Mungu akutie Nguvu baba wa Imani natamani hii Injili . Amen
Askofu Mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutupa kweli ya Mungu
Mimi binafsi nimebarikiwa sana na hili Neno la Leo.... Kama wachungaji wote wangekuwa hivi hakika na maovu yangepungua sana.. pr. Magebe Ubarikiwe sana.🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu akuinue uwe bishop kwajina la yesu
Amina baba nikweli k abisa %100 mungu atusaidie sana
Amina sana May God bless you Servant of our Lord Jesus christ 🙏
😭😭😭😭😭😭😭😭😭YESU nijaalie kuhubiri injili isiyogoshiwa niko tayari hata kufa mwili wangu kabisaaa
Kuhubiri injili isiyoghoshiwa sio kujaliwa kaka. Kama uko tayari kifa, anza kupinga uovu na ubaya kama Yohana Mbatizaji umuone Herode anavyokuja kukukata kichwa popote ulipo.
@@HelbethMlelwa hata sasa ninaihubiri kaka mm ninakuelewa sana
Injili inahbiriwa popote nilipo
Pokea kwa Jina la Yesu
Na kufikia hapo magembe alipofka amekua ni mtu wa maombi haswaaa. Chakula chake ni maombi sio chips na nyama. Bwana akutie nguvu
I wish one day ntakuja kusimama kama mch. Magembe Ili na mm niseme kitu mbele ya kanisa
Nasikia utiisho wa Mungu.
Mungu akubariki sana Baba na mchungaji Magembe ...nikikuangalia vizuri unaelekea kw moses kulola askofu
Mungu azidi kukutumia zaidi,akulinde,akutunze,na Skupe mafunuo mapya zaidi ili tupate kupona na Moto wa jehanamu panatisha SANA.Nakupenda SANA Kwa Nemo na ujasiri wa kuhubili kweli tote=You 2:31-32
Mungu azidi kukutumia zaidi,akulinde,akutunze naakupe mafunuo mapya zaidi ili tupate kupona namoto wa jehanamu panatisha SANA.Akuepushe na maadui wanaopinga kweli ya MUNGU=Yohana 8:31-32
Kukosa au kupoteza uwezo wa kusikia ni mlango wa uovu mbalimbali. BWANA akubariki Mzee Mchg. Magembe. Ni ujumbe sahihi kwa wakati sahihi.
Sema Taifa tupone🤌🏼👊🏼
Hii ndio injili ya kweli ambayo yesu aliihubir barikiwa sana
Hongera mtumishi wa Mungu. Chapa injili, chapa injili maadamu ni mchana maana usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. Chapa injili, washa moto, washa moto mtumishi usinyamaze!
Mungu akupe maisha mpaka utakapoona Mungu ametusaidia
Asante mchungaji ,ni ukweli usiopingika ,❤ mwenyezi MUNGU afanye wepesi ,
Pando jema lililopandwa ndani yako na likue na kumea katika jina la Yesu
Mungu azidi kukutunza daimaa❤
Mungu Baba wa Mbinguni tunaomba utusamehe kwa dhambi inayochafua kanisa lako 😢😢😢
Aminaa sana pastor be blessed mwenye sikio na askie maaan weng tumejikita ma dini badala kumtfuta Yesu aliye hai
Mungu akubaliki Sana BABA
Amen and amen Baba!
Holy spirit have mercy upon the church of Tanzania ! Mercy oooh Lord.
Amina ...natamani wachungaji wote wawe kama wewe ....Baba Ubarikiwe Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juuu
Amen pasa Saudi mtumishi wa mungu tangaza Neno la mungu na alie na masikio na asikie mungu akutie nguvu unapoendelea kufundisha Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi Kwa kuisema kweli ya Mungu
Mungu baba tunaomba utusamehe tunahitaji neema yako tuishi sawasawa na mapenz yako
Eeee Mungu wangu nifundishe kui ishi kweli yako. Nime kutenda dhambi mimi nirehemu eee Yesu wangu 😢😢😢😢. Niwe na mwisho mwema nika ione ile Mbingu mpya.
Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe san kwa ujumbe unaoliponya kanisa nakupata vizuri mchungaji wangu
Amina mtumish nikweli kabisa tume iacha kweli mungu atusaidie.
Upo sahihi mchungaji,matengenezo yanatakiwa kuanzia ndani,Mungu akubariki sana na aendelee kukupa nguvu kwa ajili ya wake wa Mungu
Mungu akubariki Ku ili neno la kusisimuwa kanisa
Mungu akutunze baba,,ni
UAMSHO na Matengenezo ndani ya KANISA
Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi endelea kukemea
Yes safi kabisa injili iendelee Amina
I appreciate pr God Bless you.
Barikiwa mtumishii injili isongee mbele
Mungu atusaidie kwa kweli hali ni mbaya mno
Sema kweli mtumishi wa Mungu, taji yako n kubwa mbinguni , Mungu akujalie sana uendelee na moyo huo
Mungu akutunze sana Mtumishi wa Mungu
Wako watumishi wa kweli tanzania wakina sumbe elibariki baba magembe
Kabisa sumbe na mgembe nawapenda sana wanasema kweli sichoki kuwasikiliza mafundisho yao najifunza mengi kuwao
Amina sana ni halisi sana
Amen and amen always a real servant of God preach the truth and stand with Jesus,asante baba may God give you more strength to spread the truth
Ni kweli Pentekoste ya leo sio ile ya zamani.. Hakika Imekufa. Imekwisha,
Lakini asifiwe Mungu aliyelijua hili akatupa ahadi katika siku hizi za mwisho ya kuturejesha katika Imani ya Pentekoste ya Asili(Malaki 4:5-6)
Hallelujah.
Mungu akubaliki
Amen haya ni mahubiri muhimu kwa nyakati za mwisho tulizonazo. Kanisa linapoteza radha, ni muhimu mteule kuwa macho
mungu akubaliki sana baba
Mungu akubariki sana ❤
Yes Preach Man of God
Umeongea Ukweli Mtupu Mtumishi wa Mungu. Siku hizi wapo wachungaji wanavunja hadi nyungu kanisani. Eti wanavunja laana...wengine wanasema tutoe kafara..au sadaka ngumu ili tubarikiwe..kuna mwengine anasema kwamba ni Ruksa maaskofu kuoa wake zaidi ya mmoja..To be honest, the Chuch is in a critical condition, we Must repent that the times of spiritual awakening may come to us.
Pastor magembe BWANA YESU AKUTUNZE SANA PASTOR
Mungu akubariki mtumish
Ubarikiwe sana mtumishi Kwa huduma
Amina baba ubarikiwe sana
Rev. Magembe ni sauti ya Mungu katika wakati huu ambao kanisa limepotoka katika kiwango cha kutisha. Ni kawaida ya Mungu kuwainua watumishi wa aina ya Rev. Magembe pale ambapo kanisa linapopotoka na kuanza misingi ya injili ya kweli. Mungu azidi kumbariki mtumishi huyu(Rev. Magembe) na kumpa maisha marefu.
Eti Reverent hilo n jina la Mungu binadamu astahili kutumia hilo jina😢
Pole sana mtumishi,wahuni wamevamia kanisa
Hua nakuaelewa sana pasta Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu sana
Ubarikiwe baba
Amen Mutumishi wa Mungu
Mungu atusaidie ubarikiwe mno
Yesu huji thihilisha Ukulingana naunavyo mwami yesu mwenye alichukiwa na makuhani wakanisa kwa ajili Yami ujiza aliyo ifanya. Ninacho mushukulu yesu mwenye kwenye kabu Cha yohana anasema nayeyote atakaye a mini atafanya miujiza niliyo ifanya
Baba mungu akubariki
Magembe mchungaji nimekuelewa,Mzee Wang bila unafiki TAG hii ndio ilikuwepo zaman,bila he hata kuambiwa walokole walionekana na waliheshimiwa mno,ss hawana utofaut na Dunia,MUNGU TUREHEMU,
Mungu awabariki
Haleluya
❤❤Mungu akutunze baba 😂😂😂 ili akutumie zaidi wengine tumjue Mungu zaidi
❤❤❤❤
Mungu atusaidie
KAMA ILE NYOMI YOTE YA MWAMPOSA WATU ZAIDI YA ELFU SABINI IMEPOTEA INAENDA KUZIMU 😢😢😢😢
Naipenda sana Injiri ya huyu Mchungaji na wachungaji wengine wenye Injiri kama hii,,na nikweli kabisa kanisa liko kwenye hali mbaya sana na Mungu atusaidie tushituke
Kweli kabisa pastor MUNGU atuponye
Kweli Baba Mungu atusaidie
Haleluyaaa Yesu
Amina
🙏🙏 mungu atusaidiee
Mungu nisaidie nihubiri kweli yako .nikweli baba kanisa liko icu
Ubarikiwe mpendwa upendwaye na bwana
Injili kama hii naipenda sana mimi Fariji Edson
Amina baba nasikia kulia
Be blessed ❤
Amina tunafutilia sana
Ameeen sana
Ameni pastor
Kweli much Mungu akubariki watu wanashuudia mafuta na maji Yesu wamemsahau
Barikiwa xana mtumish
Ameeeeeeeeeeen
Amen baba 🙏
Jamani kanisa linarudi maana Mungu amemtuma Mfalme tengwa kuihubiri injiri ya uamsho wa kanisa, kwahiyo kama tengwa yupo kanisa lazima litarudi tu, ashukuriwe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa kumtuma tengwa na kumpa majila haya ya siku za mwisho ili kuihubiri injiri ya mabadiliko ya kiroho.
Amen 🙏
Amen
Amina baba
Amina baba sema tupone maana ukweli ndo uponyaji
"Mtaijua ile kweli, nayo kweli itawaweka huru"
Dunia imeingia kanisani waziwazi wala haijifichi
Siyo dunia imengiea kanisani, bali kabisa limejisahau, hakuna nguvu ya Mungu ndani ya kanisa ya kubadilisha watu