Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
Mungu wa mbinguni akubariki sana na akutunze,maana lipo jambo liliona nilakawaida sana kumbe mbele za Mungu ni chukizo kubwa,Eeeh Mungu anirehemu na kunisaidia nitembee katika njia kamilifu siku zote, Mungu akubariki na aendelee kukutumia kwa viwango vikubwa.
@@mch.abiudmisholi mchungaji niombee mm dhambi Zinanisonga nampenda yesu lkn dhambi Bado zinanizonga , nikfanya dhambi Huwa naumia sana lkn kuacha siwez
Asante YESU KRISTO maana bado unatupenda unatunoa kilasiku iitwapo leo. MUNGU akubariki baba kwakunena kweli ya MUNGU nyakati hizi niwachache sana wanao kemea dhambi kaza buti uufikie mwisho mwema baba.
Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL HII DIO INJILI KWA SASA ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ... ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI IVI KALIBUNI .
Na Mungu atuponye tuache kutetea dhambi maana ulimwengu wa Sasa mtihani Sana watu wanachukua baadhi ya vitu na kuvipa alali kama sio dhambi ila njia Ile ni nyembamba iyendayo uzimani ndo utajua kwann ni nyembamba.
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God. Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona. Nimepona kweli.
Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
BWANA AKUPE haja ya Moyo wako
Amen
Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu
Mtumishi wa Mungu aliye hai unanikumbusha injili ishiyo goshiwa ya baba yetu mzee Moses Kulola....peace be with him
Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amen
Mungu amekupa neema kubwa mch misholi maana wito wako ni wa kipekee sana nakuombea mungu aendelee kukutumia kwa ishara na miujiza
Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿
AMINA
Mungu wa mbinguni akubariki sana na akutunze,maana lipo jambo liliona nilakawaida sana kumbe mbele za Mungu ni chukizo kubwa,Eeeh Mungu anirehemu na kunisaidia nitembee katika njia kamilifu siku zote, Mungu akubariki na aendelee kukutumia kwa viwango vikubwa.
Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu
Ameen
@@mch.abiudmisholi mchungaji niombee mm dhambi Zinanisonga nampenda yesu lkn dhambi Bado zinanizonga , nikfanya dhambi Huwa naumia sana lkn kuacha siwez
Baba yangu wa ubatizo Nakupendaa Sana BWANA MUNGU WETU AWE NAWEEE❤❤❤
Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...
Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa
Niwa chache mapasta wenye injili yakweli walio Baki mungu akubariki sana .
Asante YESU KRISTO maana bado unatupenda unatunoa kilasiku iitwapo leo. MUNGU akubariki baba kwakunena kweli ya MUNGU nyakati hizi niwachache sana wanao kemea dhambi kaza buti uufikie mwisho mwema baba.
Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante
Neema ya Mungu ikuwezeshe.
@@mch.abiudmisholibaba Yesu akutunze kwaajili ya kizazi chetu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, sema iliyokweli usimwogope yeyote
Amen ubarikiwe mtumishi wa mungu sana wew ni mtumishi wa kweli kabisa.
Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi
Mchungaji wa pekee sana na wengine wahubiri hivyo.ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako
Bure uwesi kaa katika uwepo wake?
God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU
@@EsterNgasa-vq5zx aame
@@EsterNgasa-vq5zx aam
@@faithe4063 bless
Nimepona kwa kweli maana ilikuwa ndiyo tabia yangu kuanika nguo za ndani nje ahsante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako huyu hakika nimeponaaaa
Dar nimeelewa sana baba Mungu akutunze zaidi
Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo
Thank you for preaching the true gospel
Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.
Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?
@@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.
Aminaa.
Nakupenda sana mchungaji tangu utotowangu nilikuwa nikipenda nyimbo zako ,,nasasa nishakuwa mtu mzima
Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi
Amina pastor Mungu Akubariki saana .
Mungu akutunze sana mtumishi, huduma yako ni yenye hekima ya Mungu.
Inahudhunisha saaaana,Eeh mwenyezi Mungu uturehemu
Asante mtumishi wa mungu umenisaidia nimejifunza
Barikiwe sana mtumishi MUNGU akuongezey zaidi
Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤
Praise to God
Amina mungu akutie nguvu uzidi kunyoosha kanisa lake
Ameeen Baba Mungu akutunze
Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.
Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen
Duuuu Mnyakyusa Mbunifu Nakuelewa Saana Mtumishi Mungu Aendelee Kukutunza Tuendelee Kujifunza Vitu Vingi Kwako
Mtumishi wa
Mungu paza sauti tupone, Asante
Mungu kutupa maonyo
Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi
MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.
Amen mtumishi hakika Mungu atuhurumie
Baba Mungu aendelee kukupa Afya Njema ili utufundishe nakukubali sana mpendwa wangu
Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu azid kukupa ufunuo wa wakat tunaoishi na ahadi zilizotia ktk kizaz hiki ame
That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD
Yaaan nakuombea maisha marefu uendelee kutufunulia mambo mengi hatujui
Mungu atusaidie na kuturehemu hizi ni nyakati za mwisho
Amen Amen and Ameeen 🤚🏿 preach and speak 🗣️ loudly the man of God
Amen Mungu atusaidie
safi sana ubarikiwe sana pastor
Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻
Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo
Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo
Wengine wanafuliwa na watoto zao
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Ubarikiwe sana
Barikiwa kwa kujali
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Ameeni kwauponyaji
Amina
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli
Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa mahubiri mazurii
Ayo ni kweli my poster
Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
May God bless you man of God
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
HII DIO INJILI KWA SASA
×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
IVI KALIBUNI .
Wow amen
Na Mungu atuponye tuache kutetea dhambi maana ulimwengu wa Sasa mtihani Sana watu wanachukua baadhi ya vitu na kuvipa alali kama sio dhambi ila njia Ile ni nyembamba iyendayo uzimani ndo utajua kwann ni nyembamba.
Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu
Eee mungu zidi kutufunulia zaidi ili tupone na tuwe imara
Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪
Ameen
Mtumishi Mwenyezi Amekuonyesha dhambi zilizojoficha ktk huduma ongeza na baadhi ya madaktari wakiume Kwa wanawake na wakike Kwa wanaume .
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏
Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu
Ameen
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
@@mch.abiudmisholiwiki mbili
Ubarikiwe sana baba mungu alikutumia naminikapona 17:06
Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.
Na pia vifua 😨😨
Amina
❤❤❤❤❤❤ndio ni kweli kbc
Ni kweli tupu katika kitabu Cha wakorintho kinaagiza hivo
Barikiwa Dana Mtumishi was MUNGU songs mbele usiogope
Nimewahi kuona mwanza miaka 2011 mbaba mmoja alisafishwa uso saluni akaonga mikungu ya ndixi na fedha
Ubarikiwe kaka user kutoka Kenya naona sana comment zako kila sehem mungu ajibu haja yako
Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke
Asante baba tunapona wengi sanaaaa
Pasipo kutubu dhambi na kuziacha kwa yesu kamwe huwezi huwezi kuishinda.Warumi 8:8
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
Nimepona kweli.
Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid
Amen mtumishi wa MUNGU
Somo kubwa na muhimu sana. Bwana Yesu azidi kukutumia kwaajili ya kanisa lake 🙏
You are right pastor,,,,continue telling them the true
Ameen,
Praise to God
Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.
Ubarikiwe sana
@@mch.abiudmisholi
Baba Nina jambo naomba nikufuate inbox
Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.
Uko sahihi mtumishi mungu Akutie nguvu sana
Mungu nirehem
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato
Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba
Yesu tunaomba utusaidie kuyashinda haya.
Ahsante MUNGU akubariki Sana mch. Nimekusikia nimekuelewa nitaacha Baba
Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.
Mchungaji yuko sahihi kabisaaaaaaaaaaaaaaa kabisa dhambi hiiii itapeleka wengi jehanamu mnooooooooo
Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud
Namshukuru MUNGU kwa kuniba baba kama wewe nimejifunza kitu namshukuru MUNGU kwa neno hiri
Papa alisema yesu hata Rudi hivi karibuni.mungu saidia watu wako
Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God
Ameen
Mch, barikiwa sana.
Pia naomba video ya wimbo wa Tawala Maisha yangu