Dhambi mpya Hiihapa : Mch Abiud Misholi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 545

  • @tunugujobu3255
    @tunugujobu3255 2 месяца назад +16

    Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba

  • @safieltemuofficial5375
    @safieltemuofficial5375 2 месяца назад +5

    Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @mutashobyamutashobya
    @mutashobyamutashobya 2 месяца назад +4

    Mtumishi wa Mungu aliye hai unanikumbusha injili ishiyo goshiwa ya baba yetu mzee Moses Kulola....peace be with him

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 3 месяца назад +19

    Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @WilsonKasian
    @WilsonKasian Месяц назад +1

    Mungu amekupa neema kubwa mch misholi maana wito wako ni wa kipekee sana nakuombea mungu aendelee kukutumia kwa ishara na miujiza

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 3 месяца назад +14

    Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿

  • @dariabirungi7643
    @dariabirungi7643 Месяц назад +1

    Mungu wa mbinguni akubariki sana na akutunze,maana lipo jambo liliona nilakawaida sana kumbe mbele za Mungu ni chukizo kubwa,Eeeh Mungu anirehemu na kunisaidia nitembee katika njia kamilifu siku zote, Mungu akubariki na aendelee kukutumia kwa viwango vikubwa.

  • @apostlepetermponzi8690
    @apostlepetermponzi8690 3 месяца назад +14

    Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu

    • @mch.abiudmisholi
      @mch.abiudmisholi  2 месяца назад +1

      Ameen

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x 2 месяца назад

      @@mch.abiudmisholi mchungaji niombee mm dhambi Zinanisonga nampenda yesu lkn dhambi Bado zinanizonga , nikfanya dhambi Huwa naumia sana lkn kuacha siwez

  • @DanielMlelwa-p6w
    @DanielMlelwa-p6w Месяц назад +1

    Baba yangu wa ubatizo Nakupendaa Sana BWANA MUNGU WETU AWE NAWEEE❤❤❤

  • @felistervenance8863
    @felistervenance8863 3 месяца назад +24

    Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
    Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...

    • @jonathandulle
      @jonathandulle 3 месяца назад +4

      Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa

  • @ThomasNgovi-g1p
    @ThomasNgovi-g1p 2 месяца назад +5

    Niwa chache mapasta wenye injili yakweli walio Baki mungu akubariki sana .

  • @AnnaPastory-r2c
    @AnnaPastory-r2c День назад

    Asante YESU KRISTO maana bado unatupenda unatunoa kilasiku iitwapo leo. MUNGU akubariki baba kwakunena kweli ya MUNGU nyakati hizi niwachache sana wanao kemea dhambi kaza buti uufikie mwisho mwema baba.

  • @neemakawogo5479
    @neemakawogo5479 2 месяца назад +7

    Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante

    • @mch.abiudmisholi
      @mch.abiudmisholi  2 месяца назад +1

      Neema ya Mungu ikuwezeshe.

    • @thomaskasubi3126
      @thomaskasubi3126 Месяц назад +1

      ​@@mch.abiudmisholibaba Yesu akutunze kwaajili ya kizazi chetu

  • @ElisafiMndeme-jd5wb
    @ElisafiMndeme-jd5wb Месяц назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, sema iliyokweli usimwogope yeyote

  • @festofrank-z3m
    @festofrank-z3m Месяц назад +1

    Amen ubarikiwe mtumishi wa mungu sana wew ni mtumishi wa kweli kabisa.

  • @VeronicaEdesiusBernard
    @VeronicaEdesiusBernard 3 месяца назад +11

    Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi

  • @verdianamwageni796
    @verdianamwageni796 2 месяца назад +2

    Mchungaji wa pekee sana na wengine wahubiri hivyo.ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia 3 месяца назад +50

    Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako

  • @JoyceMtambo-d1l
    @JoyceMtambo-d1l 2 месяца назад +2

    Nimepona kwa kweli maana ilikuwa ndiyo tabia yangu kuanika nguo za ndani nje ahsante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako huyu hakika nimeponaaaa

  • @chrizostomangelo8140
    @chrizostomangelo8140 Месяц назад +1

    Dar nimeelewa sana baba Mungu akutunze zaidi

  • @JosephateOsalo
    @JosephateOsalo 2 месяца назад +1

    Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo

  • @TrezaPeris
    @TrezaPeris 3 месяца назад +7

    Thank you for preaching the true gospel

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 3 месяца назад +14

    Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.

    • @GroliaKamugisha
      @GroliaKamugisha 2 месяца назад

      Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?

    • @augenmagabila3081
      @augenmagabila3081 2 месяца назад

      @@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.

    • @joykapaya1970
      @joykapaya1970 Месяц назад +1

      Aminaa.

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 2 месяца назад +1

    Nakupenda sana mchungaji tangu utotowangu nilikuwa nikipenda nyimbo zako ,,nasasa nishakuwa mtu mzima

  • @BarakaMathew-zv1yy
    @BarakaMathew-zv1yy 3 месяца назад +12

    Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi

  • @FranciWami
    @FranciWami 20 дней назад +1

    Amina pastor Mungu Akubariki saana .

  • @jamesdimosso2601
    @jamesdimosso2601 2 месяца назад +1

    Mungu akutunze sana mtumishi, huduma yako ni yenye hekima ya Mungu.

  • @joycejosephat
    @joycejosephat 22 дня назад +1

    Inahudhunisha saaaana,Eeh mwenyezi Mungu uturehemu

  • @Sahimu-v3c
    @Sahimu-v3c 22 дня назад +1

    Asante mtumishi wa mungu umenisaidia nimejifunza

  • @VuyoVezi-g8t
    @VuyoVezi-g8t Месяц назад +1

    Barikiwe sana mtumishi MUNGU akuongezey zaidi

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga 3 месяца назад +3

    Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤

  • @MsotoMsotopoa-y9x
    @MsotoMsotopoa-y9x 24 дня назад +1

    Amina mungu akutie nguvu uzidi kunyoosha kanisa lake

  • @RehemaEmmanuel-z7g
    @RehemaEmmanuel-z7g Месяц назад +1

    Ameeen Baba Mungu akutunze

  • @THEODORATHEONEST
    @THEODORATHEONEST 2 месяца назад +1

    Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.

  • @LucyLucy-q2e
    @LucyLucy-q2e 2 месяца назад +1

    Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 2 месяца назад +1

    Duuuu Mnyakyusa Mbunifu Nakuelewa Saana Mtumishi Mungu Aendelee Kukutunza Tuendelee Kujifunza Vitu Vingi Kwako

  • @FabiolaAntony-up7ih
    @FabiolaAntony-up7ih 2 месяца назад +3

    Mtumishi wa
    Mungu paza sauti tupone, Asante
    Mungu kutupa maonyo

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 2 месяца назад +2

    Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi

  • @ChangalaweSamwel
    @ChangalaweSamwel 2 месяца назад +1

    MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.

  • @HappinessLucas-n3c
    @HappinessLucas-n3c 2 месяца назад +2

    Amen mtumishi hakika Mungu atuhurumie

  • @frolawiliam2549
    @frolawiliam2549 10 дней назад

    Baba Mungu aendelee kukupa Afya Njema ili utufundishe nakukubali sana mpendwa wangu

  • @MOSHIMOSHI-d9y
    @MOSHIMOSHI-d9y 2 месяца назад +1

    Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu azid kukupa ufunuo wa wakat tunaoishi na ahadi zilizotia ktk kizaz hiki ame

  • @kevinMwiva
    @kevinMwiva 3 месяца назад +3

    That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD

  • @ElizabethMafie-m1g
    @ElizabethMafie-m1g 2 месяца назад +1

    Yaaan nakuombea maisha marefu uendelee kutufunulia mambo mengi hatujui

  • @rebecapanga5207
    @rebecapanga5207 Месяц назад

    Mungu atusaidie na kuturehemu hizi ni nyakati za mwisho

  • @ClaireMakotswi
    @ClaireMakotswi 4 дня назад

    Amen Amen and Ameeen 🤚🏿 preach and speak 🗣️ loudly the man of God

  • @reginapeter1467
    @reginapeter1467 2 месяца назад +1

    Amen Mungu atusaidie

  • @hoseamahungo
    @hoseamahungo Месяц назад +1

    safi sana ubarikiwe sana pastor

  • @martinmligo302
    @martinmligo302 2 месяца назад +2

    Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻

  • @jakoboamon9402
    @jakoboamon9402 2 месяца назад +1

    Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo

  • @ElishaBenson
    @ElishaBenson 2 месяца назад +2

    Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e Месяц назад +3

    Wengine wanafuliwa na watoto zao

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in 3 месяца назад +9

    Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone

    • @JofreyMsigwa
      @JofreyMsigwa 3 месяца назад

      Ubarikiwe sana

    • @dastankalinga442
      @dastankalinga442 2 месяца назад

      Barikiwa kwa kujali

    • @dastankalinga442
      @dastankalinga442 2 месяца назад

      Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 2 месяца назад

      Ameeni kwauponyaji

    • @ireneauxley8802
      @ireneauxley8802 2 месяца назад

      Amina

  • @maernov4257
    @maernov4257 3 месяца назад +1

    Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU

  • @Mwakyambikifuraha
    @Mwakyambikifuraha 3 месяца назад +3

    Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 2 месяца назад +4

    Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.

  • @anchilankobelelwa9735
    @anchilankobelelwa9735 2 месяца назад +1

    MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana

  • @Dorriekamu
    @Dorriekamu Месяц назад +1

    Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa mahubiri mazurii

  • @EliyaMarcus
    @EliyaMarcus Месяц назад +1

    Ayo ni kweli my poster

  • @samuelthiga4776
    @samuelthiga4776 2 месяца назад

    Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪

  • @evadanielgunze977
    @evadanielgunze977 2 месяца назад +1

    Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏

  • @MwicheGoma
    @MwicheGoma 14 дней назад +1

    May God bless you man of God

  • @PaulNdonga-ns1vd
    @PaulNdonga-ns1vd 2 месяца назад +2

    CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
    HII DIO INJILI KWA SASA
    ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
    ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
    ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
    IVI KALIBUNI .

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 3 месяца назад +2

    Na Mungu atuponye tuache kutetea dhambi maana ulimwengu wa Sasa mtihani Sana watu wanachukua baadhi ya vitu na kuvipa alali kama sio dhambi ila njia Ile ni nyembamba iyendayo uzimani ndo utajua kwann ni nyembamba.

  • @JöelWasolu
    @JöelWasolu 3 месяца назад +1

    Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 2 месяца назад +1

    Eee mungu zidi kutufunulia zaidi ili tupone na tuwe imara

  • @MaryLoko-y2o
    @MaryLoko-y2o 2 месяца назад +2

    Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪

  • @Bisintatv
    @Bisintatv 2 месяца назад +1

    Mtumishi Mwenyezi Amekuonyesha dhambi zilizojoficha ktk huduma ongeza na baadhi ya madaktari wakiume Kwa wanawake na wakike Kwa wanaume .

  • @eunicesemere5555
    @eunicesemere5555 2 месяца назад

    Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️

  • @henrychfestobrown
    @henrychfestobrown 2 месяца назад

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 2 месяца назад +2

    Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu

    • @mch.abiudmisholi
      @mch.abiudmisholi  2 месяца назад

      Ameen

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 месяца назад

      ​@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 месяца назад

      ​@@mch.abiudmisholiwiki mbili

  • @JescaMgunga
    @JescaMgunga 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana baba mungu alikutumia naminikapona 17:06

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 3 месяца назад +15

    Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.

    • @PrityKinitha
      @PrityKinitha 3 месяца назад +1

      Na pia vifua 😨😨

    • @janengaga2928
      @janengaga2928 2 месяца назад

      Amina

    • @OmanUsers-n5f
      @OmanUsers-n5f 2 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤ndio ni kweli kbc

    • @EneaIbrahim-z4j
      @EneaIbrahim-z4j 2 месяца назад +1

      Ni kweli tupu katika kitabu Cha wakorintho kinaagiza hivo

  • @OmbenOmary
    @OmbenOmary 2 месяца назад +1

    Barikiwa Dana Mtumishi was MUNGU songs mbele usiogope

  • @janetmagiri7511
    @janetmagiri7511 Месяц назад +1

    Nimewahi kuona mwanza miaka 2011 mbaba mmoja alisafishwa uso saluni akaonga mikungu ya ndixi na fedha

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe kaka user kutoka Kenya naona sana comment zako kila sehem mungu ajibu haja yako

  • @geofreymwasaka2602
    @geofreymwasaka2602 2 месяца назад

    Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke

  • @Meshack777-c3m
    @Meshack777-c3m Месяц назад +1

    Asante baba tunapona wengi sanaaaa

  • @jeremiashimwela8718
    @jeremiashimwela8718 2 месяца назад +1

    Pasipo kutubu dhambi na kuziacha kwa yesu kamwe huwezi huwezi kuishinda.Warumi 8:8

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 2 месяца назад

    Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
    Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
    Nimepona kweli.

  • @gggghhhbh5755
    @gggghhhbh5755 2 месяца назад +2

    Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid

  • @DorcassKingu
    @DorcassKingu 4 дня назад

    Amen mtumishi wa MUNGU

  • @verroallex9144
    @verroallex9144 2 месяца назад

    Somo kubwa na muhimu sana. Bwana Yesu azidi kukutumia kwaajili ya kanisa lake 🙏

  • @MumeloBrian
    @MumeloBrian 2 месяца назад +1

    You are right pastor,,,,continue telling them the true

  • @barakajohn
    @barakajohn 2 месяца назад +2

    Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.

    • @mch.abiudmisholi
      @mch.abiudmisholi  2 месяца назад

      Ubarikiwe sana

    • @mesamale
      @mesamale 2 месяца назад

      ​@@mch.abiudmisholi
      Baba Nina jambo naomba nikufuate inbox

  • @loveandrew9694
    @loveandrew9694 3 месяца назад +1

    Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.

  • @PaulMakona
    @PaulMakona 24 дня назад

    Uko sahihi mtumishi mungu Akutie nguvu sana

  • @farajamsyani3304
    @farajamsyani3304 Месяц назад +1

    Mungu nirehem

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 3 месяца назад

    Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!

  • @SinaidaKiswaga
    @SinaidaKiswaga 2 месяца назад

    Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato

  • @JENIPHAIBRAHIM
    @JENIPHAIBRAHIM 3 месяца назад +2

    Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba

  • @annanickas3324
    @annanickas3324 2 месяца назад +1

    Yesu tunaomba utusaidie kuyashinda haya.

  • @agripinagasper-ts1yx
    @agripinagasper-ts1yx 2 месяца назад

    Ahsante MUNGU akubariki Sana mch. Nimekusikia nimekuelewa nitaacha Baba

  • @ReubenSimwanza
    @ReubenSimwanza 2 месяца назад

    Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.

  • @msanginaza905
    @msanginaza905 2 месяца назад +1

    Mchungaji yuko sahihi kabisaaaaaaaaaaaaaaa kabisa dhambi hiiii itapeleka wengi jehanamu mnooooooooo

  • @EvelynMwaipungu
    @EvelynMwaipungu 2 месяца назад

    Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud

  • @sakinaephraim1901
    @sakinaephraim1901 2 месяца назад +1

    Namshukuru MUNGU kwa kuniba baba kama wewe nimejifunza kitu namshukuru MUNGU kwa neno hiri

  • @DouglasKirimi-s9e
    @DouglasKirimi-s9e 2 месяца назад +1

    Papa alisema yesu hata Rudi hivi karibuni.mungu saidia watu wako

  • @jothammakenzi934
    @jothammakenzi934 2 месяца назад

    Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God

  • @yusufumwanawadaudi74
    @yusufumwanawadaudi74 2 месяца назад +2

    Mch, barikiwa sana.
    Pia naomba video ya wimbo wa Tawala Maisha yangu