SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • NYTV COMPANY.
    Ni channel ya habari za Injili ,Mahubiri,Miziki ya Gospel na Mahojiano na watu maarufui kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips (@NYTV) na kwenye NYTV.CO.TZ

Комментарии • 251

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 9 месяцев назад +7

    Mchungaji Magembe Mungu akubariki sana hii nchi ingekuwa na hawa watu 33 tu pangechimbika

    • @luciasteven3314
      @luciasteven3314 5 месяцев назад +1

      Yn 33 weng sana was tu wangetosha

  • @enossimon6803
    @enossimon6803 10 месяцев назад +10

    Bwana Yesu asifiwe Mchungaji.fanya ziala uje kigoma maeneo ya Mnanila tunabarikiwa na huduma yako.uje baba tutapendezwa sana

  • @MaryJohn-g4b
    @MaryJohn-g4b Месяц назад +1

    Nimeanza kufuatilia mahubiri ya huyu mzee wa imani baada ya kujitoa TAG nimetambua hakika Mungu anamtumia kwa viwango vya hali ya juu sana.. Mungu azidi kukuinua

  • @GetrudaMwakipesile
    @GetrudaMwakipesile Месяц назад +2

    Magembe mimi nakukubali mungu akupake mafuta mabichi kila kukicha tena wewe baba upo kiroho sana

  • @johnmanase2874
    @johnmanase2874 9 месяцев назад +6

    Amen . Mchungaji anaongea kwa mamlaka hata vibwengo lazma viufyante... Barikiwa mtumishi wa Mungu , chapa kazi ya Mungu ulimwengu uokoke ktk Jina la Yesu

  • @FredyMwakilembe
    @FredyMwakilembe Месяц назад +1

    Hallelujah Mungu nisaidie niyashinde majaribu ya duniani

  • @chewesalum7472
    @chewesalum7472 Месяц назад +1

    Amen..nimepokea kwa neno la mtumishi wa Mungu

  • @OnesmoMbanga
    @OnesmoMbanga 19 дней назад

    Namuona Mungu katika kila neno lako

  • @albertkivinge7996
    @albertkivinge7996 Месяц назад +1

    Daaah Yesu wetu tusaidie nyakati hizi ngumu za mwisho

  • @noelmasere1400
    @noelmasere1400 10 месяцев назад +5

    ubarikiwe sana baba mchungaji natamani sana nijuwe unapatikana wapi ili nije uniwekee mikono juu ya kichwa changu nahisi kuokoka

  • @JAMESSIMON-z8h
    @JAMESSIMON-z8h Месяц назад

    Pst Magembe is a real man of God.

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df Месяц назад +1

    Mama kashindwa kukaba upako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 amen

  • @DoraBwera
    @DoraBwera 24 дня назад

    Mungu akubariki Baba kwa umishi mwema akuzidishe 31:09

  • @sedaalshehri773
    @sedaalshehri773 28 дней назад

    Amina amina mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @FelisteejosephMussa
    @FelisteejosephMussa 27 дней назад

    Eee mungu wangu niponye na mimi moyo wangu ni rehem na unisamehe,najifunza kupitia mtumishi wako

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 10 месяцев назад +2

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @MariamKason
    @MariamKason 10 месяцев назад +2

    Hallelujah,haka ka bibi Yesu akatunze kwa ajili ya ushuhuda

  • @MethodchijaYahaya
    @MethodchijaYahaya Месяц назад +1

    Yan TAG Mungu awafungue. Yan uyu mzee wameamua kumpoteza kwny dini yao. Ngoja tumchukue sisi wenye hamu ya kwenda mbinguni. Nyie mnaofanya biashara yakushusha walio hangaika Mungu awasaidie

  • @ema4968
    @ema4968 9 месяцев назад +3

    Karibu sana MWANZA mchungaji Magembe baraka kubwa sana kwa kizazi hiki

  • @janembanga1607
    @janembanga1607 10 месяцев назад +2

    Mungu atusaidie hii injili Moto kweli kweli turudi kwenye viwango

  • @rashidmtafya9075
    @rashidmtafya9075 9 месяцев назад

    Amina mtumishi wa mungu magembe mungu akutunze uziponye dini

  • @CosmasSimon-bp9nu
    @CosmasSimon-bp9nu 10 месяцев назад +2

    Naguswa sana na neno lake Mungu nisaidie niokoke kwerikweri

  • @JohnJoel-ro7lc
    @JohnJoel-ro7lc 10 месяцев назад +2

    Ahsante YESU Kwa zawadi hiii katika kuujenga mwili wa krsto

  • @PoulJohn-j4d
    @PoulJohn-j4d 10 месяцев назад +1

    Mungu wa mbingu atusaidie mm na familia yangu mume na watoto wangu tudirudi nyuma

  • @zenobikasunga5768
    @zenobikasunga5768 4 месяца назад +1

    Amina sana❤

  • @aloyceKornelio
    @aloyceKornelio Месяц назад +1

    Mtumishi wa mungu alie hai umenipa wivu mwingi sana wa mungu naomba niruhusu nikujie ulipo uniombee kama wale watumishi walivombewa na bibi nikautumikie huu wivu plz

  • @matokeomwakibinga3344
    @matokeomwakibinga3344 10 месяцев назад +4

    Oooh my Load nisaidie mimi niwe hodari na moyo wa ushujaa 😢😢

  • @Shedracklesudai95
    @Shedracklesudai95 10 месяцев назад +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho

  • @JumaMwangombe
    @JumaMwangombe 10 месяцев назад +1

    Amina mtumishi magembe Mungu akupe siku nyingi za kuishi

  • @IsakaKiyalo-s3v
    @IsakaKiyalo-s3v 7 месяцев назад +2

    Amina Amina napokea baraka kwa jina la yesu kupitia mahibiri haya in the mighty of the Jesus name

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 5 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Bwana Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi

  • @AdamNkwabhagu
    @AdamNkwabhagu 10 месяцев назад

    Amina Sana barikiwa Sana Sana mtumishi Mungu akutunze Baba

  • @essamwaitulo6339
    @essamwaitulo6339 10 месяцев назад +4

    Mungu akubariki sana baba yetu kwa injili na neno lenye nguvu za Mungu.
    Mungu akupe afya na siku tele ili kusudi la Mungu lifike kila mahali.

  • @janemuthui6130
    @janemuthui6130 10 месяцев назад +2

    Mchunganji tunahitaji hilo neno la kweli tufunguliwe na neno la Mungu
    Tafathali njo kwetu Kenya,Nakuru city

  • @Furaha-x2y
    @Furaha-x2y 6 месяцев назад

    Barikiwa baba Yesu wako nimemwelewa Aminaàaaaaaa

  • @kidainvestment7132
    @kidainvestment7132 10 месяцев назад +1

    Absolutely you Yes man of God 💯%

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 10 месяцев назад +3

    Mungu nisaidie

  • @sijapendamatikiti3448
    @sijapendamatikiti3448 10 месяцев назад +6

    Ee Mungu nisaidie niwe muijilist nifanye watu wanafunzi wake.huu ujumbe umenitisha. Ee Mungu nifundishe.

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo Месяц назад +3

    TAG mmekosea sana kwa MUNGU na kwa wanadamu kwa kuteleza na kufarakana na Magembe TAG poleni sana kumpoteza Magembe nuru/taa ya YESU iliyokuwa ing'aayo gizani

    • @StellaKaluwa
      @StellaKaluwa Месяц назад +1

      MUNGU AKUTUNZE UPAKO HUU UWE MPYA KILA SIKU NDANI YA MIOYO YETU

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 10 месяцев назад +6

    Halleluya! Ninaomba mtusaidie kuya-share mafundisho kamili! Shalom

  • @RachaelAmon
    @RachaelAmon 5 месяцев назад

    Ameeen pastor magembe ww ni jembe la yesu

  • @BETISHEBA-ln3db
    @BETISHEBA-ln3db 10 месяцев назад +3

    Yesu tusaidie

  • @EzekielCharles-j8x
    @EzekielCharles-j8x 5 месяцев назад

    Acha uchochezi t a g tunampenda Sana mzee waimani mosses magembe

  • @ollestedickson8966
    @ollestedickson8966 9 месяцев назад

    Barikiwa sana man of God Pastor Maghembe🙌

  • @RogersNyerere
    @RogersNyerere 6 месяцев назад

    Amina Amina Amina Amina MUNGU akubariki

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 9 месяцев назад

    Injili isiyogushiwa ni tamu sanaaa.Amen Siogopi sirudi nyuma nakaza mwendo niifikie ile mede

  • @daikatorika9364
    @daikatorika9364 7 месяцев назад

    Asante baba kwa mafundisho yenye nguvu za Roho

  • @obedstaford8562
    @obedstaford8562 10 месяцев назад

    Amina baba hakika ijili ya kiwango sana hadi inaogopesha Mungu akubariki sana mchungaji turudi igale

  • @apostleemmanuelmabuga8148
    @apostleemmanuelmabuga8148 10 месяцев назад +20

    Hii sio tu kwa TAG hii ni UAMSHO kwa Mwili wa Kristo Tanzania nzima

    • @stevenhaule6786
      @stevenhaule6786 9 месяцев назад

      Nafuta naandika ubarikiwe sana mzee wangu kilichopo ndani Yako ni Cha Mungu wa kweli kabisa nakupenda sana mzee nakipenda kilichopo ndani Yako niombee baba ukisoma comment yangu nakupenda😭😭

    • @EMANUELMUSHI-kk4df
      @EMANUELMUSHI-kk4df Месяц назад

      Amen

    • @BenjaminKihanga
      @BenjaminKihanga Месяц назад

      Ameen

    • @BenjaminKihanga
      @BenjaminKihanga Месяц назад

      Wa makanisa mengine tunakuungq mkono baba

  • @focusmagayane
    @focusmagayane 4 месяца назад

    Magembe baba yesu akutumie zaidi na sku moja tukutane mbinguni

  • @RogersNyerere
    @RogersNyerere 6 месяцев назад

    ❤❤❤ Yôoooooo MUNGU MUUMBAJI AWE NAWE past MAGEMBE TUNAKUSHUKURU

  • @LucasBundala-uw6cw
    @LucasBundala-uw6cw 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Baba nakuelewa msukuma mwezangu

  • @RachelMkumbo
    @RachelMkumbo 9 месяцев назад +2

    Barikiwa baba

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke6137 10 месяцев назад +3

    HIZI NDO INJILI THABITI,BARIKIWA SN

  • @davidbenson661
    @davidbenson661 10 месяцев назад

    Mungu akutunze Pastor, unasaidia wengi.

  • @LUCHEMBALEONARD
    @LUCHEMBALEONARD 2 месяца назад

    🎉mungu akuongezee siku za kuishi uhubiri zaidi injili ya kweli nabarikiwa sana amen

  • @LajoiePascaline
    @LajoiePascaline 9 месяцев назад

    Amen, Mubarikiwe sana. Tume barikiwa kweli

  • @YohnaDanieli
    @YohnaDanieli 10 месяцев назад +1

    Amina ubarikiwe sana

  • @SaimonTweve
    @SaimonTweve 9 месяцев назад

    Mungu na akubariki sana baba Magembe sema tupone

  • @AdolphMarenge-jd6vw
    @AdolphMarenge-jd6vw 9 месяцев назад

    amina mtumishi wa Mungu ni kweli ndio maana makanisa yamekufa

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr 10 месяцев назад

    Amina Amina Amina, Mungu yuko hapa

  • @smartgeoffrey9550
    @smartgeoffrey9550 Месяц назад

    Mtumishi wa kweli kabisa

  • @AnnaChris-f5i
    @AnnaChris-f5i 3 месяца назад

    Baba ubarikiwe sana makanisa yamekufa ,karibu dodoma kanisa la msamaria mwema angilikana tunasali huku maaskari wanaturinda uko wap uliponye kanisa

  • @AbayumbebaRubavu
    @AbayumbebaRubavu 8 месяцев назад

    Naomba Namba ya Rev: Moss

  • @EliyaFerisian
    @EliyaFerisian 10 месяцев назад

    Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo Месяц назад +1

    TAG mmekosea sana mlipaswa mjifunze maombi ya YESU yasemayo "Baba naomba wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja" badala ya kufarakana na Magembe

  • @MartinMwendwa-c1x
    @MartinMwendwa-c1x Месяц назад

    Eee Mungu naomba nipo ujasiri na moyo wa ushujaa sawasawa na neno la mtumishi wako napokea kwa Jina la Yesu aliye Hai

  • @ZauloMalolage-tv7vb
    @ZauloMalolage-tv7vb 9 месяцев назад

    My pastor nakuelewa sana

  • @anethphilbert229
    @anethphilbert229 7 месяцев назад

    Amina pastor.

  • @parakuchiemma3673
    @parakuchiemma3673 9 месяцев назад

    Nimebarikiwa na kuinuiwa kwa maneno yako ,Mungu atujalie kuinuka tena na kuihubiri injiri yenye nguvu

  • @jasperjackson8871
    @jasperjackson8871 10 месяцев назад +2

    Baba yangu na Mungu wangu utusaidie tuweze kuelewa maneno haya mazito kutoka kwa baba yetu wa imani mchungaji Moses Magembe.
    Naomba tusaidie kuelewa eee Bwana wetu hili neno ambalo Roho Mtakatifu asema na kanisa lake.

  • @YaeliJoseph
    @YaeliJoseph 8 месяцев назад

    Amen 🙏 Pastor 🙏

  • @apostleemmanuelmabuga8148
    @apostleemmanuelmabuga8148 10 месяцев назад +30

    Barikiwa Saaana Magembe Rafiki yangu acha TAG wa kudharau sisi wa madhehebu mengine tunachukua mafundisho yako na tuna jaza makanisa TAG acheni uoga

    • @musaanthony8889
      @musaanthony8889 10 месяцев назад +1

      Mbona hapo ni kama yupo TAG au sijaona vizuri

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 10 месяцев назад +2

      Tafiti kama hizi inatakiwa afanye askofu mkuu ili ajue pakuanzia, maana yule bibi anasema aliyeingia amevaa hereni, mikufu, shanga na bangili alikutana na Roho Mt na hawakuvaa tena, kanisa la leo hivyo vitu tumehalalisha na wachungaji hawaoni kama ni uovu. Watu wasuka, wanajikilimu, wanavaa mawigi na kujinakisha. Ninachomshukuru Bwana Yesu amemsaza ili ashuhudie japo wachungaji wetu hawana mpango naye bali wanaiamini thiolojia Sana.

    • @samuelErnest-s9q
      @samuelErnest-s9q 10 месяцев назад +1

      Mkuu mbona kama una muhemko hapo anafanya kazi ya TAG sasa wamemdharau vpi na yuko kamati kuu

    • @apostleemmanuelmabuga8148
      @apostleemmanuelmabuga8148 10 месяцев назад

      @@samuelErnest-s9q hii kauli ya kudharauliwa kailudia mwenyewe mala nyingi tu hatumuwekei maneno mdomoni

    • @juniorkamafa3391
      @juniorkamafa3391 10 месяцев назад +1

      Unatukosea

  • @EmmanuelKasike
    @EmmanuelKasike 10 месяцев назад

    Mungu akubariki sana Baba Amina kubwaababa

  • @pascaldomel1551
    @pascaldomel1551 10 месяцев назад

    Ubarikiwe sana baba yetu

  • @estafuraha
    @estafuraha 5 месяцев назад

    Napokeya kwajina la yesu

  • @marthamaembemaembe
    @marthamaembemaembe 9 месяцев назад

    ubarikiwe baba

  • @lucynkonya8709
    @lucynkonya8709 10 месяцев назад

    Barikiwa mtumishi

  • @emmanuelmwiturubani
    @emmanuelmwiturubani 9 месяцев назад

    hongera baba kwakukumbusha njia ipaswayo kufuatwa

  • @michaelsamwelmmari9087
    @michaelsamwelmmari9087 10 месяцев назад

    Mungu akubariki sana

  • @jescacharles2274
    @jescacharles2274 9 месяцев назад

    Amina Mungu atusadie tunamuomba

  • @JaneMichael-sj3qb
    @JaneMichael-sj3qb 10 месяцев назад

    Balikiwe sana mtumishi wamungu hakika injili hii itatafutwa sana mama ulimwengu nakanisa limehalibika lakin huyu Baba hakika anamjua Mungu

  • @reganerasto5161
    @reganerasto5161 9 месяцев назад +1

    amina Mchungaji Magembe nakuelewa sana baba.

  • @Nelltuoge
    @Nelltuoge 9 месяцев назад

    Amen, kumkabiri shetani hakuna kudekadeka!!,

  • @ElimosariaMacha
    @ElimosariaMacha 5 месяцев назад

    Barikiwa baba yangu uishi miaka mingi yenye afya, baraka na amani

  • @stunningtv8426
    @stunningtv8426 9 месяцев назад +2

    Sahihi kbsa nimefika igale na mazingira nineyaona na history hii nimeipata Barbara!

  • @EuniceBukokhe
    @EuniceBukokhe 9 месяцев назад

    God bless you Amen

  • @DeoMtalo
    @DeoMtalo 4 месяца назад

    Ninautamani sana upako huu

  • @israelisponsor8755
    @israelisponsor8755 9 месяцев назад

    Ee Mungu nisaidie nikupokee rohoni mwangu 😢😢😢

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 10 месяцев назад

    Amina baba wewe ni hazina

  • @ambonisyefungo4853
    @ambonisyefungo4853 10 месяцев назад

    Mungu tusaidie

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 5 месяцев назад

    Ehee Mungu nibadilishe na mimi

  • @KizangilaBuda
    @KizangilaBuda Месяц назад

    Oh this type of Gosepel is so blessed. Different from what Lovy Logomba is propagating

  • @AbelyLuhwago
    @AbelyLuhwago 4 месяца назад +1

    Amina sana kwa somobzuri

  • @ambonisyefungo4853
    @ambonisyefungo4853 10 месяцев назад

    Yeeeesuuu njooo nisaidie

  • @FortunateAkaro
    @FortunateAkaro 5 месяцев назад

    🎉jamani wachungaji chukueni maamui ya kubadilika msiki huyu mzee acheni kutumika kistaarbu rudini pentekostekoste

  • @BavonSunday
    @BavonSunday 10 месяцев назад

    utukufu ni kwa Mungu

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 9 месяцев назад

    Kuna watu wanatumia neno la mungu lakini hawana upako wa mungu

  • @berthamkamba6758
    @berthamkamba6758 10 месяцев назад

    Mungu atusaidie kutoipenda Dunia Wala kuifuatisha Ili Roho Mtakatifu adumu ndani yetu Halleluya!

  • @Franko-w7f
    @Franko-w7f 9 месяцев назад

    Mungu akutunze