SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- NYTV COMPANY.
Ni channel ya habari za Injili ,Mahubiri,Miziki ya Gospel na Mahojiano na watu maarufui kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips (@NYTV) na kwenye NYTV.CO.TZ
Mchungaji Magembe Mungu akubariki sana hii nchi ingekuwa na hawa watu 33 tu pangechimbika
Yn 33 weng sana was tu wangetosha
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji.fanya ziala uje kigoma maeneo ya Mnanila tunabarikiwa na huduma yako.uje baba tutapendezwa sana
Nimeanza kufuatilia mahubiri ya huyu mzee wa imani baada ya kujitoa TAG nimetambua hakika Mungu anamtumia kwa viwango vya hali ya juu sana.. Mungu azidi kukuinua
Magembe mimi nakukubali mungu akupake mafuta mabichi kila kukicha tena wewe baba upo kiroho sana
Amen . Mchungaji anaongea kwa mamlaka hata vibwengo lazma viufyante... Barikiwa mtumishi wa Mungu , chapa kazi ya Mungu ulimwengu uokoke ktk Jina la Yesu
Hallelujah Mungu nisaidie niyashinde majaribu ya duniani
Amen..nimepokea kwa neno la mtumishi wa Mungu
Namuona Mungu katika kila neno lako
Daaah Yesu wetu tusaidie nyakati hizi ngumu za mwisho
ubarikiwe sana baba mchungaji natamani sana nijuwe unapatikana wapi ili nije uniwekee mikono juu ya kichwa changu nahisi kuokoka
Njoo ndg yangu heri wamutumainio bwana
Pst Magembe is a real man of God.
Mama kashindwa kukaba upako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 amen
Mungu akubariki Baba kwa umishi mwema akuzidishe 31:09
Amina amina mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Eee mungu wangu niponye na mimi moyo wangu ni rehem na unisamehe,najifunza kupitia mtumishi wako
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Hallelujah,haka ka bibi Yesu akatunze kwa ajili ya ushuhuda
Yan TAG Mungu awafungue. Yan uyu mzee wameamua kumpoteza kwny dini yao. Ngoja tumchukue sisi wenye hamu ya kwenda mbinguni. Nyie mnaofanya biashara yakushusha walio hangaika Mungu awasaidie
Karibu sana MWANZA mchungaji Magembe baraka kubwa sana kwa kizazi hiki
Mungu atusaidie hii injili Moto kweli kweli turudi kwenye viwango
Amina mtumishi wa mungu magembe mungu akutunze uziponye dini
Naguswa sana na neno lake Mungu nisaidie niokoke kwerikweri
Ahsante YESU Kwa zawadi hiii katika kuujenga mwili wa krsto
Mungu wa mbingu atusaidie mm na familia yangu mume na watoto wangu tudirudi nyuma
Amina sana❤
Mtumishi wa mungu alie hai umenipa wivu mwingi sana wa mungu naomba niruhusu nikujie ulipo uniombee kama wale watumishi walivombewa na bibi nikautumikie huu wivu plz
Oooh my Load nisaidie mimi niwe hodari na moyo wa ushujaa 😢😢
Nabarikiwa sana na mafundisho
Amina mtumishi magembe Mungu akupe siku nyingi za kuishi
Amina Amina napokea baraka kwa jina la yesu kupitia mahibiri haya in the mighty of the Jesus name
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi
Amina Sana barikiwa Sana Sana mtumishi Mungu akutunze Baba
Mungu akubariki sana baba yetu kwa injili na neno lenye nguvu za Mungu.
Mungu akupe afya na siku tele ili kusudi la Mungu lifike kila mahali.
Mchunganji tunahitaji hilo neno la kweli tufunguliwe na neno la Mungu
Tafathali njo kwetu Kenya,Nakuru city
Barikiwa baba Yesu wako nimemwelewa Aminaàaaaaaa
Absolutely you Yes man of God 💯%
Mungu nisaidie
Ee Mungu nisaidie niwe muijilist nifanye watu wanafunzi wake.huu ujumbe umenitisha. Ee Mungu nifundishe.
TAG mmekosea sana kwa MUNGU na kwa wanadamu kwa kuteleza na kufarakana na Magembe TAG poleni sana kumpoteza Magembe nuru/taa ya YESU iliyokuwa ing'aayo gizani
MUNGU AKUTUNZE UPAKO HUU UWE MPYA KILA SIKU NDANI YA MIOYO YETU
Halleluya! Ninaomba mtusaidie kuya-share mafundisho kamili! Shalom
Ameeen pastor magembe ww ni jembe la yesu
Yesu tusaidie
Acha uchochezi t a g tunampenda Sana mzee waimani mosses magembe
Barikiwa sana man of God Pastor Maghembe🙌
Amina Amina Amina Amina MUNGU akubariki
Injili isiyogushiwa ni tamu sanaaa.Amen Siogopi sirudi nyuma nakaza mwendo niifikie ile mede
Asante baba kwa mafundisho yenye nguvu za Roho
Amina baba hakika ijili ya kiwango sana hadi inaogopesha Mungu akubariki sana mchungaji turudi igale
Hii sio tu kwa TAG hii ni UAMSHO kwa Mwili wa Kristo Tanzania nzima
Nafuta naandika ubarikiwe sana mzee wangu kilichopo ndani Yako ni Cha Mungu wa kweli kabisa nakupenda sana mzee nakipenda kilichopo ndani Yako niombee baba ukisoma comment yangu nakupenda😭😭
Amen
Ameen
Wa makanisa mengine tunakuungq mkono baba
Magembe baba yesu akutumie zaidi na sku moja tukutane mbinguni
❤❤❤ Yôoooooo MUNGU MUUMBAJI AWE NAWE past MAGEMBE TUNAKUSHUKURU
Ubarikiwe sana Baba nakuelewa msukuma mwezangu
Barikiwa baba
HIZI NDO INJILI THABITI,BARIKIWA SN
Umeona eee
Mungu akutunze Pastor, unasaidia wengi.
🎉mungu akuongezee siku za kuishi uhubiri zaidi injili ya kweli nabarikiwa sana amen
Amen, Mubarikiwe sana. Tume barikiwa kweli
Amina ubarikiwe sana
Mungu na akubariki sana baba Magembe sema tupone
amina mtumishi wa Mungu ni kweli ndio maana makanisa yamekufa
Amina Amina Amina, Mungu yuko hapa
Mtumishi wa kweli kabisa
Baba ubarikiwe sana makanisa yamekufa ,karibu dodoma kanisa la msamaria mwema angilikana tunasali huku maaskari wanaturinda uko wap uliponye kanisa
Naomba Namba ya Rev: Moss
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua
TAG mmekosea sana mlipaswa mjifunze maombi ya YESU yasemayo "Baba naomba wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja" badala ya kufarakana na Magembe
Eee Mungu naomba nipo ujasiri na moyo wa ushujaa sawasawa na neno la mtumishi wako napokea kwa Jina la Yesu aliye Hai
My pastor nakuelewa sana
Amina pastor.
Nimebarikiwa na kuinuiwa kwa maneno yako ,Mungu atujalie kuinuka tena na kuihubiri injiri yenye nguvu
Baba yangu na Mungu wangu utusaidie tuweze kuelewa maneno haya mazito kutoka kwa baba yetu wa imani mchungaji Moses Magembe.
Naomba tusaidie kuelewa eee Bwana wetu hili neno ambalo Roho Mtakatifu asema na kanisa lake.
Amen 🙏 Pastor 🙏
Barikiwa Saaana Magembe Rafiki yangu acha TAG wa kudharau sisi wa madhehebu mengine tunachukua mafundisho yako na tuna jaza makanisa TAG acheni uoga
Mbona hapo ni kama yupo TAG au sijaona vizuri
Tafiti kama hizi inatakiwa afanye askofu mkuu ili ajue pakuanzia, maana yule bibi anasema aliyeingia amevaa hereni, mikufu, shanga na bangili alikutana na Roho Mt na hawakuvaa tena, kanisa la leo hivyo vitu tumehalalisha na wachungaji hawaoni kama ni uovu. Watu wasuka, wanajikilimu, wanavaa mawigi na kujinakisha. Ninachomshukuru Bwana Yesu amemsaza ili ashuhudie japo wachungaji wetu hawana mpango naye bali wanaiamini thiolojia Sana.
Mkuu mbona kama una muhemko hapo anafanya kazi ya TAG sasa wamemdharau vpi na yuko kamati kuu
@@samuelErnest-s9q hii kauli ya kudharauliwa kailudia mwenyewe mala nyingi tu hatumuwekei maneno mdomoni
Unatukosea
Mungu akubariki sana Baba Amina kubwaababa
Ubarikiwe sana baba yetu
Napokeya kwajina la yesu
ubarikiwe baba
Barikiwa mtumishi
hongera baba kwakukumbusha njia ipaswayo kufuatwa
Mungu akubariki sana
Amina Mungu atusadie tunamuomba
Balikiwe sana mtumishi wamungu hakika injili hii itatafutwa sana mama ulimwengu nakanisa limehalibika lakin huyu Baba hakika anamjua Mungu
Hakika Ubarikiwe zaidi
amina Mchungaji Magembe nakuelewa sana baba.
Amen, kumkabiri shetani hakuna kudekadeka!!,
Barikiwa baba yangu uishi miaka mingi yenye afya, baraka na amani
Sahihi kbsa nimefika igale na mazingira nineyaona na history hii nimeipata Barbara!
God bless you Amen
Ninautamani sana upako huu
Ee Mungu nisaidie nikupokee rohoni mwangu 😢😢😢
Amina baba wewe ni hazina
Amen
Mungu tusaidie
Ehee Mungu nibadilishe na mimi
Oh this type of Gosepel is so blessed. Different from what Lovy Logomba is propagating
Amina sana kwa somobzuri
Yeeeesuuu njooo nisaidie
🎉jamani wachungaji chukueni maamui ya kubadilika msiki huyu mzee acheni kutumika kistaarbu rudini pentekostekoste
utukufu ni kwa Mungu
Kuna watu wanatumia neno la mungu lakini hawana upako wa mungu
Mungu atusaidie kutoipenda Dunia Wala kuifuatisha Ili Roho Mtakatifu adumu ndani yetu Halleluya!
Mungu akutunze