PART 4 JAJI ALIYE TOA HUKUMU KWA MOSES KULOLA KILICHOMKUTA KINATISHA USHUHUDA WA MOSES KULOLA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 фев 2024

Комментарии • 81

  • @ukuriijambo9418
    @ukuriijambo9418 4 месяца назад +5

    Iyo ushuhuda ya Layisi Nkurunziza na askofu Moses Kulola ni ya kweri,alitabiri 2003 yakwamba Layisi wa Burundi atakuwa anatoka milimani ju ya town Ya Bujumbura alisema kama atakuwa mulokore.Askof Moses alikuwa baraka kwa inci ya Burundi.Na shukuru sana kutukumbusha Iyo mze wetu.Mungu akubariki sana,

    • @willydugilo3258
      @willydugilo3258 4 месяца назад

      Kulola!! Alikuwa baba yeti wa Imani!!

  • @RoseLeonsi
    @RoseLeonsi 8 дней назад

    Amina baba imani uliilinda mwendo ukaumaliza 2:50

  • @sarahkishaluli6087
    @sarahkishaluli6087 4 месяца назад +18

    MUNGU ni mwema sana, siku zangu zote nilikuwa ninatamani kujua jinsi huyu Mtumishi hodari wa Mungu, alivyo ishi hapa duniani maana ni mfano wa kuigwa

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 4 месяца назад +6

    Ameni Asanteni kwa Historia nzuri

  • @naomysamuel6799
    @naomysamuel6799 4 месяца назад +6

    Najifunza mengi sana
    Nasubir sehemu inayofuata
    Amen

  • @mwajumasakina9599
    @mwajumasakina9599 4 месяца назад +7

    😭😭mbona watumishi wa Mungu hupitia mambo mazito sana mno jameni, Baba tusaidie tuzijue siku zetu na tumalize mwendo salama 🙏🏼🙏🏼

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 3 месяца назад +1

      Hakika

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 3 месяца назад +2

      Unapokua mtmsh wa kweli wa Mungu, umetangaza vita na shetani.

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 3 месяца назад +1

      @@dorahmushi-we6ts Mimi Najionea Ninayo pitiable na ndio kwanzaa safari tupo mapambano acheni Ila Mungu wetyu attaching tuendelee kumuamini na kuvumilia kutoa uoga tuvae silaha za MUNGU tupate kushindana SI KU YA UOVU ,shetan tumshinde nakumkanyaga tusonge mbele

  • @ErnestSaimon
    @ErnestSaimon 4 месяца назад +6

    Hakuna mtumishi alietumika Kwa maazingila magumu nakuji shusha kama kulola ulikua ukimuita kwahuduma anataka kulala pale unapolala wewe hakupenda kupelekwa gest nawakat anaona unahali ngumu leohii hakuna mungu atusaidie kuwa na macho ya rohon

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 4 месяца назад +3

    Uyo ndiye mungu biblia inasema vyote vilivyo ndani ya dunia nawote wanao kaha hamo yote nimali ya bwana ❤❤❤❤

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад +4

    Ushuhuda mzur Sana jmn.... naendelea kusbria mwendelezo

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 4 месяца назад +3

    Ushuhuda mzuri sana,tuliokuwa tunauhitaji kusikia

  • @nurumwita9034
    @nurumwita9034 4 месяца назад +8

    Nilikuwa nasubiri sana huu mwendelezo mbarikiwe sana

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba9972 4 месяца назад +2

    Ujumbe mzuri wa kumbukumbu za mzee wetu ila kuna sehemu duuu inataka utumie akili sana kusikiliza na kuelewa

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 4 месяца назад +4

    Mungu nimwema siku zote

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 дней назад

    Ameen

  • @user-nl4tj1uq5e
    @user-nl4tj1uq5e 3 месяца назад +5

    Yesu utukufu ni wako kwa ajili ya mtumishi wako.

  • @user-lv4ou4qn9s
    @user-lv4ou4qn9s 4 месяца назад +1

    Amen Mungu atusaidie ipo siku tutaonana katika ufarume mungu

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 4 месяца назад

    Ukiwa wa Mungu utatenda mambo makuu kuliko kawaida ,Mungu hamtupi mtumishi wake, hakika Mungu ni mwema, namkumbuka sana Moses Kulola toka miaka ya 1980

  • @Nenolamaarifa
    @Nenolamaarifa 4 месяца назад +3

    Amen

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 3 месяца назад

    Hallelujah jamani MUNGU afananishwi ! Sifa na utukufu kwa BWANA WA MABWANA

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 2 месяца назад

    Sifa nashukran na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni hallelujah

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua 4 месяца назад +3

    Amina amina

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад +1

    KUNA NCHI ZIBAHESHIMU SANA WATU WA MUNGU . SISI WATANZANIA HATUNAGA NIZAMU KABISA . SISI WENYEWE TUNAZANI NDO MAENDELEA .

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 4 месяца назад +2

    Barikiwa sana. Part 5 nasubiri

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 4 месяца назад +4

    Emen Emeni

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 28 дней назад

    Mzee Kulola alikuwa na Huduma ya Aina yake. Lakini pia alikuwa na unyeenyekevu wa ajabu.

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo4919 3 месяца назад +1

    Mungu naomba rehema yako nisikose ufalme wako

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад +5

    Wahoo Nkurunzinza alkuwa mfano wa kuigwa

  • @thebangsong5045
    @thebangsong5045 3 месяца назад

    Mungu ni mwema, mchungaji KOLOLA NI BABA YETU, na sisi

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 месяца назад +2

    Mi roho inaniuma kweli,ivi watu wa Mungu anafikia mpaka mnataka kumuuwa mtumishi wa Mungu!!!!!Mbingu ni ngumu saanaaaa

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 4 месяца назад +1

      Tena mtu wa Mungu ana maadui wengi hata usishangae ila tumaini letu ni YESU ndiye anayetuokoa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 4 месяца назад

      Unashangaa nini ? Huo ni mpango wa mpinga Kristo. Wote waliofuata injili ya kweli wamepitia mateso makubwa na kuuawa.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 4 месяца назад +1

    ❤❤❤ Aminaaaa

  • @Kanutierastonyagawa
    @Kanutierastonyagawa 2 месяца назад

    Asante sana kwaho2ba ya baba moses kulola

  • @gracemachongwe431
    @gracemachongwe431 2 месяца назад

    Kiandikwe kitabu cha kumbukumbu za baba,mzee Moses Kulola kwa ajili ya vizazi vinavyokuja

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv 4 месяца назад +2

    Amem Amen Amen.

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 4 месяца назад +3

    Ushuhuda mzuri sana wanikumbusha kitu nlicho kiona ndotoni Malika alishtuka nakuniambia nmekuja kukuchukua nlibaki kimya sikua najibu

  • @user-dt2pm1or5h
    @user-dt2pm1or5h 4 месяца назад

    Aminaaaa yesu atukunzwe

  • @user-df3jl4mc5c
    @user-df3jl4mc5c 4 месяца назад +1

    Ameee

  • @apostlemary614
    @apostlemary614 2 месяца назад

    Amina

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад +5

    Mbarikiwe mnoo

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 3 месяца назад +1

    Anaongeza chumvi. Alikaa kwenye kiti cha rais haiingii akilini

  • @WilbertLyimo
    @WilbertLyimo Месяц назад

    Hakika Mungu ni mkuu

  • @christeternallifetv5959
    @christeternallifetv5959 4 месяца назад +1

    Bwana nakupenda na ahasante kwaajili ya mtumishi wako😢

  • @annevilembwa4950
    @annevilembwa4950 4 месяца назад +1

    Zaburi nijapopota blonde la mauti sitaogopa maana Yuko na mimi Psalms 23

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 месяца назад +3

    Mimi Mossesni baba yangu wa kroho,niliokoka kwenye mkutano wake

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 4 месяца назад +1

    Mmmmmm

  • @user-fd1yj9gn1t
    @user-fd1yj9gn1t 4 месяца назад +3

    Amen tunapmba namba ya simu ya kutuma mchango

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Месяц назад

    Hakuna Kama Muñgu milele

  • @peterdeus1990
    @peterdeus1990 4 месяца назад +4

    Nataka kujua moses alitokaje aic na kuwa tag naomba kujua mtumishi wa Mungu?

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 4 месяца назад +2

      Ni baadà ya kujazwa roho Mtakatifu na kuwa na Injili ya uamsho ambayo haikuendana na mapokeo ya AIC

    • @peterdeus1990
      @peterdeus1990 4 месяца назад +1

      Asante mtumishi wa Mungu, kwa kunisaidia ila nataka kujua zaidi inasemekana alikuwa mchungaji wa kanisa hilo AIC Makongoro Mwanza, baada ya kujazwa Roho Mtakatifu (1)AIC walimfukuza?, (2)TAG walimfuata? (3)au aliamua kuondoka mwenyewe? na ilikuwa mwaka gani akiwa na umri gani?

    • @PastorsTz
      @PastorsTz 4 месяца назад

      @@peterdeus1990kuna kitabu chake kitafute utapata full detail historia yake.nzito ya moses

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 4 месяца назад

    Kulola alikuwa baba yetu wa imani!!

  • @manfredkibona3126
    @manfredkibona3126 4 месяца назад

    😂😂

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 2 месяца назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮😭😭😭😭😭

  • @user-ju3jy7jy5e
    @user-ju3jy7jy5e 4 месяца назад

    Pumbafu zenu media ukweli comment mnafuta ujinga wenu comment kedekede

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 2 месяца назад

    Ico yentu mpakarehooo ntunariya

  • @kennedywabomba1851
    @kennedywabomba1851 2 месяца назад

    MUNGU ninaomba umlete Moses Kulola mwingine Afrika

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 2 месяца назад

    MUENDELEZO TAFADHALI...NAKUMBUKA MCHUNGAJI MOSES KULOLA ALIKUJA SANA KUHUBIRI MBEYA...NI BABA WA IMANI ALIYEWAACHIA KIJITI WATUMISHI KM MWL.MWAKASEGE

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 6 часов назад

      Mwakasege ni mkkt alijifunza mambo ya pentecost lakini alikuwa na misimamo ya KKKT

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 4 месяца назад

    Moses kulola bado yuko hai ??

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 3 месяца назад +2

    Ameen

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 4 месяца назад +3

    Amen

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 4 месяца назад +3

    Amina

  • @user-mr6uk3lv1b
    @user-mr6uk3lv1b 4 месяца назад +3

    Amen

  • @VeronickaJanes
    @VeronickaJanes 4 месяца назад +5

    Amen

  • @user-tm2qw8nm4t
    @user-tm2qw8nm4t 4 месяца назад

    Amen