Iyo ushuhuda ya Layisi Nkurunziza na askofu Moses Kulola ni ya kweri,alitabiri 2003 yakwamba Layisi wa Burundi atakuwa anatoka milimani ju ya town Ya Bujumbura alisema kama atakuwa mulokore.Askof Moses alikuwa baraka kwa inci ya Burundi.Na shukuru sana kutukumbusha Iyo mze wetu.Mungu akubariki sana,
@@dorahmushi-we6ts Mimi Najionea Ninayo pitiable na ndio kwanzaa safari tupo mapambano acheni Ila Mungu wetyu attaching tuendelee kumuamini na kuvumilia kutoa uoga tuvae silaha za MUNGU tupate kushindana SI KU YA UOVU ,shetan tumshinde nakumkanyaga tusonge mbele
Hakuna mtumishi alietumika Kwa maazingila magumu nakuji shusha kama kulola ulikua ukimuita kwahuduma anataka kulala pale unapolala wewe hakupenda kupelekwa gest nawakat anaona unahali ngumu leohii hakuna mungu atusaidie kuwa na macho ya rohon
Ukiwa wa Mungu utatenda mambo makuu kuliko kawaida ,Mungu hamtupi mtumishi wake, hakika Mungu ni mwema, namkumbuka sana Moses Kulola toka miaka ya 1980
Asante mtumishi wa Mungu, kwa kunisaidia ila nataka kujua zaidi inasemekana alikuwa mchungaji wa kanisa hilo AIC Makongoro Mwanza, baada ya kujazwa Roho Mtakatifu (1)AIC walimfukuza?, (2)TAG walimfuata? (3)au aliamua kuondoka mwenyewe? na ilikuwa mwaka gani akiwa na umri gani?
Iyo ushuhuda ya Layisi Nkurunziza na askofu Moses Kulola ni ya kweri,alitabiri 2003 yakwamba Layisi wa Burundi atakuwa anatoka milimani ju ya town Ya Bujumbura alisema kama atakuwa mulokore.Askof Moses alikuwa baraka kwa inci ya Burundi.Na shukuru sana kutukumbusha Iyo mze wetu.Mungu akubariki sana,
Kulola!! Alikuwa baba yeti wa Imani!!
Amina baba imani uliilinda mwendo ukaumaliza 2:50
MUNGU ni mwema sana, siku zangu zote nilikuwa ninatamani kujua jinsi huyu Mtumishi hodari wa Mungu, alivyo ishi hapa duniani maana ni mfano wa kuigwa
Yoooo!
Unapenda niseme!!
Ameni Asanteni kwa Historia nzuri
Najifunza mengi sana
Nasubir sehemu inayofuata
Amen
😭😭mbona watumishi wa Mungu hupitia mambo mazito sana mno jameni, Baba tusaidie tuzijue siku zetu na tumalize mwendo salama 🙏🏼🙏🏼
Hakika
Unapokua mtmsh wa kweli wa Mungu, umetangaza vita na shetani.
@@dorahmushi-we6ts Mimi Najionea Ninayo pitiable na ndio kwanzaa safari tupo mapambano acheni Ila Mungu wetyu attaching tuendelee kumuamini na kuvumilia kutoa uoga tuvae silaha za MUNGU tupate kushindana SI KU YA UOVU ,shetan tumshinde nakumkanyaga tusonge mbele
Hakuna mtumishi alietumika Kwa maazingila magumu nakuji shusha kama kulola ulikua ukimuita kwahuduma anataka kulala pale unapolala wewe hakupenda kupelekwa gest nawakat anaona unahali ngumu leohii hakuna mungu atusaidie kuwa na macho ya rohon
Uyo ndiye mungu biblia inasema vyote vilivyo ndani ya dunia nawote wanao kaha hamo yote nimali ya bwana ❤❤❤❤
Ushuhuda mzur Sana jmn.... naendelea kusbria mwendelezo
Ushuhuda mzuri sana,tuliokuwa tunauhitaji kusikia
Nilikuwa nasubiri sana huu mwendelezo mbarikiwe sana
Ujumbe mzuri wa kumbukumbu za mzee wetu ila kuna sehemu duuu inataka utumie akili sana kusikiliza na kuelewa
Mungu nimwema siku zote
Ameen
Yesu utukufu ni wako kwa ajili ya mtumishi wako.
Amen Mungu atusaidie ipo siku tutaonana katika ufarume mungu
Ukiwa wa Mungu utatenda mambo makuu kuliko kawaida ,Mungu hamtupi mtumishi wake, hakika Mungu ni mwema, namkumbuka sana Moses Kulola toka miaka ya 1980
Amen
Hallelujah jamani MUNGU afananishwi ! Sifa na utukufu kwa BWANA WA MABWANA
Sifa nashukran na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni hallelujah
Amina amina
KUNA NCHI ZIBAHESHIMU SANA WATU WA MUNGU . SISI WATANZANIA HATUNAGA NIZAMU KABISA . SISI WENYEWE TUNAZANI NDO MAENDELEA .
Barikiwa sana. Part 5 nasubiri
Emen Emeni
Mzee Kulola alikuwa na Huduma ya Aina yake. Lakini pia alikuwa na unyeenyekevu wa ajabu.
Mungu naomba rehema yako nisikose ufalme wako
Wahoo Nkurunzinza alkuwa mfano wa kuigwa
Mungu ni mwema, mchungaji KOLOLA NI BABA YETU, na sisi
Mi roho inaniuma kweli,ivi watu wa Mungu anafikia mpaka mnataka kumuuwa mtumishi wa Mungu!!!!!Mbingu ni ngumu saanaaaa
Tena mtu wa Mungu ana maadui wengi hata usishangae ila tumaini letu ni YESU ndiye anayetuokoa
Unashangaa nini ? Huo ni mpango wa mpinga Kristo. Wote waliofuata injili ya kweli wamepitia mateso makubwa na kuuawa.
❤❤❤ Aminaaaa
Asante sana kwaho2ba ya baba moses kulola
Kiandikwe kitabu cha kumbukumbu za baba,mzee Moses Kulola kwa ajili ya vizazi vinavyokuja
Amem Amen Amen.
Ushuhuda mzuri sana wanikumbusha kitu nlicho kiona ndotoni Malika alishtuka nakuniambia nmekuja kukuchukua nlibaki kimya sikua najibu
Aminaaaa yesu atukunzwe
Ameee
Amina
Mbarikiwe mnoo
Moses Ni mtumishi wa Mungu kweli
Anaongeza chumvi. Alikaa kwenye kiti cha rais haiingii akilini
Hakika Mungu ni mkuu
Bwana nakupenda na ahasante kwaajili ya mtumishi wako😢
Zaburi nijapopota blonde la mauti sitaogopa maana Yuko na mimi Psalms 23
Mimi Mossesni baba yangu wa kroho,niliokoka kwenye mkutano wake
Amina
Barikiwa Sana ,,,mshike Sana YESU
Mmmmmm
Amen tunapmba namba ya simu ya kutuma mchango
Hakuna Kama Muñgu milele
Nataka kujua moses alitokaje aic na kuwa tag naomba kujua mtumishi wa Mungu?
Ni baadà ya kujazwa roho Mtakatifu na kuwa na Injili ya uamsho ambayo haikuendana na mapokeo ya AIC
Asante mtumishi wa Mungu, kwa kunisaidia ila nataka kujua zaidi inasemekana alikuwa mchungaji wa kanisa hilo AIC Makongoro Mwanza, baada ya kujazwa Roho Mtakatifu (1)AIC walimfukuza?, (2)TAG walimfuata? (3)au aliamua kuondoka mwenyewe? na ilikuwa mwaka gani akiwa na umri gani?
@@peterdeus1990kuna kitabu chake kitafute utapata full detail historia yake.nzito ya moses
Kulola alikuwa baba yetu wa imani!!
😂😂
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮😭😭😭😭😭
Pumbafu zenu media ukweli comment mnafuta ujinga wenu comment kedekede
Ico yentu mpakarehooo ntunariya
MUNGU ninaomba umlete Moses Kulola mwingine Afrika
Mbona yupo abiudimishol ndo
MUENDELEZO TAFADHALI...NAKUMBUKA MCHUNGAJI MOSES KULOLA ALIKUJA SANA KUHUBIRI MBEYA...NI BABA WA IMANI ALIYEWAACHIA KIJITI WATUMISHI KM MWL.MWAKASEGE
Mwakasege ni mkkt alijifunza mambo ya pentecost lakini alikuwa na misimamo ya KKKT
Moses kulola bado yuko hai ??
Mtumish alishatangulia mbele za haki
Alishatangulia mbele za haki
Ameen
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen kweli
Amen
Amen