PART 02 YA HISTORIA YA ASKOFU MOSES KULOLA/SABABU YA KUTOKUNYOA NYWELE ZAKE/MAAGIZO ALIYOYAACHA.
HTML-код
- Опубликовано: 24 апр 2024
- Live On Live Kutoka Hapa Chanika,Wilaya Ya Ilala,Jijini D’salaam,Nyumbani Kwa Hayati,Askofu,Dk Moses Kulola,Muhubiri Wa Kimataifa Aliyefahamika sana Hapa ndani na Nje Ya Tanzania,Aliyezaliwa June 1928 huko Mkoani Mwanza,Mwanzilishi Wa Dhehebu La EAGT,Alifariki Tarehe 29 Aug 2013.
Historia Ya Maisha Yake,Idadi Ya Watoto,Maisha Ya Kihuduma ,Kufungwa Gerezani,Nk anayaleza Mtoto Wake Wa Tatu , Eng. Willy Moses Kulola @willykulola
Interview Hii Inapatikana Yote Kupitia RUclips Channel Yako Ya @paziatv usisahau Ku-subscribe Ili kupata Habari Kubwa za Gospel Kutoka Kila Kona Ya Mitaa mbalimbali Duniani.
Napenda sana kusikiliza shuhuda za mzee Kulola maana zinanipa kiu ya kumtumikia Mungu kama mzee Moses Kulola.Mzee Willy na ndugu Pazia Mungu awabariki sana.
Kitu kikubwa kabisa nilichojifunza ndani ya huu ushuhuda ni kwamba maisha ya utumishi ni lazima Kuwa mtu wa maombi, Glory to God 🙏🙏🙏
Mungu atukuzwe mnoo kwa ajili ya mtumish wake baba yetu Moses kulola
Kazi ya baba mtumishi wa Mungu Moses Kulola hakika aliifanya kwa uaminifu mkubwa. Utukufu kwa Mungu 🙏
Aisee mzee kulola kitu nimejifunza kutoka kwenye hii historia alikuwa na integrity kubwa sana katika utumishi wake , watumishi wa sasa wajifunze hili hasa kwenye fedha
Naomba namba ya mtoa ushuhuda jamani
Hicho kitabu kinatafutwa Sana mhe,mabookshopzote.
Nafurahia tunaomba namba ya mtoa Ushuhuda Ili taratibu zifanyike
+255 783 297 949 Eng. Willy Kulola
✍️
Hizi ni habari za ajabu sana. Yaani mtu amemtumikia Mungu Kwa zaidi ya miaka 60 lakini mpaka anakufa anaacha TSH 200000/= tu!? Huyu mtu alikuwa wa Aina yake. Wahubiri wa sasa ni mabilionea.