Mbarikiwe sana kwa kuandaa na kutunza kumbukumbu za Mtumishi Mkuu wa MUNGU, Mzee wetu Moses Kulola. Ninakumbuka Bwana alimtumia kuleta Mageuzi ya Kihistoria tulipomwalika katika Fellowship wetu ya Chuo Kikuu Cha UDSM- Mlimani -USCF Jumatatu ya Pasaka mwaka 1999. JINA LA BWANA LIBARIKIWE!
Nimependa huu ushuhuda mpaka umenitia kiu ya kumutafuta huu YESU KRISTO kwa bidiii ❤nawapenda sana nyote natumai siku moja tuje tukamuone mzee wetu Moses Kulola
Baba yangu wa Imani nakupenda sana unanikumbusha mwaka 1984 muujiza wangu wa kiimani ulivyonitokea kutokana na mahubiri yako Ubungo NH uwanja wa shule
Blessd pastor n true testimony
Amen Amen Utukufu na sifa apewe Mungu wa mbinguni Bwana Yesu Kristo wanazareth
Nabarikiwa sana kila nikitazama Mungu awabariki sana na tunaomba mwendelezo zaidi wa gwiji moses kutoka halleluyah
Nmebarikwa sana... nmejifunza mbingun hawaend wakristo bali watakatifu
Mbarikiwe sana kwa kuandaa na kutunza kumbukumbu za Mtumishi Mkuu wa MUNGU, Mzee wetu Moses Kulola.
Ninakumbuka Bwana alimtumia kuleta Mageuzi ya Kihistoria tulipomwalika katika Fellowship wetu ya Chuo Kikuu Cha UDSM- Mlimani -USCF Jumatatu ya Pasaka mwaka 1999.
JINA LA BWANA LIBARIKIWE!
Eeh YESU Nisaidie nitumikie kwa nguvu zangu zote katika maisha yangu ya hapa duniani
Amen
Amen be blessed more videos plz concerning Moses kulola please
Asante Baba
Hakika Yesu Kristo ni Bwana.
Nimependa huu ushuhuda mpaka umenitia kiu ya kumutafuta huu YESU KRISTO kwa bidiii ❤nawapenda sana nyote natumai siku moja tuje tukamuone mzee wetu Moses Kulola
Ameni nabalikiwa kuona nyumba aliyokua anaishi Mtumishi wa Mungu Baba moses Kulola
Mungu awatumie zaidi baraka zake ziwe nasi
Hallelujah WATU wa Mungu mbarikiwe Sana
Exactly MOSES KULOLA WAS A MAN OF GOD ,
Mmmmmmmh jmn
Kwa kwel kumtumikia Mungu kunafaidaa.... Yani mtu mpaka anatembelewa na Yesu....
Daaaaaaaaah
Amen Hallelujah nampenda Sana Moses Kulola
Bwana yesu asifiwe saaaana
Hapo mwishoni mzee wetu anaongea vitu vizuri, pasinge katishwa habari njema ipo hapo.
Naomba mungu anisaidie
Amina Amina Amina Yesu Ni Ni Mkuu wa vyoooote
Mbarikiwe sana kututunzia shuhuda hizi. Zinahuisha sana
Hakika BWANA ni mkuuu kuliko chochote.Amen
Hallelujah, Glory to Jesus Christ
Kweli mungu alimtumia Moses kulola jinsi atakavyo yeye mungu
Amen
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Mungu akubariki Sana Sana Mtumishi wa shuhuda za kweli pamoja na timu yako mliofanya zihara hii ,tumejua mengi
Amen
Amen Amen Amen
Barikiwa baba yangu wa kiroho Mchungaji Obeid katunzi na team yako yote
Amen ubarikiwe pia
Amina
akika yesu ni Bwana
Pastor katunzi na timu yako Bwana awakumbuke kwa kazi hii kubwa mnayoifanya kupitia ninyi tunapata nguvu ya kusonga mbele mbarikiwe sana🙏🙏🙌
Amen ubarikiwe
Haleluya
Ameeeeeeeeen
Mungu yupo
Nimebarikiwa naushuhuda
Ameee
Kuishi ni Kristo kufa ni faida
Hii ndio injiri sasa hakuna rongorongo. Inahusu ukweli na utakatifu
Hallelujah sifa na utukufu na shukran tunamregesheya MUNGU wambinguni
MUNGU ni MKUU.
Ile number ya kuchangia msisahau kutupa tuhangaike ujenz wa eneo la ukumbusho
Amen
Amen