PART 5 BWANA YESU ALISHUKA KUTOKA MBINGUNI MPAKA NYUMBA IKATOKA NYUFA USHUHUDA WA MOSES KULOLA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 фев 2024

Комментарии • 49

  • @user-tr7wf9sj7h
    @user-tr7wf9sj7h 2 месяца назад +1

    Baba yangu wa Imani nakupenda sana unanikumbusha mwaka 1984 muujiza wangu wa kiimani ulivyonitokea kutokana na mahubiri yako Ubungo NH uwanja wa shule

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x 4 месяца назад +5

    Blessd pastor n true testimony

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo2604 4 месяца назад +1

    Amen Amen Utukufu na sifa apewe Mungu wa mbinguni Bwana Yesu Kristo wanazareth

  • @user-vk1ke5rh5j
    @user-vk1ke5rh5j 4 месяца назад +1

    Nabarikiwa sana kila nikitazama Mungu awabariki sana na tunaomba mwendelezo zaidi wa gwiji moses kutoka halleluyah

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад +1

    Nmebarikwa sana... nmejifunza mbingun hawaend wakristo bali watakatifu

  • @Louez24
    @Louez24 3 месяца назад +1

    Mbarikiwe sana kwa kuandaa na kutunza kumbukumbu za Mtumishi Mkuu wa MUNGU, Mzee wetu Moses Kulola.
    Ninakumbuka Bwana alimtumia kuleta Mageuzi ya Kihistoria tulipomwalika katika Fellowship wetu ya Chuo Kikuu Cha UDSM- Mlimani -USCF Jumatatu ya Pasaka mwaka 1999.
    JINA LA BWANA LIBARIKIWE!

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 4 месяца назад +2

    Eeh YESU Nisaidie nitumikie kwa nguvu zangu zote katika maisha yangu ya hapa duniani

  • @NaomiMwafongo
    @NaomiMwafongo 3 месяца назад +1

    Amen be blessed more videos plz concerning Moses kulola please

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa7364 28 дней назад

    Asante Baba

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 4 месяца назад +1

    Hakika Yesu Kristo ni Bwana.

  • @sanchezrose1560
    @sanchezrose1560 4 месяца назад +6

    Nimependa huu ushuhuda mpaka umenitia kiu ya kumutafuta huu YESU KRISTO kwa bidiii ❤nawapenda sana nyote natumai siku moja tuje tukamuone mzee wetu Moses Kulola

  • @SikujuaEmmanuel-fj4mg
    @SikujuaEmmanuel-fj4mg 4 месяца назад

    Ameni nabalikiwa kuona nyumba aliyokua anaishi Mtumishi wa Mungu Baba moses Kulola

  • @EmanuelyjumaTimbula-hf7zu
    @EmanuelyjumaTimbula-hf7zu Месяц назад

    Mungu awatumie zaidi baraka zake ziwe nasi

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад

    Hallelujah WATU wa Mungu mbarikiwe Sana

  • @luambanotv9357
    @luambanotv9357 29 дней назад

    Exactly MOSES KULOLA WAS A MAN OF GOD ,

  • @MARYABDALLAH-sd9gi
    @MARYABDALLAH-sd9gi 2 месяца назад

    Mmmmmmmh jmn
    Kwa kwel kumtumikia Mungu kunafaidaa.... Yani mtu mpaka anatembelewa na Yesu....
    Daaaaaaaaah

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 4 месяца назад

    Amen Hallelujah nampenda Sana Moses Kulola

  • @PeterWilbert
    @PeterWilbert 4 месяца назад +4

    Bwana yesu asifiwe saaaana

  • @LoFi_120
    @LoFi_120 4 месяца назад

    Hapo mwishoni mzee wetu anaongea vitu vizuri, pasinge katishwa habari njema ipo hapo.

  • @linetmokami4247
    @linetmokami4247 4 месяца назад +1

    Naomba mungu anisaidie

  • @slyviaakoth8008
    @slyviaakoth8008 4 месяца назад

    Amina Amina Amina Yesu Ni Ni Mkuu wa vyoooote

  • @EllyMasam
    @EllyMasam 3 месяца назад

    Mbarikiwe sana kututunzia shuhuda hizi. Zinahuisha sana

  • @PasterJ-pf3ic
    @PasterJ-pf3ic 3 месяца назад

    Hakika BWANA ni mkuuu kuliko chochote.Amen

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 4 месяца назад

    Hallelujah, Glory to Jesus Christ

  • @SIMONSULLE-uq3of
    @SIMONSULLE-uq3of 4 месяца назад

    Kweli mungu alimtumia Moses kulola jinsi atakavyo yeye mungu

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 4 месяца назад +1

    Amen

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 4 месяца назад

    Mungu akubariki Sana Sana Mtumishi wa shuhuda za kweli pamoja na timu yako mliofanya zihara hii ,tumejua mengi

  • @DavidMasao
    @DavidMasao 4 месяца назад +1

    Amen Amen Amen

  • @happykabaka8981
    @happykabaka8981 4 месяца назад

    Barikiwa baba yangu wa kiroho Mchungaji Obeid katunzi na team yako yote

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 4 месяца назад

    Amina

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 4 месяца назад

    akika yesu ni Bwana

  • @christinephilip5043
    @christinephilip5043 4 месяца назад

    Pastor katunzi na timu yako Bwana awakumbuke kwa kazi hii kubwa mnayoifanya kupitia ninyi tunapata nguvu ya kusonga mbele mbarikiwe sana🙏🙏🙌

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 2 месяца назад

    Haleluya

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 4 месяца назад

    Ameeeeeeeeen

  • @jalinybanda7286
    @jalinybanda7286 4 месяца назад

    Mungu yupo

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb 4 месяца назад

    Nimebarikiwa naushuhuda

  • @user-df3jl4mc5c
    @user-df3jl4mc5c 4 месяца назад

    Ameee

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 4 месяца назад

    Kuishi ni Kristo kufa ni faida

  • @rosemarykipesha4242
    @rosemarykipesha4242 4 месяца назад

    Hii ndio injiri sasa hakuna rongorongo. Inahusu ukweli na utakatifu

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 4 месяца назад

    Hallelujah sifa na utukufu na shukran tunamregesheya MUNGU wambinguni

  • @user-po7zh4zz2k
    @user-po7zh4zz2k 4 месяца назад

    MUNGU ni MKUU.

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 месяца назад

    Ile number ya kuchangia msisahau kutupa tuhangaike ujenz wa eneo la ukumbusho

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 4 месяца назад +1

    Amen

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 4 месяца назад

    Amen