Safi sana nitakuja kusoma uinjiristi hapo mi mwanainjili sisi ndio wajukuu wa imani huyo mzee kulika tunamkumbuka sana baada ya kuinuka kina farasi wasiomjua Yusuphu
UTUKUFU KWA KRISTO MFALME BWANA WANGU, MZEE WETU ALIKUWA NA UPENDO, HATA RAIA KIKWETE ALIWAHI KUSEMA NI MHUBIRI WA AINA YAKE, HAKUPENDA KUMSHAMBULIA KIONGOZI, MUNGU ATUPE MOYO WA KUMPENDA MFALME BWANA WANGU YESU KRISTO
Asante sana Mungu kwa kuwainua wana wa mtumishi wako mkuu ili kuendeleza kazi yako. Na wewe mtumishi William jiadhali sana na ujanja wa yule mwovu shetani, kama huwa unapaka nywele rangi (dye)acha kabisa.
Mtu alishalala siku nyingi bado mnafukua yaliyopita.Maisha lazima yasonge mbele na siyo kurudi nyuma.Wapo wengi walioteswa kuliko mzee kulola,wengine walinyonywa kwa kusingiziwa na wengine wanatumikia kifungo cha maisha kwa kubambikiwa kesi.
Hossana juu mbinguni duniani iwe amani. Tunaomba namba ya malipo mtumishi wa Bwana.🙏
AMEN Naomba utume no ya account na mimi nichangie ni baba yetu
Mh!!familia imebarikiwa hii wote wana mtumikia mungu na mkubali Sana Moses wanna heri walio muona barikiwa mtangazaji
AMENI SANA SOMO NZURI NIMEJIFUNZA HAPA.
Safi sana nitakuja kusoma uinjiristi hapo mi mwanainjili sisi ndio wajukuu wa imani huyo mzee kulika tunamkumbuka sana baada ya kuinuka kina farasi wasiomjua Yusuphu
UTUKUFU KWA KRISTO MFALME BWANA WANGU, MZEE WETU ALIKUWA NA UPENDO, HATA RAIA KIKWETE ALIWAHI KUSEMA NI MHUBIRI WA AINA YAKE, HAKUPENDA KUMSHAMBULIA KIONGOZI, MUNGU ATUPE MOYO WA KUMPENDA MFALME BWANA WANGU YESU KRISTO
Asante sana Mungu kwa kuwainua wana wa mtumishi wako mkuu ili kuendeleza kazi yako. Na wewe mtumishi William jiadhali sana na ujanja wa yule mwovu shetani, kama huwa unapaka nywele rangi (dye)acha kabisa.
Mungu aendelee kumtunza mtumishi wake
Moses kulola alijizaa hapo Kwa Willy maana amefanana naye mno kupita wote
Jumbe zenye nguvu hizi,❤❤
Anaimba na watakatifu mbinguni mungu tujalie na sisi tuyaishi maneno yako
Yulealikuwa nmtuu olijinoooo mnoooo nampakaleo namkumbuka
Mtu alishalala siku nyingi bado mnafukua yaliyopita.Maisha lazima yasonge mbele na siyo kurudi nyuma.Wapo wengi walioteswa kuliko mzee kulola,wengine walinyonywa kwa kusingiziwa na wengine wanatumikia kifungo cha maisha kwa kubambikiwa kesi.
Una shida wewe hata watu wanakuvumilia tu
@@zakiamseka9698 Chonga sanamu yake sasa muiabudu
jina la yesu libalikiwe
Nabii was tz
Uwii wamefanana sanaaaaaaaaa!! Mungu aendelee kuwatendea
Alikuwa akisema HALLE. LUYAAAAH Ile sauti ilikuwa ya kimungu sana
Kabisa kabisa
Mungu awatangulie
Amen Amen good testimony
Mungu awatie nguvu
Amen
Hallelujah hallelujah hallelujah jina la bwana yesu litukuzwe 🙋🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ushuda huu unanipa nguvu mpia ya imani