Mzee William Kulola Mtoto Wa Askofu Moses Kulola Asimulia Maneno ya Mwisho aliyoambiwa na Baba Yake.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Mzee William Kulola ni mtoto Wa Tatu Wa Hayati Askofu Dk Mose Kulola Mwanzilishi Wa Makanisa Ya EAGT Tanzania.

Комментарии • 26

  • @kailukingambeki3400
    @kailukingambeki3400 5 месяцев назад

    Hossana juu mbinguni duniani iwe amani. Tunaomba namba ya malipo mtumishi wa Bwana.🙏

  • @moseswilliam8540
    @moseswilliam8540 Год назад

    AMEN Naomba utume no ya account na mimi nichangie ni baba yetu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 2 года назад +1

    Mh!!familia imebarikiwa hii wote wana mtumikia mungu na mkubali Sana Moses wanna heri walio muona barikiwa mtangazaji

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu Год назад

    AMENI SANA SOMO NZURI NIMEJIFUNZA HAPA.

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 Год назад

    Safi sana nitakuja kusoma uinjiristi hapo mi mwanainjili sisi ndio wajukuu wa imani huyo mzee kulika tunamkumbuka sana baada ya kuinuka kina farasi wasiomjua Yusuphu

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Год назад

    UTUKUFU KWA KRISTO MFALME BWANA WANGU, MZEE WETU ALIKUWA NA UPENDO, HATA RAIA KIKWETE ALIWAHI KUSEMA NI MHUBIRI WA AINA YAKE, HAKUPENDA KUMSHAMBULIA KIONGOZI, MUNGU ATUPE MOYO WA KUMPENDA MFALME BWANA WANGU YESU KRISTO

  • @kakajoss2464
    @kakajoss2464 Год назад

    Asante sana Mungu kwa kuwainua wana wa mtumishi wako mkuu ili kuendeleza kazi yako. Na wewe mtumishi William jiadhali sana na ujanja wa yule mwovu shetani, kama huwa unapaka nywele rangi (dye)acha kabisa.

  • @kanumanjisi1623
    @kanumanjisi1623 Год назад

    Mungu aendelee kumtunza mtumishi wake

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Год назад

    Moses kulola alijizaa hapo Kwa Willy maana amefanana naye mno kupita wote

  • @kibajadaniel9887
    @kibajadaniel9887 Год назад

    Jumbe zenye nguvu hizi,❤❤

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 2 года назад

    Anaimba na watakatifu mbinguni mungu tujalie na sisi tuyaishi maneno yako

  • @kenedynedy2615
    @kenedynedy2615 Год назад

    Yulealikuwa nmtuu olijinoooo mnoooo nampakaleo namkumbuka

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 Год назад

    Mtu alishalala siku nyingi bado mnafukua yaliyopita.Maisha lazima yasonge mbele na siyo kurudi nyuma.Wapo wengi walioteswa kuliko mzee kulola,wengine walinyonywa kwa kusingiziwa na wengine wanatumikia kifungo cha maisha kwa kubambikiwa kesi.

  • @gwakisasimon14
    @gwakisasimon14 8 месяцев назад

    jina la yesu libalikiwe

  • @lusekelokupaza
    @lusekelokupaza Год назад

    Nabii was tz

  • @zawadilutufyo8771
    @zawadilutufyo8771 Год назад

    Uwii wamefanana sanaaaaaaaaa!! Mungu aendelee kuwatendea

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад

    Alikuwa akisema HALLE. LUYAAAAH Ile sauti ilikuwa ya kimungu sana

  • @sophiajacksonjacksonmeshac1468

    Mungu awatangulie

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 Год назад

    Amen Amen good testimony

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 Год назад

    Mungu awatie nguvu

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 Год назад

    Amen

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Год назад

    Hallelujah hallelujah hallelujah jina la bwana yesu litukuzwe 🙋🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ushuda huu unanipa nguvu mpia ya imani