PART6:ASKOFU DANIEL MTOTO WA MOSES KULOLA/WALIMTEMBEZA MZEE KULOLA UCHI GEREZANI/JINI LILINIFATA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 41

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Год назад +10

    this type of man of God are rare nowadays ma fake wamejaa eti prophet eti apostle wabongo you are blessed kwakweli much love from me🇰🇪

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 Год назад +7

    Mtumishi wa Mungu songambele na kazi ya Mungu.Usimwache Mungu unayemtumikia.Thawabu yako utapata wakati wa Arusi ya Mwanakondoo.

  • @mutukumainga9103
    @mutukumainga9103 Год назад +4

    Waoo ..,Askofu nashukuru kwa ushuhuda .. mzee namjua alipokuja kenya 1990 RGC huruma..nilikuwepo.. nakumbuka sana uimbaji wa choir yenu.. Abel ndugu yako, your sister..I loved you guys..injili ya mzee naikumbuka sana.. choir ya revival tulikuja mwanza..mlitukaribisha vizuri sana.. mzee akatukaribisha tena Dar..kule mnazi moja kwa crusade.. ..Askofu Moses endelea na kazi... soon nakukaribisha kenya... . God bless you and your family na kanisa lote

  • @Priska247
    @Priska247 Год назад +3

    Maombi hayo haliwasha moto sana hadi baba wakamutosha kwa haraka, Mungu awabariki

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Год назад +2

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ninakumbuka mengi sana kipindi kilichopita wakati unapiga solo guitar kwaya ya Bugando

  • @alifridahocharo
    @alifridahocharo Год назад +4

    Thanks tumebarikiwa kwa ushuhuda wako watching from nairobi

  • @ainsesseverest1136
    @ainsesseverest1136 Год назад +4

    Watumish wa Mungu wengi kwani waongo wanafanya biashara makanisani
    Hila huyu Mungu azidi kukutunza wewe pamoja na familia yako uduma yako izidi kukuwa na Mungu akufungulie milango ya baraka na uduma

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 Год назад +1

      Huyu bado Yuko katika misingi Ile yenyewe kabisa. Hajajichanganya hata kidogo

  • @japhetmgema9640
    @japhetmgema9640 7 месяцев назад +1

    Nimetumika na Moses Kulola pamoja na Daniel Moses Kulola kwenye the SOWERS Band kama bassist... Ilikuwa baraka sana kutumika na watumishi wa Mungu hawa. Huduma iendelee mbele anko Danny.

  • @bishopmkaliti5468
    @bishopmkaliti5468 3 месяца назад

    Thank you so much man of God for that powerful testimony. Let us preach the true Gospel without changing.

  • @stunningtv8426
    @stunningtv8426 Год назад +2

    Dah! Wanakataa kukupa madhabahu!! Pole sanaaaaa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Год назад +7

    Migogoro ya namna hiyo ni mipango ya kuzimu

  • @blandinajoseph1291
    @blandinajoseph1291 4 месяца назад +1

    Mtumishi wa MUNGU ni kawaida kabisa wengine walipita kwa ajili ya kutengeneza njia ili wengine wapite kwa urahisi lakini lengo ni kuendeleza kile ambacho YESU alikianzisha.
    Kama ilivyokuwa kwa akina Paulo kwa kanisa la kwanza

  • @francissgodlove
    @francissgodlove Год назад +2

    Moses - Musa, thats why hata mlipo muombea milango ya Gereza ikafunguka "Inanikumbusha story za kina petro na Paulo" watumishi kitabu cha Matendo waliomba wakakuta petro anagonga mlango kufungua wakastajabu "the same kulora aliwashangaza baada ya kuruhusiwa na mwinyi"

  • @songolomgallah4017
    @songolomgallah4017 Год назад +3

    Simulizi hii imenigusa sana askofu Moses kulola ndie alie niombea Sara ya Toba alikuwa mchungaji na muhubiri ambaye hadi mm kila wakati nasikiliza mahubiri yake ni kama yupo hai

  • @danielstephen4374
    @danielstephen4374 4 месяца назад +1

    Nimetiwa moyo na ushuhuda huu. By Pastor Daniel kutoka SEIC -Musoma Mara

  • @japhetmgema9640
    @japhetmgema9640 7 месяцев назад +1

    Mungu aendelee kukutunza Anko Daniel

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 Год назад +7

    Askofu Razaro wa TAG na team yake ndio walifanya huo unyama, walitaka wampoteze kabisa mzee kulola.

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 Год назад

      Nakumbuka vizuri japo nilikuwa mdogo

    • @frankmbatta440
      @frankmbatta440 4 месяца назад

      Muogope Mungu.Sio vyema kunena Usiyokua na uhakika nayo.Ila Mungu Akusamehe.

  • @perufamily6941
    @perufamily6941 Год назад +4

    Songa mbele mtumishi wa Mungu

  • @user-lo7hi9eb3c
    @user-lo7hi9eb3c 4 месяца назад +1

    ubarikiwe sana mtumishi songa mbele

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +5

    Wacha nicheke kuna clip nilisikia akisema nipee taji yangu Yesu nilikufanyia kazi na uaminifu tokea ujana wangu mpaka uzeeni

  • @alexezekiel5280
    @alexezekiel5280 Год назад +5

    Shalom naomba sana Kupata namba ya Huyu Mtu wa Mungu

  • @hildpaul7823
    @hildpaul7823 Год назад +3

    Asante tunabarikiwa kwa ushuhuda

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 24 дня назад

    Waliojihusisha katika Mateso ya Mzee Kulola, wanahukumu yao baadae..

  • @paustephano
    @paustephano Год назад +4

    Naendelea kujifunza

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i 4 месяца назад +1

    Habari nzito ndugu waislaam

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Год назад +2

    Nimeelewa jinsi familia mnaanza kazi mnauza asset za familia kununua kiwanja na vifaa then wanakuja viongozi kusema ni mali ya taasisi..

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fz 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 Год назад +3

    Ama kweli wewe Dani ni Mwinjilisti

  • @marynziku9332
    @marynziku9332 2 месяца назад

    Naumia moyoni, Moses kulola ilimgharimu mpaka uhai wake kusajili kanisa lakini leo ukienda hayo makanisa yanayoanIshwa ibada ni za ikabodi, daaah Mungu tuhurumie

  • @nezerinejuma5510
    @nezerinejuma5510 Год назад +2

    Nahomba number yake yasim tafathali nataka kuhongeya naye please

  • @neemamatiko3745
    @neemamatiko3745 7 месяцев назад +2

    Kumbe hata moses kulola alipambania kusajili e.a.g.t kikosi kazi mko wapi mpate hii mpate hii .jifunze kitu

    • @UAMSHOTV
      @UAMSHOTV 4 месяца назад

      Mzee wetu Mbarikiwa Mwakipesile alifuatilia usajili ila akapewa masharti magumu ikiwemo kutapeli watu na kutoa RUSHWA alipokataa akanyimwa usajili, waulizeni waliosajili wakikupa yote waliyopitia utatokwa MACHOZI NDG, kwenye madhehebu kuna Waka moto

  • @neemamatiko3745
    @neemamatiko3745 7 месяцев назад +1

    Kumbe umehama e.a.g.t

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 Год назад +2

    Zambishiiii

  • @nezerinejuma5510
    @nezerinejuma5510 Год назад +1

    Samaani iyi number ahitumiki WhatsApp