CASSIAN AFUNUA UKWELI JUU YA KANISA LA EAGT ASIKOFU MKUU MWAKIPESILE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #call0688199370 #call0688199370 #

Комментарии • 49

  • @gideonelishadai100
    @gideonelishadai100 14 часов назад

    Wewe Paschal unakubaliana na sherehe hizo?

  • @gideonelishadai100
    @gideonelishadai100 14 часов назад

    Mbona wanasherehekea sikukuu (sherehe) za kuzimu kama krismas nk?

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk 28 дней назад

    Ubarikiwe Mwinjilisti, hivi Dhehebu Dhehebu nini.? Na Kanisa nini.? Ukisema Kanisa la Eagt unamaanisha nini.?

  • @ZabroniMwakaniemba
    @ZabroniMwakaniemba Год назад +1

    ❤❤❤ Hakika niukweli Sana na niwabalaka mno MDA HUU tupo naye Dar es Salam kinyerezi Park Hakika Hakika nimtumishi ambaye MUNGU anamtumia Sanaa sanaa

  • @JamesPesambili-yt2cm
    @JamesPesambili-yt2cm 3 месяца назад

    Kwanini mmekuwa wa with wa hovyo, jaman tumien mtandao kuhubili neno, siyokuhubili na kusema watu, kama ukimuona mtu hayuko sawa je, nivema kumtangaza dunia yote tujue makosa yake? Ukweli hiyo siyo injir ni kutafta Kiki za duniani.

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Год назад +2

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @GraceLubasha
    @GraceLubasha 2 месяца назад

    Amina mtumishi na mwinjilist wa bwana SEMA tusonge mbele

  • @YoeliChiwanga-dy3tb
    @YoeliChiwanga-dy3tb Год назад

    Barkiwaa mtumish. Hakika, injili ya KRISTO na isonge mbele ..

  • @stunningtv8426
    @stunningtv8426 4 месяца назад

    Mr hapo ni busara tu za viongozi ziliyumba!

  • @BethiGody
    @BethiGody 4 месяца назад

    Amen mtumishi Sema Kuna watu wanamitamaa na uongozi wanakazana sanaa kumchafua uyu askofu

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire Год назад +1

    Amen Amen 🙏 Mungu wa Amani na upendo awe pamoja nawe mtumishi.

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe512 3 месяца назад

    Amen! May might GOD Bless u

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp 6 месяцев назад

    Kwanini ameacha katiba ya moses aliyo iacha kuweni makini sana maandiko yanasemaje nawo watahubili neno lilelile na wataamlu moto kutoka juu na utashuka, kwahiyo usiamini sana hao ndiyo walio mfitini enzi za uhai wake kuweni makini watu kama hao hawafanyi pupa wanaenda taratibu mfano nikama papa waromani hawakujua kama ataweza kuwageuka kwahiyo umakini nimhimu

    • @restitutashabo4823
      @restitutashabo4823 6 месяцев назад +2

      Rafiki fanya utilities ujue katiba tunayotumia ni ipi? Pia elewa katiba lazima ibadilishwe kulingana na mahitaji husika ya wakati husika.

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana kasiani ,ubarikiwe mnooooo

  • @ErnestSaimon
    @ErnestSaimon 7 месяцев назад

    Hawez potea kama anatoa habali ambazo ni halisi hata moyo unaamini ni halis

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Год назад +1

    Amina. Sijaona mwenye amekosoa mavazi. Inamaana wamezoea ukivaa vile ulivyo, au kuna mwenye atakuuliza, wapi koti na tai? Haya madhabao tuyape heshima. Tusikilize anachohubiri Cassian ili kujichenga nayo, maana injili anayohubiri ni sahihi kabisa. Sijakua rahisi kufuatilia mahubiri online ila yeye, Cassian akihubiri anahubiri injili ya uhai.

  • @godfreymasawe5753
    @godfreymasawe5753 Год назад +1

    Ameen

  • @AsikofuZakaria-up3xr
    @AsikofuZakaria-up3xr 2 месяца назад

    Amina mtumshi wa Mungu

  • @nyamagoryomary6958
    @nyamagoryomary6958 Год назад +1

    Utukufu kwa Yesu aliye juu amen

  • @mugishapeter1153
    @mugishapeter1153 Год назад

    Ni.ukweri.tusimame.ndani.yaneno

  • @rhoidambajuka5747
    @rhoidambajuka5747 8 месяцев назад

    Ukweli mtupu barikiwa sana

  • @zachariakiondo3871
    @zachariakiondo3871 5 месяцев назад

    GOD bless you

  • @YeremiaKitundu-sc4qj
    @YeremiaKitundu-sc4qj 8 месяцев назад

    Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe

  • @DenicePalapala
    @DenicePalapala 2 месяца назад

    Duuuuh JAMAN

  • @esterandrea6726
    @esterandrea6726 2 месяца назад

    Barikiwa mno

  • @manoahmahuna6426
    @manoahmahuna6426 7 месяцев назад

    Aisee umeongea point

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol 3 месяца назад

    Ameeeeeen.

  • @yohaneeliya1338
    @yohaneeliya1338 Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @chezariboy
    @chezariboy 5 месяцев назад +1

    MBona siku ZA MOSES KULOLA HATUKUONA EAGT LIKIGAWANYIKA NA HATUKUSIKIA EAGT KUWA NA MIGOGOLO MPAKA WENGINE KUJITENGA NAWAKIOESILE WAKAJIUGA NA MWAISABILA,, MPAKA SALIKALI IKAINGILIA KATI KUWEKA SULUHU, ASKOFU HUYO AKATUHUMIWA KUFANYA CHAGUZI BILA UPANDE MWINGINE KUSHIRIKI,, NK HUJUI MENGI WEWE NYAMAZA.

    • @manoahmahuna6426
      @manoahmahuna6426 3 месяца назад

      Aliyekuambia wakati wa kulola hakukua na migogoro ni nani pale shinyanga Kuna watu walijitenga wakati wa kulola lkn pia kina kakobe walihama wkt wa kulola na hata kina mpure na kina maboya walitoka wkt wa kulola

    • @felsonsanga8502
      @felsonsanga8502 3 месяца назад +1

      Mwakipesile yupo vizuri sana katika misimamo ya kuhusu dhambi anapinga sana, wote wako vixuri moses na brown mwakipesile🎉

  • @VenanceMwaisanga
    @VenanceMwaisanga 10 месяцев назад

    Angalia sana frenk

  • @furahag3098
    @furahag3098 Год назад

    Amen mtumishi 🙌

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 Год назад

    AMINA AMINA AMINA

  • @MarthaZabron-gg3uj
    @MarthaZabron-gg3uj 7 месяцев назад

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 Год назад

    Umeanza kupiga kampeini za madhehebu pengine umepewa ela nyingi sana na huyo Askofu E.A.G.T ndo umeanza kupotea taratibu

    • @happinesskitali164
      @happinesskitali164 Год назад

      Kuhusu suala linalohusu mtumishi wa Mungu au kanisa takatifu la Mungu usithubutu kutoa kasfa utalaaniwa wewe kama huna uhakika na haujui ni heri kukaa kimya kuliko kucheza na jicho la Mungu maana imeandikwa wachungaji ni jicho la Mungu kwahyo jifunze kukaa kimya

    • @kitambatv8363
      @kitambatv8363 Год назад

      Umeambiwa kwa Yesu Kuna kampeni acha masiala afu mambo ya mungu hatukosoi ila muhukumu ni mungu ko Kama hujaelewa unamwacha na mungu wake Alie mtuma kusema ivyo afu namweshimu Sana uyu Kaka nikiangalia tu history yake ya nyuma Mimi ni Nani mpaka nikosoe ko mambo ya mungu tunanwachia mungu wapendwa

    • @GrolyDundus
      @GrolyDundus Год назад

      Jaman kuziona mbingu kazi sana ukwer wake ndyo wageuza na kuita kapen muogope mungu,,,pima kaur zako usicoment kwa kufurahisha watu alafu madhara yakupate wewe,,,.chunga kauli na utubu umekosea.

    • @ZabroniMwakaniemba
      @ZabroniMwakaniemba Год назад

      Ndugu usiamini mabaya tu amini Mema ndio kanuni kuu ya wokovu

    • @WorshippersofGodarmy-ot1mk
      @WorshippersofGodarmy-ot1mk 7 месяцев назад

      Wewe nilikwambia ni mchanga eleza ulichotumwa, mafuta vitambaa ni biblia na walitumia manabii na mitume, usiwe na injili ya mafungu mafungu soma vizuri biblia, acha uchanga uchanga, hao walioweka misingi ndio hao walitumia, mafuta vitambaa, fimbo, chumvi kudhihilisha ukuu wa MUNGU, ongea maoni yako sijui kama ni maoni au umetumwa kutukana wengine pasipo kujitambua, maana unasema tumejengwa ktk misingi ya manabii na mitume, sasa, yesu mwenyewe hakuponya na mikono tu, Bali na alitumia mate kutengeneza tope la kuponya mtu mitume walitumia vitambaa na mafuta manabii walitumia, fimbo chumvi, mafuta, hakuna mahali imeandikwa tusitumie kwa kudhihilisha ukuu wa MUNGU kwamba MUNGU anaweza kutumia chochote, manabii wa uwongo walikwepo Toka zamani hata waliomuuwa yesu ni wachungaji na maaskofu walikuwa wa uwongo, umeishiwa mahubiri au, hubili wezi Malaya walevi waokoke