Kwanini mmekuwa wa with wa hovyo, jaman tumien mtandao kuhubili neno, siyokuhubili na kusema watu, kama ukimuona mtu hayuko sawa je, nivema kumtangaza dunia yote tujue makosa yake? Ukweli hiyo siyo injir ni kutafta Kiki za duniani.
Kwanini ameacha katiba ya moses aliyo iacha kuweni makini sana maandiko yanasemaje nawo watahubili neno lilelile na wataamlu moto kutoka juu na utashuka, kwahiyo usiamini sana hao ndiyo walio mfitini enzi za uhai wake kuweni makini watu kama hao hawafanyi pupa wanaenda taratibu mfano nikama papa waromani hawakujua kama ataweza kuwageuka kwahiyo umakini nimhimu
Amina. Sijaona mwenye amekosoa mavazi. Inamaana wamezoea ukivaa vile ulivyo, au kuna mwenye atakuuliza, wapi koti na tai? Haya madhabao tuyape heshima. Tusikilize anachohubiri Cassian ili kujichenga nayo, maana injili anayohubiri ni sahihi kabisa. Sijakua rahisi kufuatilia mahubiri online ila yeye, Cassian akihubiri anahubiri injili ya uhai.
MBona siku ZA MOSES KULOLA HATUKUONA EAGT LIKIGAWANYIKA NA HATUKUSIKIA EAGT KUWA NA MIGOGOLO MPAKA WENGINE KUJITENGA NAWAKIOESILE WAKAJIUGA NA MWAISABILA,, MPAKA SALIKALI IKAINGILIA KATI KUWEKA SULUHU, ASKOFU HUYO AKATUHUMIWA KUFANYA CHAGUZI BILA UPANDE MWINGINE KUSHIRIKI,, NK HUJUI MENGI WEWE NYAMAZA.
Aliyekuambia wakati wa kulola hakukua na migogoro ni nani pale shinyanga Kuna watu walijitenga wakati wa kulola lkn pia kina kakobe walihama wkt wa kulola na hata kina mpure na kina maboya walitoka wkt wa kulola
Kuhusu suala linalohusu mtumishi wa Mungu au kanisa takatifu la Mungu usithubutu kutoa kasfa utalaaniwa wewe kama huna uhakika na haujui ni heri kukaa kimya kuliko kucheza na jicho la Mungu maana imeandikwa wachungaji ni jicho la Mungu kwahyo jifunze kukaa kimya
Umeambiwa kwa Yesu Kuna kampeni acha masiala afu mambo ya mungu hatukosoi ila muhukumu ni mungu ko Kama hujaelewa unamwacha na mungu wake Alie mtuma kusema ivyo afu namweshimu Sana uyu Kaka nikiangalia tu history yake ya nyuma Mimi ni Nani mpaka nikosoe ko mambo ya mungu tunanwachia mungu wapendwa
Jaman kuziona mbingu kazi sana ukwer wake ndyo wageuza na kuita kapen muogope mungu,,,pima kaur zako usicoment kwa kufurahisha watu alafu madhara yakupate wewe,,,.chunga kauli na utubu umekosea.
Wewe nilikwambia ni mchanga eleza ulichotumwa, mafuta vitambaa ni biblia na walitumia manabii na mitume, usiwe na injili ya mafungu mafungu soma vizuri biblia, acha uchanga uchanga, hao walioweka misingi ndio hao walitumia, mafuta vitambaa, fimbo, chumvi kudhihilisha ukuu wa MUNGU, ongea maoni yako sijui kama ni maoni au umetumwa kutukana wengine pasipo kujitambua, maana unasema tumejengwa ktk misingi ya manabii na mitume, sasa, yesu mwenyewe hakuponya na mikono tu, Bali na alitumia mate kutengeneza tope la kuponya mtu mitume walitumia vitambaa na mafuta manabii walitumia, fimbo chumvi, mafuta, hakuna mahali imeandikwa tusitumie kwa kudhihilisha ukuu wa MUNGU kwamba MUNGU anaweza kutumia chochote, manabii wa uwongo walikwepo Toka zamani hata waliomuuwa yesu ni wachungaji na maaskofu walikuwa wa uwongo, umeishiwa mahubiri au, hubili wezi Malaya walevi waokoke
Wewe Paschal unakubaliana na sherehe hizo?
Mbona wanasherehekea sikukuu (sherehe) za kuzimu kama krismas nk?
Ubarikiwe Mwinjilisti, hivi Dhehebu Dhehebu nini.? Na Kanisa nini.? Ukisema Kanisa la Eagt unamaanisha nini.?
❤❤❤ Hakika niukweli Sana na niwabalaka mno MDA HUU tupo naye Dar es Salam kinyerezi Park Hakika Hakika nimtumishi ambaye MUNGU anamtumia Sanaa sanaa
Kwanini mmekuwa wa with wa hovyo, jaman tumien mtandao kuhubili neno, siyokuhubili na kusema watu, kama ukimuona mtu hayuko sawa je, nivema kumtangaza dunia yote tujue makosa yake? Ukweli hiyo siyo injir ni kutafta Kiki za duniani.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
uhakika
Amina mtumishi na mwinjilist wa bwana SEMA tusonge mbele
Barkiwaa mtumish. Hakika, injili ya KRISTO na isonge mbele ..
Mr hapo ni busara tu za viongozi ziliyumba!
Amen mtumishi Sema Kuna watu wanamitamaa na uongozi wanakazana sanaa kumchafua uyu askofu
Amen Amen 🙏 Mungu wa Amani na upendo awe pamoja nawe mtumishi.
Ahmeni
Amen! May might GOD Bless u
Kwanini ameacha katiba ya moses aliyo iacha kuweni makini sana maandiko yanasemaje nawo watahubili neno lilelile na wataamlu moto kutoka juu na utashuka, kwahiyo usiamini sana hao ndiyo walio mfitini enzi za uhai wake kuweni makini watu kama hao hawafanyi pupa wanaenda taratibu mfano nikama papa waromani hawakujua kama ataweza kuwageuka kwahiyo umakini nimhimu
Rafiki fanya utilities ujue katiba tunayotumia ni ipi? Pia elewa katiba lazima ibadilishwe kulingana na mahitaji husika ya wakati husika.
Ubarikiwe sana kasiani ,ubarikiwe mnooooo
Hawez potea kama anatoa habali ambazo ni halisi hata moyo unaamini ni halis
Amina. Sijaona mwenye amekosoa mavazi. Inamaana wamezoea ukivaa vile ulivyo, au kuna mwenye atakuuliza, wapi koti na tai? Haya madhabao tuyape heshima. Tusikilize anachohubiri Cassian ili kujichenga nayo, maana injili anayohubiri ni sahihi kabisa. Sijakua rahisi kufuatilia mahubiri online ila yeye, Cassian akihubiri anahubiri injili ya uhai.
Ameen
Amina mtumshi wa Mungu
Utukufu kwa Yesu aliye juu amen
amen
Ni.ukweri.tusimame.ndani.yaneno
Ukweli mtupu barikiwa sana
GOD bless you
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe
Duuuuh JAMAN
Barikiwa mno
Aisee umeongea point
Ameeeeeen.
❤❤❤❤
MBona siku ZA MOSES KULOLA HATUKUONA EAGT LIKIGAWANYIKA NA HATUKUSIKIA EAGT KUWA NA MIGOGOLO MPAKA WENGINE KUJITENGA NAWAKIOESILE WAKAJIUGA NA MWAISABILA,, MPAKA SALIKALI IKAINGILIA KATI KUWEKA SULUHU, ASKOFU HUYO AKATUHUMIWA KUFANYA CHAGUZI BILA UPANDE MWINGINE KUSHIRIKI,, NK HUJUI MENGI WEWE NYAMAZA.
Aliyekuambia wakati wa kulola hakukua na migogoro ni nani pale shinyanga Kuna watu walijitenga wakati wa kulola lkn pia kina kakobe walihama wkt wa kulola na hata kina mpure na kina maboya walitoka wkt wa kulola
Mwakipesile yupo vizuri sana katika misimamo ya kuhusu dhambi anapinga sana, wote wako vixuri moses na brown mwakipesile🎉
Angalia sana frenk
Amen mtumishi 🙌
AMINA AMINA AMINA
❤
Umeanza kupiga kampeini za madhehebu pengine umepewa ela nyingi sana na huyo Askofu E.A.G.T ndo umeanza kupotea taratibu
Kuhusu suala linalohusu mtumishi wa Mungu au kanisa takatifu la Mungu usithubutu kutoa kasfa utalaaniwa wewe kama huna uhakika na haujui ni heri kukaa kimya kuliko kucheza na jicho la Mungu maana imeandikwa wachungaji ni jicho la Mungu kwahyo jifunze kukaa kimya
Umeambiwa kwa Yesu Kuna kampeni acha masiala afu mambo ya mungu hatukosoi ila muhukumu ni mungu ko Kama hujaelewa unamwacha na mungu wake Alie mtuma kusema ivyo afu namweshimu Sana uyu Kaka nikiangalia tu history yake ya nyuma Mimi ni Nani mpaka nikosoe ko mambo ya mungu tunanwachia mungu wapendwa
Jaman kuziona mbingu kazi sana ukwer wake ndyo wageuza na kuita kapen muogope mungu,,,pima kaur zako usicoment kwa kufurahisha watu alafu madhara yakupate wewe,,,.chunga kauli na utubu umekosea.
Ndugu usiamini mabaya tu amini Mema ndio kanuni kuu ya wokovu
Wewe nilikwambia ni mchanga eleza ulichotumwa, mafuta vitambaa ni biblia na walitumia manabii na mitume, usiwe na injili ya mafungu mafungu soma vizuri biblia, acha uchanga uchanga, hao walioweka misingi ndio hao walitumia, mafuta vitambaa, fimbo, chumvi kudhihilisha ukuu wa MUNGU, ongea maoni yako sijui kama ni maoni au umetumwa kutukana wengine pasipo kujitambua, maana unasema tumejengwa ktk misingi ya manabii na mitume, sasa, yesu mwenyewe hakuponya na mikono tu, Bali na alitumia mate kutengeneza tope la kuponya mtu mitume walitumia vitambaa na mafuta manabii walitumia, fimbo chumvi, mafuta, hakuna mahali imeandikwa tusitumie kwa kudhihilisha ukuu wa MUNGU kwamba MUNGU anaweza kutumia chochote, manabii wa uwongo walikwepo Toka zamani hata waliomuuwa yesu ni wachungaji na maaskofu walikuwa wa uwongo, umeishiwa mahubiri au, hubili wezi Malaya walevi waokoke