Mashujaa wa Bwana...Wengi wamelala... Sisi bado tu hai ... Vita bado mbichi... Bwana Yuko upande wetu..ninani wa kutushinda....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
AMINA MUNGU akubariki mama na akupe nguvu ya kuendelea kusogea mbele zaidi na YESU jina lipitalo majina yote akufunike Kwa damu yake iliyo mwagika msalaban
Hongera Samsung yangu MUNGU Baba akuzidishie maisha marefu nilikuona mwaka , 1980 nyamagana mwanza nikiwa nimemleta mtoto mwenzangu akiitwa Maganga mlemavu na aliponywa miguu ikanyooka hakika ilinipa nguvu kiimani hadi Leo mamangu
Hawa ndio waasisi wa iman tz kipindi hicho hakuna mic Wala magari walikuwa wanatembea kwa miguu km kibao lakin hawakuchoka mpaka leo bado kamshikilia yesu daah inatutia moyo sana na ss vjana bibi mungu akutie nguvu
MUNGU awatunze sana watumishi wa Mungu Tunajifunza mengi kutoka kwenu na tunatamani MUNGU atufikishe viwango vya juu zaidi na Zaidi Ujumbe kutoka Kwa Mungu Ninaomba ufike kwa mama yetu Moses na Kwa kanisa la TANZANIA Mungu anasema turejeshe sura ya Mungu ondoeni uchafu miilini mwenu rejesha asili ya MUNGU Anaesuka aachane na KUSUKA,anaejipamba na kuvaa mahereni aache kabisa Lakini pia bibi yetU MOSES KOLOLA MUNGU ameniambia ukitoa NYWELE HIZO za katani KICHWANI .Hautasumbuliwa na kichwa .Hautasumbuliwa na miguu Tena .Hautasumbuliwa na pressure Tena .NNE MUNGU atajibu Yale yote aliyomuaidia BABA Kwa kanisa (rate moses) Ni MAAMUZI magumu lakini yataokoa maelfu Na Mungu ameniambia baada ya ayo u ta pu m zi k a Kwa AMANI BWANA ASEMA.
Asikofu,huyo mama kamlea baba yetu moses na kumtia nguvu hadi saa yake ya mwisho hakuteteleka,wewe wajua,nakuomba uzidi kuwa imara na ukajazwe ujasiri wa kumpigania Mungu,ni heri kubwa kuwa na mama kama huyu ampendae Yesu upande wako,hakika nakuombea mda huu ni andikapo sms hii,usitetereke kwa lolote,na Mungu atakuwa upande wako,
GWAJIMA NIKIPENZ CHAWATU SELIKAL INATAFUTA MOTO UWAKE WASIKUGUSE KIGOMA TUNAKUPENDA SANA 💪💪💪🌍
ngwajima ni taa kutoka mbinguni nduniani 🇰🇪
Mashujaa wa Bwana...Wengi wamelala... Sisi bado tu hai ... Vita bado mbichi... Bwana Yuko upande wetu..ninani wa kutushinda....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Mungu wa Baba zetu hakika upo nasi, tunapoona hawa wazee wakitutia moyo kwenye hii kazi ya Mungu tunapa nguvu ya kusonga mbele kwa Imani kubwa.
AMINA MUNGU akubariki mama na akupe nguvu ya kuendelea kusogea mbele zaidi na YESU jina lipitalo majina yote akufunike Kwa damu yake iliyo mwagika msalaban
Gwajima Ana akri nyingi ...Mungu akbliki sana...mtetezi wetu
Mungu Akubariki sn mama yetu. Nafurahi sn kukuona.❤❤❤
Hongera Samsung yangu MUNGU Baba akuzidishie maisha marefu nilikuona mwaka , 1980 nyamagana mwanza nikiwa nimemleta mtoto mwenzangu akiitwa Maganga mlemavu na aliponywa miguu ikanyooka hakika ilinipa nguvu kiimani hadi Leo mamangu
Tushushe 😀
Wow mama happy to see u mom, nikikuangalia namuona baba moses kulola hakika mlipendana hadi kufanana sura jaman. Be blessed sana
Bibi yupo vzr sana
Kweli Ni kijana kiroho
Wow mama yetu wa amani,
tunakupenda saaaana,
Nimefurahi kukuona ukiwa kijana mzuri, mrembo
mwenye nguvu za Mungu
Amen mamangu kweli kabisa !! Kwa Mungu hakuna uzee !! Mbarikiwa
Ety nitafikia hata natambaa💪hakika huu Ni Upendo wa Agape,, YESU akutunze bibi 🙏
Ngwajima umefanya jambo la maana sana mungu akubariki mch
My son is called kulola .. from Kitui Kenya
Be blessed!
Amina Mama napokea maombi yako Mama Moses kulola oohhhh my God 🙏
Samahani Sana nina onmbi moja kama utabadilisha Title ya Mke wa Marehemu kwa namna ingine itakuwa vizuri waliokoka Hakuna Marehemu Asante
Wanawake kama hawa yani babu yetu moses kulola alipata mkewapo wachache sana,barikiwa bibi yetu mtumishi wa JEHOVAH MUNGU mke wa Moses kulola
Tunakupenda Bibi mama Kulola.
Amen mama yetu mpendwa, nimeipenda ushuhuda wako mama👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu atusaidie tutumike kwa uaminifu
Baraka na ziwe nawe askof gwajima kwa kufanya haya
Ameeen mama yetu MUNGU akutiye nguvu
Amina mama ubarikiwe
Amen mama Ila hayo marasta na hereni acha Baki na nywele zako za asili ili uende Mbinguni mama yangu nakupenda Sana
Waaambieni watu wote wajipe Moyo Bwana amekusudia kutenda Mema milele Amina.
Hawa ndio waasisi wa iman tz kipindi hicho hakuna mic Wala magari walikuwa wanatembea kwa miguu km kibao lakin hawakuchoka mpaka leo bado kamshikilia yesu daah inatutia moyo sana na ss vjana bibi mungu akutie nguvu
Asante Bibi yetu na nimeipenda sana hii.
Waooh mama tunapokea mausia yako thank you!!!!!!!!
Amen mum,Mungu wa mbinguni akupe nguvu mpya.. Hallelujah
Amina mama klola lmungu akubariki
Barikiwa Mama na bishop.
Glory to God bless more when I hear voice mom
Shalom, ushuhuda wa baraka kutoka kwa mama yetu,from Kenya we thank God so much for the works of the lord from mzee kulola family.
Amen mama, Mungu azidi kkupigania ktk imani
MUNGU awatunze sana watumishi wa Mungu
Tunajifunza mengi kutoka kwenu na tunatamani MUNGU atufikishe viwango vya juu zaidi na Zaidi
Ujumbe kutoka Kwa Mungu Ninaomba ufike kwa mama yetu Moses na Kwa kanisa la TANZANIA
Mungu anasema turejeshe sura ya Mungu ondoeni uchafu miilini mwenu rejesha asili ya MUNGU
Anaesuka aachane na KUSUKA,anaejipamba na kuvaa mahereni aache kabisa
Lakini pia bibi yetU MOSES KOLOLA MUNGU ameniambia ukitoa NYWELE HIZO za katani KICHWANI
.Hautasumbuliwa na kichwa
.Hautasumbuliwa na miguu Tena
.Hautasumbuliwa na pressure Tena
.NNE MUNGU atajibu Yale yote aliyomuaidia BABA Kwa kanisa (rate moses)
Ni MAAMUZI magumu lakini yataokoa maelfu
Na Mungu ameniambia baada ya ayo u ta pu m zi k a Kwa AMANI
BWANA ASEMA.
"zaidi ni upuendo, tupendane kama Yesu alivyotupanda" Kusema kweli upendo unatushinda, hata kwa wapendwa nao upendo wao bado bado. Tujipe moyo
Asikofu,huyo mama kamlea baba yetu moses na kumtia nguvu hadi saa yake ya mwisho hakuteteleka,wewe wajua,nakuomba uzidi kuwa imara na ukajazwe ujasiri wa kumpigania Mungu,ni heri kubwa kuwa na mama kama huyu ampendae Yesu upande wako,hakika nakuombea mda huu ni andikapo sms hii,usitetereke kwa lolote,na Mungu atakuwa upande wako,
Amen amen
Amen BIBI yetu
Mungu akubariki sana bibi.🙏🙏
Amen mama
Ubarikiwe saana
woow bibi yetu nimefurah kukuona tena.
Amen ubarikuwe Sana Bibi yetu
Barikiwa sana bibi yetu
Aminaaaaaaaaaaaaaa
Umeongea Maneno mazito Sana mama
Nimewapenda sana
Barikiwaa sana sana mtumishi, corona imeshindwa kwa maombi
Barikiwa sn mama yetu umetutia moyo
Keep well
Ameni, Mungu amfikishe mama Mbinguni baba alipo.
Amen Amen
Amen amen mama
Mungu akubariki sana
Mama wa Iman.
Ameen mama
Glory to God 🙏💪
Ubarikiwe bibi
Hehehe Mama huyo bhana! Mungu mkubwa
Amen
Ameen
Aminaaaa mama
Hallelujah
Nimebarikiwaa kwa ujumbe huu
Amina mama
Ameen bibi nakupenda bibiyangu
Ameeen Bibi
Amina Bibi yangu waimani
Waoo mama
Amina Mama
Amina
Safi sana Bibi
MUNGU AKUTUNZE . SANA
Ameen mun
UTUKUFU kwa +MUNGU+ MILELE🙌🙌🙌
Aminaaa
Ameee mama kulola
Amina Bibi Amina
AmenAmen
Amina sana Mama
Amina 🙏🙏
Ntemi tuko pamoja sana nangi
Groly be God
Mama amina
Safi sana
Amen sana mama etu Mungu azidi kukulea mama yetu
Haleluyaaa
Ameeen ameeen
amen
Amen Mungu unaweza
Amen.
WEWE NI JABAL TUNAAMIN WAKRISTO WOTE MTETEZ WETU NIWEW NAYESU MIM NIMUANGRIKANA IRA KWASASA SISAL KAMPEN YAKUPIGA CHANJO IMEKUWA KUBWA TUVUSHE JOSHUA WETU HARELUYAAA
Ameniii bibiangu
Mama ana Upendo wa ajabu abarikiwe mno
Ujumbe umefika naelewa wala sio maneno ya mama bali ni Ujumbe kutoka mbinguni
Mama shikamo
Mama yetu umetubarki Sana👏👏👏
Daah kwel gwajima huogopi mtu najua hujaenda bungeni kutafuta hela bali kututetea sis wanyonge wenye vipato vidogo sanà
Nime kuelewa mzazi wa mama zetu na baba zetu