NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
Tukipata hata kumi tu kama huyu baba hakika nji hii itapona tunaitaji injiki ya wazee kama Hawa sio wamwaga mafuta kwa watu bila maandiko au kukemea dhambii iwatoroke watu
Mchungaj Magembe amekuwa akikosoa sana mambo ya uimbaji wa kucheza na nyimbo zilizo kinyume na biblia na maombi ya utajiri kwa makanisa ya kilokole Lakin a nasahau namna ya anavo ongea mimbarani misisimko ya kuhubiri Hubiri la kweli lazima liwe na sauti halisi hii habari ya kuongeza vikorombwezo sijui asiiiii, shiiii mi naona si utaratibu wa kuhubir kweli ya Mungu
😂😂😂😂mmmmmh wanadamu bn SAS wew hapo kinachokuumiza Nini? Au kipi hukielewe? Hyo ndio injiki tunayoitaka SAS tumechoka na manabii WA uongo wakumwaga ety maji na mafuta kwa watu washindweeeeeeeee
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
Hakika MUNg
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
Ubarikiwe pastor magembe
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more...
Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
Ubarikiwe baba🎉🎉
Hongera baba
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
Niko USA 🇺🇸 lakini kwahejili hii inanikubusha uwepo wazamani kweli asate saba baba kwahuwamusho huuu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
Theolojia imelala kichwani
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa.
Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
Amina tupo nyuma yako mzee tupo tunahubiri injili yakweli vijana wainjilisti tunafuata nyayo zako
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
Vile roho ya ya Eliya ilivyomwendea Elisha ndivyo roho ya kolola ilivyomwelekea magembe.
Balikiwa sana mtumishi wa Bwana, Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi na mitambo aiboreshe
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
watu wanatakiwa kuwa makini kimaisha maana uhakika bila Wokovu wa Yesu Maishani
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
Baba Mch moses maghembe Yesu aendelee kukutunza
Watazania kama munahakili kweli msikilizeni uyo babu anahogeya ukweli
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
Yesu ni Mwokozi hata kama hutaki
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
Baba kuja Moshi vjijini lete hiyo injili jamaniiii!!!
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
Louvado seja Deus, pela vida do pastor Magembe
Tukipata hata kumi tu kama huyu baba hakika nji hii itapona tunaitaji injiki ya wazee kama Hawa sio wamwaga mafuta kwa watu bila maandiko au kukemea dhambii iwatoroke watu
pawapawa mpakamafutaa wezi kuubiri
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
Barikiwa baba Tunakukumbuka kyela
Wana kogaga mikojo yashetani
Mchungaj Magembe amekuwa akikosoa sana mambo ya uimbaji wa kucheza na nyimbo zilizo kinyume na biblia na maombi ya utajiri kwa makanisa ya kilokole
Lakin a nasahau namna ya anavo ongea mimbarani misisimko ya kuhubiri
Hubiri la kweli lazima liwe na sauti halisi hii habari ya kuongeza vikorombwezo sijui asiiiii, shiiii mi naona si utaratibu wa kuhubir kweli ya Mungu
Wasabato bhana hahaha
Uzuri nikuwa ww ndy unaohisi vby mbona vitu vingn hamjisikii vby
😂😂😂😂mmmmmh wanadamu bn SAS wew hapo kinachokuumiza Nini? Au kipi hukielewe? Hyo ndio injiki tunayoitaka SAS tumechoka na manabii WA uongo wakumwaga ety maji na mafuta kwa watu washindweeeeeeeee
Ameeen baba mungu akutiye nguvu
Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia
Mzee yupo sawa kabisa
Hii Kali sana,,, balikiwa sana
Amina
Amina
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
Hii ndio injili ya kweli
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda
Endelea baba
I give God all the glory
Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe.
❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
Asante kutuachia wazee kama hwa
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
Yesu njooo
Ameeen sana
Amina baba
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
Sumbawanga utakuja lini?
BARIKIWA mtumishi.
TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
Balikiwa baba magembe
Aminaaaaaaaa,
Aminaaaaaaaa,
Aminaaaaaaaa
Ameeeeeeeeeeen
Ameen amen sema baba
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
nimekubali
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
Amen..
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
Amen
Amen
Amen
Amen
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
Amina mtumishi wa Mungu
Ushuhuda mkubwa
MUNGU awabariki WASUKUMA,wamejaa Neema
❤❤❤
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
Vichwa vya habari muwe mnaandika ujumbe wa Neno la Mungu husika
Hapo mnahubiri Injili hamtafuti comment za watu
Nashangaaga tu, hao wa maji, CAKE vitambaa, mafuta wote wanasemana lkn bado wako majukwaani na eti hawagombani. AMEEN 😂😂
Aminaa
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi