#ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Mkutano mkubwa wa Injili waanza Rasmi stendi ya Daladala Kilombero

Комментарии • 166

  • @BeatriceSangito-gi1ld
    @BeatriceSangito-gi1ld 6 месяцев назад +6

    Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 6 месяцев назад +9

    Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe

  • @RashidLukindo-yl2yl
    @RashidLukindo-yl2yl 6 месяцев назад +8

    NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina

  • @RashidLukindo-yl2yl
    @RashidLukindo-yl2yl 6 месяцев назад +2

    Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!

  • @PotamiaSoka
    @PotamiaSoka 5 месяцев назад +4

    Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 6 месяцев назад +5

    Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN

  • @SheyoZumba
    @SheyoZumba 6 месяцев назад +5

    Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe

  • @ProsperMbena
    @ProsperMbena 5 месяцев назад +2

    Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana

  • @rahelhango9236
    @rahelhango9236 6 месяцев назад +7

    Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥

  • @geofreyngolua9553
    @geofreyngolua9553 6 месяцев назад +3

    Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God

  • @godfreykawibesele8545
    @godfreykawibesele8545 5 месяцев назад +1

    Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake

  • @LameckGrey
    @LameckGrey Месяц назад +1

    Ubarikiwe pastor magembe

  • @MaryLyimo-y9z
    @MaryLyimo-y9z 6 месяцев назад +4

    Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu

  • @tlotwe.01.
    @tlotwe.01. 6 месяцев назад +8

    Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.

  • @BONIPHACEJOHN-kb1zb
    @BONIPHACEJOHN-kb1zb 6 месяцев назад +3

    Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho

    • @NENO-CHAKULA
      @NENO-CHAKULA 6 месяцев назад

      Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza

  • @prospermallya3092
    @prospermallya3092 6 месяцев назад +2

    Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale

  • @PeterMatonange
    @PeterMatonange 6 месяцев назад +4

    Tupo pamoja mchungaji..God bless you more...
    Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,

  • @user-godfreyRobert
    @user-godfreyRobert 6 месяцев назад +4

    Ubarikiwe baba🎉🎉

  • @JosephSarone
    @JosephSarone Месяц назад +1

    Hongera baba

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 6 месяцев назад +3

    Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 Месяц назад

    Niko USA 🇺🇸 lakini kwahejili hii inanikubusha uwepo wazamani kweli asate saba baba kwahuwamusho huuu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @elishamumba4304
    @elishamumba4304 6 месяцев назад +5

    Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba

  • @DanielMwasenga-bx7bd
    @DanielMwasenga-bx7bd 6 месяцев назад +4

    Hongera sana baba naipenda sana injili hii

  • @mpinabaharia2247
    @mpinabaharia2247 6 месяцев назад +2

    Theolojia imelala kichwani

  • @eunicelukanda1828
    @eunicelukanda1828 6 месяцев назад +4

    Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele

  • @KanankiraNassary-iv3uw
    @KanankiraNassary-iv3uw 3 месяца назад

    Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen

  • @HelenaSoka-l1h
    @HelenaSoka-l1h 6 месяцев назад +1

    Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana

  • @JoshuaSanka
    @JoshuaSanka 6 месяцев назад +1

    Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo

  • @jasperjackson8871
    @jasperjackson8871 6 месяцев назад +6

    Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa.
    Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥

  • @EzekielCharles-j8x
    @EzekielCharles-j8x Месяц назад

    Amina tupo nyuma yako mzee tupo tunahubiri injili yakweli vijana wainjilisti tunafuata nyayo zako

  • @marcosearnest3617
    @marcosearnest3617 5 месяцев назад +1

    Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 месяца назад

    Vile roho ya ya Eliya ilivyomwendea Elisha ndivyo roho ya kolola ilivyomwelekea magembe.

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 27 дней назад

    Balikiwa sana mtumishi wa Bwana, Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi na mitambo aiboreshe

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 6 месяцев назад +2

    Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe

  • @JohnAhungu-i3x
    @JohnAhungu-i3x День назад

    watu wanatakiwa kuwa makini kimaisha maana uhakika bila Wokovu wa Yesu Maishani

  • @PrivaAgust
    @PrivaAgust 6 месяцев назад +3

    Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.

  • @EllieSammy-tf4gx
    @EllieSammy-tf4gx 6 месяцев назад +2

    Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.

  • @AminielMbise-cl3fq
    @AminielMbise-cl3fq 6 месяцев назад +2

    Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 6 месяцев назад +3

    Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa

  • @sarahshalom97
    @sarahshalom97 2 месяца назад

    Baba Mch moses maghembe Yesu aendelee kukutunza

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 Месяц назад

    Watazania kama munahakili kweli msikilizeni uyo babu anahogeya ukweli

  • @jeremialaizer9978
    @jeremialaizer9978 6 месяцев назад +2

    Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @elinaikerichardkisanga9193
    @elinaikerichardkisanga9193 5 месяцев назад +1

    Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43

  • @godwinkaunda9516
    @godwinkaunda9516 6 месяцев назад +2

    Bravo man of God my the Almighty God Bless you

  • @JohnAhungu-i3x
    @JohnAhungu-i3x День назад

    Yesu ni Mwokozi hata kama hutaki

  • @laizermsagalla
    @laizermsagalla 5 месяцев назад

    Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri

  • @FortunateAkaro
    @FortunateAkaro Месяц назад

    Baba kuja Moshi vjijini lete hiyo injili jamaniiii!!!

  • @awitness9020
    @awitness9020 6 месяцев назад +1

    Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya

  • @cesariamuacigarro1796
    @cesariamuacigarro1796 9 дней назад

    Louvado seja Deus, pela vida do pastor Magembe

  • @user-hu1qm7kj5z
    @user-hu1qm7kj5z 5 месяцев назад

    Tukipata hata kumi tu kama huyu baba hakika nji hii itapona tunaitaji injiki ya wazee kama Hawa sio wamwaga mafuta kwa watu bila maandiko au kukemea dhambii iwatoroke watu

  • @erasmobenardsangu-1854
    @erasmobenardsangu-1854 6 месяцев назад

    pawapawa mpakamafutaa wezi kuubiri

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa7364 3 месяца назад

    Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana

  • @DaudiMagari
    @DaudiMagari 5 месяцев назад

    Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata

  • @GlesiMakaye
    @GlesiMakaye 6 месяцев назад +1

    Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe

  • @EbeliNjeje-qw3qf
    @EbeliNjeje-qw3qf 5 месяцев назад

    Barikiwa baba Tunakukumbuka kyela

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 Месяц назад

    Wana kogaga mikojo yashetani

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 6 месяцев назад +1

    Mchungaj Magembe amekuwa akikosoa sana mambo ya uimbaji wa kucheza na nyimbo zilizo kinyume na biblia na maombi ya utajiri kwa makanisa ya kilokole
    Lakin a nasahau namna ya anavo ongea mimbarani misisimko ya kuhubiri
    Hubiri la kweli lazima liwe na sauti halisi hii habari ya kuongeza vikorombwezo sijui asiiiii, shiiii mi naona si utaratibu wa kuhubir kweli ya Mungu

    • @oscarwissa
      @oscarwissa 6 месяцев назад

      Wasabato bhana hahaha

    • @esthergasper4815
      @esthergasper4815 6 месяцев назад

      Uzuri nikuwa ww ndy unaohisi vby mbona vitu vingn hamjisikii vby

    • @user-hu1qm7kj5z
      @user-hu1qm7kj5z 5 месяцев назад

      😂😂😂😂mmmmmh wanadamu bn SAS wew hapo kinachokuumiza Nini? Au kipi hukielewe? Hyo ndio injiki tunayoitaka SAS tumechoka na manabii WA uongo wakumwaga ety maji na mafuta kwa watu washindweeeeeeeee

  • @estafuraha
    @estafuraha Месяц назад

    Ameeen baba mungu akutiye nguvu

  • @ChapChap-z2s
    @ChapChap-z2s 2 месяца назад

    Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia

  • @ev.samsonrweongachannel658
    @ev.samsonrweongachannel658 6 месяцев назад +1

    Mzee yupo sawa kabisa

  • @RajiTarie-d5c
    @RajiTarie-d5c 23 дня назад

    Hii Kali sana,,, balikiwa sana

  • @RidimaRidima-kb3nn
    @RidimaRidima-kb3nn 4 месяца назад

    Amina

  • @ArcoiriscelestialTv
    @ArcoiriscelestialTv 3 месяца назад

    Amina

  • @ev.samsonrweongachannel658
    @ev.samsonrweongachannel658 6 месяцев назад +1

    Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi

  • @PhilipoLaizer-p9v
    @PhilipoLaizer-p9v 5 месяцев назад

    Hii ndio injili ya kweli

  • @eliphaznkurunziza7405
    @eliphaznkurunziza7405 6 месяцев назад +6

    Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda
    Endelea baba

  • @janemuthui6130
    @janemuthui6130 6 месяцев назад +1

    I give God all the glory
    Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe.
    ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name

  • @alexkamba5264
    @alexkamba5264 6 месяцев назад +2

    Asante kutuachia wazee kama hwa

  • @ev.samsonrweongachannel658
    @ev.samsonrweongachannel658 6 месяцев назад +1

    Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa7364 3 месяца назад

    Yesu njooo

  • @estafuraha
    @estafuraha Месяц назад

    Ameeen sana

  • @sadiqmchungaji8944
    @sadiqmchungaji8944 Месяц назад

    Amina baba

  • @lekinyaurey5772
    @lekinyaurey5772 6 месяцев назад +1

    Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu

  • @joelmwamlima5686
    @joelmwamlima5686 6 месяцев назад +1

    Sumbawanga utakuja lini?

  • @NEEMAJames-ns4ds
    @NEEMAJames-ns4ds 6 месяцев назад +1

    BARIKIWA mtumishi.
    TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO

  • @EmanuelKyombo
    @EmanuelKyombo 6 месяцев назад +1

    Balikiwa baba magembe

  • @gracemachongwe431
    @gracemachongwe431 6 месяцев назад +2

    Aminaaaaaaaa,
    Aminaaaaaaaa,
    Aminaaaaaaaa

  • @SahauMwazembe
    @SahauMwazembe 5 дней назад

    Ameeeeeeeeeeen

  • @GoodluckMwanda
    @GoodluckMwanda Месяц назад

    Ameen amen sema baba

  • @RehemaMoses-w3m
    @RehemaMoses-w3m 6 месяцев назад +1

    Uko vizuri mtumishi wa Mungu,

  • @Nazareth8119
    @Nazareth8119 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.

  • @bensonmoris463
    @bensonmoris463 6 месяцев назад +2

    nimekubali

  • @naomichristopher3941
    @naomichristopher3941 6 месяцев назад

    Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .

  • @MartinSule
    @MartinSule 2 месяца назад

    Amen..

  • @SAIMONMAGULU
    @SAIMONMAGULU 6 месяцев назад +1

    Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you

  • @daikatorika9364
    @daikatorika9364 2 месяца назад

    Amen

  • @daikatorika9364
    @daikatorika9364 2 месяца назад

    Amen

  • @mossessimon2493
    @mossessimon2493 5 месяцев назад

    Amen

  • @patrickSeverin-o2s
    @patrickSeverin-o2s 5 месяцев назад

    Amen

  • @ChedyMlwale-kx9ms
    @ChedyMlwale-kx9ms 6 месяцев назад +1

    Barikiwa mch kwa injiri ya kweli

  • @OinothMunga
    @OinothMunga 6 месяцев назад +1

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 5 месяцев назад

    Ushuhuda mkubwa

  • @ayubumollel3647
    @ayubumollel3647 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @Celestineshikuku-i4x
    @Celestineshikuku-i4x 6 месяцев назад +1

    This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching

  • @selinaKome
    @selinaKome 6 месяцев назад +1

    Baba mungu akubariki naazidikukutumia

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 6 месяцев назад

    Vichwa vya habari muwe mnaandika ujumbe wa Neno la Mungu husika
    Hapo mnahubiri Injili hamtafuti comment za watu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 6 месяцев назад

    Nashangaaga tu, hao wa maji, CAKE vitambaa, mafuta wote wanasemana lkn bado wako majukwaani na eti hawagombani. AMEEN 😂😂

  • @MwaminiMuumbaji
    @MwaminiMuumbaji 2 месяца назад

    Aminaa

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 6 месяцев назад

    Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa

  • @ahazichunya4265
    @ahazichunya4265 6 месяцев назад

    Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi