Yohana 18:3-7 "Basi Yuda, akiisha kupokea kikosi cha askari na watumishi waliotoka kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, akaenda huko na taa na mienge na silaha. Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta? Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti. Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini. Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti"
Hiyo habali ya pete niliwai kuisikia ila nilikua najua ni hadisi tu. Kumbe ni jambo lilifika? Hongela Pastor. Unipatie na mimi adress yako na mimi nifike kwako
Mi Magdalena kazmil mkazi washinyanga kahama napenda kumtumikia mungu lakini nyota yakazi imefungwa, uchumi, na afya ya watoto na ndoa naomba mungu anisaidie Sina hata ada za watoto.
31:46 this pastor is right; women have very strong and big hearts you can call her anything and she wont freak but call a man a dog then you will know. we thank God for our mothers
Yohana 18:3-7 [3]Basi Yuda, akiisha kupokea kikosi cha askari na watumishi waliotoka kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, akaenda huko na taa na mienge na silaha. [4]Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta? [5]Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti. Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. [6]Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini. [7]Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti.
I'm Pauline from Kenya, working in Saudi Arabia as house girl I m Soo blessed.... Pray for me tooo npate amani kati yangu na my madam
Hello Pauline uko na shida gani na madam , Uko Saudi Arabia upande gani nikusaidie ....mim nko Saudi Arabia pia
@@ramyramy3455 hi too, nko jedah. Ni chuki na kelele za mara Kwa mara
Yohana 18:3-7
"Basi Yuda, akiisha kupokea kikosi cha askari na watumishi waliotoka kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, akaenda huko na taa na mienge na silaha. Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta? Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti. Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini. Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti"
Amen
Yesu nenda mbele yangu, nakuomba
Watching you from Kenya.we welcome you man of GOD to our nation Kenya.wachawi kibao apa...
hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah yesu kuwa mbele yangu
Nakupenda Yesu nakupenda Yesu nakupenda Yesu ❤❤❤
Ameen 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 halaleluya barikiwa mtumishi napenda ubabe wa YESU KRISTO 🙏 🙏
Hiyo habali ya pete niliwai kuisikia ila nilikua najua ni hadisi tu. Kumbe ni jambo lilifika? Hongela Pastor. Unipatie na mimi adress yako na mimi nifike kwako
Eee Yesu naomba utende muujiza ktkt ya familia yangu ili niendelee kukujua wewe na niwe mbabe aliyejaa nguvu ya Yesu
Isaya 45:2a
"Nitakwenda mbele yako, na kupasawazisha mahali palipoparuza"
Ulikua wapi mtumishi wa mungu.?
Hongera Sana mtumishi umekuwa kichaa wa Yesu...haleluya! Haleluyaa..hakika Kuna njia nyingi za kumtumikia MUNGU
Safi sana baba
nyundo imewashukia waganga
Viroboto kabisa 😂😂😂😂😂
ruclips.net/video/2sK1DhE4O5Y/видео.html
Yessss!,huu ni Ubabe wa Ki YESU aliye juu yetu ni mkuu kuliko wawo
Powerful massage .... jamani yesu enda mbele yangu much love from Kenya mtumishi
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen represented ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeesses a m Xerox to hilo
Nimeyapenda sana mahubiri yako mtumishi ubarikiwe sana nimekupenda bure mtumishi wa Mungu
Naomba mawasiliano ya mchungaji huyu nateseka jamani 😂😂
🇰🇪 Niko Mombasa Kenya,Asifiwe yesu kristo!
Amina fridah
Ameeen 🙏🙏🙏 Yesu nenda mbele yangu unajua aja ya moyo wangu ..... Nambarikiwa kutoka kenya
Mtumishi achilia radi kwa hii nyumba ninayoishi hapa uharabuni lifagie uchafu
Mi Magdalena kazmil mkazi washinyanga kahama napenda kumtumikia mungu lakini nyota yakazi imefungwa, uchumi, na afya ya watoto na ndoa naomba mungu anisaidie Sina hata ada za watoto.
Ubarikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu Nikodem Nimekukumbuka Sana.
TAG is alive every time.
Mh! My Friend give glory to Jesus not denomination! I am shocked with your comment!
JESUS IS ALIVE EVERY TIME
31:46 this pastor is right; women have very strong and big hearts you can call her anything and she wont freak but call a man a dog then you will know. we thank God for our mothers
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen m so much high highest
Najiunganisha ukombozi na wanangu tuwe huru
Naomba uniombee niwe na kipaji Kama chako mtumishi
Pastor naomba nambari yako ya rununu ili tuwasiliane. Nataka kumfuata huyu Yesu kikamilifu licha ya shida za kimaisha.
Itafute utube
Yesu awe radi yangu
Amee mtutumie no ya sim tuko mbali tunahitaji maombi yake
Mtu wa mungu tunamhitaji huku kwetu same mashariki
Hakika wewe ndiye muchungaj ni zaidi yao
Amen Amen pr Naomba nomber yako please
Radi shuka juu ya wachawi wote wanaotutesa
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Yesu nenda mbele yangu naomba namba zako
Jesus Christ is 🔥🔥🔥 forever to is beloved ones never deserpoint us❤ hallelujah 🙏❤ . Keep fire burning yes yes I like it pastor Naomi.
Yesu enda mbele yangu
Hallelujah ❤Thank you Jesus
God bless you pastor for this powerful message 🙏
⁷⁷⁶⁷yyy you ⁷😮 ya ç
Amen mtumishi kuwa ndan ya raha sana, nabarikiwa na shuhuda zako mtumishi, Mungu aendelee kukutumia zaid na zaid
😂😂😂😂😂, Ameeeeeen, wapigwe radi
May the name of the LORD JESUS be Glorified
Naomba namba yako ya watsap
Amen yesu nitangulie Jehovah
🔥🔥🔥🙏🏾🙏🏾🙏🏾🔥🔥🔥
Napokea ubabe wakilokole.
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Nenda mbele yangu Yesu mwana wa Mungu.
Haya mambo kama huna imani unaweza usimwelewe huyu bwana
Nami ninomba MUNGU anisaidie
Yesu ananguvu za ajabu
Yesu tangulia mbele yangu
Niko kongo bujimai naomba no yako
Napokea kwa jina layesu
Amen nimebarikiwa sana, barikiwa Mteule!
Oooh haleluya nampenda sana huyu YESU vita yake hakuna aliye shinda Oooh haleluya YESU KRISTO ni BWANA na MFALME
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Yeesss 🔥🔥🔥🔥🔥
Yupo Yehova Ubarikiwe
Amina
Ubarikiwe chombo Cha Bwana injili imenona haswa
Yesu enda mbele yangu
Kazi Mzuri mtumxhi wa Mungu naomba hiyo neema na mm niifanye kazi ya Mungu
Yesu kuwa mbere yangu
Ni kweli jaman mhh
sasa umenyoa aje
Mungu apewe sifa
Yesu wetu ni mkuu sanaaaa!!
Amen amen
Mchungaji yesu WAKO namwamini namwitaji SANAA. Nimekuwa nikimtafuta SANAA. Ila nimeambulia vingine. Yamkini huyo atakuwa ndiyo
Mungu aende mbele yangu
Ameeeeeen
Karibu mombasa
Amen Amen
Ameeen
мιмι nĸo ĸenya мwanangυ anaυgυa ĸιѕυĸarι yυĸo na мιaĸa мιмι na тano naтaĸa υnιoмвee ĸιѕнa na тaĸa тυwe тυĸιwaѕιlιana nĸo ĸenya npe мawaѕιlιano nĸo ĸenya nιмeғanya ĸυona нιι clιp kibahati
Ameeen
Ameeen
Yesu Tosha ❤
Amen 🙏
Pastor umenikumbusha mbali sana weldone Yesu ni kiboko ya wachawi
Nimefurahi Sana kweli yesu aliepasua Ngoma ya madogori akafanye muujiza kwangu
Njoododomajamani
Yesu nenda mbele yangu kuna watu wanacheza namim wasifanikiwe
God is great
Mch Naomba
Welcome Kenya Malindi Man of God
Hakika yesu ni mzuri sana
Matendo makuu ya Mungu ni 🔥
Mungu yupo
Nikumbusheni alikosoma bibliani jameni
Yohana 18:3-7
[3]Basi Yuda, akiisha kupokea kikosi cha askari na watumishi waliotoka kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, akaenda huko na taa na mienge na silaha. [4]Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta? [5]Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti. Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. [6]Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini. [7]Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti.
Amen 🙏🙏🙏
Hakika huu ushuhuda umeni bariki sana na umeongeza kitu katika maisha yangu kweli yesu kristo ni bwana wa maisha yangu. Ubarikiwe sana mtumishi
Amen janet
Powerful Gospel
Amen Amen
Ubarikiwe sana mchungaji
Triza mweng'e Watching from Saudi Arabia
Amen
Amen
Fireeeeeee! Wapigwe hao kwa jina la Yesu
Amen 🙏
Amen
Amen