NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 305

  • @paschalmartin
    @paschalmartin 17 дней назад

    hakika wewe ni jemedari. mungu akupandishe viwango vikubwa baraka za mungu ziwe pamoja na ww 🤝🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍

  • @NeemaSandamu
    @NeemaSandamu 27 дней назад +1

    Ubarikiwe mchj skujui ila nimevutiwa na mafundisho Yako Mungu akutunze

  • @judithmwenesi2075
    @judithmwenesi2075 2 года назад +14

    Mafunzo Yako yamenisaidia sana pastor,,,,nitume aje shukrani yangu Kwa mungu

  • @sylviamukabwa6804
    @sylviamukabwa6804 10 месяцев назад +3

    ninazidi kukomaa kiroho Mungu aabudiwe

  • @EuniceKadzo-c8q
    @EuniceKadzo-c8q 10 дней назад

    Asante sana mchungaji mafundisho yako yamebadilisha maisha yangu

  • @kayombog1694
    @kayombog1694 3 года назад +45

    1. Roho ya mipaka( limitations)
    2. Roho ya kuchelewesha majibu yako
    3. Roho ya hasara
    Haggai 1:6
    4. Roho ya makosa( kukosea Mara kwa Mara)
    1John 4: 6
    5. Roho ya kushindwa katika ukingo wa mpenyo
    2Wafalme 19:3
    Isaya 66:9
    6. Roho ya mavumbini
    1Samwel 2:8
    Luke 1:80
    7. Roho ya utasa
    Kutokufanikiwa kwa lolote
    #Ahsante #Mungu #PstGeorge

  • @vickyedward
    @vickyedward Год назад +3

    Ameni mtumishi binafsi nabarikiwa na neema aliyokupa mungu mungu anikutanishe nawewe

  • @tertiolema7008
    @tertiolema7008 2 года назад +12

    God bless you so much my Pastor,as i use to make follow up your teachings day by day, I see changes in my spiritual life. THANK YOU.

  • @Jenitha-ub8mr
    @Jenitha-ub8mr 2 месяца назад

    .mungu nipe kuona kila kitu ninachopia ni wewe mungu sio shetani nione ni kusudi la mungu Kwa kila ninalopitia amen

  • @fikipembe1863
    @fikipembe1863 10 дней назад

    Amen Amen and amen 🙏 🙌 👏

  • @DoreenMwenesi-o7h
    @DoreenMwenesi-o7h 7 месяцев назад +5

    Naomba mungu anisaidie nisifuate miujiza ila nifuate kristo maishani mwangu🙏

  • @jacksonparmeres6669
    @jacksonparmeres6669 2 месяца назад

    True well bless with your teaching pastor

  • @emeltakinyunyu
    @emeltakinyunyu 18 дней назад

    Ameeeni napokea kwa jina la YESU

  • @MariaKahind
    @MariaKahind Год назад

    Amen amen mungu akubariki kwa mafundisho ..mungu azidi kukuinuwa mm toka nikufwatilie naona mungu akinipeleka viwango vingine in jesus name🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rozaliabaraka8589
    @rozaliabaraka8589 14 дней назад

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @MariethaTillya
    @MariethaTillya 8 месяцев назад +6

    Sifa na utukufu namrudishia Mungu kwa zawadi Yako mchungaji wewe ni mwalimu mzuri sana wa neno la mungu

    • @essywanga6240
      @essywanga6240 7 месяцев назад

      Jina LA Mungu liandike kwa herufi kubwa tafadhali

  • @GaudenceGenes
    @GaudenceGenes 3 месяца назад

    Asante Kwa mafundisho ya Neno la Mungu nimeza kupokea mabadilko sana kiroho na kimwili Kwa mafundisho ya maombi ya usiku WA manane Mungu akubariki....

  • @GeofreyWandera-i9w
    @GeofreyWandera-i9w Месяц назад

    Thanks pst for the ward of God

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Год назад +1

    Amen mtumishi wa Mungu nafurahia mafundisho Yako

  • @eunicekengajaha2953
    @eunicekengajaha2953 4 месяца назад

    Nakuombea sana mtumishi we MUNGU uishi miaka mingi ... uishi milele

  • @AdelinaIsaya-p6b
    @AdelinaIsaya-p6b 6 месяцев назад +3

    Bwana Asifiwe wapendwa hakika tunajifunza mengi MUNGU akubariki mtumishi uendelee kuhubiri neno la uzima 🙏🙏

  • @DorryMnande
    @DorryMnande 9 месяцев назад

    Hallelujah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wow powerful❤❤❤❤❤❤❤❤shallom shallom shallom Utukufu ni wake Mtakatifu❤❤❤❤❤ Ameeeen Amen Hallelujah

  • @JeremieMulungula
    @JeremieMulungula 6 месяцев назад

    Sifa zimudiliye BWANA MUNGU WETU vraiment tumeshukuru saana kwa Neno Nzuri iyii Mungu akuzidishiye.

  • @DavidTarimo-g8n
    @DavidTarimo-g8n 6 месяцев назад

    Mungu mwenyeenzi akubariki sana aibariki huduma hii iongezeke sana sholom mungu akutunze mno, Amen

  • @ChristopherShirima-r5c
    @ChristopherShirima-r5c 5 месяцев назад +1

    Amina mchungaji ubarikiwe maana tunapokea mafundisho ya kutufungua tusiyoyajua amen uishi milele

  • @sagudamaduhu-yf9se
    @sagudamaduhu-yf9se 5 месяцев назад

    Nabarikiwa sana mtumishi, MUNGU akulinde, akutunze, akuhifadhi, akupe kibali zaidi, akupe nafasi na neema ya kutumika zaidi na zaidi. Amen.

  • @agnesmapunda1091
    @agnesmapunda1091 8 месяцев назад +5

    Bwana yesu asifiwe Baba Mungu akubariki sana kwa huduma njema najifunza mengi ....Mungu aendelee kukupa kibali huduma ikuwe zaidi na zaidi kwa jina la yesu

    • @AggyElisha-kt3ym
      @AggyElisha-kt3ym 8 месяцев назад

      Baba MCHUNGAJI barikiwa sana kwa mafundisho mazuri
      Unanibariki mnoo mtumishi wa Mungu

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa 3 месяца назад

    Amen mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @magrethpaul2207
    @magrethpaul2207 5 месяцев назад +1

    MWENYEWE MUNGU akutunze kwa umri mrefu ❤

  • @Agnes-rl8co
    @Agnes-rl8co 5 месяцев назад

    Amina mungu akubariki mtumishi wa mungu.mwalimu mzuri kwa neno la mungu

  • @Shafta_og5
    @Shafta_og5 4 месяца назад

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu❤❤

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 11 месяцев назад

    The real God's word teacher!
    Ninakuelewa mwalimu George hakika unatufingua ufahamu.

  • @bumimwamasage5463
    @bumimwamasage5463 2 месяца назад

    Mungu akubariki sana Pastor kwa mafundisho mazuri

  • @owenmwambehileaminabarikiw944
    @owenmwambehileaminabarikiw944 2 года назад +2

    Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana nawe mungu azidi kukuongeza hatua zaidi kwenye huduma yako

  • @treziambukwa8978
    @treziambukwa8978 6 месяцев назад

    Asante sanaaa mtumishi wa Mungu akubariki sanaaaa neno nzuri sanaaa!!!!

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 5 месяцев назад

    Amen Amen Amen baba, UBARIKIWE SANA...💪🔥🔥🔥

  • @dorahalfayo355
    @dorahalfayo355 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa Mungu, hakika ninabarikiwa na mafunzo Yako.

  • @eldakayingi8330
    @eldakayingi8330 7 месяцев назад

    Asante kwa mafundisho mazuri hakika wewe ni mwalimu mzuri sana Mungu akubariki
    *Ninahitaji msaada wako natamani kuzungumza na wewe*

  • @SgHs-ux6jf
    @SgHs-ux6jf 7 месяцев назад

    balikiwa sana mwalimu wayesu nime jifusa mengi kupitia wewe🙏💯

  • @Favouredone-c3p
    @Favouredone-c3p 5 месяцев назад

    Kupitia kwa haya mafundisho nimegundua kwamba Nina kazi kubwa Sana ya kufanya,,, barikiwa Sana mtumishi wa Mungu

  • @hdgHdhd-eu7vf
    @hdgHdhd-eu7vf 7 месяцев назад

    Asante mungu kwa kunipa ufahamu... niondolee vikwanzo vyote in the jesus name

  • @AgnesMuntu-pk1eo
    @AgnesMuntu-pk1eo 8 месяцев назад

    Nampenda sana maubiri yako baba wewe kwel ni mteule wa mungu mwenyez mungu aendelee kukujaza upako

  • @AsiaMgolo
    @AsiaMgolo 6 месяцев назад

    May God bless His Word via your tongue...God bless you too son of God.

  • @TediSadoki
    @TediSadoki 3 месяца назад

    Nisaidie yesu mimi pekeyangu siwezi nahitaji maombi na nguvu

  • @elizabethbwire1480
    @elizabethbwire1480 5 месяцев назад

    Amina mungu akubariki Sana kwasomo zuri unalo tufundisha

  • @WilliamJacob-x1l
    @WilliamJacob-x1l 3 месяца назад

    Mungu amekupa kipaji jitahidi sana kutetea waliopote 😢😢

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i 8 месяцев назад

    Amen
    Nimejiungamanisha na madhabahu hii na nimepata chakula chenye Afya njema, Barikiwa sana Mchungaji🙏🙏🙏

  • @joycehagman7699
    @joycehagman7699 2 года назад +1

    Asante baba, umezaliwa baba Tanzania tusaidiane bega kwa bega , kwa mawazo mapya Tanzania. Nafurahi sana, nasi tupo barabarani. Oooo mungu fungua macho. Mazuri. Just. One love.🙏❤️❤️❤️❤️

    • @zablonnchama2601
      @zablonnchama2601 2 года назад

      Naomba kujuwa kanisa liko wap

    • @nyakatongongo4292
      @nyakatongongo4292 Год назад

      Asante pastor nakufuatilia kutoka South Africa nimefunguka sana macho ya kiroho na nimejitambua

  • @JoshuaAndrew-q4n
    @JoshuaAndrew-q4n Месяц назад

    Nashukuru kwa mafundisho ya bwana

  • @KevinSteven-b8y
    @KevinSteven-b8y 4 месяца назад

    Akina najifunza sana baba

  • @robertjeremiah7521
    @robertjeremiah7521 2 года назад +2

    Hongera sana Pastor nafuatilia masomo na mafundisho yako toka Geita

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 Год назад

    Ameen barikiwa sana Mutumishi waMungu hakika nimejifunza kitu kikubwa sana🙏🙏🙏

  • @EspéranceBuchekabiri
    @EspéranceBuchekabiri 8 месяцев назад

    Amen baba tunabariwa ya kutosha maana hiizii roho inatusumbuaa nitaomba Mungu mpka kieleweke

  • @veronicamtungakoa593
    @veronicamtungakoa593 6 месяцев назад

    Mungu tusaidie katika neno hili tukapate mabadiliko ya kiroho

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 месяцев назад

    Asande sana mutumishi wa Mungu Glory be to God

  • @ThereziaDanielKajuna
    @ThereziaDanielKajuna Год назад

    Hongera baba kwa ujumbe huu umenifungua barikiwa mno

  • @hadijamodestar4387
    @hadijamodestar4387 Год назад

    Amina baba nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @Josuémaitapomazeze
    @Josuémaitapomazeze 4 месяца назад

    Mungu akutendeye mema mwalimu

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i 8 месяцев назад

    Huyu ni Mimi kabisaa hatua zote saba nimezisikiliza hakuna hata Moja iliyonikwrpa. Oooi Ee Mungu Kwa neno hili Leo navuka Roho ya mipaka,,roho yakucheleweshwa, Roho ya hasara, Roho ya makosa, Roho ya kushindwa katika ukingo, Roho ya Mavumbini, Roho ya utasa
    Yaani Kila kichotajwa katika Roho hizi zimenipata Dooh Yesu nisaidie niondokane na hizi Roho hata swau hii isiwe ya kushindwa njaa Bali ya kumaanisha maana nimechoshwa na yanayoendelea ndani ya Maisha yangu.
    Asante sana mpakwa mafuta wa Bwana alichokiweka Mungu ndani Yako kikawe Baraka ya Utoshelevu ndani ya Maisha yangu🙏

  • @BeatriceWilliam-ug9cr
    @BeatriceWilliam-ug9cr 7 месяцев назад

    Asante Mungu kwa kunifanya kuyasikia mafundisho haya.mungu niwezeshe kuyaishi mafundisho haya

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 месяцев назад

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr nabarikiwa Sana Mimi na family yetu

  • @hannahwairimu-e9z
    @hannahwairimu-e9z Месяц назад

    Amen mungu❤

  • @nathanpallangyo5244
    @nathanpallangyo5244 10 месяцев назад +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA PASTOR UNAFUNDISHA KWELI KTK NENO LA MUNGU.

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i 5 месяцев назад

    Najiungamanisha na madhabahu hii, na Natoka kwa jina la yesu.🙏

  • @martinjeremiah8960
    @martinjeremiah8960 4 месяца назад

    Nakuelewa sana,Mungu azidi kukuweka

  • @EsterMkama-ni1rq
    @EsterMkama-ni1rq 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana sana mungu nisaidie roh o ya mipaka iniachie

  • @BaziliVisenti
    @BaziliVisenti 6 месяцев назад

    ❤Asante nimefunguliwa sana

  • @rumariletimba7585
    @rumariletimba7585 7 месяцев назад +1

    Amen, Mungu nisaidie niweze kupata ufunuo

  • @FidelDieu-j2z
    @FidelDieu-j2z 6 месяцев назад

    Mungu akubariki neno iyi inaninjenga zaidi

  • @JolleetNiaze
    @JolleetNiaze 5 месяцев назад

    Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @StevenMwansanga
    @StevenMwansanga 6 месяцев назад

    na mshukuru mungu kupitia neno la kushabuliwa kiroho nimefunguliwa

  • @rogathengowo1099
    @rogathengowo1099 8 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana

  • @FransiskaJohn-fq1nf
    @FransiskaJohn-fq1nf 7 месяцев назад

    Amen amen mungu akubariki sana Kwa mafundisho yako

  • @DAVIDMURAMA
    @DAVIDMURAMA 6 месяцев назад

    Asante,Ubarikiwe pastor George Mukabwa

  • @rehemalameck7183
    @rehemalameck7183 6 месяцев назад

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 6 месяцев назад

    MUNGU hii ni yangu naomba likae ndani yangu hili ni fuke hatua ingine,majelaa nimeyapata kiroho asantii,MUCHUNGANJI.

  • @SiliphanoWekesa-ch3jr
    @SiliphanoWekesa-ch3jr 7 месяцев назад

    Truly, ure ablessing to many of us.

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 7 месяцев назад

    Amen. Mungu akubariki sana pastor

  • @ElishaTapuka
    @ElishaTapuka 8 месяцев назад

    Past bwana asifiwe sana mtumishi wa Mungu akubariki sana mtumishi Mimi nina furahi sana yani kama Nina sikia kiu kama kunakitu nataka kutapika

  • @RehemaSheryl
    @RehemaSheryl 8 месяцев назад +1

    Bwana yesu asifiwe pastor umenifunza mambo mengi katika maisha yangu kweli mm naenda kanisani lakini sifanikiwa ni vilio tu na madeni kuniandama na sina kazi hadi nashindwa ata kulipa madeni mungu anisaidie usiku wa Leo nifunguliwe katika jina la yesu

  • @PRAXEDAMAZIMBA
    @PRAXEDAMAZIMBA 7 месяцев назад

    Amen pastor. Mafundisho haya yananibariki sana.

  • @monicambetwa9301
    @monicambetwa9301 Год назад

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa neno

  • @dyesebelkamau9457
    @dyesebelkamau9457 9 месяцев назад

    Haya ndio nmekuwa nikiyapitia lkn baada ya kukuskia natangaza yamefika mwisho ,nafungua kurasa nyingine Kwa neema yake Mwenyezi Mungu ntatoa ushuhuda mpya katika jina la Yesu,
    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @betrichr3022
    @betrichr3022 5 месяцев назад

    Shalom ahsante sana nimepata ufahamu

  • @philissimiyu2123
    @philissimiyu2123 2 года назад +1

    Thank you pastor for this message,hakika nimeipokea wakati wa sawa God bless you

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat6029 8 месяцев назад

    Amen god bless you ukupatie nguvu tena

  • @theodoratungaraza2214
    @theodoratungaraza2214 Год назад +1

    Mungu aendelee kukuweka paster

  • @ChristineKanana-ff7xm
    @ChristineKanana-ff7xm 5 месяцев назад

    Pastor uko sawa kabisa.mungu akulindi

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Год назад

    Huyu mtumishi Mungu kampa karama ya ualimu,nanifunza mambo makubwa mno yananitoa mahali na kunipeleka mahali

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 6 месяцев назад

    Mungu naomba uniinue kutoka mavumbini siku ya leo

  • @elijahmuchiri8015
    @elijahmuchiri8015 6 месяцев назад +1

    Waiting apon God hiii for me sitasahau

  • @maryangatia2522
    @maryangatia2522 9 месяцев назад

    A true teacher of the word....you are such a blessing pastor.

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 Год назад +3

    Baba nakushuru kweli we ni mwalimu wa neno la Mungu mafundisho yako lazima yatanibafirisha thank you so much dad

  • @MamuyaAgnes
    @MamuyaAgnes 8 месяцев назад +1

    Yaani na barikiwa sana na mafundisho yako ubarikiwe sana

  • @Charity7057
    @Charity7057 2 года назад

    Ubarikiwe mtumishi naona kutoka mahali nilipo na kwenda hatua nyingine kupitia Neno hili mungu akubariki sana

  • @EverlineMghoi
    @EverlineMghoi 4 месяца назад

    Yani mchungaji neno fundisho la leo linaongelea kuhusu mm mungu akubariki sana

  • @veronicamtungakoa593
    @veronicamtungakoa593 6 месяцев назад

    Natoka katika vifungo vyote katika jina la Yesu. Amen

  • @YohanaJames-e2j
    @YohanaJames-e2j 7 месяцев назад

    Mungu atusaidie kupitia hili neno la Mungu litupe upenyo wa ushindi kila siku

  • @theopistamarai
    @theopistamarai 4 месяца назад

    mungu nisaidie

  • @renatusamos9018
    @renatusamos9018 11 месяцев назад

    God bless you 🎉 and God bless me

    • @renatusamos9018
      @renatusamos9018 11 месяцев назад

      Mchungaji unanipa amani ktk mafundisho yako. Mungu nakuomba unipe ufaham wa kuyajua mafundisho yako mchungaji, kwenye upande wa neno la Mungu na majila ya ulimwengu huu.