JINSI YA KUSHINDA ROHO YA KUKATA TAMAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Комментарии • 241

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 Год назад +21

    Haya mahubiri yananihusu mimi,napitia mambo magumu sana kwenye ndoa yangu.Ila nitamaliza salama na nitavuka kwa jina la YESU

  • @ElikaMwafongo
    @ElikaMwafongo 28 дней назад +1

    Mungu akubaliki sana mtumishi na pia nashukuru sana Mungu kwa kuniongoza kwenye haya mahubiri mana nimepata taharifa yakukata tamaa kabisa hata yakuomba nimeyasikiliza mahubiri haya nimepata hamasa na nguvu ya kusimama tena Mungu nataka kusikia sauti yako na neno lako🙏🙏🙏🎉

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 8 месяцев назад +36

    Miezi minne iliyopita nilitizama video hii,nilishakata tamaa.Nikawaza kuacha kazi na nikawaza kujiua..Nilimkabidhi MUNGU mapito yangu leo hii niko kazini na nimepewa mkataba wa miaka mitatu na mshahara mzuri na roho ya kukata tamaa imeenda kuzimu.Bwana YESU asifiwe.

    • @marthaephata3361
      @marthaephata3361 7 месяцев назад +3

      YESU Aansaidie kuwaachilia niliowaweka ndani ya moyo wangu nisikate tena tamaa kwa mafundisho ya mtumishi nitashinda roho ya kukata tamaa

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 7 месяцев назад +4

      @@marthaephata3361 Mungu akujalie kila hitaji la moyo wako,usikate tamaa kwa jina la YESU.

    • @loicenzai313
      @loicenzai313 3 месяца назад

      Hii roho ilinvamia nikaacha huduma gafla

    • @janeombati2290
      @janeombati2290 2 месяца назад

      AMINA 🙏🙏

  • @maryzimba8057
    @maryzimba8057 8 месяцев назад +11

    Kwa kweli wengi tunaelimika na kubarikiwa na mafundisho yako Pastor George. Mungu azidi kukubariki katika huduma yako ya kuelimisha ulimwengu.

  • @JosephinaJohn-pb4gm
    @JosephinaJohn-pb4gm Месяц назад +1

    Amina. Naamini kwaakupitia mafundisho haya naamini Mungu kaamua kusema nami kupitia mtumishi huyu Mungu akubariki.

  • @tulilulandala1884
    @tulilulandala1884 20 дней назад

    Mungu wangu naomba nisaidie roho ya kukata tamaaa imenivaa ...kwa neno hili naamini nimepona kwa jina la Yesu..nakataa roho hii kwa jina ya Yesu

  • @lyaumarehani5576
    @lyaumarehani5576 2 года назад +9

    Kwakweli MUNGU ni mwema siku zote, Mchugaji MUNGU akuzidishiye na zaidi tena, Mafundisho haya
    Yana nijenga kupitiya kiyasi. Ubarikiwe

  • @adelambaye1298
    @adelambaye1298 Год назад +5

    Amen mtumishi kwakuniongoza mafundisho haya barikiwa Sana 🙏

  • @MiriamKaunga
    @MiriamKaunga 10 месяцев назад +1

    Ameen baba sikati tamaa kwa kitu chochote

  • @dorothyshiyyo3370
    @dorothyshiyyo3370 Год назад +2

    Mungu kanikutanisha na mahubiri sahihi sana. Kwa kweli nimepona. Mungu akubariki sana. Azidi kuinua viwango vyako .

  • @paulotarimo
    @paulotarimo 6 месяцев назад +4

    Hakika Mtumishi umenifungua sana Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi na zaidi

  • @TeresiaBoraa
    @TeresiaBoraa 22 дня назад

    Mtumishi umesema na mimi ubarikiwee nimepona nalifanyia kazi ameen

  • @VictorLemurwa
    @VictorLemurwa 5 месяцев назад +2

    Eee Mungu Baba naomba ukumbuka kazi ya mkono wangu, ondoa roho zaupinzani kwenye kazi yangu. Amen.

  • @sfr92mp
    @sfr92mp 2 года назад +3

    Oooh my God,una nigusa kupitiya mahubiri iyi,mimi nime kuwa nisha kata tama kwa ndoa yangu,nime achana na mke wangu kwajili ya kukata tama,na sheti ametuiba zamu sisi wote,mimi na mke wangu,tume kata tama sasa ina kuwa muda wa mwaka na 3 months atuko pamoja. kwenye ndoa, mimi na ishi Australia

  • @RamadhanIdd-bz2te
    @RamadhanIdd-bz2te 5 месяцев назад +2

    Ee mungu wangu bariki kazi ya mikono yangu ili niweze kusaidia wenzangu na mama yangu mane Baba bariki kazi ya mikono yangu bariki wanangu in Jesus name Amen

  • @mathiasieliasi6450
    @mathiasieliasi6450 2 года назад +3

    Mchungaji nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akubariki zaidi

  • @kamanzamwauchi
    @kamanzamwauchi 7 месяцев назад +4

    😢😢oooh God,, thank you,, am blessed,,🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 MUngu naomba niende na neno la bwana😭

  • @fatumaramadhani5974
    @fatumaramadhani5974 Год назад +1

    Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwaajili yako na mungu kunifany nikujue baba. Mm ni mmoja wawatu nasikilizia Crip zako pastor zinanijenga sana.
    Siku ya Jumamosi tareh 21/10/2023 nikakutana na hii Crip pastor it's like ulikua unajua kinachoendelea kwangu nmeisikiliza hii nilipo malza nikama nmeshushwa mzgo baba Mungu akuweke sana najifunza vng kupitia wewe.

    • @HelminaMathias
      @HelminaMathias 2 месяца назад

      Ni Mimi huyo unayeniambia yaliyoubana moyo na akili zangu. Nikatamani kuachana kabisa na mambo mengi sana kanisani na hata kutamani kufa.Nimegombana hata na Mchungaji kwa kutaka kuacha uongoxi.Asante sana Mtumishi maana MUNGU ame kutumia kusema na Mimi.

  • @IsaacMburu-l3x
    @IsaacMburu-l3x 5 месяцев назад +1

    Mungu Akubariki mtumishi unawafikia wengi injili ya kweli

  • @PrescillarMazera-tm4bn
    @PrescillarMazera-tm4bn Год назад +1

    Ameen pastor umenisaidia Leo hii hata mm nilikuwa nimekata tamaa ilaneno lako limenisa

  • @stacylinckonstacy4776
    @stacylinckonstacy4776 Год назад +6

    MAY GOD BLESS YOU MAN OF GOD...AM HAPPY TO MEET YOU TODAY ON THIS RUclips PLATFORM...I BELIEVE ITS GOD DOINGS...I'VE LEARNT ALOT FROM YOU...GLORY TO ALMIGHTY

  • @anitashishi4118
    @anitashishi4118 7 месяцев назад +3

    Nlikua nikate tamaa nitoke katika ndoa yngu lakin vile nmeskia hili neno najua ni mungu kanieka pahali apa Sio mtu Wala Sio mama mukwe walala bibi mkubwa ni mume wangu Mimi ni mke WA pili nlikua wa kwaza mwanamke akaja ana mtoto na mume wangu tukaa woote sa Mimi sina mtoto nahuzuniswa Kila mara wanataka kuniondoa katika nafasi yngu katika jina la yesu alie nikomboa kutoka gizani nmekataa tena kuria nasimama na jina la yesu na sitoki kwangu watoto utoka kwa mofa ata me nitapata wangu 😢 nashukuru saaana kwa kuhubuli kwako mchunguji mungu akupee maono zaidi 🙏🙏

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 месяцев назад +2

    Mungu nipe ushindi nipe nguvu Ya kushida Vita via rohoni

  • @WitnessKowero
    @WitnessKowero 6 месяцев назад +3

    Oooh Mungu wangu nisaidie mm😢😢 nitoe kwenye ndoa ya mateso Baba

  • @dyesebelkamau9457
    @dyesebelkamau9457 Год назад +3

    Yani umeninenea ,swali nmekuwa nalo kwa muda mrefu umelijibu Kwa utaratibu ,,umenisaidia mtumishi wa Mungu na ubarikiwe Sana

  • @genovevaodoyo7216
    @genovevaodoyo7216 2 года назад +7

    We need such word in today’s church haki , Neno la kweli limekuwa rare kupata . This is the truth and the truth shall set us free . Ts words like these that open the doors to God’s blessings. Be blessed Pastor 🙏

  • @MarcyZagabe
    @MarcyZagabe 6 месяцев назад +1

    Barikiwa saana Mtumishi wa Bwana
    Napenda tukualike Burundi

  • @rahemaseleiman635
    @rahemaseleiman635 3 года назад +3

    Mungu huwatumia watumishi wake kuokoa ulimwengu🤲🤲🙏

  • @NEEMAEMMANUEL-rz7lo
    @NEEMAEMMANUEL-rz7lo Месяц назад

    Ameeen Mungu anisaidie sana naikataa roho ya kukata tamaa pia naomba Rehema kwa Mungu maana nimekuwa nikiifuatwa sana na hii roho nipo chuo kikuu mwaka wa pili nimekua nikiugua kuanzia mwezi wa 11 mpaka sasa nimeenda hospitali 4 lakini naambiwa sina shida wala ugonjwa wowote ule nimepima vipimo 20 wanasema nina afya tele hata mitihani sijafanya wiki hii wenzangu wapo kwenye mtihani nikilala ni afadhali kidogo nikiamka ni kama nachomwa na misumari maumivu ni makali lakini sitakata tamaa

  • @LilanLilian-c4l
    @LilanLilian-c4l 6 месяцев назад +1

    Nime barikiwa mtumishi

  • @ConsolathaTetty
    @ConsolathaTetty 3 месяца назад

    Kuna mahali umetutoa mtumishi Mungu akubariki mnooo❤

  • @kosopa-df3io
    @kosopa-df3io Год назад

    Mungu alie hai tunaomba utuponye Mungu naomba unitie nguvu ✊️✊️✊️✊️✊️

  • @MariaKahind
    @MariaKahind Год назад

    Oooooooh bab yangu asante kwa kunipa mtu sahihi katika maisha yangu na kunifundisha ninapo kata tamaa na kilio cha uchungu.....eeh baba usikawie na unipe maarifa na kuelewa neno lako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @dorothyshiyyo3370
    @dorothyshiyyo3370 Год назад +2

    Mtumishi ananena mambo makubwa ya Mungu kwa ajabu kubwa. Mungu amtumie sana.

  • @jenifasimbuta6257
    @jenifasimbuta6257 2 года назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu hakika umenigusa.

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws 8 месяцев назад +1

    Amen and amen, I'm very blessed with teaching, be blessed in Jesus mighty name pastor, for blessings us in spiritual life, I'm very much humble, I give glory to God, this was my pray to here more from God and you teach me how to welcome our God all the time to be with us, 🙏🙏🙏🙏

  • @DorieMsafi
    @DorieMsafi 3 месяца назад

    Amen 🙏 mtumishi wa Mungu kwa haikika ni Mimi umeongelesha umefanya nimepata mwonekano mpia Amen

  • @annnjoroge6440
    @annnjoroge6440 Месяц назад

    Amen, please the.God that message is mine ,Ask God to take control in my life.

  • @GuFg-d1y
    @GuFg-d1y Год назад +1

    Amen man of God

  • @FKk-q3k
    @FKk-q3k Год назад +1

    Ameen barikiwa mtumishi

  • @furahamamap2721
    @furahamamap2721 Месяц назад

    Amin mtumishi

  • @ImmakulataCylvanus
    @ImmakulataCylvanus 2 месяца назад

    Mungu akubariki baba tumejifunza tusaidie mawasiliano baba yangu mambo ni mengi. Nisaidie

  • @esterpius7423
    @esterpius7423 Год назад +1

    Asante sana Bwana Yesu umeniponya. Nimeinuka tena nasonga mbele

  • @RaymondLeonard-kh4du
    @RaymondLeonard-kh4du 4 месяца назад

    Nabarikiwa namafundisho

  • @neemamsafiri3129
    @neemamsafiri3129 2 месяца назад

    Mungu akuinue zaidi na zaidi Pastor,unafundisha neno lililo hai.

  • @maggytonga8410
    @maggytonga8410 5 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi,umenibariki sana kwa mafundisho mema

  • @alisalukele
    @alisalukele 4 месяца назад

    Amen Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.

    • @evalazaro4502
      @evalazaro4502 4 месяца назад

      Barikiwa mtumishi umenitia moyo

  • @zaloycealoyce4354
    @zaloycealoyce4354 5 месяцев назад

    Ameeen 🙏. Nimebarikiwa sanaaa. Asante YESU 🙏🙏

  • @peterprosper5964
    @peterprosper5964 4 месяца назад

    Ameeen mtumishi

  • @IANA2030
    @IANA2030 Год назад +4

    Very powerful authentic pastor🙏🏿🙏🏿🙏🏿✍🏾

  • @hurumamwantyala354
    @hurumamwantyala354 4 месяца назад

    Amina mtumishi,unasema na mimi Mungu anisaidie

  • @cellinarua5652
    @cellinarua5652 2 года назад +1

    Amen 🙏🙏🙏 baba hili neno limeni gusa sana acha mungu akuinue mutumishi wa mungu

  • @تتغتا-س6ش
    @تتغتا-س6ش 5 месяцев назад

    🙏 🙏 Asante kwa neno nguvu ya Mungu I've pamoja nasi katika familia zetu na kazi zetu 🎉🎉🎉

  • @SolangePélagie
    @SolangePélagie Год назад +2

    Mungu anitiye nguvu nacoka nasikiya kukata tama kwakungoja ahadi

  • @naomingugi8451
    @naomingugi8451 7 месяцев назад

    Amen and Amen. Mungu nisaidie powerful message 🙏

  • @NaomiBinamunguKabate-gr6sv
    @NaomiBinamunguKabate-gr6sv 8 месяцев назад +12

    Ee mwenyezi Mungu Kuna muda ndio najihis kukata tamaa nalia natamani niache kuendelea kutafuta nakupambana naninachokihitaji Ila bado naimani ww utanisaidia nakuomba Mungu tafadhali nisaidie naomba unikumbuke Baba Maumivu haya naomba uyaondoe maishani kwangu fanya jambo kwangu na mm,, nikumbuke kama unavyowakumbuka wengine nitoe kwenye wimbo hili la Maumivu Baba,, Tafadhali nisaidie mm Mungu wangu

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 5 месяцев назад

    Hakika mtumishi umeongea namimi Asante mtumishi kwakunipa imani

  • @kisangprisca8328
    @kisangprisca8328 3 месяца назад

    Pastor you taught me. I have been doing things without God's direction. More grace servant of God.

  • @VictorLemurwa
    @VictorLemurwa 5 месяцев назад

    Eeeh Mungu Baba naomba uturehemu kwa Damu ya Yesu Kristo, kumbuka kazi yangu kimeingiwa na shetani.

  • @SarafinaMoraa-m9q
    @SarafinaMoraa-m9q 5 месяцев назад +1

    Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @RichardMkomwa-eq9pu
    @RichardMkomwa-eq9pu 4 месяца назад

    kweli mtumishi kila saa Namibia nakufa bila sababu naomba had Nakagawa Tamaa Ee Mungu nisaidie sana

  • @ViviJesusbae
    @ViviJesusbae 11 месяцев назад +1

    Amen 🙏 baba, Mungu akubariki.

  • @carolynesimiyu3460
    @carolynesimiyu3460 2 года назад +1

    Hili ndilo neno,,,be blessed my online mentor

  • @everkivuyo8596
    @everkivuyo8596 Год назад

    Huyo Roho Mt alikujaza chakula hiki kimetufungua wengi ..Baba Mungu akuifadhi sana n kukupa neema zaidi tunapona wengi Mungu tunakushukuru sana umeshuka kupitia kinywa cha mt wako baba George..tx u Jesus

  • @imeldaathanas4246
    @imeldaathanas4246 Год назад

    Ameni, asantee mtumishi Mungu akubariki.

  • @stellachotta483
    @stellachotta483 4 месяца назад

    Mungu akupe maisha marefu pastor imagine nimekujua mwaka huu

  • @lucymwinyiseche-ky3tv
    @lucymwinyiseche-ky3tv 5 дней назад

    🙏 🙏 Amen

  • @JosphatiJoseph
    @JosphatiJoseph 5 месяцев назад

    Mchungaji Mungu akubariki naomba maombi yako nimekwama kwenya huduma

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 года назад +2

    Mungu wangu uishie niondolee moyo wa kukata tamaa

  • @Lucyiminza
    @Lucyiminza 8 месяцев назад

    Amen 🙏 🙏 🙏 nmejifunza mengi kwa mafunzo yako be blessed 🙌 😇 🙏

  • @MusaMasuka
    @MusaMasuka 9 месяцев назад +1

    Barikiwa sana mchungaji

  • @KesherNgwembe
    @KesherNgwembe 5 месяцев назад

    Ameni nimebalikiwa sana mungu akubariki na kukuongeza

  • @elliemngwamba7989
    @elliemngwamba7989 4 месяца назад

    Amen
    Mungu nisaidie kuondoka ktk kukata tamaa

  • @RajiTarie-d5c
    @RajiTarie-d5c 6 месяцев назад +1

    Ameen nabalikiwa mno pastor be blessed

  • @francisnyoka
    @francisnyoka Год назад

    Nabarikiwa nikiwa Kenya, God bless you so much Pastor 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maliyamungukisembo-zq5yl
    @maliyamungukisembo-zq5yl 5 месяцев назад

    Nimepata nguvu sana kupitia yale mafundisho ubarikiwe sana na yesu kristo akutie nguvu

  • @MARYLibaba
    @MARYLibaba 4 месяца назад

    NI KWELI KABISA ,UBARIKIWE

  • @FatumaHaji-k5j
    @FatumaHaji-k5j Год назад

    Amina Mtumishi wa Mungu. Mafundisho Yako yananibariki sana.

  • @hellenmwandumbya
    @hellenmwandumbya 4 месяца назад

    mungu niponye kwa jina la yesu

  • @محمدمم-م8ي
    @محمدمم-م8ي Год назад

    Mungu akubariki postor yan baraka zake ziambatane nawe

  • @ShallinRotich
    @ShallinRotich Год назад

    Amen 🙏🙏 powerful preaching

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i 5 месяцев назад

    Amen Amen nimepokea mafundisho

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un 4 месяца назад

    Aminaaa❤ the word of God

  • @lightnessmunisi7650
    @lightnessmunisi7650 Год назад

    Amina Amina mtumishi wa MUNGu

  • @lucywairimu2330
    @lucywairimu2330 3 месяца назад

    Strong msg nko 2024 tko wengi

  • @NsimireNsimire-q7s
    @NsimireNsimire-q7s 5 месяцев назад

    Vraiment nimimi nimeogelewa hapo kwani kukata tama nikawaida Yangu Ila nakuomba Mungu anijiye tena musaidizi ubarikiwe baba

  • @MargaretKaranja-yu6hr
    @MargaretKaranja-yu6hr 4 месяца назад +1

    Amen halleluyah

  • @joshuakisaukitonga5417
    @joshuakisaukitonga5417 6 месяцев назад +1

    Amen pst kwanza mm huwa naanza maombi vizuri inafika maali nakata tamaa mpaka ninaacha maombi na ninaaza kufikiria vitu vingine karibu utuhubiriee kenya pst

  • @virginiamaenda1042
    @virginiamaenda1042 4 месяца назад

    Mtumishi mungu akubariki sana mafundisho yako yameniweka huru

  • @AsifiweGideon
    @AsifiweGideon 7 месяцев назад

    ahsanteee mtumish kwa neno la uzima

  • @ToshaRegina
    @ToshaRegina 2 месяца назад

    Mimi nakosa niseme nini mtumishi wa Mungu ,bali naomba msaada wa maombi kutoka kwako Baba yangu

  • @oscarmhando1135
    @oscarmhando1135 2 месяца назад

    God bless u pastor

  • @IsaacMburu-l3x
    @IsaacMburu-l3x 5 месяцев назад

    Very true man of God Hali ya utasa inawasumbua wengi Mungu Atupe ufunuo

  • @rehema8094
    @rehema8094 Год назад

    Amen mtusmishi hiyo roho naiona ikicheza sana ,kulaaumu ndo sana ila nimepata funzo notakaa nijifanyie mkutano namungu ataniregesha kwa hali yangu .ubarikiwe sana 🙏🙏

  • @obbykimbale9842
    @obbykimbale9842 Год назад

    Endelea kutumika shambani mwa bwana. Mungu baba anakutumia Sana barikiwa sana

  • @RizikiMwakalebela
    @RizikiMwakalebela 5 месяцев назад

    Ubalikiwe mtumishi wa mumgu

  • @Rebekaeliazer
    @Rebekaeliazer 2 месяца назад

    Amena kubwa

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 9 месяцев назад

    Mtumishi nashukuru sanaaaa .Umefundisha mpaka umegusa maisha yangu.

  • @HhMm-w3l
    @HhMm-w3l 6 месяцев назад

    Namshukuru mungu kwa kunena Nami amen amen

  • @lovenessdastan5943
    @lovenessdastan5943 Год назад

    asante kwa kunigusa mtumish nilkuwa napanga nijiondoe kazn