@@MercyMallyoSamahani pengine Mimi ndio sioni vizuri namba iliyo kwa scree ni ya ule mchungaji ulie mleta mwisho lakini ya enosi Mimi sijaiona kwenye screen Nime angallia mwanzo mpaka mwisho naomba rathi hiyo namba kwenye screen mwishoe ni ya mchungaji upi?
Jinsi anavyo jibu Mungu amtokee kwa viwango zaid
Namjua mchungaji na Iman aliyonayo zaidi ya miaka 13 mungu aendelee kukutunza mtumish
Nisaidie na namba yake huyu mwanadada hakumpa nafasi ya kupeana namba yake kwa wasikilizaji (pastor majaliwa) asante na Mungu azidi kuwa nawe
Namba zao zipo hapo zote mwanzoni mwa maongezi kwenye screen hapo tumeweka namba zake
@@MercyMallyoSamahani pengine Mimi ndio sioni vizuri namba iliyo kwa scree ni ya ule mchungaji ulie mleta mwisho lakini ya enosi Mimi sijaiona kwenye screen Nime angallia mwanzo mpaka mwisho naomba rathi hiyo namba kwenye screen mwishoe ni ya mchungaji upi?
Mungu huwa snatumia viumbe dhaifu na vilivyodharauliwa sana!!! ❤
Mbarikiwe sana kwa Imani hii,Mungu akawatendee xaidi na xaidi,mxee wa kanisa hongera na family yako.
Kwakweli Mungu hana mfano na hafananishwii
Kwakwel mungu hatupi mjawake kila atakae mfata mfati bule mungu
Tunaomba namba ya mchungaji enos tafathali Asante
Mtaje huyo Mchungaji aliyekupokea , huumtaji kwa sababu unajiona wewe ni mkubwa kuliko aliekupokea
Aisee yesu ni fundi sitadi, huyu mch namfahamu mda mrefu, sana tangu amepewa nyumba ya kukaa bure, viwanja vya mwadui, anachokisema ni sahii
Mzee anaimani