VITUKO VYA SHINYANGA- MWEWE WALIVYO TUMWA KANISANI KUMMALIZA MCHUNGAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 13

  • @IsackMwasalemba-e8l
    @IsackMwasalemba-e8l 4 дня назад +4

    Jinsi anavyo jibu Mungu amtokee kwa viwango zaid

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf 4 дня назад +4

    Namjua mchungaji na Iman aliyonayo zaidi ya miaka 13 mungu aendelee kukutunza mtumish

    • @mercykariithi7919
      @mercykariithi7919 День назад

      Nisaidie na namba yake huyu mwanadada hakumpa nafasi ya kupeana namba yake kwa wasikilizaji (pastor majaliwa) asante na Mungu azidi kuwa nawe

    • @MercyMallyo
      @MercyMallyo День назад

      Namba zao zipo hapo zote mwanzoni mwa maongezi kwenye screen hapo tumeweka namba zake

    • @mercykariithi7919
      @mercykariithi7919 День назад

      ​@@MercyMallyoSamahani pengine Mimi ndio sioni vizuri namba iliyo kwa scree ni ya ule mchungaji ulie mleta mwisho lakini ya enosi Mimi sijaiona kwenye screen Nime angallia mwanzo mpaka mwisho naomba rathi hiyo namba kwenye screen mwishoe ni ya mchungaji upi?

  • @agnessima5032
    @agnessima5032 2 дня назад

    Mungu huwa snatumia viumbe dhaifu na vilivyodharauliwa sana!!! ❤

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 дня назад

    Mbarikiwe sana kwa Imani hii,Mungu akawatendee xaidi na xaidi,mxee wa kanisa hongera na family yako.

  • @BarakaMtega-p7o
    @BarakaMtega-p7o День назад

    Kwakweli Mungu hana mfano na hafananishwii

  • @Titomtumishi
    @Titomtumishi 4 часа назад

    Kwakwel mungu hatupi mjawake kila atakae mfata mfati bule mungu

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 День назад

    Tunaomba namba ya mchungaji enos tafathali Asante

  • @moshiwasua5749
    @moshiwasua5749 2 дня назад +1

    Mtaje huyo Mchungaji aliyekupokea , huumtaji kwa sababu unajiona wewe ni mkubwa kuliko aliekupokea

  • @DicksonRichard-gj7qb
    @DicksonRichard-gj7qb 2 дня назад

    Aisee yesu ni fundi sitadi, huyu mch namfahamu mda mrefu, sana tangu amepewa nyumba ya kukaa bure, viwanja vya mwadui, anachokisema ni sahii

  • @IsackMwasalemba-e8l
    @IsackMwasalemba-e8l 4 дня назад

    Mzee anaimani