WAKILI KIBATALA AELEZA MASHTAKA YA BONIFACE JACOB, ANYIMWA DHAMANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 135

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 4 часа назад +14

    Huwa Mungu husimama upande wa wenye haki daima, kumbukeni maisha yetu ni ya kupita tu hapa duniani, haijalishi wewe una cheo Gani na unafanya kazi Gani, Mwogopeni Mungu.

  • @DataRahisi-ob7ft
    @DataRahisi-ob7ft 4 часа назад +8

    Mawakili makini sana. Kazi njema sana Kibatala

  • @BungeyiSaiboku
    @BungeyiSaiboku 4 часа назад +5

    Hongereni sana wakili wetu

  • @ferdinandikubila3669
    @ferdinandikubila3669 3 часа назад +4

    Asanteni sana mawakili wetu wa Chama chetu kwa weledi huo mkubwa mlio nao na Mungu awasaidie ktk majukumu yenu.

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 4 часа назад +4

    Kazi nzuri mawakili wasomi

  • @deuskamugisha3627
    @deuskamugisha3627 4 часа назад +5

    Najisikia Raha sana kukuona wakili kibatala

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 4 часа назад +11

    Hao askari wanataka kukutoweni ktk point ya tarehe 23

  • @IvanKambindu
    @IvanKambindu 2 часа назад +3

    Namkubali sana Brother Boniface Jacob

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime9357 4 часа назад +7

    Tunakuamin Kibatara

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Час назад +1

    Hongera sana kibatara pamoja na timu yenu Mungu awabariki watanzania tunawaombea dhidi ya ubabe huu wa sheria

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx 4 часа назад +7

    Poleni kwa yote wanaharakati munguyupo

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 4 часа назад

      Kweli ni wanaharakati siyo wanasiasa!

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 3 часа назад +5

    Mungu anaona kila tukio na kila chozi akikasirika Mungu hatasalia mtu

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 4 часа назад +6

    Aaah wakil Ina maana kwel humfahamu ndugu mafwele😊

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 4 часа назад +1

      Wakili anaweza akakuuliza unaitwa nani ili hali anakujua vizuri na ameshika cheti chako cha kuzaliwa mkononi...

    • @bakariisack5537
      @bakariisack5537 15 минут назад

      Nimeipenda sana!!!!

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 часа назад +1

    Poleni Sana wanachadema wote Mungu wetu yupo atajibu

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 2 часа назад +3

    Hongera Sana Tena wakili msomi sio msomi Tu mtetezi kama wewe upo tunarizika sana

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 3 часа назад +5

    Wakili msomi hongera mkuu kwa kazi nzr.

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 4 часа назад +6

    GOD is control, binadamu anapanga Mungu anakamilisha

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 4 часа назад +3

    Viongozi wetu walindwe sana hasa usiku huuuu

  • @EmmanuelMpali
    @EmmanuelMpali 4 часа назад +3

    Kweli tumwombe mungu sana maana nchi inakoelekea sko

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 2 часа назад +2

    Kwanza tunakuamini Kibatala nyie sio watu wa utani MUNGU AWE Pamoja Nanyi DAIMA hongera Sana asilimia mia moja ushindi kwenu

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta9697 2 часа назад +2

    Tunakuombea kwa sala zote mungu yu pamoja nawe kaka

  • @HijaxZone
    @HijaxZone 2 часа назад +2

    Nyie Mungu yupo tena yupo kweli fanyeni utafiti mtaamini ninacho sema na mtauona ukubwa wake.

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 3 часа назад +3

    Haya ma ccm hovyo kabisa badala yahangaike na matatizo ya wananchi yanahangaika na upuuzi tu

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo 2 часа назад

    Waoooo! Wakili kibatala nilimis Sana kukusikia. Nilikupenda Sana tangu kwenye kes ya mbowe yaburuze tena tena haya mambwa yanatusumbua sana

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 3 часа назад +2

    Hii yote ni uwoga wa watawala wameshaingia upepo wameshindwa kutoa maelezo ndugu zetu na watoto wanaopotea wako wapi tutajua tu panapovuja ni wapi wako wapi akina Hitler na wengine waliouwa watu ili wao waongoze. Ni hivi ufalme unaoanguka lazima iwe na dalili hizi mnakwenda kufa kifo cha mende.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 часа назад +1

    Ya mengi kama hajafa kwa Ajali watekaji wallahy tumeumia

  • @MpitamumoHamisi
    @MpitamumoHamisi 4 часа назад +3

    Hiv askari police huwa akili zao wote ni kama robot? Maana wanaofanya mambo ya hovyo 2, Ila chama tawala hawakamatwi. Lkn pia kuna wa2 wanamsifu Samia Suluhu kuwa anaupiga mwingi. Which is which!!

  • @gililwise
    @gililwise 4 часа назад +2

    Asante wakili msomi

    • @munyawerasosthene7548
      @munyawerasosthene7548 3 часа назад +1

      Msomi Somamia Boniface Vzuri Tukaminia Na Mkono Wa Mungu Uwe Nanyie Lakini No Ukweri Polisi Wanaua Watu 100/100

  • @HansHans-ye6gn
    @HansHans-ye6gn 3 часа назад +1

    Daa huu ni wakati wa wananchi kujifunza tena ya mahakamani,zamu hii ni yuleyule kibatala tena.mambo ya PGO tulishayajua ,sasa sijui itakua zamu ya nini,yetu masikio.

  • @LoisoloiTailek
    @LoisoloiTailek 4 часа назад +3

    Siku hizi hakuna kifo kinachotokana na Mungu binadamu siku hizi ndo wanaondondoa roho za watu😭😭kikubwa tusubiri tuu kiama

  • @AbasiKiata
    @AbasiKiata Час назад

    Kibatala kichwa sanaaaa

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 часа назад +1

    Yaani hawa ni wakati wa kushikamana

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufee 28 минут назад +1

    Khutba ya mama bdo inaendelea kufnya kazi sas tutaona meus na meupe ..

  • @SylvesterKameo
    @SylvesterKameo 4 часа назад +3

    Hivi mtu akitishiwa maisha yake suluhu yake ni kumweka mahabusu?

  • @promisetenson7258
    @promisetenson7258 3 часа назад +1

    Mawakili wasomi kabisa peperusheni bendera hiyo polisi hamna kitu kila siku wana kurupuka na kuambulia aibu mahakamani

  • @ThomasiMatoke-hm3dr
    @ThomasiMatoke-hm3dr 4 часа назад +1

    Wasenge hawa wanasimamiwa na huyo mama haki aipotei

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 3 часа назад +1

    Serekari onevu, mtu akiongea kweli anakuw Adui,

  • @AnaniaMmari
    @AnaniaMmari 4 часа назад

    Mm nawakubali sn

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 4 часа назад +1

    Mwamba sijamuona muda mrefu, piga kazi ni 18 zako hizi Mungu yuko upande wetu nani yuko juu yetu?

  • @SaidiSelemani-l1n
    @SaidiSelemani-l1n 3 часа назад +1

    Saf wakir

  • @chikizamifupa5786
    @chikizamifupa5786 4 часа назад +2

    Mbivu na mbichi zitajulikana.

  • @IssaKaminyoge
    @IssaKaminyoge 4 часа назад +1

    Mama mama nimama yako kisa umepewa kapikipiki

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 часа назад

    👊✌️👍.

  • @mwitawinani320
    @mwitawinani320 4 часа назад +3

    Poor thinking capacity

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 часа назад +1

    Why serikali ikishindwa hamuifungulii kesi!!??

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 часа назад

    Nchi yakijinga sana tz wa tized km ndio hivohivo mnafanyiwa na viongozi wenyu waserekali

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Час назад

    Utawala wa ASP chini ya Iddi Amini mama samia

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Час назад

    KESI ZA OVYO OVYO TU NA ZA KIJINGA....KAMA KESI YA KOMBO KULE TANGA....KESI ZOTE HIZO ZINA DHAMANA NA NI KESI ZINATIA KINYAA NA AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI YETU....TANZANIA IMEKUWA 'KICHEKESHO' KWENYE DURU YA DUNIA.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Час назад

    AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA JESHI LA POLISI....MNATUMIWA NA MMEKUBALI KUTUMIWA NA VIONGOZI WA SERIKALI....POLEPOLE NCHI YETU INAINGIA KWENYE MACHAFUKO.

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Час назад

    Kwa sheria gani uishauri mahakama kuwa asipewe dhamana mahakama ni chombo huru

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo1590 3 часа назад

    so funny

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 2 часа назад

    Ma R.S.O ni wa nchi gani....😂😂😂

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 4 часа назад +6

    Kwahiyo nyumbani mlienda kukagua nn!? Nchi hii😢

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 3 часа назад

    Jamani raisi Samia angalia polisi wanavyo kuharibia kazi mbona hivyo Dunia sisi wote tumeumbwa na mungu kwanini Kila wakati polisi wanafanya kazi kama sio wasomi tunapita tu

  • @MussasamliMawazo
    @MussasamliMawazo Час назад

    Kibatala.kumbuka wewe ni wakili mkubwa sana itapokea kila kinachokuja mbele yako leo kesi ya binti yombo umefunikwa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 часа назад

    Mithali 29:2b.

  • @nicolausisaya
    @nicolausisaya 2 часа назад

    samahni wanasheria na mawakili iv polisi anaruhusiwa kumpeleka mtu mahakamani bila kuwa na ushahidi

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 2 часа назад

    Mbowe msanii sana

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Час назад

    Kwanini police wanapokosea kwanini wasiwajibike kwamakosa yao, yaan kulipa fidia

  • @MbokaRechadi
    @MbokaRechadi 2 часа назад

    Viongozi i Wana penda kutumia miguvu hata vitu visivyo na maana badala kujenga zahanati na kutuletea maji kelele tuu

  • @RoseChapesi
    @RoseChapesi 4 часа назад

    Immartin nimekuona kaka

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 4 часа назад

    Boniface ni mtu ambaye anajulikana, Polisi ni watu wenye weredi mkubwa na tumewapa dhamana kisheria ya kutulinda, hawapaswi kufanya makosa madogo kama hayo, ni rahisi kusema wanapokea maelekezo yanayowafanya kuonekana si watu wenye weredi.

  • @sokastreet
    @sokastreet 2 часа назад

    Nmekuelewa hapo mwisho kibatala hao maRCO ni wa nchi gani waliotajwa 😅

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 4 часа назад

    Hamna muhimili hapo, nimaelekezo tuu

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Час назад

    Kumbe mafwele ana fadhiliwa na selikali ya samia syo????

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 2 часа назад

    Kwani wamesahau kama stiva yuko hai na amesema mambela ndio alie mteka

  • @lucianakweyunga8187
    @lucianakweyunga8187 3 часа назад

    Noole proseque

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Час назад

    Kichwa maji selemani

  • @EmanuerKalori
    @EmanuerKalori Час назад

    Mimi ccm lakin chadema nawapa pole

  • @athumanisudi891
    @athumanisudi891 Час назад

    Shimoni tunaingia muda sio mwingi

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 4 часа назад

    Hawa watu inabid muwe mnadili nao personal

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 3 часа назад

    Sasa zile shahidi debe zije jamaniiiiì

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 3 часа назад

    Account ya kuchangia kuongeza nguvu mtutumie

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 часа назад

    Serekali msikandamize upande mmoja zipo video za wana ccm wengine wanaropoka tu matukio waliyokwisha kuyafanya na ni kweli. Vipi kuhusu hao maana wanaonekana hadi sura zao kama yule ...Kisila wa Arusha anasema alitumika kuchinja chinja muulizen alimjinja nani wengine tumepotelewa na ndugu hatujawapata tunauchungu mjue😭😭🫵

  • @ThomasiMatoke-hm3dr
    @ThomasiMatoke-hm3dr 4 часа назад

    Huyo mafwele ajitoke mahakani muuaji mkubwa yy atakwenda wp mungu ni huyu mmoja ameuwa watu leo boni anasema jwa nn serikali icmuoji huyo muwaji mafwele? mnawalinda watekaji mb

  • @SelemanAlly-lz4sb
    @SelemanAlly-lz4sb 3 часа назад

    Sjaona wa kushindana na rahisi samia mmeruhusiwa piga mikutano uchaguzi unakuja

    • @ibrahimowen5573
      @ibrahimowen5573 2 часа назад

      Siwasemi kwa ubaya Ila waislamu wanaokoment humu inaonekana wanauwezo mdogo wakufikiri

  • @binseif2216
    @binseif2216 2 часа назад

    Mawakili mchongo

  • @furahamwazembe7257
    @furahamwazembe7257 4 часа назад

    Kua bonge naww n mda Ako saiz hahaha

  • @Msemakweli058
    @Msemakweli058 4 часа назад

    Kwanni wanao kamatwa ni wanachama wa chadema tu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Час назад

    Huu unyanyasaji utafika mwisho kabisa

  • @ramadhanimandoa716
    @ramadhanimandoa716 3 часа назад

    Alaf tusiwaamin san haw chadem nao ni binadamu ty sio kam kila kitu wanaonewa

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 3 часа назад

    Hivi mtu akiwa rumande, akakikimbila polisi, ndio unamwkea rumande?

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w 4 часа назад

    Inch ngumu hii

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 4 часа назад

    Kumekucha

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta9697 2 часа назад

    Police hawa jamani

  • @SaidAli-rs5pc
    @SaidAli-rs5pc 4 часа назад +1

    Naomba muhoji vipi kuhusu Hawa viongozi wa ccm wanaojitangaza kuwa ktika vikisi vya chinjachinja na mwingine kusema kuawakiwapoteza watu wanaoikosoa serikali polisi wasiwatafte na mwingine kusema yeye alihusika katika shughuli za polini kuhakikisha ccm inapita mbona hatuoni hatua zikichukuliwazidiyao au Sheria ipokuwatesa wapinzani tu??

  • @user-wn4vs9fp1m
    @user-wn4vs9fp1m 3 часа назад

    Sim zakwao au?😅😅😅

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv 4 часа назад

    Duh bina dam kwanini wasilikamate ilo mwafele😢😢😢

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini 3 часа назад

    ACHA KUJISIFIA TUELEZE LILILOJIRI ...

  • @SelemanAlly-lz4sb
    @SelemanAlly-lz4sb 4 часа назад +2

    Acheni Mas hara na serikali mikutano mmeruhusiwa a hen mama afanye kazi

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 4 часа назад +1

    Who is mafwere.

  • @veryboyplatnumz3506
    @veryboyplatnumz3506 4 часа назад

    Tanzania 😭😭😭

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 4 часа назад

    Wanajua Boni Yai ni threat kuelekea Maandamano tar 23

  • @OnlineEarningTz
    @OnlineEarningTz 4 часа назад

    Ukiwa wakili raha sana unaweza kubisha hata kitu halisi

  • @SelemanAlly-lz4sb
    @SelemanAlly-lz4sb 4 часа назад +1

    Kuitoa CCM ni ndoto hta mfanyaje hamuwezi kutudanganya tuandamane no

  • @hamisidd8124
    @hamisidd8124 4 часа назад

    Marehemu jpm,aliwahi kusema mawakiri wako tayari kumtetea mtu mahakamani hata Kama ameiba au ameua na ushahidi upo ,waacheni polis wafanye uchunguzi wa matukio ya utekaji na mauaji

  • @gililwise
    @gililwise 4 часа назад

    Tuma account tuwachangie maana hao dv 0 hamna kitu wanachokijua

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 4 часа назад

    Watu wanatetea waharifu haya zegembe limeenda keko vijana wanafurahia😅😅

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 4 часа назад +2

    CHADEMA NI WAHUNI NA MAJAMBAZI,,, WAÑATUMWA KUCHAFUA AMANI YA NCHI ŸETU

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 4 часа назад

      Kafungue kesi ya ujambazi

    • @BarakaMaglaniLaizer
      @BarakaMaglaniLaizer 4 часа назад

      Tufungulie kesi ya ujambazi .

    • @JacklineMmari-y1y
      @JacklineMmari-y1y 4 часа назад

      Unauhakika na unachokisema au unaandika ili na wewe uonekane imeandikwa?

    • @peterjosephat6685
      @peterjosephat6685 3 часа назад

      Chawa wa ccm ndo mlipo lifikisha taifa hapa mnachekelea kifo mnajilinda kwa damu ya ndugu zetu kama mnavyo sema wenyewe mungu hawezi kuruhusu hilo ata waaibisha mchana kweupe

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 3 часа назад

      mkundu wewe