WAKILI KIBATALA AELEZA MASHTAKA YA BONIFACE JACOB, ANYIMWA DHAMANA
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Huwa Mungu husimama upande wa wenye haki daima, kumbukeni maisha yetu ni ya kupita tu hapa duniani, haijalishi wewe una cheo Gani na unafanya kazi Gani, Mwogopeni Mungu.
Mawakili makini sana. Kazi njema sana Kibatala
Hongereni sana wakili wetu
Asanteni sana mawakili wetu wa Chama chetu kwa weledi huo mkubwa mlio nao na Mungu awasaidie ktk majukumu yenu.
Kazi nzuri mawakili wasomi
Najisikia Raha sana kukuona wakili kibatala
Hao askari wanataka kukutoweni ktk point ya tarehe 23
Namkubali sana Brother Boniface Jacob
Tunakuamin Kibatara
Hongera sana kibatara pamoja na timu yenu Mungu awabariki watanzania tunawaombea dhidi ya ubabe huu wa sheria
Poleni kwa yote wanaharakati munguyupo
Kweli ni wanaharakati siyo wanasiasa!
Mungu anaona kila tukio na kila chozi akikasirika Mungu hatasalia mtu
Oh
Aaah wakil Ina maana kwel humfahamu ndugu mafwele😊
Wakili anaweza akakuuliza unaitwa nani ili hali anakujua vizuri na ameshika cheti chako cha kuzaliwa mkononi...
Nimeipenda sana!!!!
Poleni Sana wanachadema wote Mungu wetu yupo atajibu
Hongera Sana Tena wakili msomi sio msomi Tu mtetezi kama wewe upo tunarizika sana
Wakili msomi hongera mkuu kwa kazi nzr.
GOD is control, binadamu anapanga Mungu anakamilisha
Viongozi wetu walindwe sana hasa usiku huuuu
Kweli tumwombe mungu sana maana nchi inakoelekea sko
Kwanza tunakuamini Kibatala nyie sio watu wa utani MUNGU AWE Pamoja Nanyi DAIMA hongera Sana asilimia mia moja ushindi kwenu
Tunakuombea kwa sala zote mungu yu pamoja nawe kaka
Nyie Mungu yupo tena yupo kweli fanyeni utafiti mtaamini ninacho sema na mtauona ukubwa wake.
Haya ma ccm hovyo kabisa badala yahangaike na matatizo ya wananchi yanahangaika na upuuzi tu
Waoooo! Wakili kibatala nilimis Sana kukusikia. Nilikupenda Sana tangu kwenye kes ya mbowe yaburuze tena tena haya mambwa yanatusumbua sana
Hii yote ni uwoga wa watawala wameshaingia upepo wameshindwa kutoa maelezo ndugu zetu na watoto wanaopotea wako wapi tutajua tu panapovuja ni wapi wako wapi akina Hitler na wengine waliouwa watu ili wao waongoze. Ni hivi ufalme unaoanguka lazima iwe na dalili hizi mnakwenda kufa kifo cha mende.
Ya mengi kama hajafa kwa Ajali watekaji wallahy tumeumia
Hiv askari police huwa akili zao wote ni kama robot? Maana wanaofanya mambo ya hovyo 2, Ila chama tawala hawakamatwi. Lkn pia kuna wa2 wanamsifu Samia Suluhu kuwa anaupiga mwingi. Which is which!!
Asante wakili msomi
Msomi Somamia Boniface Vzuri Tukaminia Na Mkono Wa Mungu Uwe Nanyie Lakini No Ukweri Polisi Wanaua Watu 100/100
Daa huu ni wakati wa wananchi kujifunza tena ya mahakamani,zamu hii ni yuleyule kibatala tena.mambo ya PGO tulishayajua ,sasa sijui itakua zamu ya nini,yetu masikio.
Siku hizi hakuna kifo kinachotokana na Mungu binadamu siku hizi ndo wanaondondoa roho za watu😭😭kikubwa tusubiri tuu kiama
Kibatala kichwa sanaaaa
Yaani hawa ni wakati wa kushikamana
Khutba ya mama bdo inaendelea kufnya kazi sas tutaona meus na meupe ..
Hivi mtu akitishiwa maisha yake suluhu yake ni kumweka mahabusu?
Mawakili wasomi kabisa peperusheni bendera hiyo polisi hamna kitu kila siku wana kurupuka na kuambulia aibu mahakamani
Wasenge hawa wanasimamiwa na huyo mama haki aipotei
Serekari onevu, mtu akiongea kweli anakuw Adui,
Mm nawakubali sn
Mwamba sijamuona muda mrefu, piga kazi ni 18 zako hizi Mungu yuko upande wetu nani yuko juu yetu?
Saf wakir
Mbivu na mbichi zitajulikana.
Mama mama nimama yako kisa umepewa kapikipiki
👊✌️👍.
Poor thinking capacity
Why serikali ikishindwa hamuifungulii kesi!!??
Nchi yakijinga sana tz wa tized km ndio hivohivo mnafanyiwa na viongozi wenyu waserekali
Utawala wa ASP chini ya Iddi Amini mama samia
KESI ZA OVYO OVYO TU NA ZA KIJINGA....KAMA KESI YA KOMBO KULE TANGA....KESI ZOTE HIZO ZINA DHAMANA NA NI KESI ZINATIA KINYAA NA AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI YETU....TANZANIA IMEKUWA 'KICHEKESHO' KWENYE DURU YA DUNIA.
AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA JESHI LA POLISI....MNATUMIWA NA MMEKUBALI KUTUMIWA NA VIONGOZI WA SERIKALI....POLEPOLE NCHI YETU INAINGIA KWENYE MACHAFUKO.
Kwa sheria gani uishauri mahakama kuwa asipewe dhamana mahakama ni chombo huru
so funny
Ma R.S.O ni wa nchi gani....😂😂😂
Kwahiyo nyumbani mlienda kukagua nn!? Nchi hii😢
Password ya X😂😂
Kamulize mbowe
Account ya tweeter
Jamani raisi Samia angalia polisi wanavyo kuharibia kazi mbona hivyo Dunia sisi wote tumeumbwa na mungu kwanini Kila wakati polisi wanafanya kazi kama sio wasomi tunapita tu
Kibatala.kumbuka wewe ni wakili mkubwa sana itapokea kila kinachokuja mbele yako leo kesi ya binti yombo umefunikwa
Mithali 29:2b.
samahni wanasheria na mawakili iv polisi anaruhusiwa kumpeleka mtu mahakamani bila kuwa na ushahidi
Mbowe msanii sana
Kwanini police wanapokosea kwanini wasiwajibike kwamakosa yao, yaan kulipa fidia
Viongozi i Wana penda kutumia miguvu hata vitu visivyo na maana badala kujenga zahanati na kutuletea maji kelele tuu
Immartin nimekuona kaka
Boniface ni mtu ambaye anajulikana, Polisi ni watu wenye weredi mkubwa na tumewapa dhamana kisheria ya kutulinda, hawapaswi kufanya makosa madogo kama hayo, ni rahisi kusema wanapokea maelekezo yanayowafanya kuonekana si watu wenye weredi.
Nmekuelewa hapo mwisho kibatala hao maRCO ni wa nchi gani waliotajwa 😅
Hamna muhimili hapo, nimaelekezo tuu
Kumbe mafwele ana fadhiliwa na selikali ya samia syo????
Kwani wamesahau kama stiva yuko hai na amesema mambela ndio alie mteka
Noole proseque
Kichwa maji selemani
Mimi ccm lakin chadema nawapa pole
Shimoni tunaingia muda sio mwingi
Hawa watu inabid muwe mnadili nao personal
Sasa zile shahidi debe zije jamaniiiiì
Account ya kuchangia kuongeza nguvu mtutumie
Serekali msikandamize upande mmoja zipo video za wana ccm wengine wanaropoka tu matukio waliyokwisha kuyafanya na ni kweli. Vipi kuhusu hao maana wanaonekana hadi sura zao kama yule ...Kisila wa Arusha anasema alitumika kuchinja chinja muulizen alimjinja nani wengine tumepotelewa na ndugu hatujawapata tunauchungu mjue😭😭🫵
Huyo mafwele ajitoke mahakani muuaji mkubwa yy atakwenda wp mungu ni huyu mmoja ameuwa watu leo boni anasema jwa nn serikali icmuoji huyo muwaji mafwele? mnawalinda watekaji mb
Sjaona wa kushindana na rahisi samia mmeruhusiwa piga mikutano uchaguzi unakuja
Siwasemi kwa ubaya Ila waislamu wanaokoment humu inaonekana wanauwezo mdogo wakufikiri
Mawakili mchongo
Kua bonge naww n mda Ako saiz hahaha
Kwanni wanao kamatwa ni wanachama wa chadema tu
Huu unyanyasaji utafika mwisho kabisa
Alaf tusiwaamin san haw chadem nao ni binadamu ty sio kam kila kitu wanaonewa
Hivi mtu akiwa rumande, akakikimbila polisi, ndio unamwkea rumande?
Inch ngumu hii
Kumekucha
Police hawa jamani
Naomba muhoji vipi kuhusu Hawa viongozi wa ccm wanaojitangaza kuwa ktika vikisi vya chinjachinja na mwingine kusema kuawakiwapoteza watu wanaoikosoa serikali polisi wasiwatafte na mwingine kusema yeye alihusika katika shughuli za polini kuhakikisha ccm inapita mbona hatuoni hatua zikichukuliwazidiyao au Sheria ipokuwatesa wapinzani tu??
Sim zakwao au?😅😅😅
Duh bina dam kwanini wasilikamate ilo mwafele😢😢😢
ACHA KUJISIFIA TUELEZE LILILOJIRI ...
Ulicho kisikia ndio hicho kilchojili hicho nini sasa
Kaushaaaaaa.
Acheni Mas hara na serikali mikutano mmeruhusiwa a hen mama afanye kazi
Acha ujinga wewe tahira wa ccm
We ni mpumbavu sana
😢
Choko
Kolo
Who is mafwere.
Tanzania 😭😭😭
Wanajua Boni Yai ni threat kuelekea Maandamano tar 23
Ukiwa wakili raha sana unaweza kubisha hata kitu halisi
Kuitoa CCM ni ndoto hta mfanyaje hamuwezi kutudanganya tuandamane no
Mungu haoti
Wewe mvaa kobazi nani amemwambia uandamane, toka lini mashoga yakahusishwa kwenye maandamano.
Unapenda ccm wakati unaniaaaa pole kolo.
Marehemu jpm,aliwahi kusema mawakiri wako tayari kumtetea mtu mahakamani hata Kama ameiba au ameua na ushahidi upo ,waacheni polis wafanye uchunguzi wa matukio ya utekaji na mauaji
Tuma account tuwachangie maana hao dv 0 hamna kitu wanachokijua
Watu wanatetea waharifu haya zegembe limeenda keko vijana wanafurahia😅😅
CHADEMA NI WAHUNI NA MAJAMBAZI,,, WAÑATUMWA KUCHAFUA AMANI YA NCHI ŸETU
Kafungue kesi ya ujambazi
Tufungulie kesi ya ujambazi .
Unauhakika na unachokisema au unaandika ili na wewe uonekane imeandikwa?
Chawa wa ccm ndo mlipo lifikisha taifa hapa mnachekelea kifo mnajilinda kwa damu ya ndugu zetu kama mnavyo sema wenyewe mungu hawezi kuruhusu hilo ata waaibisha mchana kweupe
mkundu wewe