VIVA KOMREDI LISSU....VIVA CHADEMA....WATANAZANIA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU NA MAMILIONI WASIO NA VYAMA TUKO PAMOJA NA NYUMA YENU....NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YENU.
CCM wamejinyea mwaka huu bara na visiwani. Kule zanzibar kuna dhalim pia anataka anyamaziwe aogopwe. Mwaka huu wananchi wamechachamaa , mauaji yamezidi bara na visiwani basi tena ENOUGH IS ENOUGH. Mungu awaangamize kama alivyomuangamiza firauni, AMIIN
Lissu ni mteule wa Mungu na hazina ya Taifa hili.Huyu ni zawadi toka kwa Mungu katupa watanzania tumtumie kujenga nchi yetu iwe na mifumo imara na nchi yenye utu na haki.
Hiki kichwa tukikipa nchi Jambo la kwanza ni katiba Rais amepewa madaraka makubwa sana jambo ambalo ni kosa kubwa. Mwenye akili ataelewa kuwa Tundu Lisu alichozungumza sio ishu ya Chadema bali ni issue ya nchi. We need changes CCM tumeichoka watoke.
Imeisha iyoooo tuanzie apo apo..... Makamu mwenyekiti Asante saana kwa darasa huru 😊😊
Hekima za Lissu.
Jambo tv Asante kwa kuturushia haya 🙏🏼🙏🏼
sema viongozi wa chadema akili nyingi sana asee hawana mchezo ndio maana nawakubali sanaa
Long live Jakaya Kikwete ulijenga Taifa kubwa na la heshima Tanzania....
Jambo TV naikubali sanaaa
Hizi habari kamwe huwezi kuzikuta Millard ayo....global tv Wala tbc.....never
VIVA KOMREDI LISSU....VIVA CHADEMA....WATANAZANIA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU NA MAMILIONI WASIO NA VYAMA TUKO PAMOJA NA NYUMA YENU....NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YENU.
Mandamano tusilud nyuma pole sana mhshimwiwa
CCM wamejinyea mwaka huu bara na visiwani. Kule zanzibar kuna dhalim pia anataka anyamaziwe aogopwe. Mwaka huu wananchi wamechachamaa , mauaji yamezidi bara na visiwani basi tena ENOUGH IS ENOUGH. Mungu awaangamize kama alivyomuangamiza firauni, AMIIN
Lissu ni mteule wa Mungu na hazina ya Taifa hili.Huyu ni zawadi toka kwa Mungu katupa watanzania tumtumie kujenga nchi yetu iwe na mifumo imara na nchi yenye utu na haki.
Lissu wew ni Mwamba aisee Akili nyingi hakuna wa kukufikia ata kwa robo
Tuuwishe mchakato wa warioba tusikwepe kwepe jambo hili tujenge jamii yetu inayoheshimu Taifa na future yake.
Katiba mpya ni sasa
Hivi hili jamaa linawekaje vitu vyote hivyo kichwani?
😂😂😂 hiki kichwa levo nyingine kabisa
Serikali yetu ni maumivu matupu ila
Mungu ata
Hiki kichwa hiki... Ndio maana wale wengine hawapati usingizi.
Kupatikana kama Lisu labda miaka 50 ijayo
Hiki kichwa tukikipa nchi Jambo la kwanza ni katiba Rais amepewa madaraka makubwa sana jambo ambalo ni kosa kubwa.
Mwenye akili ataelewa kuwa Tundu Lisu alichozungumza sio ishu ya Chadema bali ni issue ya nchi.
We need changes CCM tumeichoka watoke.
Lissu ni kiongozi pas kujali Cha
Ma
Kukawiza marekebisho ni kuahirisha tatizo, mbeleni watoto na wajukuu wa viongozi watabeba aibu na fedheha ya wazazi wao
❤
Lissu ww ni mwamba kwelkwel
Chadema ni vichwaaa