TUNDU LISSU AICHAMBUA SERIKALI "HAKUNA LOLOTE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 26

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 6 часов назад +4

    Imeisha iyoooo tuanzie apo apo..... Makamu mwenyekiti Asante saana kwa darasa huru 😊😊

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 7 часов назад +6

    Hekima za Lissu.

  • @TreyCarlos-p2i
    @TreyCarlos-p2i 7 часов назад +3

    Jambo tv Asante kwa kuturushia haya 🙏🏼🙏🏼

  • @stephanogervas1207
    @stephanogervas1207 7 часов назад +9

    sema viongozi wa chadema akili nyingi sana asee hawana mchezo ndio maana nawakubali sanaa

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 4 часа назад +1

    Long live Jakaya Kikwete ulijenga Taifa kubwa na la heshima Tanzania....

  • @OscarKasalile
    @OscarKasalile 5 часов назад +2

    Jambo TV naikubali sanaaa

  • @user-wr7io8lh6j
    @user-wr7io8lh6j 6 часов назад +5

    Hizi habari kamwe huwezi kuzikuta Millard ayo....global tv Wala tbc.....never

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 11 минут назад

    VIVA KOMREDI LISSU....VIVA CHADEMA....WATANAZANIA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU NA MAMILIONI WASIO NA VYAMA TUKO PAMOJA NA NYUMA YENU....NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YENU.

  • @HajiMwangama
    @HajiMwangama 2 часа назад +2

    Mandamano tusilud nyuma pole sana mhshimwiwa

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 40 минут назад +1

    CCM wamejinyea mwaka huu bara na visiwani. Kule zanzibar kuna dhalim pia anataka anyamaziwe aogopwe. Mwaka huu wananchi wamechachamaa , mauaji yamezidi bara na visiwani basi tena ENOUGH IS ENOUGH. Mungu awaangamize kama alivyomuangamiza firauni, AMIIN

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 часа назад

    Lissu ni mteule wa Mungu na hazina ya Taifa hili.Huyu ni zawadi toka kwa Mungu katupa watanzania tumtumie kujenga nchi yetu iwe na mifumo imara na nchi yenye utu na haki.

  • @kelvinathuman8545
    @kelvinathuman8545 4 часа назад +1

    Lissu wew ni Mwamba aisee Akili nyingi hakuna wa kukufikia ata kwa robo

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 3 часа назад +1

    Tuuwishe mchakato wa warioba tusikwepe kwepe jambo hili tujenge jamii yetu inayoheshimu Taifa na future yake.

  • @DicksonMosha
    @DicksonMosha 4 часа назад +3

    Katiba mpya ni sasa

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 7 часов назад +5

    Hivi hili jamaa linawekaje vitu vyote hivyo kichwani?

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 3 часа назад +1

    Serikali yetu ni maumivu matupu ila
    Mungu ata

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 часа назад +1

    Hiki kichwa hiki... Ndio maana wale wengine hawapati usingizi.

  • @ZakariaMnzava-q1v
    @ZakariaMnzava-q1v Час назад

    Kupatikana kama Lisu labda miaka 50 ijayo

  • @davidsamson8292
    @davidsamson8292 Час назад

    Hiki kichwa tukikipa nchi Jambo la kwanza ni katiba Rais amepewa madaraka makubwa sana jambo ambalo ni kosa kubwa.
    Mwenye akili ataelewa kuwa Tundu Lisu alichozungumza sio ishu ya Chadema bali ni issue ya nchi.
    We need changes CCM tumeichoka watoke.

  • @brucardkomba616
    @brucardkomba616 Час назад

    Lissu ni kiongozi pas kujali Cha
    Ma

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 4 часа назад

    Kukawiza marekebisho ni kuahirisha tatizo, mbeleni watoto na wajukuu wa viongozi watabeba aibu na fedheha ya wazazi wao

  • @HappyGazingIguana-on2dh
    @HappyGazingIguana-on2dh 6 часов назад

  • @Aziziharunabigirwa
    @Aziziharunabigirwa Час назад

    Lissu ww ni mwamba kwelkwel

  • @kurwakturwa8472
    @kurwakturwa8472 19 минут назад

    Chadema ni vichwaaa