MBOWE AFUNGUKA “NITACHUKUA MAKOMANDOO, WADOGO LAKINI BALAAH, NAWAHITAJI MAKOMANDOO”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 мар 2022

Комментарии • 245

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад

    Pole na kazi mzee mbowe manakazi yako ngumu kwelikweli bila moyo wa wito huwezi kufanya

  • @valencemateru544
    @valencemateru544 2 года назад +11

    Aise umenifurahisha wadogo lakini balaa

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 2 года назад +11

    Hakika we ni GAIDI acha hao wapuuzi washan gilie

    • @andersonmwenda6390
      @andersonmwenda6390 2 года назад +1

      Aliye timamu anakuona ww ndiyo mpuuzi,mjinga mwendokasi,kwa kuwa kajibu swali aliloulizwa

    • @musason1680
      @musason1680 2 года назад +1

      Huyu n gaid t ety kupambana na Dola

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад

      Kabisaa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Charles huyo ni gaidi kabisa maneno yake tu yameshawaingia vizuri watanzania walikuwa wanamtukana igp siro sasa sikia anachosema

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 года назад +2

    Sasa hapo kwenye kutengeneza jeshi makomamdoo hapana tunaenda kwingine huko nikuombe usiongee hiyo kama niwalinzi waajili lakini usiseme hicho ulichosema. Alafu musimuongee magufuli hivyo ukisema mwenda zake huku linatafasiliwa tusi

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +7

    Mhuni tu uyu kashazeeka t n uchu wa madaraka tu unamsumbua hana kt anadhan yeye ataishi milele

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Kwa kupata urais au kitu chochote aombe mungu sana musa amekwisha huyo amekuwa kama chizi

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 2 года назад +5

    Yaani jasho hilo lote na matamshi hayo ili uchukue nchi kweli? kwa hali hiyo?

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Charles musiba hana ubavu huo serikali siyo ya wajinga anajimaliza mwenyewe mitandaoni kuwa chama cha magaidi nani anataka vita kama vya Ukraine

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 2 года назад +4

    Hapo pa Makomandoo!! Yawezekana ndo tatizo lako kubwa!

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад +5

    Yaani kweli jpm ....?

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 года назад +2

    Sawa kbs safi sana jibu zuri sana kuna swali lingine?

  • @abdumpunda4026
    @abdumpunda4026 2 года назад +2

    Unajua kusma vibaya marehemu magufufuli ni vibaya tambua hata wewe utaishi milele na jeuri hiyo unaitowa wap?

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 года назад +6

    Wewe pia huishi milele Mbowe huna aibu ,hayo maneno yatakukost

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Rose huyo hachukui dulu muda si mrefu safari imeshamuivia acha amtukane tu hayati magufuli

    • @benosilwani5208
      @benosilwani5208 2 года назад

      @@margarethpolepole7438 Hata wewe safari imeiva, hakuna mtu atabaki. Utakufa pia.

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 2 года назад +7

    Hawa wapuuzi et mwendazake ww umepoteza baba mkwe mdogo kwaiyo nao wendazao ht ww utaenda

    • @andersonmwenda6390
      @andersonmwenda6390 2 года назад +1

      Umekuwa mjinga mpaka kiswahili kinakushinda?!!

    • @amenaameeena3317
      @amenaameeena3317 2 года назад

      Mwendazake sio tusi jamani Acha kumshambulia mbowe mwendazake ni marehumu ILO neno linatumiwa na WA Kenya Ivo Kwa Tz tumezoea kuitwa Hayati au marehemu

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 2 года назад

      Cha moto huyo GAIDI MBOWE atakiona.

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 2 года назад

      Na yeye atakuwa mwenda zake, mpumbavu sana

    • @ernestwegga6557
      @ernestwegga6557 Месяц назад

      Hana hekima. Kila mtu ataonja mauti. Inauma sana kumhusisha Jpm na mambo yake

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 года назад +9

    Hiii ni atari kwa usalama wa nchi hatuwezi kwenda ivi yaani siungi mkono kabisaa hili swala.serikali iliangalie hili swala kwa mapana na kwa mstakabali wa nchi 🙌🙌🙌🙌🙆🙆🙆🙆😀

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Tena serikali mwiga imfuatilie kwa makini huyu ni gaidi kabisa

    • @mwigakatumpula6852
      @mwigakatumpula6852 2 года назад +1

      @@margarethpolepole7438 alipo niacha hoi pale anasema hawa makomando nawatumia maana serikali inawafundisha matumizi ya siraha harafu wana wa fukuza KAZINI sasa sisi tutawatumia. Kwanini nasema ni atari kwanza mtu alikua mtumishi harafu afukuzwe kazi unadhani atakua na mapenzi na serikali yake apo?!

  • @musasaid559
    @musasaid559 2 года назад +3

    Unajua kule jela sio pahala pazul wenda ameanza kuchanganyikiwa

  • @vradmirlenin8290
    @vradmirlenin8290 2 года назад +3

    Umeanza tena kubweka

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 2 года назад +8

    safari hii watakuunganisha na zumaridi

    • @deus8629
      @deus8629 2 года назад +1

      Umenichekesha... Mbowe ni Kiongozi BORA watu wachache ndo wanaomuelewa

    • @asiaokelay8421
      @asiaokelay8421 2 года назад

      Zumaridi no 2 kabisa

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 2 года назад +3

    People's💪

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 2 года назад +8

    Km sijaelewavle hayomatamshi yanamaanagani au yanafaidagani kwa wtz nataifakwaujumla?

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 4 месяца назад +1

    mbowe baba wa democracia tz hata mama wa taifa mama maria nyerere anamjua mbowe ni baba wademocracia kama rais mstaafu wa congo joseph kabila kabange arie tengeneza katiba ya marithiano DRC na kukubali kun'gatuka nakura maisha kwa heshima mpaka afe bira maneno tatizo huku tz mama wa kambo kanogewa na utawala na kuiba mali kam jk wa angushamizoga kila miaka ajui ipo zamu yake yaja nae atakua mzoga tuu amina

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 2 года назад +2

    Mmh haya bana

  • @mosesmwafwenga3012
    @mosesmwafwenga3012 2 года назад +2

    Kweliiii

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +5

    Haya mama samia waajiri wote waliongia jeshini jkt mbowe atawabeba wote mkiwaacha jibu ndilo hilo analitoa hadharani vita hiyo viongozi wa dini waliomuombea kwako amekwisha wageuka

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 2 года назад +2

      Hizo ni akili zako hazioni mbali Kama bata

    • @georgegerald4153
      @georgegerald4153 2 года назад +2

      hacha kupotosha vitu wewe...Mbowe kasema kuwachukua kwa ajili ya ulinzi wao binafsi dhidi ya watu wasio julikana.

    • @meshackmpalanga9130
      @meshackmpalanga9130 2 года назад

      Asante kwa kuwaombea vijana wetu ajira kinamna

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 2 года назад +5

    Na ww utaenda tu huwezi kwepa,ww dhihaki tu.

  • @timotheeciza1592
    @timotheeciza1592 2 года назад

    Only God can protect you.

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog 2 года назад +2

    Na ww utakua mwenda zake tu nikajua unaakili kumbe ni tope tu

  • @enocksosthenes4505
    @enocksosthenes4505 2 года назад +9

    Mwenda zake ni neno linatumika zaidi Kenya likimaanisha marehemu japo halitukiwi kwa watu wenye nyadhifa katika jamii hata Kenya hiwezi ukalitumia kama mbadala wa Hayati. Hapa kwetu Mtu wa hadhi ya JPM linatumika Hayati ndo maana huwezi hata tumia neno Marehemu mfano kwa Nyerere etc. Hivyo heshima tuliyohiwekea ikabaki kuheshimiwa na kulinda matendo ma ya viongozi wetu.

    • @bahatimallya32
      @bahatimallya32 2 года назад +1

      Inategemea huyo mwenda zake aliishi vipi nawatu binadamu uwezi kuwaonawezako hawasitahili kuishi wakati wamezaliwa kama wewe anasitahili kuitwa mwenda zake

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 2 года назад +1

      @@bahatimallya32 taahira wewe huwezi kumuita mkuu wa nchi mwendazake, endeleeni yajayo yanafurahisha.

    • @kelvinwilliam5145
      @kelvinwilliam5145 2 года назад

      Wafu hawajui neno lolote

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 2 года назад

      Tatizo mmezoea kuheshimu mtu kinafiki,ndiyo maana tutabaki kuwa maskini.

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 2 года назад

      Kesha anza , huyu kwanini ametoka, mmeona , jeshi ni moja la tanzania nzima, kwanini awe na majeshi yake,, kama ni mabodigar sawa, lakini majeshi, jamani kuweni makini majeshi ya kujitemea ndo yanaleta fujo inch za jirani , tuyakuja kulia, mkiwachia wafanye wanavyotaka

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 2 года назад +2

    Mwenda zake wewe mwendawazimu

  • @jongwemomumo8729
    @jongwemomumo8729 2 года назад +5

    Halafu mlikataa kuwa sio Gaidi 😇😇😇

    • @Teksani
      @Teksani 2 года назад +1

      Nini maana ya Gaidi?

  • @revocatuscharles934
    @revocatuscharles934 4 месяца назад +1

    Tuko wote kwa mahandamano mr mwenyekit nikiwa pande za karagwe mkoa wa kagera

  • @annestamwinuka
    @annestamwinuka 2 года назад +2

    😳😳😳😳

  • @musasaid559
    @musasaid559 2 года назад +3

    Ameanza kuvulungwa ila ukae ukijua kua baba wakambo namama wakambo bora baba wakambo endelea kulopoka watanzania wapo watakuombea tena boya wewe

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 2 года назад +3

    Chama makini

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 2 года назад +1

    Kwa hiyo we unapambana na dola sio?

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +4

    siasa si maneno ya ovyo juu ya washindani wako bali sera za maana zenye maono ya kumaanisha kuijenga nchi na maendeleo ya wananchi... eee Mwenyezi Mungu Tukumbuke WaTz

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 2 года назад

      Kwani ww unasemaje?

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 года назад

      @@kisangageorgethomasi2830 😂😂😂😂

    • @YEHOVATV-mz6sp
      @YEHOVATV-mz6sp 4 месяца назад

      BEBA KAMUSI YA KISWAHILI HALAFU SOMA MAANA YA NENO SIASA.SIASA NI MFUMO WA JAMII WA KIUCHUMI AU KIUTAMADUNI.PIA SIASA NI MAAMUZI YA BUSARA ILI KUFIKIA JAMBO FULANI .Siasa sio MANENO YA HOVYO JUU YA WASHINDANI WAKO.

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 года назад +3

    Huyu kuna kitu sio bure mbona amekua na makali hivi aisee 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад +1

      Edger nandonde huyo jela imemtia uchizi na muda si mrefu atamfuata huyo mwendazake anaemtukana

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 2 года назад

    Kweli mkuu

  • @papaamashana3962
    @papaamashana3962 2 года назад +1

    Safi

  • @francomsaki6007
    @francomsaki6007 2 года назад

    Sawa sawa

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 года назад +2

    Red brigade 🤔

  • @fredrickjoseph2907
    @fredrickjoseph2907 2 года назад +1

    Huyu baba jamani

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Год назад

    Mhe mbowe kua na walinzi wastani tu nchi inapokua na uongozi bora wa kutosumbuliwa wewe na Jenga Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kwa wakati huu wa demokrasia makini Toka Kwa mama kama unavyomuamini mama .tunakupenda waaelimishe viongozi wengine siasa za ustaarabu Kwa nyakati mambo yalivyobadilika ahsante

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 2 года назад +6

    Tuwe makini watanzania,siasa inapoenda sio sawa, tushikamane tujenge nchi yetu, viongozi wawe makini na maneno wayasema,

    • @nasrahassan7346
      @nasrahassan7346 2 года назад +2

      Hakika

    • @shijamasunga6889
      @shijamasunga6889 2 года назад

      Hata uasi unatengenezwa hivihivi ni process unaweza sema ni watatu kesho wakawa 50 ww Bila kujua wakifika mia ndo unastuka kumbe ni hatar eee too late

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 2 года назад +1

    Mimi napita tuu nisiongee vibaya kesho nikajikuta kuleeeee Ila mama wetu anatoshaaaaaa kazi iendelee

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 года назад +2

    Yaani mmmh sisemi kitu napita tu

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 2 года назад +11

    Mbowe umenikera Sana, uliiposema mwendazake! Marehemu lazima astiriwe pls, kuanzia Leo sio shabiki yako Tena. Cz nilikua nakuona mtu wa maana sana, Ila kwa kauli yako hiii yaani ni bure kabisa wew

    • @DAINOSSA
      @DAINOSSA 2 года назад +3

      Futa i coment yako

    • @bahatimallya32
      @bahatimallya32 2 года назад +4

      Wewe nenda tu tupowengi mnoo maana mwendezake alijiona Mungu mtu

    • @siddyoneonlinesi5433
      @siddyoneonlinesi5433 2 года назад +3

      Kwan bado upo

    • @haroldtarimo3115
      @haroldtarimo3115 2 года назад +3

      Acha kuongopea watu huwezi kuwa mpemzi wa mwendazake at the same time ukampenda Mbowe vitu viwili tofauti we chapa mwendo tu tena faster

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 2 года назад +2

      Mbona hakuna ubaya wa hilo neno! Angalia kamusi ya kiswahili maana yake aliyeenda mbele za haki, kwa kiingereza departed.

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 2 года назад +1

    Huyu kaachiwa juzi kishaanza kiburi na uchochezi

  • @jastininjano262
    @jastininjano262 2 года назад +1

    Tanzania mbowe

  • @TheLovejoyz
    @TheLovejoyz 2 года назад +3

    Walipe ..wakulambe..wasaliti

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 2 года назад +3

    Gaidi... Itakuwa ni kweli!..

    • @desderiusluoga7736
      @desderiusluoga7736 2 года назад +3

      watanzania wengi hatuna uelewa gaidi angetolewa jela

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад +1

      No one like kwani serikali ilikuwa ni wajinga maneno yake si hayo mitandaoni yanatoa jibu

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 2 года назад +1

    Hahhaahhaaha noma😂😂😂

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 2 года назад +1

    Tukumbuke kuwa hakuna mtu hata kuwa mwenda zake Kila mtu ataitwa kwa muda wake wew fulai sana kuita mwenda zake kesho mim keshokutw ww mungu mpunzishe ralam rais magufuli

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 года назад +5

    Kweli itachukua wakati kwa wapinzani ukiwa na hamasa sana saa ingine yanakutoka maneno ya ajabu

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 года назад +4

    Mbowe wewe ni kichaa sana eti mwenda zake!!!mpuuzi sana

    • @abdiraheemsheikh5409
      @abdiraheemsheikh5409 2 года назад +1

      Unataka amuite jina gani ? Unaelewa maana ya mwenda zake unataka amuite mungu au.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад +2

      Rose huyo anasumbuliwa na laana na akirudishwa gerezani ndiyo imetoka acha abwabwanye tu

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 2 года назад +2

      Ni mwendazake tu ndio jina linalomfaa... mbona haitwi Mkapa mwendazake.. ukiishi wa watu vibaya ndio matunda yake hayo.

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 года назад +1

      Mwenda zake kama mwenda zake😂😂😂😂

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +3

    Peoples power

  • @lovely-mq4rg
    @lovely-mq4rg 2 года назад +3

    Amechoka

  • @TheLovejoyz
    @TheLovejoyz 2 года назад +4

    Una takakupinduwa nchi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      The livejoyz hana ubavu huo na wanamsikiliza tu kwani serikali ni wajinga atarudi aliko toka waliomuombea msamaha siwanamsikia hao viongozi wa dini

    • @monalisaally4387
      @monalisaally4387 2 года назад

      @@margarethpolepole7438 yaan wanamsikia maneno yake ovyoo kabisa

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +3

    #NONSENSE

  • @stefanokileo1294
    @stefanokileo1294 2 года назад +2

    Ulizi nimuhimu

  • @shijamasunga6889
    @shijamasunga6889 2 года назад

    Ama kweli mama anaupiga mwingi kama wengi wanavyosema 😀😀😀

  • @kambonamahmadoo6814
    @kambonamahmadoo6814 2 года назад +4

    HAWANA KITU hawa wachumia tumbo,,wananunulika KIURAHISI,,hawa ndio wale walioambiwa na mwalimu, kuwa wana tabia za kimalaya malaya

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 2 года назад +1

    Muhuni

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +1

    Mshaambiwa yee ataendelea kupambana na Dola dadeki huyu angesota t uko

  • @yahayakikoko740
    @yahayakikoko740 2 года назад +1

    Mbowe namba kwa kupendwa dunian.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Yahaya usimfurahie huyo anatumiwa kuleta vita na anapewa pesa wewe unaweza kuikabili vita angalia Ukraine

  • @veriusechrispin9971
    @veriusechrispin9971 2 года назад +5

    Kwakweli nimeamini hamna siasa bali mnamapambano na serikari

    • @enocksosthenes4505
      @enocksosthenes4505 2 года назад +1

      Yani wanapambana na Hayati. Hii inaonyesha ni jinsi gani chuki zao ni za hybrid na sio za kawaida.

    • @veriusechrispin9971
      @veriusechrispin9971 2 года назад +1

      Haswa kaka na tukiendekeza siasa za namna hii tutalipoteza taifa letu zuri tulilo pewa na mwenyezi mungu R.I.P Baba John Pombe Magufuli

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +8

    Huyu jamaa hana akili aliposema neno mwenda zake t ndipo nimeamin hana hata sifa ya kuwa kiongozi ni mhuni t ambae serikali inamvumilia kwa kuogopa makelele ya watu ila ingemwacha asote t uko na huyu mama asipokua makin hawa wahuni watatufikisha pabaya. Mtu hata hajifunzi ety mwenyekt wa chama hata marehem unashindwa kmstr

    • @patientlazaro6930
      @patientlazaro6930 2 года назад +1

      Alafu hao makomandoo wanakazi gani.? Kama wanakuwepo na yeye anakamatwa hakuna haja yabkuwa na hao walinzi hawafai. Nenda kamkamate mkuu waheshi na walinzi wake wapo uone😉. Siasa hizi mbovu sana

    • @patientlazaro6930
      @patientlazaro6930 2 года назад +3

      Mie mwenyewe alipoosema mwenda zake nimemuoa wajabu.

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад +2

      Mbowe akili yake finyu sana haoni aibu kauli za matishio ,huyo alitakiwa aendelee kukaa mahabusu, etc anajifanya kuriingaaa

    • @musason1680
      @musason1680 2 года назад +1

      @@patientlazaro6930 kabisa huyu n mpuuzi t

    • @ernestlaiza6084
      @ernestlaiza6084 2 года назад

      Hata huna akili ww

  • @hoseajackson8127
    @hoseajackson8127 2 года назад +1

    Kuna siku nilisema serikali ya ccm imekwenda kumnoa mbowe c kumkomesha wala kumdharirisha na kibaya zaidi tz ya leo c ile ya 84 watu wameelimika wanajuwa ukweli,

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 2 года назад

      Una maa Nisha Nini mwendazake acha pigo izo ile hotuba ya kanisani Nita ipuuza ukiende Lea kutumia neno ilo Kwa Alie kuwa kipenzi Cha watanzania

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 года назад +1

    Muheshimiwa Mbowe najuwa kabisa wewe ni msomi na unao uwezo mzuri wa kuongoza ila kitu 1 nakiona kwako kwa sasa hutumii muda vizuri.
    Wananchi kwa kweli walio wengi wana mzigo mzito wa maisha mgongoni
    - mfumuko wa bei
    - tozo
    - kodi sumbufu
    - rushwa
    - mauwaji holela
    - ugumu wa kujitibia
    Ila kamanda sisi wanachama wako tunakusikiliza mwanzo hadi mwisho ila hamna sera hata moja ni kulalamika tu.
    Nadhani huyu muda ulikua mtaji mzuri wakuanza kunadi sera zako hayo ya makomando ni yako binafsi.
    Juzi ulikua hai ukasifiya police Leo tena umekuja na la makomando.
    Kitu hamjuwi wa tz walio wengi kwa sasa wako njia panda hawana la kufanya hamna mtu anafurahia Tozo ila 😷😷😷

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 2 года назад

      Kila Jambo na wakati wake, jamaa ndo ametoka gerezani. Hapo hapo aanze na Bei ya sukari 🤣🤣🤣

    • @munguhashindwijambo2681
      @munguhashindwijambo2681 2 года назад

      Mbunge wako kazi yake nini?
      Kwanini humwambii mwakilishi wako halali badala yake unasumbuka na mtu asiyemwakilishi wako?
      Mkuu nenda hata kwa polisi, mkuu wa wilaya mkoa, watakusaidia mapema zaidi

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 года назад

      @Pius Mpilu
      Mbunge Mimi ni Mbowe, kamanda wangu ni Mbowe sasa unaona sina uhalali wa kumuomba atusemeye?

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 года назад

    Mwenda zake kama mwenda zake😂😂😂😂

  • @calvinlameck1577
    @calvinlameck1577 2 года назад +1

    We taila tu

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 4 месяца назад

    Siasa mh!

  • @jacksonkileo2242
    @jacksonkileo2242 2 года назад +1

    👊👊

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 2 года назад +6

    Mbowe hafai kuwa kiongozi hata wa Kijiji hajielewi..sawa na mnywaji wa bangi tu..hajielewi hata kidogo..juzii tu katoka korokoroni kwa huruma na kaongea mbele ya rais tufanye siasa za kistaarabu leo anaongeza utumbo..huyu jamaa keshafilisika kisiasa.

    • @manenombuma3987
      @manenombuma3987 2 года назад +1

      Kheri yako ww tajiri mwenye mawazo mgando.

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад

      Kabisaa hata kijiji hawezi mchonganishi mkubwa

  • @kuntakinteomolo2832
    @kuntakinteomolo2832 2 года назад +3

    Mbona sasa ulikamata kama kuku na hao makomandoo walikuwa wapi mzee

    • @davidnyambuche352
      @davidnyambuche352 Год назад +1

      Akikamatwa kihalali na maafisa wa polisi wanaojitambulisha hakuna shida na kwa njia hiyo hawawezi kumuua wala kumdhuru maana wanakuwa washajulikana, makomandoo wanamsaidia kudeal na wasiojulikana na wale wanakamata watu kisirisiri ili wawadhuru bila kujulikana.. Hapo sasa ndo watakutana na makomandoo

  • @SampleKiller99
    @SampleKiller99 2 года назад

    Amiri Jeshi wa Red Brigade.. 🤪😝

  • @cpamussamwampamba2917
    @cpamussamwampamba2917 2 года назад +2

    Hatari sana..... Hilo halikubariki kabisa.....

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda9223 10 месяцев назад

    Kuwatumikisha tu watt wa wenzako

  • @simonlugalila5554
    @simonlugalila5554 2 года назад

    Nimekuelewa kiongozi

  • @benphonerepair
    @benphonerepair 2 года назад +1

    Hyu jamaa msnge Sanaa

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 8 месяцев назад

    SASA MBONA MAKOMANDOO MNAFUNGWA NAO HII INAKUAJE??? HAPA SIELEWI KABISA NA MNASEMA WAANAMKATABA NA SERIKALI KIVIPI??

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 4 месяца назад

    Una mawazo ya Gadaf hata kabla ya uchaguzi ,Hatuitaji dictator Tanzania

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z 4 месяца назад

    Ushawaponza ao daah!

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Pasuwa mbowe mama kakubali kuyapokea kwa sbb yy ndie alie kutowa kwa siri ilio fichika toka uberijika kaamini kuwaibisha kina Sirro

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад

      Yatamshinda

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Samsung galaxy usibabaike huyo hana kitu awashukuru viongozi wa dini waliomuombea msamaha na jela siyo mchezo baada ya muda si mrefu atavua nguo barabarani

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 4 месяца назад

    Kwa hiyo unaunda jeshi la kupindua serekali?

  • @kennethmwalukama2009
    @kennethmwalukama2009 2 года назад +3

    Katika nchi yoyote Ile Sahi kuwa na amiri jeshi wa kuu zaidi ya mmoja . Na majeshi zaidi ya moja Kila moja na amri zake. Mbowe unachemka.

    • @asiaokelay8421
      @asiaokelay8421 2 года назад +1

      Kachemka sana tu

    • @annestamwinuka
      @annestamwinuka 2 года назад

      Anamaluweluwe ya magereza bado hajamtoka sawasawa maana hata nachokiongea hakieleweki sijui amekuwaje yan point zake ni kama za visas shauli yake atarudishwa

    • @storyzatowntz
      @storyzatowntz 2 года назад +1

      ni jambo la kawaida hilo mbona wanajeshi kibao hata nje wakimaliza majukumu majeshin huja mitaani kuanzisha huduma hizi za VIP Protection kwa wenzetu ulaya ni mambo ya kawaida tu

  • @ramadhansylvesterkichele9190
    @ramadhansylvesterkichele9190 2 года назад +2

    Si mlisema jpm dictator kisa aliwaziba midomo eeeh? Sasa acha movie aianzeee

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 2 года назад +1

    Wewe pia mwenda zako mtegemewa wali kuramba ww na makomandoo wako

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад +3

    Wera wera. Mbowe komando ni mihimu

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z 4 месяца назад

    Sasa una lengo gani mpaka unakusanya makomandoo? Unajua mkubwa hua hatishiwi nyau? Kutafuta makomandoo wasio na zana za kikomando nisawa na mbwa asie na meno sawaaa?

  • @paschalmgashi6704
    @paschalmgashi6704 2 года назад

    For my explnc commando hafukuzwi hususan nchi za kiafrika cz serikali inatumia gharama nyingi kwa ajili ya training so kwa mwenye akili unaweza kufikili wapo kwa mh kwa ajili ya nn then wanachopata kinakwenda kwa nan😁😁😁😁😁

    • @columbus2084
      @columbus2084 2 года назад

      Research vizuri ndg,,,, wanaachwa na wanapigika njaa na familia zao,,,, mh Mbowe yupo sahihi ndg

  • @sixmakochogilbert3331
    @sixmakochogilbert3331 8 месяцев назад

    Tupo tayar kuungana na ww mbowe

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 5 месяцев назад

    Nyie mpewe ulinzi wa nini. wapewe haki kivipi , watapigwa tuu. nyie hamjijui ,mnapigwa kwa sababu mnasumbua hamna akili

  • @yussufrabba2282
    @yussufrabba2282 2 года назад

    Nini maana ya mwendazake????nisaidieni I'm from Burundi but living in south africa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Yusuf mwendazake ni kiumbe aliyefariki na kiswahili hiki kinatumika sana mombasa Kenya

  • @patrickkagito3376
    @patrickkagito3376 2 года назад +1

    Huna akili wewe

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 2 года назад +9

    Sasa hao komado wako wanaweza kupambana na serikali Mbowe Chadema wacha Ujinga wewe

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 года назад +2

      Amesema walinzi wa wasiojulikana kwani Serekali ndio wasiojulikana?mbona Tembo Simba wanawalinzi cha ajabu nini?

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 2 года назад +1

      Ganda ivyo ivyo na uelewa wako ulipoishia

    • @williamdetkvant1313
      @williamdetkvant1313 2 года назад

      Mmh haya,

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 2 года назад

    Raia hana kibali cha kuunda jeshi.

  • @montanatvqv3792
    @montanatvqv3792 2 года назад +3

    🤣🤣mbona walivyokuj kukamatwa hawakukuzuia

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 2 года назад

    Unafikiri wale waliotandika kanga zao barabarani walikuwa wanatania!!!! . Tafakari.

  • @davidsimoes3171
    @davidsimoes3171 2 года назад

    A Pergunta é isso , ou seja esse Senhor é ou não Corrupto........??

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 2 года назад +2

    Eti nina hatari zaidi ya kupambana na hii Dola hahahah 🤣 we mama legeza legeza macho hapa uone nchi itakapopelekwa laalifu 🤔

  • @tusumekashililika9448
    @tusumekashililika9448 2 года назад +5

    Kwele wewe umechoka

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 года назад +1

      Mbona Diamond au Tembo anawalinzi cha ajabu nini?

    • @user-sy7fz9lz9p
      @user-sy7fz9lz9p 2 года назад

      Wewe ndo umechoka ndo maana hujui hata kuandika

    • @musason1680
      @musason1680 2 года назад +1

      Huyu kashachoka

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад +1

      @@user-sy7fz9lz9p amechoka kama lichama lenyewe mfa maji