INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 70

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 20 дней назад +6

    TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 21 день назад +5

    Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 24 дня назад +5

    Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дня назад +2

    Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 24 дня назад +2

    You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu

  • @galamwendagalikunga8587
    @galamwendagalikunga8587 16 дней назад +1

    Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 24 дня назад +4

    Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 25 дней назад +12

    Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.

    • @xaverymakwi
      @xaverymakwi 21 день назад

      Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 19 дней назад +2

    Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma

  • @samasob8233
    @samasob8233 20 дней назад +2

    Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel8145 20 дней назад +3

    Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g День назад

    Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 23 дня назад +3

    Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula 24 дня назад +4

    Tundu upo vizuri kaka

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 24 дня назад +6

    Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe.
    Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 25 дней назад +10

    Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дня назад +2

    Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza

  • @issaali1321
    @issaali1321 24 дня назад +2

    Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дня назад +2

    Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 24 дня назад +3

    Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 24 дня назад

      Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 24 дня назад

      Poa

    • @user-qb1jv2dy2d
      @user-qb1jv2dy2d 18 дней назад

      Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 24 дня назад +4

    We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa

  • @MegaVhp
    @MegaVhp 11 дней назад

    Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 25 дней назад +1

    Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete 14 дней назад

    Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 24 дня назад +1

    Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 24 дня назад +2

    Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 18 дней назад

    Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 25 дней назад +1

    Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 24 дня назад +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 19 дней назад +1

    Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika

  • @EmanueliThomas
    @EmanueliThomas 24 дня назад +1

    Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 23 дня назад +1

    Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d 18 дней назад

    Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 25 дней назад +1

    Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 23 дня назад +1

    MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 24 дня назад +1

    Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 24 дня назад +2

    Nyanda ni pure CCM😮

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 24 дня назад

      Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 17 дней назад

    Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?

  • @SaidMrisho-du1fm
    @SaidMrisho-du1fm 24 дня назад +1

    ✌✌✌

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 15 дней назад

    Mwandishi kasome huna iq kabisa

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu 24 дня назад

    😮 bbh

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 17 дней назад

    Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 24 дня назад +1

    NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 20 дней назад

    HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 20 дней назад

    Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 24 дня назад

    Wazungu wamepiga hela kiurahisi

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 25 дней назад

    Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti

  • @yohanakadiva839
    @yohanakadiva839 14 дней назад

    Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 20 дней назад

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 24 дня назад

    Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 24 дня назад

    acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 20 дней назад

    Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 18 дней назад

      hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 18 дней назад

      @@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 24 дня назад

    Kama wewe unavotaka kuharibu taifa

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 24 дня назад

    Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???

    • @godamc
      @godamc 15 дней назад

      Lissu mnyaturu

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 19 дней назад

    Hongera Nyanda

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дня назад +1

    Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 25 дней назад +1

    Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 25 дней назад

      Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 24 дня назад +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako