INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 71

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 месяца назад +7

    TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 4 месяца назад +5

    Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 4 месяца назад +5

    Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo

  • @galamwendagalikunga8587
    @galamwendagalikunga8587 3 месяца назад +2

    Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 месяца назад +12

    Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.

    • @xaverymakwi
      @xaverymakwi 4 месяца назад

      Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 4 месяца назад +4

    Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 4 месяца назад +2

    Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel8145 4 месяца назад +3

    Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 4 месяца назад +2

    You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 месяца назад +6

    Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe.
    Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.

  • @Gilbert-w9e
    @Gilbert-w9e 3 месяца назад

    Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda

  • @samasob8233
    @samasob8233 4 месяца назад +2

    Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 4 месяца назад +3

    Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 4 месяца назад

      Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza 4 месяца назад

      Poa

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 4 месяца назад

      Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 4 месяца назад +3

    Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula 4 месяца назад +4

    Tundu upo vizuri kaka

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад +2

    Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 4 месяца назад +10

    Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...

  • @MegaVhp
    @MegaVhp 3 месяца назад

    Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo

  • @issaali1321
    @issaali1321 4 месяца назад +2

    Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад +4

    We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад +2

    Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад +1

    Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 4 месяца назад

    Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 4 месяца назад

    Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv

  • @yohanakadiva839
    @yohanakadiva839 3 месяца назад

    Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete 3 месяца назад

    Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 4 месяца назад +1

    Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад +2

    Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 4 месяца назад +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 4 месяца назад +2

    Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 4 месяца назад +2

    Nyanda ni pure CCM😮

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 4 месяца назад

      Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 4 месяца назад +1

    Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 4 месяца назад +1

    Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 4 месяца назад

    Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 4 месяца назад +1

    Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 месяца назад +1

    Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 месяца назад +1

    MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️

  • @EmanueliThomas
    @EmanueliThomas 4 месяца назад +1

    Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 4 месяца назад

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад +1

    Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho

  • @FortyMwamba-kq5js
    @FortyMwamba-kq5js 3 месяца назад

    Kenge umetumia picha ya kikeke wakati sio yeye,,fala wewe

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 месяца назад +1

    NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU

  • @SaidMrisho-du1fm
    @SaidMrisho-du1fm 4 месяца назад +1

    ✌✌✌

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 3 месяца назад

    Mwandishi kasome huna iq kabisa

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 4 месяца назад

    Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu 4 месяца назад

    😮 bbh

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 месяца назад

    Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 4 месяца назад

    Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 4 месяца назад

    Wazungu wamepiga hela kiurahisi

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 месяца назад

    acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 4 месяца назад

    Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 4 месяца назад

      hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 4 месяца назад

      @@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 месяца назад

    Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???

    • @godamc
      @godamc 3 месяца назад

      Lissu mnyaturu

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад +1

    Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 месяца назад

    Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 4 месяца назад

    Hongera Nyanda

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 месяца назад

    Kama wewe unavotaka kuharibu taifa

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 месяца назад +1

    Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 4 месяца назад

      Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 4 месяца назад +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 месяца назад

    HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu