CHRISTINA kamshitaki Mbarikiwa aachiwa kwa dhamana. Atakiwa kuripoti polisi Dar. Aongea kwa uchungu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024
  • Edit with InShot: inshotshare.app

Комментарии • 596

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 24 дня назад +110

    TUNAO MUELEWA MBALIKIWA KTK SAFARI YA KWENDA MBINGUN TUJUANE

    • @benjaminmahega
      @benjaminmahega 24 дня назад +3

      Amina

    • @obedimunguachiza8434
      @obedimunguachiza8434 24 дня назад +1

      Amina brother.

    • @ZTsix
      @ZTsix 24 дня назад +3

      Amna mtu hapa.. sjaanza mm kumuelewa anaanza kuchanganya Dini na mambo binafsi tatzo na sio kwa ubaya hakuwa hvo mwanzo nauona kua ana Mwisho mbaya kama hata badirika.

    • @desirengenerwasobanuka9015
      @desirengenerwasobanuka9015 24 дня назад

      ​@@ZTsix Hivi ndugu ,hivi kweli wewe unasoma Biblia? Yaani watu wanajifanya kuwa watumishi wa Mungu na wanatenda uovu na tuache eti tusiingie kwenye maisha ya watu? Yohana alipaza sauti na kumukemea Mfalme Herode alupochukuwa mke wa nduguye Filipo. Ama nyinyi ndio wale munahubiri injili potovu. Wewe sisi hatuna injili ya kubembeleza bro. Mimi si mwana Kikosi Kazi ,ila huduma wanayo ifanya ni Huduma ya Mitume na Manabii. Hivi kweli aliofanya Christina Shusho ni halali? Tuache kudanganyana brother

    • @nicholaswaemmanuel7221
      @nicholaswaemmanuel7221 24 дня назад

      @@ZTsix TANGU LINI Giza na NURU vikatangamana? ANGALIA vituko na kiherehere kilicho kwenye account YAKO KISHA uvilinganishe na anachokifanya MCH MBARIKIWA, uone kama mnaendana. Bila shaka utamwona tu kama fala na chizi WAKATI NAYE anakuona VIVYO HIVYO. LAKINI ujue mwishowe itajulikana nani fala na chizi vya UKWELI. Twende NALO tu.

  • @nicholaswaemmanuel7221
    @nicholaswaemmanuel7221 24 дня назад +44

    HAKIKA KUOKOKA NA KUCHUKIA UOVU NI KIFO...BABA MUNGU AKUSHIKE UNAPOTEMBEA KWENYE BONDE LA UVULI WA MAUTI. AMEN.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 24 дня назад +28

    Chrstna,,,MUMEO NI LUTU..UTAKE USITAKE.UMEKATAA KUMSIKILIZA UMEGEUKA HAYA SASA.🔥🔥

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel9817 24 дня назад +17

    Baba Mungu akushike sana kwa kipindi unachokipitia kigumu hivi Mungu akushike sana.

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 24 дня назад +34

    Mbarikiwa ni kichwa kilicho kaza, hakina mapungufu!Ukweli unauma ila utabakia tu Ukweli big up man of God .

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa 24 дня назад +38

    Sauti ya radi imeingia kwenye moyo wa Christina Shusho, kwa kweli kuwa mtu wa Mungu kweli kweli ni kifo.

  • @abekyaaoci6082
    @abekyaaoci6082 19 дней назад +3

    Pole sana Mwakipesile. Alicho kifanya Christina Shusho, alimzalilisha Mme wake mtandaoni kwa kiwango kikubwa sana . Pili alidhalilisha Ukristo mzima na kumpa Shetani utukufu. Huyo Dada yetu Christine hakuwa Mkristo tangu zamani. Ila samahani wa TZ mnajali sana kipawa au karama ya mtu bila kujali mwenendo wake unafanana je. Mulichelewa sana kumtambua Christine.

  • @georgemahenge
    @georgemahenge 24 дня назад +21

    Ushitaki wote wario coment.kristina umejiparia kaa ra moto

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn 24 дня назад +33

    MBARIKIWA MWAKIPESILE ANAZIDI KUUWASHA MOTO WA INJILI YA KRISTO YESU KATIKA KUENDELEA KUMSHIKILIA MUNGU.

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 24 дня назад +3

    Hongera mchungaji na asante kwa kuheshimu ndoa na kumheshimu Mungu.

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk 11 дней назад +1

    Tumsifu Yesu Kristo, sina mengi zaidi ya kusema poleni sana Kristo ni Kristo, Mungu atabaki kua Mungu patana na mstaki wako kabla hajakupeleka kwa kadhi Upendo huvumilia yote huamini yote mhukumu ni mmoja tu Mungu wa haki usimame mwenyewe ktk jambo la wana wako.

  • @user-jr3xs9sb9x
    @user-jr3xs9sb9x 24 дня назад +15

    Baba Mungu ndio kimbilio lako,ukweli ni kwamba watu hawataki kuambiwa ukweli

    • @user-ji5go2jf6h
      @user-ji5go2jf6h 24 дня назад

      Ukweliii tuna taka ila aache kudharilisha watu

    • @MagdalenaMatiko
      @MagdalenaMatiko 22 дня назад

      Mbona Yesu alimsammehe yule mzinzi muombee sio kumdhalilishaji

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k 24 дня назад +5

    Uyo dada crestina nafikili aende akatubu kwa mume wake naa akampigie magort amuombe msamaha na atubu mbele za mungu vinginevyo mungu atamtembezea raana kubwa sana unajua siku zote mungu abipiwi

  • @ajuayearon5760
    @ajuayearon5760 24 дня назад +10

    MUNGU ATASIMAMA NA UKWEL SIKU ZOTE.. !! NIKWELI MWENYE NDOA YOYOTE Akitoka nje ya ndoa LAZIMA KUNA DHAMBI IKO JUU YAKE

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 24 дня назад +8

    Mandiko yanena wazi unapopitia haya ndugu yangu mbarikiwa hujue yakuwa MUNGU mwenyezi anakutambua wewe ni nani so huyu Christina ashusho hajielewi hanacho kifanya hatakilipia hapa hapa Duniani wee Kaa macho from Kenya

    • @janeth5378
      @janeth5378 23 дня назад

      Wengi hatukatai kumbuka Kristina shusho ni mwanadamu tu huenda amevamiwa na Adui kilichotakiwa hapo mngemwita huyo dada mkamuonya juu yahili kuliko unvyopiga kelele kwenye mitandao sio hekima hiyo mbarikiwa Biblia inasema muonyane Kwa upendo Kwa huko makanisani hakuna mabaraza ya kanisa?mngemwita huyu dada kwanza nakama akishupaza shingo basi mnamwacha lakini hakuchukua hatuna hii mmekazana kumshambulia kwenye mitandao Je huo ndio upendo?mmesahau kuwa watumishi wa mungu mnavita kubwa na Shetani?

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 24 дня назад +14

    Mbarikiwa hongera sana huyo christina amejiwekea kaa la moto kabisa.

  • @anthonybenedict5444
    @anthonybenedict5444 23 дня назад +4

    Ukishaanza kupeleka mpendwa mwenzio mahakamani, wewe tayari ulisha iacha njia ya Mungu siku nyingi, ukikemewa mshukuru Mungu unapendwa.

    • @user-rs9ib5uh6l
      @user-rs9ib5uh6l 20 дней назад

      Mimi nilikuwa mshabiki wako sana kwanyimbo zako nzuri lla dada unapotea

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 18 дней назад

      Naye alivomtukana hiyo ni hekima ya mchungaji wa wapi?

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 24 дня назад +5

    Kama kuna ushauri nitawapa, TAFUTENI SANA USHIRIKA NA MUNGU BINAFSI. Hii dunia sio yakuamini watu tena

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 24 дня назад +25

    Mchungaji mungu ni mkubwa , Sana sijawai sikia, mkristo anamshitaki mkiristo mwenzake kwa kuwambia ukwweri,

    • @user-vo6fu3pp1p
      @user-vo6fu3pp1p 24 дня назад +3

      Hapo ndo tutajua SHUSHO NI MKRISTO AU LAAA!

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 24 дня назад +4

      Ndo ITAJULIKANIKA sasa kuwa Christina shusho yuko Upande "MUNGU" au Shetani.

    • @user-gs2bz5xm8u
      @user-gs2bz5xm8u 24 дня назад +2

      Kumbukeni mbalikiwa alipo onywa na ezekieli alitukana mpaka akamfanya ni Jezebel ,vijana wake wakimpotleiti Kama kavaa suketi,

    • @lulumatawalo7805
      @lulumatawalo7805 24 дня назад +2

      Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.Mwana kulifind mwana kuliget.Kuna watu wanajihesabia haki sana! Bado Cassian

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 24 дня назад

      @@lulumatawalo7805 Moto wa MUNGU, hauzimwagwi

  • @gideonsangi161
    @gideonsangi161 24 дня назад +3

    Mtu wa Mungu sema kweli ya Mungu Wala usitishwe na waovu, Mungu wa mbinguni atakutetea

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 24 дня назад +4

    I WONDERING THIS IS CHRISTINA I KNEW AS MY MOM OR 😢😢😢

  • @franksankey9603
    @franksankey9603 24 дня назад +4

    Piga kazi mwamba injili ndiyo iletayo uzima good 👍

  • @user-cf3iu8we8n
    @user-cf3iu8we8n 22 дня назад +4

    Pole sana ila acha injili ya kuwashambulia watu zungumzia habari za Mungu ili watu watubu dhambi zao nimefuatilia sana mahubiri ni ya kuzungumzia watu hii Dunia hakuna mkamilifu Mungu hekimu ya namna ya kuhubiri nimekuelewa lengo lako ni zuri ila anayekosea muonye Kwa upendo na tumia lugha nzuri atakuelewa

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 18 дней назад

      Ni kweli kabisa upendo uko wapi kwa wakristo,eti ni mchungaji hekima iko wapi maonyo yako wapi,alimuombea ? Kabla ya kumtukana aise sijui watu wanaosema wameokoka hawajitambui hebu watu waende shule kidogo wasome neno sio kukaa tu kuwaskiliza wachungaji wao kwa sababu wewe muumini pia,umepewa akili sio kuskiliza tu pia kupambanua na kumshauri mchungaji wako anaconda vibaya wao wamekaa tu eti ni vita,vita gani ningewakuta church ningewatandika viboko mpaka huo ufahamu ufunguke na huyo mbarikiwa wenu

    • @magdalenamwaikambo1963
      @magdalenamwaikambo1963 12 дней назад

      ambaye ataelewa ataelewa tu,mch hana kosa watu lazima wajijue/wajitambue.

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed 13 дней назад

    Pole Sana mtumishi niseemu mojawapovambayo mungu ànakupandisha viwango vingine tunakuombea

  • @nelsonzebedayo8281
    @nelsonzebedayo8281 23 дня назад +1

    Ubarikiwe sana mbarikiwa Mungu yuko bamoja nawe!Huyu Dada yetu amesha anguka anguko la kifo na tayari shoka limekwisha kutengwa.Huwezi ukashirikiana nawakina diamond na wasanii wengine ukabaki salama !Huyu dadaetu aombewe ili aombe msamaha na amrudie Mme wake

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 24 дня назад +1

    Waaaa GOD be with you pst jicho la bwana linaona diyo mana ulizaliwaa fanyaa KAZI na utafurahi ukiseema nimezipikaa vita na mwendo nimeeumalizaaa 🇰🇪🤔🙏👋

  • @NicksonIsraeli
    @NicksonIsraeli 17 дней назад +1

    Nakupenda zaidi ya sana mtumishi unanibariki

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw 24 дня назад +10

    Mbarikiwa hana hatia

  • @SerahMumo
    @SerahMumo 10 дней назад

    I love the song. Daddy Bishop Mamboya would sing it through.

  • @BenjamenGeorge
    @BenjamenGeorge 6 дней назад

    Mtumishi nakubali sana kweli iilyomo ndani yako Mungu azidi kukubariki❤

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 24 дня назад +8

    Huyu christina sio mkristo huyo ni mtoto washetani .Hasomagi neno ?

  • @happinessmchome9101
    @happinessmchome9101 24 дня назад +1

    Mungu uishie naomba umtetee mtumishi wako mbarikiwa. Anavipiga vita vya imanii. Mungu usimuache! Amen 🙏

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 24 дня назад +5

    Hakim wetu mkuu ni Mungu kwasisi wakristo,Huyu.mama kaenda njekabisa ya neno la Mungu nakuwa na mashaka na ukristo wake ameshindwa kumshitakia Mungu kama anaona anadhalolishwa?naona anazidi kujitafutia maadui wa Kirkhope na kimwili. Namshauri aachane na upuuzi huu.

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h 24 дня назад +3

    Mungu azidi kukutetea baba.

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery5564 24 дня назад +2

    Mmmhhh aiseee mungu anakutumia kwa viwango vizito sana

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 24 дня назад +6

    Kwakweli mwacheni tu mtumishi wa Mungu mweh

  • @isakamwambenja7397
    @isakamwambenja7397 19 дней назад

    Barikiwa sana pastor Mwakipesile

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 23 дня назад +1

    Pole sana Mtumishi

  • @amashapatrick211
    @amashapatrick211 24 дня назад +1

    Baba Mungu akushike

  • @NuruMbwile
    @NuruMbwile 24 дня назад +8

    Mimi hapa namwelewa sana Mbatikiwa Mungu akupiganie

  • @LeticiaShoka-me2wq
    @LeticiaShoka-me2wq 24 дня назад +1

    Mungu atakupigania mtumishi wa kweli wa Mungu.utashinda Kwa kishindo🙏

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 24 дня назад +1

    Pole

  • @gracelacha16
    @gracelacha16 20 дней назад

    🙏🙏🙏🙏 Mungu mlinde mbarikiwa

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 24 дня назад

    Mungu yupo kazini

  • @PastorObeidSumusule
    @PastorObeidSumusule 21 день назад

    I understand him very well

  • @louisamazutantamukunzi7363
    @louisamazutantamukunzi7363 24 дня назад +2

    Mungu yu pamoja nawewe kwakilajambo hatokuacha akonawewe bega kwa bega'

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 24 дня назад +2

    Tunakuombea ushindi💯💯

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj 24 дня назад +1

    Dar mungu akutunze mchungaji unapitia mambo mengi ila naamini mungu ameruhusu haya

  • @MariamCleinance
    @MariamCleinance 24 дня назад +8

    Baba huna hatia mungu yupo pamoja nao dada christina tumia hekima kama ulivyoposti hekima kubali makosa halafu mrudie mungu wako

    • @user-gs2bz5xm8u
      @user-gs2bz5xm8u 24 дня назад

      Mbarikiwa haonyi ila anadhalilisha,huku akitaka umaalufu

    • @user-ji5go2jf6h
      @user-ji5go2jf6h 24 дня назад

      ​@@user-gs2bz5xm8ukwelii kabisaa ...ilo siyo neno la Mungu

    • @FRENKFARM-fb5mt
      @FRENKFARM-fb5mt 24 дня назад

      so kwery

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 24 дня назад

      ​@@user-gs2bz5xm8u ulitaka aonyaje? Ile clip Mbarikiwa alionesha haikuwa ya Christina akiaonya kuachana?

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 18 дней назад

      ​@@user-gs2bz5xm8ukabisa hana hekima hata moja

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 24 дня назад +3

    Kristina we imba kazi zote mungu atapima mbarikiwa kashatoka nje ya mipango ya mungu badala ahubir anapambana na watu kasahau mungu ni upendo angekushaur mbarikiwa umepotoka acha naw ni Malaya kwn unajiona u safi moyn umejaa sumu

    • @andreamwampamba1039
      @andreamwampamba1039 24 дня назад

      Yaani unamwacha aliye toka nje ya mipango ya Mungu , unamsakama mbarikiwa? Hii ni ajabu. Soma Mathayo 19:6 ,9 utaelewa .makosa ya wazi kabisa unataka yapakwe mafuta !!! Nooooo.

    • @MamaMatha-si1zr
      @MamaMatha-si1zr 24 дня назад +1

      ​@@andreamwampamba1039dunia ipo ukingoni kwa kweli ndo maana hata ukiwa mpuuzi na malaya unaweza kusifiwa na baadh ya wanaofanan na wewe

    • @user-gh3zf4ow4c
      @user-gh3zf4ow4c 23 дня назад

      jaman

    • @user-fw8wm2xd8x
      @user-fw8wm2xd8x 23 дня назад

      Aliyesafi mungu pekee mungu ndo anajua we unaangalia kw nje anavyoongea mungu anaangalia moyo je vile ndo anashauri au taarab mwachien wokovu mungu wa rehema

    • @user-fw8wm2xd8x
      @user-fw8wm2xd8x 23 дня назад

      Tena hkuna mzinzi kama barikiwa kwn anasumu moyon anasakama mtu mojamoja apate umaarufu ndan yke hkuna upendo ht chembe ni kiki TU za unjili

  • @JeremiahRichard-oj8up
    @JeremiahRichard-oj8up 3 дня назад

    Pole sana mtu wa MUNGU

  • @user-iw2fj3ch8b
    @user-iw2fj3ch8b 23 дня назад +1

    People try to mind your own business they have nothing to do with you 😊😊😊

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj 24 дня назад +1

    Najiuliza yesu arudi tu si kwa haya nayoyaona humu duniani maana mkristo amegeuka kuwa adui tena ( keep fighting pastor mbarikiwa nalo hili litapita)

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i 24 дня назад +1

    Ushauri,,,,shusho Patana na mbarikiwa unajichafua

  • @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr
    @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr 24 дня назад +1

    Kamanda wayesu hongera sana mtu wamungu kusema kweli unakuwa hukumbatii dhambi weww nishujaa

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 23 дня назад +2

    Nakubali kamanda , captain jasusi 😃😃

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 24 дня назад +1

    Ameen baba yangu❤❤❤❤❤

  • @EmanuelMduma-uo7lb
    @EmanuelMduma-uo7lb 24 дня назад +1

    Mbarikiwa Mungu atajitetea huyo asiye kutambua anacheka wakiharibu huwezi kumlazimisha kristo kuacha ndoa unajidai Mungu kakakuita tujifunze nini mbarikiwa tupo nyuma yako Mungu atakushindia

  • @ernestokoli6828
    @ernestokoli6828 12 дней назад

    Am from Kenya,let aman of God wosh the church of the Lord

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 24 дня назад +1

    Jamani,Mbarikiwa pole na familia yako.

  • @user-op4cb3yi8k
    @user-op4cb3yi8k 22 дня назад

    Mungu akusimamie mtumishi

  • @davidikakombole8833
    @davidikakombole8833 24 дня назад +2

    Big up my dady

  • @antonywanyonyi4195
    @antonywanyonyi4195 24 дня назад +1

    Hata Nimemdharau Christina Shusho kumbe ni WA hovyo tu oh God Sitawai kua fun wake tna

  • @ReganRingo
    @ReganRingo 5 дней назад

    Mungu yupo

  • @raymondmathayomsigwa8737
    @raymondmathayomsigwa8737 24 дня назад +1

    Mbarikiwa Mungu akubariki zaidi sasa Christina anataka kukuzaririsha ili urudi nyuma kumtangaza Kristo huo ni uwakala wa shetani

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 23 дня назад

    Mungu akupiganie baba

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 24 дня назад +1

    Hayo ndio mahubili kuhubili nikesema ukweli naukweli unaosemwa na mbalikiwa niwakweli mungu akuongoze mchungaji wangu pambana naamini mungu anamalengo mema nawatuwake tunakuombea mchungaji wetu usiludinyuma ,sauti yamtu aliae Toka nyikani

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 24 дня назад +2

    Mbarikiwa anasababisha tuwajue wahuni wanaoishi kwa kuitaja Bure jina la Mungu

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 24 дня назад +2

    MUNGU bado anakuhitaji Mama yetu ckia hizi kelele

  • @fikencharles9993
    @fikencharles9993 24 дня назад +15

    Watu hawataki kuambiwa ukweli daaa.Jesus is coming soon

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 24 дня назад +1

    Mbalikiwa Baba Kazi iendelee.

  • @IsackMwakanyamale
    @IsackMwakanyamale 21 день назад

    Mungu awasaidie

  • @FortunataMrgwowe-fh2rx
    @FortunataMrgwowe-fh2rx 22 дня назад

    Hiyo mama Christina Mungu anamwona we mwache

  • @user-ke7eg4up1k
    @user-ke7eg4up1k 20 дней назад

    Mungu akupiganie mbarikiwa hakika wew upo kwaajir ya mungu

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 24 дня назад +1

    Ukweli utabaki palepale,dhambi ni dhambi tu,jipemoyo atashindwa tu lazima tukemee dhambi,kazi ya watumishi wa mungu ni hiyo,ukiwa mwizi utaambiwa.Bibilia inasema neema efunuliwa yatufundisha kukata ubaya.

  • @lembricejamestukai6594
    @lembricejamestukai6594 19 дней назад

    Nawaombe Mungu awape hekima na ufahamu wa mbinguni.fatilie maisha ya YESU alivyoishi kwa mapito aliyopitia hakuwahi kushindana bali alifanya huduma kwa mapenzi ya MUNGU.MUNGU awafungulie ufahamu wenu ili mjue ufalme wa MUNGU.

  • @shikombetvshikombe897
    @shikombetvshikombe897 24 дня назад +1

    Baba endelea kusema kweli, wewe umechahuliwa kwa wakati huu kupitia hayoooo
    MUNGU akubariki

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 7 дней назад

    mama Mchungaji unanifurahisha sana na nywele zako za asili,sio wengine kazi kuvaa makatani,wazungu wametuharibu sana.hata haya yote mtumishi umemgusa mtumishi wa baal, mwanachama wa chama cha siri cha shetani,ndo sababu

  • @beathapontian2187
    @beathapontian2187 22 дня назад

    Mungu awe pamoja nawe mtumishi🙏🙏

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 24 дня назад +4

    Wengi tu wamemsema kwenye mitandao mbona hajawashitaki?

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 20 дней назад

    Mungu atkupigania na huko mahakamani na nakuomba mtumishi vaa slaha ya Imani mbele ya mungu na watu wajue ukweli wa maandiko takatifu

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 24 дня назад +1

    Mbarikiwa tunaungana kuombea jambo hili na kwa vile kasema maombi ya wengi yana nguvu basi Mungu atajibu tu.

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 Час назад

    Shusho kaanza vita na watumishi ngoja tusubiri hasira za Mungu zitakapomshukia maana Mungu hawezi kubali mtumishi wake aaibike kuanzia mme wake anamuhukumu kwa mambo ya miaka mingi iliyopita et alimletea ndugu 8 ahudumie sasa hawa watu hawapo wewe unaomba talaka leo kwa vitu vya nyuma

  • @mercyzawadi8072
    @mercyzawadi8072 24 дня назад +6

    Christina shusho hapa umechemsha, yaani mchungaji mzima hujajua utetezi wako unatoka wapi hata unakimbilia serikali za dunia aiiiiiiiiii umejichoma Sana haya endelea

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 24 дня назад +1

    Mtumishi we usijali mungu yu nawe

  • @angelemmanuel7143
    @angelemmanuel7143 20 дней назад

    Well said usiamini tu kisa mtu anaimba nyinbo za injili in short shusho hamtumikii Mungu alie hai huo ndio ukweli

  • @hawahussein9055
    @hawahussein9055 15 дней назад

    Christina nimnafiki anayejificha kwenye neno la Mungu lakini matendo yake nikama mbwa mwitu

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 24 дня назад +6

    Shusho una watoto wewe acha mbona watumishi wengi tu wanatukwanwa

  • @user-nr1gh2vu9z
    @user-nr1gh2vu9z 24 дня назад +1

    Yupo MUNGU wa kweli anakwenda kukutetea

  • @ashelikilele167
    @ashelikilele167 24 дня назад +3

    Sauti ya mtu aliaye Toka nyikani imeingia ndani ya moyo wa Christina shusho nakukimbiria mahakamani badala ya kutubu

    • @user-gs2bz5xm8u
      @user-gs2bz5xm8u 24 дня назад

      Washilika wa mbalikiwa msisapoti kila kitu

  • @FortunataMrgwowe-fh2rx
    @FortunataMrgwowe-fh2rx 22 дня назад

    Mtumishi WA Mungu wewe ni kifaa, Mungu akutunze, Mungu akusaidie, huna kosa ila Mungu anaona yote hayo .

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c 24 дня назад +1

    Hakuna kushtakiana kwa watakatifu wa Mungu huyu mwanamke amepotoka kabisa ashindwe kwa jina la yesu kristo

  • @angelvictor718
    @angelvictor718 12 дней назад

    Amen

  • @hayleym4023
    @hayleym4023 24 дня назад +2

    Wacha Mungu awatie Mungu ❤mimi ni mkenya but I love this pastor

  • @emanuelingitiri8039
    @emanuelingitiri8039 24 дня назад +4

    Nyakati za mwisho ndio dalili hizo

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 23 дня назад

    Christina Shusho unazidi kujichafua, wewe mtumishi wa Mungu, Rudi kwa Mmeo pambana

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 24 дня назад +7

    Walioongea ni wengi! Ila kwanini mbarikiwa?

    • @veronicamwenda7449
      @veronicamwenda7449 24 дня назад +1

      Kitu Cha MUNGU ndani yake.

    • @user-ji5go2jf6h
      @user-ji5go2jf6h 24 дня назад

      Wote watachukuliwa atua

    • @PastorsTz
      @PastorsTz 22 дня назад

      ​@@user-ji5go2jf6hhahaha hahaha ila unajitahidi sana kupambana,,Kama sauli,
      Big up,utavuna kazi yako....

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk 22 дня назад

      Ungemfuata kwa fargha na kumuonya ungekua mwenye hekima . Lakini haya mambo ya mitandao watumishi kuweni makini.

  • @user-vo6fu3pp1p
    @user-vo6fu3pp1p 24 дня назад +10

    Shusho ili usidharirike vizuri kama unavyosema MBARIKIWA AMEKUDHARIRISHA WASHITAKI WOTE WALIOKUSEMA MBONA KASHITAKIWA PEKE YAKE?

    • @user-ji5go2jf6h
      @user-ji5go2jf6h 24 дня назад

      Anaye tangulua mbele kwenye vita ndiye anapigwa mshalee

  • @mtafiti880
    @mtafiti880 23 дня назад

    Sio sawa!:hauko sawa! Watu wa Mungu mnapaswa kuonyana kwa upendo,sio kumdharirisha mtu hadharani namba hii mitandaoni!

  • @sigorijoseph4977
    @sigorijoseph4977 2 дня назад

    Uko sawa sema kama yohane mbatzaji