Amna mtu hapa.. sjaanza mm kumuelewa anaanza kuchanganya Dini na mambo binafsi tatzo na sio kwa ubaya hakuwa hvo mwanzo nauona kua ana Mwisho mbaya kama hata badirika.
@@ZTsix Hivi ndugu ,hivi kweli wewe unasoma Biblia? Yaani watu wanajifanya kuwa watumishi wa Mungu na wanatenda uovu na tuache eti tusiingie kwenye maisha ya watu? Yohana alipaza sauti na kumukemea Mfalme Herode alupochukuwa mke wa nduguye Filipo. Ama nyinyi ndio wale munahubiri injili potovu. Wewe sisi hatuna injili ya kubembeleza bro. Mimi si mwana Kikosi Kazi ,ila huduma wanayo ifanya ni Huduma ya Mitume na Manabii. Hivi kweli aliofanya Christina Shusho ni halali? Tuache kudanganyana brother
@@ZTsix TANGU LINI Giza na NURU vikatangamana? ANGALIA vituko na kiherehere kilicho kwenye account YAKO KISHA uvilinganishe na anachokifanya MCH MBARIKIWA, uone kama mnaendana. Bila shaka utamwona tu kama fala na chizi WAKATI NAYE anakuona VIVYO HIVYO. LAKINI ujue mwishowe itajulikana nani fala na chizi vya UKWELI. Twende NALO tu.
Pole sana Mwakipesile. Alicho kifanya Christina Shusho, alimzalilisha Mme wake mtandaoni kwa kiwango kikubwa sana . Pili alidhalilisha Ukristo mzima na kumpa Shetani utukufu. Huyo Dada yetu Christine hakuwa Mkristo tangu zamani. Ila samahani wa TZ mnajali sana kipawa au karama ya mtu bila kujali mwenendo wake unafanana je. Mulichelewa sana kumtambua Christine.
Tumsifu Yesu Kristo, sina mengi zaidi ya kusema poleni sana Kristo ni Kristo, Mungu atabaki kua Mungu patana na mstaki wako kabla hajakupeleka kwa kadhi Upendo huvumilia yote huamini yote mhukumu ni mmoja tu Mungu wa haki usimame mwenyewe ktk jambo la wana wako.
Uyo dada crestina nafikili aende akatubu kwa mume wake naa akampigie magort amuombe msamaha na atubu mbele za mungu vinginevyo mungu atamtembezea raana kubwa sana unajua siku zote mungu abipiwi
Mandiko yanena wazi unapopitia haya ndugu yangu mbarikiwa hujue yakuwa MUNGU mwenyezi anakutambua wewe ni nani so huyu Christina ashusho hajielewi hanacho kifanya hatakilipia hapa hapa Duniani wee Kaa macho from Kenya
Wengi hatukatai kumbuka Kristina shusho ni mwanadamu tu huenda amevamiwa na Adui kilichotakiwa hapo mngemwita huyo dada mkamuonya juu yahili kuliko unvyopiga kelele kwenye mitandao sio hekima hiyo mbarikiwa Biblia inasema muonyane Kwa upendo Kwa huko makanisani hakuna mabaraza ya kanisa?mngemwita huyu dada kwanza nakama akishupaza shingo basi mnamwacha lakini hakuchukua hatuna hii mmekazana kumshambulia kwenye mitandao Je huo ndio upendo?mmesahau kuwa watumishi wa mungu mnavita kubwa na Shetani?
Pole sana ila acha injili ya kuwashambulia watu zungumzia habari za Mungu ili watu watubu dhambi zao nimefuatilia sana mahubiri ni ya kuzungumzia watu hii Dunia hakuna mkamilifu Mungu hekimu ya namna ya kuhubiri nimekuelewa lengo lako ni zuri ila anayekosea muonye Kwa upendo na tumia lugha nzuri atakuelewa
Ni kweli kabisa upendo uko wapi kwa wakristo,eti ni mchungaji hekima iko wapi maonyo yako wapi,alimuombea ? Kabla ya kumtukana aise sijui watu wanaosema wameokoka hawajitambui hebu watu waende shule kidogo wasome neno sio kukaa tu kuwaskiliza wachungaji wao kwa sababu wewe muumini pia,umepewa akili sio kuskiliza tu pia kupambanua na kumshauri mchungaji wako anaconda vibaya wao wamekaa tu eti ni vita,vita gani ningewakuta church ningewatandika viboko mpaka huo ufahamu ufunguke na huyo mbarikiwa wenu
Ubarikiwe sana mbarikiwa Mungu yuko bamoja nawe!Huyu Dada yetu amesha anguka anguko la kifo na tayari shoka limekwisha kutengwa.Huwezi ukashirikiana nawakina diamond na wasanii wengine ukabaki salama !Huyu dadaetu aombewe ili aombe msamaha na amrudie Mme wake
Waaaa GOD be with you pst jicho la bwana linaona diyo mana ulizaliwaa fanyaa KAZI na utafurahi ukiseema nimezipikaa vita na mwendo nimeeumalizaaa 🇰🇪🤔🙏👋
Hakim wetu mkuu ni Mungu kwasisi wakristo,Huyu.mama kaenda njekabisa ya neno la Mungu nakuwa na mashaka na ukristo wake ameshindwa kumshitakia Mungu kama anaona anadhalolishwa?naona anazidi kujitafutia maadui wa Kirkhope na kimwili. Namshauri aachane na upuuzi huu.
Kristina we imba kazi zote mungu atapima mbarikiwa kashatoka nje ya mipango ya mungu badala ahubir anapambana na watu kasahau mungu ni upendo angekushaur mbarikiwa umepotoka acha naw ni Malaya kwn unajiona u safi moyn umejaa sumu
Yaani unamwacha aliye toka nje ya mipango ya Mungu , unamsakama mbarikiwa? Hii ni ajabu. Soma Mathayo 19:6 ,9 utaelewa .makosa ya wazi kabisa unataka yapakwe mafuta !!! Nooooo.
Aliyesafi mungu pekee mungu ndo anajua we unaangalia kw nje anavyoongea mungu anaangalia moyo je vile ndo anashauri au taarab mwachien wokovu mungu wa rehema
Hayo ndio mahubili kuhubili nikesema ukweli naukweli unaosemwa na mbalikiwa niwakweli mungu akuongoze mchungaji wangu pambana naamini mungu anamalengo mema nawatuwake tunakuombea mchungaji wetu usiludinyuma ,sauti yamtu aliae Toka nyikani
Ukweli utabaki palepale,dhambi ni dhambi tu,jipemoyo atashindwa tu lazima tukemee dhambi,kazi ya watumishi wa mungu ni hiyo,ukiwa mwizi utaambiwa.Bibilia inasema neema efunuliwa yatufundisha kukata ubaya.
Nawaombe Mungu awape hekima na ufahamu wa mbinguni.fatilie maisha ya YESU alivyoishi kwa mapito aliyopitia hakuwahi kushindana bali alifanya huduma kwa mapenzi ya MUNGU.MUNGU awafungulie ufahamu wenu ili mjue ufalme wa MUNGU.
mama Mchungaji unanifurahisha sana na nywele zako za asili,sio wengine kazi kuvaa makatani,wazungu wametuharibu sana.hata haya yote mtumishi umemgusa mtumishi wa baal, mwanachama wa chama cha siri cha shetani,ndo sababu
Shusho kaanza vita na watumishi ngoja tusubiri hasira za Mungu zitakapomshukia maana Mungu hawezi kubali mtumishi wake aaibike kuanzia mme wake anamuhukumu kwa mambo ya miaka mingi iliyopita et alimletea ndugu 8 ahudumie sasa hawa watu hawapo wewe unaomba talaka leo kwa vitu vya nyuma
Christina shusho hapa umechemsha, yaani mchungaji mzima hujajua utetezi wako unatoka wapi hata unakimbilia serikali za dunia aiiiiiiiiii umejichoma Sana haya endelea
TUNAO MUELEWA MBALIKIWA KTK SAFARI YA KWENDA MBINGUN TUJUANE
Amina
Amina brother.
Amna mtu hapa.. sjaanza mm kumuelewa anaanza kuchanganya Dini na mambo binafsi tatzo na sio kwa ubaya hakuwa hvo mwanzo nauona kua ana Mwisho mbaya kama hata badirika.
@@ZTsix Hivi ndugu ,hivi kweli wewe unasoma Biblia? Yaani watu wanajifanya kuwa watumishi wa Mungu na wanatenda uovu na tuache eti tusiingie kwenye maisha ya watu? Yohana alipaza sauti na kumukemea Mfalme Herode alupochukuwa mke wa nduguye Filipo. Ama nyinyi ndio wale munahubiri injili potovu. Wewe sisi hatuna injili ya kubembeleza bro. Mimi si mwana Kikosi Kazi ,ila huduma wanayo ifanya ni Huduma ya Mitume na Manabii. Hivi kweli aliofanya Christina Shusho ni halali? Tuache kudanganyana brother
@@ZTsix TANGU LINI Giza na NURU vikatangamana? ANGALIA vituko na kiherehere kilicho kwenye account YAKO KISHA uvilinganishe na anachokifanya MCH MBARIKIWA, uone kama mnaendana. Bila shaka utamwona tu kama fala na chizi WAKATI NAYE anakuona VIVYO HIVYO. LAKINI ujue mwishowe itajulikana nani fala na chizi vya UKWELI. Twende NALO tu.
HAKIKA KUOKOKA NA KUCHUKIA UOVU NI KIFO...BABA MUNGU AKUSHIKE UNAPOTEMBEA KWENYE BONDE LA UVULI WA MAUTI. AMEN.
Chrstna,,,MUMEO NI LUTU..UTAKE USITAKE.UMEKATAA KUMSIKILIZA UMEGEUKA HAYA SASA.🔥🔥
Baba Mungu akushike sana kwa kipindi unachokipitia kigumu hivi Mungu akushike sana.
Mbarikiwa ni kichwa kilicho kaza, hakina mapungufu!Ukweli unauma ila utabakia tu Ukweli big up man of God .
Mumushauri mtu wenu atanyooshwa ohoooo
Sauti ya radi imeingia kwenye moyo wa Christina Shusho, kwa kweli kuwa mtu wa Mungu kweli kweli ni kifo.
Hakika
True 👍
Pole sana Mwakipesile. Alicho kifanya Christina Shusho, alimzalilisha Mme wake mtandaoni kwa kiwango kikubwa sana . Pili alidhalilisha Ukristo mzima na kumpa Shetani utukufu. Huyo Dada yetu Christine hakuwa Mkristo tangu zamani. Ila samahani wa TZ mnajali sana kipawa au karama ya mtu bila kujali mwenendo wake unafanana je. Mulichelewa sana kumtambua Christine.
Ushitaki wote wario coment.kristina umejiparia kaa ra moto
MBARIKIWA MWAKIPESILE ANAZIDI KUUWASHA MOTO WA INJILI YA KRISTO YESU KATIKA KUENDELEA KUMSHIKILIA MUNGU.
😮😮😮
@@user-ji5go2jf6h!.!.!.
Mungu anatakiwa atangaze Neno la Mungu
Hongera mchungaji na asante kwa kuheshimu ndoa na kumheshimu Mungu.
Tumsifu Yesu Kristo, sina mengi zaidi ya kusema poleni sana Kristo ni Kristo, Mungu atabaki kua Mungu patana na mstaki wako kabla hajakupeleka kwa kadhi Upendo huvumilia yote huamini yote mhukumu ni mmoja tu Mungu wa haki usimame mwenyewe ktk jambo la wana wako.
Baba Mungu ndio kimbilio lako,ukweli ni kwamba watu hawataki kuambiwa ukweli
Ukweliii tuna taka ila aache kudharilisha watu
Mbona Yesu alimsammehe yule mzinzi muombee sio kumdhalilishaji
Uyo dada crestina nafikili aende akatubu kwa mume wake naa akampigie magort amuombe msamaha na atubu mbele za mungu vinginevyo mungu atamtembezea raana kubwa sana unajua siku zote mungu abipiwi
MUNGU ATASIMAMA NA UKWEL SIKU ZOTE.. !! NIKWELI MWENYE NDOA YOYOTE Akitoka nje ya ndoa LAZIMA KUNA DHAMBI IKO JUU YAKE
Mandiko yanena wazi unapopitia haya ndugu yangu mbarikiwa hujue yakuwa MUNGU mwenyezi anakutambua wewe ni nani so huyu Christina ashusho hajielewi hanacho kifanya hatakilipia hapa hapa Duniani wee Kaa macho from Kenya
Wengi hatukatai kumbuka Kristina shusho ni mwanadamu tu huenda amevamiwa na Adui kilichotakiwa hapo mngemwita huyo dada mkamuonya juu yahili kuliko unvyopiga kelele kwenye mitandao sio hekima hiyo mbarikiwa Biblia inasema muonyane Kwa upendo Kwa huko makanisani hakuna mabaraza ya kanisa?mngemwita huyu dada kwanza nakama akishupaza shingo basi mnamwacha lakini hakuchukua hatuna hii mmekazana kumshambulia kwenye mitandao Je huo ndio upendo?mmesahau kuwa watumishi wa mungu mnavita kubwa na Shetani?
Mbarikiwa hongera sana huyo christina amejiwekea kaa la moto kabisa.
Ukishaanza kupeleka mpendwa mwenzio mahakamani, wewe tayari ulisha iacha njia ya Mungu siku nyingi, ukikemewa mshukuru Mungu unapendwa.
Mimi nilikuwa mshabiki wako sana kwanyimbo zako nzuri lla dada unapotea
Naye alivomtukana hiyo ni hekima ya mchungaji wa wapi?
Kama kuna ushauri nitawapa, TAFUTENI SANA USHIRIKA NA MUNGU BINAFSI. Hii dunia sio yakuamini watu tena
Mchungaji mungu ni mkubwa , Sana sijawai sikia, mkristo anamshitaki mkiristo mwenzake kwa kuwambia ukwweri,
Hapo ndo tutajua SHUSHO NI MKRISTO AU LAAA!
Ndo ITAJULIKANIKA sasa kuwa Christina shusho yuko Upande "MUNGU" au Shetani.
Kumbukeni mbalikiwa alipo onywa na ezekieli alitukana mpaka akamfanya ni Jezebel ,vijana wake wakimpotleiti Kama kavaa suketi,
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.Mwana kulifind mwana kuliget.Kuna watu wanajihesabia haki sana! Bado Cassian
@@lulumatawalo7805 Moto wa MUNGU, hauzimwagwi
Mtu wa Mungu sema kweli ya Mungu Wala usitishwe na waovu, Mungu wa mbinguni atakutetea
I WONDERING THIS IS CHRISTINA I KNEW AS MY MOM OR 😢😢😢
Piga kazi mwamba injili ndiyo iletayo uzima good 👍
Pole sana ila acha injili ya kuwashambulia watu zungumzia habari za Mungu ili watu watubu dhambi zao nimefuatilia sana mahubiri ni ya kuzungumzia watu hii Dunia hakuna mkamilifu Mungu hekimu ya namna ya kuhubiri nimekuelewa lengo lako ni zuri ila anayekosea muonye Kwa upendo na tumia lugha nzuri atakuelewa
Ni kweli kabisa upendo uko wapi kwa wakristo,eti ni mchungaji hekima iko wapi maonyo yako wapi,alimuombea ? Kabla ya kumtukana aise sijui watu wanaosema wameokoka hawajitambui hebu watu waende shule kidogo wasome neno sio kukaa tu kuwaskiliza wachungaji wao kwa sababu wewe muumini pia,umepewa akili sio kuskiliza tu pia kupambanua na kumshauri mchungaji wako anaconda vibaya wao wamekaa tu eti ni vita,vita gani ningewakuta church ningewatandika viboko mpaka huo ufahamu ufunguke na huyo mbarikiwa wenu
ambaye ataelewa ataelewa tu,mch hana kosa watu lazima wajijue/wajitambue.
Pole Sana mtumishi niseemu mojawapovambayo mungu ànakupandisha viwango vingine tunakuombea
Ubarikiwe sana mbarikiwa Mungu yuko bamoja nawe!Huyu Dada yetu amesha anguka anguko la kifo na tayari shoka limekwisha kutengwa.Huwezi ukashirikiana nawakina diamond na wasanii wengine ukabaki salama !Huyu dadaetu aombewe ili aombe msamaha na amrudie Mme wake
Waaaa GOD be with you pst jicho la bwana linaona diyo mana ulizaliwaa fanyaa KAZI na utafurahi ukiseema nimezipikaa vita na mwendo nimeeumalizaaa 🇰🇪🤔🙏👋
Nakupenda zaidi ya sana mtumishi unanibariki
Mbarikiwa hana hatia
I love the song. Daddy Bishop Mamboya would sing it through.
Mtumishi nakubali sana kweli iilyomo ndani yako Mungu azidi kukubariki❤
Huyu christina sio mkristo huyo ni mtoto washetani .Hasomagi neno ?
Mungu uishie naomba umtetee mtumishi wako mbarikiwa. Anavipiga vita vya imanii. Mungu usimuache! Amen 🙏
Hakim wetu mkuu ni Mungu kwasisi wakristo,Huyu.mama kaenda njekabisa ya neno la Mungu nakuwa na mashaka na ukristo wake ameshindwa kumshitakia Mungu kama anaona anadhalolishwa?naona anazidi kujitafutia maadui wa Kirkhope na kimwili. Namshauri aachane na upuuzi huu.
😅😊😊😊
Mungu azidi kukutetea baba.
Mmmhhh aiseee mungu anakutumia kwa viwango vizito sana
Kwakweli mwacheni tu mtumishi wa Mungu mweh
Barikiwa sana pastor Mwakipesile
Pole sana Mtumishi
Baba Mungu akushike
Mimi hapa namwelewa sana Mbatikiwa Mungu akupiganie
Mungu atakupigania mtumishi wa kweli wa Mungu.utashinda Kwa kishindo🙏
Pole
🙏🙏🙏🙏 Mungu mlinde mbarikiwa
Mungu yupo kazini
I understand him very well
Mungu yu pamoja nawewe kwakilajambo hatokuacha akonawewe bega kwa bega'
Tunakuombea ushindi💯💯
Dar mungu akutunze mchungaji unapitia mambo mengi ila naamini mungu ameruhusu haya
Baba huna hatia mungu yupo pamoja nao dada christina tumia hekima kama ulivyoposti hekima kubali makosa halafu mrudie mungu wako
Mbarikiwa haonyi ila anadhalilisha,huku akitaka umaalufu
@@user-gs2bz5xm8ukwelii kabisaa ...ilo siyo neno la Mungu
so kwery
@@user-gs2bz5xm8u ulitaka aonyaje? Ile clip Mbarikiwa alionesha haikuwa ya Christina akiaonya kuachana?
@@user-gs2bz5xm8ukabisa hana hekima hata moja
Kristina we imba kazi zote mungu atapima mbarikiwa kashatoka nje ya mipango ya mungu badala ahubir anapambana na watu kasahau mungu ni upendo angekushaur mbarikiwa umepotoka acha naw ni Malaya kwn unajiona u safi moyn umejaa sumu
Yaani unamwacha aliye toka nje ya mipango ya Mungu , unamsakama mbarikiwa? Hii ni ajabu. Soma Mathayo 19:6 ,9 utaelewa .makosa ya wazi kabisa unataka yapakwe mafuta !!! Nooooo.
@@andreamwampamba1039dunia ipo ukingoni kwa kweli ndo maana hata ukiwa mpuuzi na malaya unaweza kusifiwa na baadh ya wanaofanan na wewe
jaman
Aliyesafi mungu pekee mungu ndo anajua we unaangalia kw nje anavyoongea mungu anaangalia moyo je vile ndo anashauri au taarab mwachien wokovu mungu wa rehema
Tena hkuna mzinzi kama barikiwa kwn anasumu moyon anasakama mtu mojamoja apate umaarufu ndan yke hkuna upendo ht chembe ni kiki TU za unjili
Pole sana mtu wa MUNGU
People try to mind your own business they have nothing to do with you 😊😊😊
Najiuliza yesu arudi tu si kwa haya nayoyaona humu duniani maana mkristo amegeuka kuwa adui tena ( keep fighting pastor mbarikiwa nalo hili litapita)
Ushauri,,,,shusho Patana na mbarikiwa unajichafua
Kamanda wayesu hongera sana mtu wamungu kusema kweli unakuwa hukumbatii dhambi weww nishujaa
Nakubali kamanda , captain jasusi 😃😃
Ameen baba yangu❤❤❤❤❤
Mbarikiwa Mungu atajitetea huyo asiye kutambua anacheka wakiharibu huwezi kumlazimisha kristo kuacha ndoa unajidai Mungu kakakuita tujifunze nini mbarikiwa tupo nyuma yako Mungu atakushindia
Am from Kenya,let aman of God wosh the church of the Lord
Jamani,Mbarikiwa pole na familia yako.
Mungu akusimamie mtumishi
Big up my dady
Hata Nimemdharau Christina Shusho kumbe ni WA hovyo tu oh God Sitawai kua fun wake tna
Mungu yupo
Mbarikiwa Mungu akubariki zaidi sasa Christina anataka kukuzaririsha ili urudi nyuma kumtangaza Kristo huo ni uwakala wa shetani
Mungu akupiganie baba
Hayo ndio mahubili kuhubili nikesema ukweli naukweli unaosemwa na mbalikiwa niwakweli mungu akuongoze mchungaji wangu pambana naamini mungu anamalengo mema nawatuwake tunakuombea mchungaji wetu usiludinyuma ,sauti yamtu aliae Toka nyikani
Mbarikiwa anasababisha tuwajue wahuni wanaoishi kwa kuitaja Bure jina la Mungu
MUNGU bado anakuhitaji Mama yetu ckia hizi kelele
Watu hawataki kuambiwa ukweli daaa.Jesus is coming soon
Mbalikiwa Baba Kazi iendelee.
Mungu awasaidie
Hiyo mama Christina Mungu anamwona we mwache
Mungu akupiganie mbarikiwa hakika wew upo kwaajir ya mungu
Ukweli utabaki palepale,dhambi ni dhambi tu,jipemoyo atashindwa tu lazima tukemee dhambi,kazi ya watumishi wa mungu ni hiyo,ukiwa mwizi utaambiwa.Bibilia inasema neema efunuliwa yatufundisha kukata ubaya.
Nawaombe Mungu awape hekima na ufahamu wa mbinguni.fatilie maisha ya YESU alivyoishi kwa mapito aliyopitia hakuwahi kushindana bali alifanya huduma kwa mapenzi ya MUNGU.MUNGU awafungulie ufahamu wenu ili mjue ufalme wa MUNGU.
Baba endelea kusema kweli, wewe umechahuliwa kwa wakati huu kupitia hayoooo
MUNGU akubariki
mama Mchungaji unanifurahisha sana na nywele zako za asili,sio wengine kazi kuvaa makatani,wazungu wametuharibu sana.hata haya yote mtumishi umemgusa mtumishi wa baal, mwanachama wa chama cha siri cha shetani,ndo sababu
Mungu awe pamoja nawe mtumishi🙏🙏
Wengi tu wamemsema kwenye mitandao mbona hajawashitaki?
Mungu atkupigania na huko mahakamani na nakuomba mtumishi vaa slaha ya Imani mbele ya mungu na watu wajue ukweli wa maandiko takatifu
Mbarikiwa tunaungana kuombea jambo hili na kwa vile kasema maombi ya wengi yana nguvu basi Mungu atajibu tu.
Shusho kaanza vita na watumishi ngoja tusubiri hasira za Mungu zitakapomshukia maana Mungu hawezi kubali mtumishi wake aaibike kuanzia mme wake anamuhukumu kwa mambo ya miaka mingi iliyopita et alimletea ndugu 8 ahudumie sasa hawa watu hawapo wewe unaomba talaka leo kwa vitu vya nyuma
Christina shusho hapa umechemsha, yaani mchungaji mzima hujajua utetezi wako unatoka wapi hata unakimbilia serikali za dunia aiiiiiiiiii umejichoma Sana haya endelea
Hana tena😢😢
Mtumishi we usijali mungu yu nawe
Well said usiamini tu kisa mtu anaimba nyinbo za injili in short shusho hamtumikii Mungu alie hai huo ndio ukweli
Christina nimnafiki anayejificha kwenye neno la Mungu lakini matendo yake nikama mbwa mwitu
Shusho una watoto wewe acha mbona watumishi wengi tu wanatukwanwa
Yupo MUNGU wa kweli anakwenda kukutetea
Sauti ya mtu aliaye Toka nyikani imeingia ndani ya moyo wa Christina shusho nakukimbiria mahakamani badala ya kutubu
Washilika wa mbalikiwa msisapoti kila kitu
Mtumishi WA Mungu wewe ni kifaa, Mungu akutunze, Mungu akusaidie, huna kosa ila Mungu anaona yote hayo .
Hakuna kushtakiana kwa watakatifu wa Mungu huyu mwanamke amepotoka kabisa ashindwe kwa jina la yesu kristo
Amen
Wacha Mungu awatie Mungu ❤mimi ni mkenya but I love this pastor
Nyakati za mwisho ndio dalili hizo
Christina Shusho unazidi kujichafua, wewe mtumishi wa Mungu, Rudi kwa Mmeo pambana
Walioongea ni wengi! Ila kwanini mbarikiwa?
Kitu Cha MUNGU ndani yake.
Wote watachukuliwa atua
@@user-ji5go2jf6hhahaha hahaha ila unajitahidi sana kupambana,,Kama sauli,
Big up,utavuna kazi yako....
Ungemfuata kwa fargha na kumuonya ungekua mwenye hekima . Lakini haya mambo ya mitandao watumishi kuweni makini.
Shusho ili usidharirike vizuri kama unavyosema MBARIKIWA AMEKUDHARIRISHA WASHITAKI WOTE WALIOKUSEMA MBONA KASHITAKIWA PEKE YAKE?
Anaye tangulua mbele kwenye vita ndiye anapigwa mshalee
Sio sawa!:hauko sawa! Watu wa Mungu mnapaswa kuonyana kwa upendo,sio kumdharirisha mtu hadharani namba hii mitandaoni!
Uko sawa sema kama yohane mbatzaji