ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Anapendwa kweli, hata mimi nampenda. Utu wake, uaminifu wake, taaluma yake na misimamo yake. Ni jasiri hapendi rushwa. Mungu ambariki sana .
UKITAKA KUMHOJI HUYU ASKOFU MWANAMAPINDUZI UJIPANGE 👏🏼👏🏼
Kbs hayupo kizembe zembe anajiamini anajielewa sana hana hofu kbs
Hiyo itembezwe kila kijiji cha Tanganyika ili watanzania waione
Big up Mtumishi wa Mungu
Mchungaji unajua sana Mungu akubariki sana
Mungu awalinde woooote wanao tetea haki kwa wananchi,,,,,❤
Na tutachangia mara dufu asingekuwa yeye hata swala la bandari,,wamasai kufukuzwa na aridhi ya watanganyika kupewa wageni ametuonesha anavyotenda haki hata ukipigwa sim anapokea tofauti na wale viongozi walivimba vichwa lisu oyeeeeeee
Uko sahihi baba Mungu akubariki haki haishindwi
Mwanamapinduzi kiukwel huwa unajua kufafanua na kujibu maswali ya waandishi wa habar, wewe ni lulu katika nchi.
Huyu lisu anafaa kuwa rais maana anasifa kwanza ni mwanasheria tofauti na wale wanabatizwa doctor huku hamna
Nachangia tena
Tulimwomba Mh. Aweke Hilo gari kwenye makumbusho si kwamba CDM hawawezi kumpa gari ila kwa mahaba makubwa ni haki tuonyeshe kuwa tunaweza nasi kumpatia gari na lile waje Watoto na wajukuu waje waone ulivyokuwa katika kufikisha Tanzania ilipo
Ndio shida
Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki kwa maelezo yako mazuri.
Kweli kabisa
Upo sawa mtumishi wa Mungu
Unaposema alikuwa anapigania Uhuru sikuelewi, au Unadhiaki Waliopigania na kudai Uhuru,
Mi nimeshachanga na nitachanga Tena na tena
Safi Sana kamanda
Mungu wa Mbinguni tu mbele yako na azidi kuibariki kazi ya mikono yako
Naombeni namba za mchango wangu 5000 jamani nipeni namba tu
🚘
Yani wale jamaa walompiga risasi ni wapumbav sana wamemkosaje huyu lisu wangemmaliza tu tukapumzika
Pumzika kama wenzako subiri muda si mrefu maana mungu anatenda..
🚗🚗🚗🚗🚗
Anayetukana Hana hoja na kama unafurahia kumwaga damu ya nduguyo wewe ni mfuasi wa shetani na kama ni hivyo umeshaandaa makao yako na shetani ndiye mwenyeji wako.
Mchunģaj wa mbuz
Weka jina lako hapa ushikishwe adabu
Na ninyi waandishi feki cjui hamna kazi zingine za kufanya? Washenzi kabisa labda nchi ya mkeo ndyo ilipita kwenye hilo bonde kwenda zako mbwa ww
K Yako ya nyuma
Watanzania kwa nini si wastaarabu, ni ukosefu wa elimu nini? Haya mambo mmeyavaa tu bilaya kuwa na masomo wala ufahamu. Umeandika matusi hapa, wajua yatadumu zaidi ya miaka 100 ijayo? Mwenyezi Mungu atakuwa anakuandikia madhambi ya matusi kwa muda wote huo! Wamtukana mtu bila sababu, jamani!
Hivisisi bnadam tumeumbwaje
Najaribu kukutafakari sana sababu ya kumtukana huyo mwandishi nimeshindwa kukuelewa! Ila nahisi hauko sawa kichwani! Afya yako ya akili haiko sawa! Pia yawezekana kichwani kuna kinyesi badala ya akili! Hovyoooo!
Ndogoro godoro dugu moja😢