ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 36

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 4 месяца назад +4

    Anapendwa kweli, hata mimi nampenda. Utu wake, uaminifu wake, taaluma yake na misimamo yake. Ni jasiri hapendi rushwa. Mungu ambariki sana .

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 месяца назад +6

    UKITAKA KUMHOJI HUYU ASKOFU MWANAMAPINDUZI UJIPANGE 👏🏼👏🏼

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 4 месяца назад +1

      Kbs hayupo kizembe zembe anajiamini anajielewa sana hana hofu kbs

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 4 месяца назад +8

    Hiyo itembezwe kila kijiji cha Tanganyika ili watanzania waione

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 4 месяца назад +5

    Big up Mtumishi wa Mungu

  • @jumajukikoti8133
    @jumajukikoti8133 4 месяца назад +5

    Mchungaji unajua sana Mungu akubariki sana

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 4 месяца назад +5

    Mungu awalinde woooote wanao tetea haki kwa wananchi,,,,,❤

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 4 месяца назад +4

    Na tutachangia mara dufu asingekuwa yeye hata swala la bandari,,wamasai kufukuzwa na aridhi ya watanganyika kupewa wageni ametuonesha anavyotenda haki hata ukipigwa sim anapokea tofauti na wale viongozi walivimba vichwa lisu oyeeeeeee

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 3 месяца назад +1

    Uko sahihi baba Mungu akubariki haki haishindwi

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 4 месяца назад +7

    Mwanamapinduzi kiukwel huwa unajua kufafanua na kujibu maswali ya waandishi wa habar, wewe ni lulu katika nchi.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 4 месяца назад +3

    Huyu lisu anafaa kuwa rais maana anasifa kwanza ni mwanasheria tofauti na wale wanabatizwa doctor huku hamna

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 4 месяца назад +3

    Nachangia tena

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 3 месяца назад

    Tulimwomba Mh. Aweke Hilo gari kwenye makumbusho si kwamba CDM hawawezi kumpa gari ila kwa mahaba makubwa ni haki tuonyeshe kuwa tunaweza nasi kumpatia gari na lile waje Watoto na wajukuu waje waone ulivyokuwa katika kufikisha Tanzania ilipo

  • @LuganoMwakalinga-p3k
    @LuganoMwakalinga-p3k 4 месяца назад +1

    Ndio shida
    Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki kwa maelezo yako mazuri.

  • @AbhaiyaAbhaiya
    @AbhaiyaAbhaiya 3 месяца назад

    Kweli kabisa

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 3 месяца назад +1

    Upo sawa mtumishi wa Mungu

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 3 месяца назад

    Unaposema alikuwa anapigania Uhuru sikuelewi, au Unadhiaki Waliopigania na kudai Uhuru,

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад +2

    Mi nimeshachanga na nitachanga Tena na tena

    • @laupetpet7779
      @laupetpet7779 4 месяца назад +2

      Safi Sana kamanda

    • @solomoneglesias9752
      @solomoneglesias9752 4 месяца назад

      Mungu wa Mbinguni tu mbele yako na azidi kuibariki kazi ya mikono yako

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 3 месяца назад

    Naombeni namba za mchango wangu 5000 jamani nipeni namba tu

  • @knight6757
    @knight6757 4 месяца назад

    🚘

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 3 месяца назад

    Yani wale jamaa walompiga risasi ni wapumbav sana wamemkosaje huyu lisu wangemmaliza tu tukapumzika

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 3 месяца назад

      Pumzika kama wenzako subiri muda si mrefu maana mungu anatenda..

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 месяца назад

    🚗🚗🚗🚗🚗

  • @JoachimKisoka-d5l
    @JoachimKisoka-d5l 4 месяца назад +1

    Anayetukana Hana hoja na kama unafurahia kumwaga damu ya nduguyo wewe ni mfuasi wa shetani na kama ni hivyo umeshaandaa makao yako na shetani ndiye mwenyeji wako.

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 4 месяца назад

    Mchunģaj wa mbuz

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 4 месяца назад

    Na ninyi waandishi feki cjui hamna kazi zingine za kufanya? Washenzi kabisa labda nchi ya mkeo ndyo ilipita kwenye hilo bonde kwenda zako mbwa ww

    • @ULUMBIADAM
      @ULUMBIADAM 4 месяца назад

      K Yako ya nyuma

    • @Nedjadist
      @Nedjadist 4 месяца назад +2

      Watanzania kwa nini si wastaarabu, ni ukosefu wa elimu nini? Haya mambo mmeyavaa tu bilaya kuwa na masomo wala ufahamu. Umeandika matusi hapa, wajua yatadumu zaidi ya miaka 100 ijayo? Mwenyezi Mungu atakuwa anakuandikia madhambi ya matusi kwa muda wote huo! Wamtukana mtu bila sababu, jamani!

    • @deogratiustweve2611
      @deogratiustweve2611 4 месяца назад

      Hivisisi bnadam tumeumbwaje

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 4 месяца назад +3

      Najaribu kukutafakari sana sababu ya kumtukana huyo mwandishi nimeshindwa kukuelewa! Ila nahisi hauko sawa kichwani! Afya yako ya akili haiko sawa! Pia yawezekana kichwani kuna kinyesi badala ya akili! Hovyoooo!

    • @humphreymkony8915
      @humphreymkony8915 4 месяца назад

      Ndogoro godoro dugu moja😢